Boresha Afya yako
KARIBU SANA BORESHA AFYA YAKO TUKUHUDUMIE. TUNA BIDHAA ZINAZOTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KI AFYA
22/02/2023
Dr.Nurath(dr_nurath) is LIVE | TikTok Check out Dr.Nurath(dr_nurath) LIVE videos on TikTok! Watch, follow, and discover the latest content from Dr.Nurath(dr_nurath).
TEZI DUME NA KANSA YA TEZI DUME NA TIBA YAKE
+255657960657
Uvimbe usio wa Saratani kwenye Tezi dume
Tatizo la tezi dume kupanuka
Tezi dume hupatikana kwa wanaume tu.Tezi hili likiongezeka kwa ukubwa yaani inapopanuka,hasa kwa wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka arobaini, hutatiza kukojoa.Ugonjwa huu unazidi kuongezeka duniani kwani watu wanaishi maisha marefu zaidi siku hizi.
Tezi dume ni nini na kazi yake ni nini?
Tezi dumeni kiungo kidogo na ni sehemu moja ya uzazi wa wanaume.Hupatikana chini ya kibofu na mbele ya mwanzo cha njia itoayo mkojo hupitia ndani ya tezi dume.Tezi dume ndiyo hutoa maji yabebayo mbegu (manii)ya mwanaume.
Tezi dume kupanuka
Kupanuka kwa tezi dume ni tatizo la kawaida ambalo halisababishwi na ugonjwa wa saratani(kansa).Huwa ni jambo la kawaida kwa karibu kila mwanaume mzee.Miaka inavyoenda,ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo.Hivyo mkojo hutoka polepole .
Ugonjwa wa kutanuka kwa tezi dume ni ugonjwa wa wanaume wazee.
Dalili za kupanuka kwa tezi dume
Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyoongezeka.Dalili hizi ni k**a zifuatazo:
Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku.Hii ni dalili ya mapema sana.
Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku, kutumia nguvu kuanzisha mkojo kutoka. Hata pale mgonjwa anahisi kibofu kimejaa. Hii ni dalili ya mapema sana.
Mkojo kutiririka polepole, hukatikakatika na hutumia nguvu kutoka.
Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo nguo za ndani hulowa.
Kibofu hakiishi mkojo.
Matatizo ya tezi dume iliyotanuka
Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:
Mkojo kukosa kutoka kabisa
Wagonjwa wenye tatizo hili lazima wawekewe katheta ili kumimina mkojo.
Madhara kwenye kibofu na figo
Kwa sababu ya kibofu kuwa na mkojo wakati wote, ukuta na misuli yake hupanuka na mwishowe hudhoofika hivi kwamba haiwezi kuzuia mkojo.
Kwa sababu ya kibofu kujaa
mkojo hurudi kwenye figo na mwishowe huharibu figo.
Ugonjwa wa tezi dume husababisha mkojo kutiririka polepole na mtu kukojoa mara nyingi hasa usiku.
Maambukizi na mawe
Kwa sababu kibofu hakimimini mkojo wote kuna hatari kubwa ya maambukizi kwenye njia ya mkojo nakuwa na mawe kwenye kibofu.
Kumbuka
Kutanuka kwa tezi dumehakusababishi ugonjwa wa saratani.
Utambuzi wa kupanuka kwa tezi dume
Historia na dalili zikiashiria uwepo wa hali hii, basi uchunguzi ufuatao hufanywe.
Uchunguzi wa ukubwa wa tezi
Uchunguzi huu hufanywa kwa kuingiza kidole chenye glavu nyuma hadi kwenye tezi dume. Daktari huweza kujua ukubwa na hali yake. Iwapo mtu ana ugonjwa huu tezi dume ni kubwa kuliko kawaida, laini na gumu yote pamoja. Iwapo tezi lina vifundo basi inaweza kuwa na kansa (saratani)au inaweza kuwa na kalsium.
Vipimo vya picha ya ultrasound na kiasi cha mkojo kwenye kibofu
Picha za ultrasound zinaweza kutathmini ukubwa wa tezi dume na kutambua shida zingine k**a kudhoofika kwa tezi,kupanuka kwa njia ya mkojo na kibofu au usaha.Picha hizi pia hutumika kutathmini kiwango cha mkojo unaobaki baada ya kukojoa. Ikiwa kiasi cha mkojo ni chini ya mililita hamsini,basi inaonyesha mkojo wa kutosha unatoka , mililita mia moja hadi mbili au zaidi huonyesha kuna kasoro na basi uchunguzi hufanywe.Kumbuka kipimo cha kidole nyuma na sonografia ni vipimo viwili muhimu kwa utambuzi wa kukua kwa tezi dume.
Kipimo cha nambari ya dalili
(Prostate Symptoms Score or index)
Kipimo hiki chenye chanzo chake Marekani huwezesha kutambua ugonjwa wa kibofu.Maswali yanayohusiana na ugonjwa huu huulizwa ili kutathmini matatizo yaliyopo. Hivyo kiasi cha shida iliyopo hujulikana kwa kuhesabu dalili zilizopo.
Kupima kwa kutumia kidole kwenye njia ya choo kubwa na sonografia ni vipimo viwili muhimu sana vya ugunduzi wa tezi dume lililovimba.
Uchunguzi wa maabarani
Uchunguzi huu hauwezi kusaidia katika kutambua ugonjwa wa tezi dume,bali hutumika kutambua matatizo yanayohusiana nao.Mkojo hupimwa ili kutambua maambukizo,na damu hupimwa ili kutathimini uwezo wa figo.Kuna kipimo tofauti cha saratani ya tezi dume.
Prostate Specific Antigen (PSA) hiki ni kipimo muhimu sana cha damu cha kuchunguza saratani ya tezi dume.
Uchunguzi zaidi-uchunguzi zaidi ili kutathmini kasi ya mtiririko wa mkojo, uvimbe na matatizo mengine ni pamoja na kuchukua kipande cha tezi dume, IVP,CT urogram,cystoscopynk
Je, mtu mwenye tezi dume iliyotanuka anaweza kuwa na saratani pia?
Ndio. Dalili za magonjwa haya mawili hufanana.Kwa hiyo vipimo vya kawaida vilivyotajwa haviwezi kutambua ugonjwa wa saratani.Lazima vipimo maalum vya saratani vifanywe. Vipimo hivi ni kumpima mgonjwa nyuma kwa kidole, kipimo cha damu kuona kiwango cha PSA nakuchukua kipande cha tezi dume (prostate biopsy).
TIBA ZETU
√HUZUIA KANSA ISISAMBAE
√HUONDOA MAAMBUKIZI YOYOTE
√HUUA SELI ZENYE KANSA
PIGA +255657960657 AU WATSUP KWA NAMBA HIYO
KAZI YA TEZI DUME.
0673616221
Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la kujamiana. Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hutengeneza shahawa (semen).
▫️Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini.
- Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
- Kutokufanya mazoezi.
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi.
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance).
- Msongo wa mawazo (Stress).
- Magonjwa ya zinaa.
- Umri mkubwa.
- Upasuaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja.
- Historia ya Familia (Kurithi).
- Mazingira (Ethnicity).
▫️Dalili za saratani ya tezi dume ni zipi?
a) Dalili za awali
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku
b) Dalili za mtu aliyeathirika
- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
-Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kuja gesi mara kwa mara
▫️Madhara ya Tezi Dume:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo
0673616221
KWA TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI WASILIANA NASI KWA NAMBA AU WhatsApp https://wa.me/255673616221
08/08/2022
Kwa Ushauri na Tiba 0673616221
Ukiona dalili zifuatazo ni ishara ya kuwa una tatizo la Bartholin Abcess/ cyst.... yaani uvimbe kwenye mashavu ya uke karibu na mlango wa uke.
1. Umeota Kiuvimbe kwenye mashavu karibu na mlango wa uke
2. Unapata maumivu makali sana wakati mwingine unapata shida hata kutembea au kukaa
3. Inakuwa ngumu kufanya tendo la ndoa kwa sababu ya maumivu
4. Uke wako unakuwa mkavu.
5. Wakati mwingine inaweza kukusababishia homa
Njoo nikusaidie na ushauri bure 0673616221
UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
A.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
B.DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
C.ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume. kwa msaada zaidi wasiliana nasi +255673616221
*WhatsApp https://wa.me/255673616221
instagram 🇺🇸 🇹🇿 🇺🇬 🇨🇩 🇴🇲 🇸🇦 🇿🇦 🇰🇪
TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI : MWANAUME MUELIMISHE.MWANAUME MWENZAKO:CALL..+255673616221
NI NINI ??? .......
Ni sehemu ya mfumo wa uzazi wa kiume iliyo mbele kidogo ya puru (Re**um) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo na uume (Urethra) Ina ukubwa wa kawaida japo ukubwa huongezeka kadri umri unavyoongezeka.
1. Kupata shida wakati wa kukojoa
2. Kutiririkwa mkojo wakati na baada ya kukojoa
3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
4. Kukojoa mara Kwa mara hasa usiku
5. Kujikamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote
na ili kujua k**a unatezi dume ni muhimu kufanya vipimo vifuatavyo:- Njia hii utaingiziwa kidole cha kati katika puru ili kuihisi katika ukuta wa puru
Unaweza kupona saratani ya tezi dume ima Kwa kufanyiwa upasuaji au Kwa kutumia njia mbadala ili kulikausha tezi hilo.
Endapo tezi dume itatibiwa kwa haraka, utakuwa umejiaepusha na magonjwa makubwa k**a vile saratani ya tezi dume.
TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI.
Tunavyo virutubisho maalumu ambavyo vimetengenezwa na mimea asili uitwao PROSTAEB-I (US Patent) Kwa ajili ya kulikausha tezi lililovimba katika mfumo wa uzazi wa mwanaume. Faida za mmea huu ni kuwa, hulikausha tezi lililovimba, husaidia wanaume wenye shida ya mkojo.
Vilevile ni vizuri k**a itatumiwa Kwa wenye umri kuanzia miaka 40, Ikiwa ni pamoja na kujikinga usipate shida ya tezi Kwa miaka ya baadae.
Kwa mawasiliano namna ya kutibu tezi dume piga namba #0673616221
inatibika bila upasuaji
Au WhatsApp https//wa.me/255673616221
14/03/2022
UGONJWA WA KANSA NI NINI?
+255673616221
Ugonjwa wa Kansa au Saratani ni ugonjwa unaotokea baada ya kuharibika na kubadilika kwa seli kuanza kuzaliana katika mwili nazo huitwa seli za kansa. Kawaida Seli huharibika, hurekebishika au kufa, ila seli zisipokufa au zisipo rekebishika huwa seli zisizo za kikawaida (hazihitajiki mwilini) ndipo huanza kuzaliana na kuwa seli za kansa.
AINA ZA KANSA
Kuna aina zaidi ya 100 za kansa, zifuatazo ni aina chache :-
1. Kansa ya Matiti
2. Kansa ya Tezi dume
3. Kansa ya Utumbo mdogo
4. Kansa ya Kizazi
5. Kansa ya Mapafu
6. Kansa ya Ngozi
7. Kansa ya Damu
8. Kansa ya Kongosho n.k
9. Kansa ya kibofu
10. Kansa ya Koo n.k
CHANZO CHA UGONJWA WA KANSA
1. Kemikali au Sumu kuingia mwilini
2. Mnururisho au Mionzi hatari
3. Magonjwa yanayoambatana na Virusi na bacteria
4. Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
5. Kuvuta sigara
6. Kukaa sehemu kwa mda mrefu bila kuufanyisha kazi mwili
7. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi, sukari nyingi na vyenye kemikali nyingi
8. Utumiaji wa vinywaji hatari k**a pombe na vyenye kemikali
9.Madhara Baada ya ugonjwa flani
DALILI ZA UGONJWA WA KANSA
1. Uchovu au kinyong’onyea
2. Kuwa na mabonge au nundu au uvimbe mwilini hasa sehemu iliyoathirika hasa kwenye ngozi
3. Uzito kubadilika bila mpango hasa kupungua uzito, kuongezeka ni asilimia ndogo
4. Ngozi hubadilika, yaweza kubadilika rangi kuelekea unjano kiasi, weusi, wekundu kiasi, na ngozi kutokuwa na hisia
5. Mkojo na choo kubadilika
6. Kikohozi cha mda mrefu na kupata maumivu au shida wakati wa kupumua
7. Kupata shida au kushindwa kumeza chakula
8. Kubadilika kwa sauti
9. Kupata homa isiyoeleweka na kutokwa na jasho usiku
10. Kutokwa na michubuko na kutokwa na ndamu
11. Kuwa na maumivu ya misuli na viungo yasioeleweka
12. Uweza kupata tatizo la mmeng’enyo na kusumbuka baada ya kula
USHAURI KWA MGONJWA WA KANSA
Magonjwa ya KANSA yanatibika kabisa na bidhaa zetu ni suluhisho kwa kansa stage 1-3, hukarabati cell na kusaidia mwili kujiponya Wenyewe, kuimarisha afya yako pia kuondoa sumu zote mwilini zinazotokana na matumizi ya madawa, vyakula au vinywaji
Maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi 0673616221 au WhatsApp https://wa.me/255673616221
TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI : MWANAUME MUELIMISHE.MWANAUME MWENZAKO:CALL..+255657960657
NI NINI ??? .......
Ni sehemu ya mfumo wa uzazi wa kiume iliyo mbele kidogo ya puru (Re**um) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo na uume (Urethra) Ina ukubwa wa kawaida japo ukubwa huongezeka kadri umri unavyoongezeka.
1. Kupata shida wakati wa kukojoa
2. Kutiririkwa mkojo wakati na baada ya kukojoa
3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
4. Kukojoa mara Kwa mara hasa usiku
5. Kujikamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote
na ili kujua k**a unatezi dume ni muhimu kufanya vipimo vifuatavyo:- Njia hii utaingiziwa kidole cha kati katika puru ili kuihisi katika ukuta wa puru
Unaweza kupona saratani ya tezi dume ima Kwa kufanyiwa upasuaji au Kwa kutumia njia mbadala ili kulikausha tezi hilo.
Endapo tezi dume itatibiwa kwa haraka, utakuwa umejiaepusha na magonjwa makubwa k**a vile saratani ya tezi dume.
TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI.
Tunavyo virutubisho maalumu ambavyo vimetengenezwa na mimea asili uitwao PROSTAEB-I (US Patent) Kwa ajili ya kulikausha tezi lililovimba katika mfumo wa uzazi wa mwanaume. Faida za mmea huu ni kuwa, hulikausha tezi lililovimba, husaidia wanaume wenye shida ya mkojo.
Vilevile ni vizuri k**a itatumiwa Kwa wenye umri kuanzia miaka 40, Ikiwa ni pamoja na kujikinga usipate shida ya tezi Kwa miaka ya baadae.
Kwa mawasiliano namna ya kutibu tezi dume piga namba #0657960657
inatibika bila upasuaji
Au WhatsApp https://wa.me/255657960657
28/11/2021
BAADA YA MAMA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI AZINGATIE MAMBO HAYA
Kujifungua salama ni muda wa furaha sana. Ni wakati unaofanikiwa kukutana na mtoto aliyekuwa anakua ndani yako kwa kipindi cha miezi tisa. Lakini pia kujifungua inaweza kukugharimu, hususa k**a umejifungua kwa njia ya upasuaji. Itakuchukua mda mrefu kupona kuliko aliyejifungua kwa njia ya kawaida.
📤 Ufuatao ni ushauri utakao kumsaidia mama aliyejifungua kwa njia ya upasuaji kupona haraka, ili upate muda wa kutosha kumjua na kumlea mtoto wako mchanga.
☔ Pata Mapumziko ya Kutosha.
Kujifungua kwa njia ya upasuaji ni upasuaji mkubwa. K**a ilivyo upasuaji mwingine, mwili wako unahitaji mda wa kupona baada ya hapo. Tegemea kubaki hospitali kwa siku tatu mpaka nne baada ya kujifungua (au zaidi ya hapo k**a kulitokea tatizo lingine la kiafya), kisha upe mwili wako wiki sita kupona kabisa.
Ni rahisi kusema zaidi ya kutenda. Ni vigumu kwenda kulala kwa masaa kadhaa huku una mtoto anayehitaji uangalifu mwingi kutoka kwako.
Huenda umesikia ushauri huu wa “lala kila mtoto wako akilala” kwa marafiki na ndugu zako wa karibu. Wako sahihi. Jaribu kulala kila mtoto anapolala. Omba msaada wa kubadilisha nepi na kazi mbalimbali za nyumbani kwa rafiki na ndugu zako wa karibu ili upate muda wa kupumzika kidogo pale inapowezekana. Dakika chache za kupumzika hapa na pale katikati ya siku zinasaidia.
☔ Uangalie Mwili Wako
1. Kuwa makini zaidi kila unachofanya huku ukiendelea kupona. Epuka kupanda na kushuka ngazi kadiri uwezavyo. Weka mahitaji muhimu ya mtoto na wewe (chakula, nepi, kanga,nguo zako na mtoto) karibu na wewe ili usiamke kila mara.
2. Usinyanyue kitu chochote kizito zaidi ya mtoto wako. Omba msaada kwa mpenzi/mme wako au rafiki au ndugu yako.
3. Ni vizuri ukashika sehemu ya kidonda kila unapokohoa au kupiga chafya.
4. Inaweza kukuchukua mpaka wiki nane kurudia ratiba zako za kwaida. Ni vizuri kumuuliza daktari wako lini inafaa wewe kufanya mazoezi tena, kurudi kazini na kuendesha gari. Pia subiria mpaka daktari atakapo kuruhusu kujamiana tena.
5. Epuka mazoezi mazito , mazoezi unayoweza kufanya ni k**a vile kutembea taratibu kila unapoweza
📖 K**a unavyoangalia afya yako ya mwili usisahau hali ya hisia zako. Kuwa na mtoto inaleta hisia ambazo hujawahi kutarajia. K**a ukisikia kuchoka,huzuni au kuvunjika moyo usizipuuzie hisia hizo. Ongea na rafiki yako wa karibu,mwenzi wako, daktari yako au hata mshauri nasaa.
☔ Punguza Maumivu Yako ya Mwili
Katika wakati huu unaonyonyesha, ni vema kumuuliza daktari au mkunga wako dawa gani ya maumivu unaweza tumia.
Kulingana na kiwango cha maumivu, daktari atakuandikia dawa ya kupunguza maumivu au kukushauri utumie dawa za kutuliza maumivu k**a ibuprofen (Advil,Motrin)
☔ Lenga katika Ulaji wa Lishe Bora.
Bado wewe ni chanzo kikuu cha virutubisho kwa mwanao k**a unanyonyesha. Kula vyakula vya kila aina itasaidia mtoto kukua katika afya na nguvu.
Utafiti unaonyesha ulaji wa mbogamboga za majani wakati unanyonyesha unasaidia kuyapa maziwa ladha ambayo inaongeza kasi ya mtoto kunyonya na kufurahia maziwa ya mama kadiri anavyokua.
Pia kunywa vimiminika vingi, hususani maji. Unahitaji vimiminika vya ziada kuongeza upatikanaji wa maziwa na kuzuia kukosa choo.
☔ Wasiliana na Daktari Endapo:
Bado utapata maumivu katika eneo la mshono, unaweza kutoka damu au kutoka usaha mpaka wiki ya sita baada ya upasuaji. Hii ni kawaida.
📖 Lakini dalili zifuatazo zinakupa haki ya kuwasiliana na daktari wako:
1. Kuvimba, uwekundu, au usaha kutungika katika mshono
2. Maumivu kuzunguka mshono
3. Homa kali zaidi ya 38⁰C (100.4⁰F)
4. Usaha wenye harufu mbaya kutoka ukeni
5. Kutoka damu nyingi ukeni
6. Kuvimba au uwekundu katika ngozi ya miguuni
7. Kupumua kwa shida
8. Maumivu ya kifua
9. Maumivu ya matiti .
📖 Pia wasiliana na daktari wako k**a unasikia huzuni na unyonge.
📖 Mwisho kabisa, k**a una rafiki au ndugu ambaye alipitia hali hii ya kujifungua kwa njia ya upasuaji, usijilinganishe nao. Kila mwanamke ana uzoefu wa tofauti katika njia hii ya kujifungua. Lenga katika kupona na upatie muda mwili wako kurudia hali yake ya awali.
MWISHO NA ASANTENI 🙏
#0673616221
Au WhatsApp https://wa.me/255673616221
SHARE NA LIKE PAGE YETU WENGI WAPATE ELIMU HII USIWE MCHOYO WA MAARIFA
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam