Afya kwanza
Ninawasaidia Wanaume Wenye Changamoto Za Afya Ya Uzazi Kwa Kutumia Virutubisho Lishe
+255625940143
20/07/2023
Tafiti zinaonesha kwamba katika kila wanaume 10 , wanne wana tatizo la nguvu za kiume. Na katika kila wanawake 6 Wanne hawafurahii tendo la ndoa , either kwasababu wanaume hufika kileleni haraka kabla ya Mwanamke au kwasababu ya maumivu anayoyapata mwanamke kutokana na uke kukauka haraka wakati wa tendo n.k
TATIZO HUSABABISHWA NA NINI?
● Kukosa chakula bora asilia ambacho kitasaidia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha Manii , hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatizo.
● Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.
● Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima
● Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku , ugumu wa maisha , kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa Hamu ya tendo la ndoa kabisa.
● Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini (Sumu nyingi mwilini).
● Mishipa ya damu kujaa mafuta na Moyo kutofanya kazi vizuri , hivyo damu kutokuzunguka vyema!
NINI UFANYE KUMALIZA TATIZO HILI.
Kwanza kabisa ni vyema kufahamu chanzo cha tatizo lako, kisha kufanyia kazi chanzo cha tatizo lako , K**a vile kuacha kujichua , kupunguza uzito , kusafisha sumu mwilini , kula vizuri na kufanya mazoezi 🏋️
Licha ya kubadili mfumo wa maisha , MATUMIZI YA VIRUTUBISHO yamekuwa ni msaada mkubwa sana kwa watu wengi kutokana na faida nyingi wanazozipata watumiaji na mabadiliko makubwa wanayoyapata mara baada ya kutumia dozi hizi.
Tuna bidhaa za asili ambazo zimetolewa kwenye mimea na mizizi na matunda , Zina faida mbalimbali mwilini k**a;
● Kurudisha hamu na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake.
● Kupunguza / kuondoa athari za menopause (Ukomo wa hedhi) kwa wanawake.
● Kuupa mwili stamina na nguvu wakati wa tendo na baada ya tendo.
● Kuondoa msongo wa mawazo.
● Kusaidia kuboresha homoni za uzazi na kurudisha hisia za tendo la ndoa.
● Kusaidia uwezo wa mbegu za kiume kuogelea vizuri.
● Kuongeza uteute kwenye uke wakati wa tendo la ndoa , Hivyo kupunguza msuguano utakaoleta maumivu Kwa mwanamke Wako.
Wasiliana nasi kwa whatsap namba 0625940143 kupata ushauri zaidi.
18/07/2023
Jinsi Ya Kuzuia Tatizo La Kuwahi Kileleni Na Jogoo Kusimama Legelege Kwa Kutumia Virutubisho Lishe...!!
K**a wewe upo miongoni mwa wale ambao wamesumbuka sana na tatizo la kuwahi kufika kileleni , Kisha baada ya hapo unakosa kabisa hamu ya kuendelea au unatamani kuendelea lakini jogoo wako anakuwa legelege au kutokuwika kabisa...
Njoo nikufundishe njia sahihi kwa kukupatia elimu , ushauri na suluhisho la hiyo changamoto kwa kutumia Virutubisho , Acha kutumia madawa kwasababu unazidi kujiongezea tatizo na hupati matokeo ya kudumu
Bofya link hapa chini ili kujiunga kwenye group kabla halijajaa kwasababu Likijaa Hakutakuwepo na Group lingine.
https://chat.whatsapp.com/L2GINFTlvRnIfTP3zZBuE7
16/07/2023
●●●
VYAKULA AMBAVYO NI VIZURI SANA KWENYE KUSAIDIA NA KUIMARISHA MFUMO WA UZAZI WA MWANAUME NI PAMOJA NA HIVI HAPA
VITUNGUU SAUMU
●Vitunguu saumu vina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi.
●Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina katika tendo la ndoa.
NDIZI
●Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi.
●Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamin B ambayo husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito.
●Ndizi ina kimeng’enyo cha Bromelain ambacho huongeza nguvu za kiume, ashki ya mapenzi (libido).
MIZIZI YA MACA
●Maca Root Ni mmea maarufu sana huko Brazil ambao umekua ukitumiwa na wanaume na wanawake wengi ili kuwapa nguvu ya muda mrefu, kuondoa stress, afya ya uzazi, kubalance hormone, na kuwapa hamu ya tendo la ndoa Nk....
ASALI
●Asali Ina madini yanayoitwa boron ambayo husaidia mwili kutumia homoni.
●Hata vitabu vya dini hueleza ulaji wa asali na masega yake k**a mlo wenye kuupa mwili nguvu.
•Pia Zipo tafititi lukuki kuhusu faida za asali, faida mojawapo ikiwamo kusaisia kuongeza nguvu za kiume.
KARANGA
-Huhusika moja kwa moja na kutunza mfumo wa mzunguko wa damu kuwa na afya , Husaidia kuimarisha mzunguko wa damu katika maeneo ya uzazi.
▪︎hivyo kuongeza msisimko wa tendo.
▪︎Pia karanga zina madini muhimu k**a vile madini ya magnesium , tindikali ya foliki na madini ya zinki ambayo ni muhimu sana katika uzalishaji wa mbegu za mwanaume na kuongeza hisia.
KOMAMANGA
●Komamanga (Pemigranate) ni aina ya matunda yenye rangi nyekundu na mwonekano k**a apple.
●Tunda hili husaidia kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumwongezea mtu uwezo kwa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa.
●Hivyo humfanya mtumiaji kupokea hisia za mapenzi kwa urahisi zaidi.
MBEGU MBALI MBALI ZA MATUNDA, IKIWEMO TIKITIMAJI NA MBEGU ZA MABOGA
●Mchanganyiko wa mbegu mbalimbali za matunda ikiwamo tikiti maji na mbegu za maboga husaidia kuondoa ACID mwilini na kuupa mwili virutubisho tele vinavyoimarisha afya ya uzazi wa mwanaume na kumfanya mtu awe mwenye afya njema.
TANGAWIZI
●Tangawizi ni aina ya kiungo mizizi ambacho husisimua sana mfumo wa mzunguko wa damu mwilini.
▪︎Mzunguko unapokuwa mzuri huwezesha damu kwenda sehemu za viungo vya uzazi ikiwamo uume.
▪︎Tangawizi imekuwa ikitumika sana maeneo ya Asia kwa ajili ya wanaume wenye tatizo la nguvu
za kiume.
▪︎Pia baadhi ya Viungo ambavyo viko katika pilau ni mojawapo ya vitu ambavyo miaka na miaka imetumika
maeneo ya Asia na Amerika ya Kaskazini k**a viungo vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume.
NAFAKA
●Nafaka husaidia katika kuzalisha homoni za testosterone, pia huwezesha mtu kuwa na nguvu tele hatimaye kuongeza nguvu zake za kiume kutokana na virutubisho mwili unavyopata.
▪︎Vyakula vya nafaka vimesheheni nishati nyingi, nafaka zina nyuzinyuzi (fibres) na sukari
ambazo kusaidia kutunza uzito wa mwili.
▪︎Kula nafaka zisizokobolewa k**a vile brown bread badala ya white bread, pia kula nafaka halisi
badala ya cornflakes ni jambo zuri kiafya zina saidia kutokupa mwili wa mafuta mengi,
▪︎ikumbukwe uwepo wa mafuta mabaya yana athiri mishipa ya damu ikiwamo ya uume.
BLUEBERRY
●Blueberry ni matunda yanayosaidia sana kuongeza nguvu za kiume, wengi hupendelea kuyaita "vi**ra asilia" kutokana na kazi inayofanya mwilini.
●Blueberries ina virutubishi vinavyoimarisha mishipa ya damu na kusaidia mzunguko mzuri wa damu mwilini.
▪︎ Damu ndio kila kitu katika nguvu
za kiume.
▪︎Vilevile, blueberries zina nyuzinyuzi ambazo husaidia kuondoa kolesteroli (Cholestrol) mwilini kabla haijanganda kwenye mishipa ya damu.
▪︎Kuwa na mzunguko mzuri wa
damu husaidia mwanaume aweze kuhimiri tendo la ndoa kwa muda mrefu zaidi.
MTINI (FIGS)
●Mtini (Figs) ni matunda yenye kiwango kikubwa cha amino asidi, ambayo ni kiungo kikubwa katika kuzalisha homoni mwilini.
●Homoni ndio kishawishi cha nguvu za kiume mwilini.
●Kukosa amino asidi huweza kusababisha kukosa hamu ya mapenzi au kupungukiwa na nguvu za kiume.
FAHAMU MAMBO YA MUHIMU YA KUZINGATIA UTUMIAPO VYAKULA HIVI
●Matumizi ya mara kwa mara kwa muda mrefu ndio huleta matokeo mazuri na ya kudumu.
●Ni vyema kutumia vyakula ambavyo vimelimwa na kuandaliwa bila kuongezwa kemikali ndani yake , (Kwa ushauri mzuri k**a unaweza, lima vyako maana dunia ya sasa imebadilika).
●Ambatanisha vyakula hivi pamoja na mazoezi kwaajili ya ku-Activate mwili wako. 💪
● Matumizi ya maji ya kunywa yanapaswa pia kuwa ya kutosha na pia kupata muda mzuri wa kupumzika. 📌
Wasiliana nasi What'sapp namba 0625940143 kupata ushauri wa kina zaidi.
12/07/2023
Ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye korodani ni tatizo linalosababishwa na fangasi wanaoshambulia eneo la kinena.
Ni Nini Sababu Ya Ugonjwa Wa Kuwashwa / Fangasi Kwenye Korodani....?
●Ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye korodani husababishwa na aina fulani ya fangasi anayeota na kusambaa kwenye eneo la kinena.
●Ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye korodani unaweza kuanza baada ya msuguano unaotokana na nguo na unyevunyevu unaokuwepo kwenye eneo la kinena, hasa baada ya kutokwa jasho.
●Ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye pumbu unaweza kuambukiza , Unaweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja mpaka mwingine kwa kugusana ngozi kwa ngozi au kwa kuchangia nguo ambazo hazijafuliwa.
Ni Zipi Dalili Za Kuwashwa / Fangasi Kwenye Korodani....?
● Kuwashwa kwenye kinena, kwenye mikunjo ya sehemu ya ndani ya mapaja, au (mk-ndu).
● Kunakuwepo na wekundu wa ngozi inayobadilika kuwa k**a magamba na inaweza kutengeneza malengelenge ambayo yanaweza kupasuka kutoa majimaji.
● Ngozi ya eneo lililoathirika inakuwa nyepesi kuliko kawaida na inaweza kuwa nyeusi kuliko kawaida.
Ni Nani Yupo Kwenye Hatari Zaidi Ya Kupata Ugonjwa Wa Kuwashwa / Fangasi Kwenye Korodani..?
Ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye korodani unawapata zaidi wanaume watu wazima na wavulana walio kwenye balehe , Kwa baadhi ya watu ugonjwa huu unaweza kuambatana na fangasi wa kwenye miguu na mapunye/vibarango mwilini.
Fangasi anayesababisha ugonjwa wa kuwashwa/fangasi kwenye korodani hukua vizuri kwenye maeneo ya joto, na yenye unyevunyevu
Mambo Ya Kufanya Wewe Mwenyewe Nyumbani Ili Kudhibiti Kuwashwa / Fangasi kwenye Korodani.
● Osha ngozi ya kinena mara mbili mpaka mara tatu kwa siku , Hakikisha eneo la kinena linabakia kuwa kavu.
● Epuka kutumia dawa za kufulia kwenye kuoga.
● Usivae nguo ambazo zinasugua au kusababisha harara kwenye eneo la kinena , Epuka kuvaa nguo zinazobana sana na zinazosugua sugua eneo la kinena
● Baada ya kuoga , paka dawa ya kudhibiti fangasi au powder ya kujikausha k**a unapata shida hii mara kwa mara.
Wasiliana nasi Kupita Whatsap namba 0625940143 kupata ushauri zaidi pamoja na suluhisho.
10/07/2023
Vifuatavyo ni baadhi ya vyanzo vilivyo sababisha kuondoka kwa furaha ya wanaume wengi na kupelekea kushindwa kujiamini kabisa;
𝗣𝗨𝗡𝗬𝗘𝗧𝗢; Mwanaume anapopiga punyeto anaiminya mishipa ambayo inasababisha kusimama kwa uume , Hivyo baada ya muda fulani mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea na kushindwa kuruhusu kiwango cha damu kuflow vizuri na hivyo linapokuja swala la kusimamisha uume mwanaume huyu anakuwa hana uwezo wa kusimamisha uume wake vizuri.
𝗠𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗕𝗢𝗢𝗦𝗧; Madawa k**a vile mkongo, Vi**ra na putururu husababisha mishipa ya uume kulegea kwa sababu uki overdose mishipa hiyo na kuilazimisha kufanya kazi zaidi ya kiwango chake , Matumizi haya yanapokuwa ya muda mrefu sana humfanya mhusika kuwa tegemezi wa madawa na hufanya mishipa ya uume kulegea na kukosa nguvu
𝗩𝗬𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔; Ulaji wa vyakula vya mafuta kwa wingi huathiri moyo na mzunguko wa damu mwilini na hivyo uume kukosa msukumo wa damu wa kutosha Katika mishipa yake ya damu na usimamaji mzuri wa uume unategemea mzunguko mzuri wa damu
𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔: (𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔, 𝗞𝗜𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜, 𝗡𝗚𝗜𝗥𝗜, 𝗧𝗘𝗭𝗜𝗗𝗨𝗠𝗘,) unapokuwa na magonjwa haya ni rahisi sana kupata matatizo ya nguvu za kiume Na wakati mwingine kushindwa kabisa kuhimili tendo la ndoa
𝗠𝗦𝗢𝗡𝗚𝗢 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗪𝗔𝗭𝗢; Hii husababisha mwanaume kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa katika sita kwa sita na mke wake, msongo wa mawazo unaufanya mwili kushindwa kuzalisha vichocheo vya kufanya tendo la ndoa Kumbuka kwamba akili yako inahitaji kuwa tulivu kwasababu tendo la ndoa huanzia kichwani
𝗨𝗟𝗘𝗩𝗜 𝗡𝗔 𝗨𝗩𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗦𝗜𝗚𝗔𝗥𝗔; Mfano ulevi kupita kiasi wa pombe, madawa ya kulevya n.k husababisha mwanaume kukosa nguvu za kiume.
𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢 𝗔𝗨 𝗨𝗡𝗘𝗡𝗘 𝗨𝗟𝗜𝗢𝗣𝗜𝗧𝗜𝗟𝗜𝗭𝗔; uzito huwa ukipanda huwa unakuja na mabadiliko mengi ya mwili ikiwemo suala la kushindwa kuhimili tendo la ndoa , Kumbuka tendo la ndoa huhitaji stamina na pumzi ya kutosha kitu ambacho maranyingi huwa ni tatizo k**a uzito ni mkubwa lakini pia uzito mkubwa hupelekea hormone kuvurugika!
Andika Kwenye Comment Hapo Chini , kipi kiliondoka na Furaha Yako.... ?
K**a una changamoto na unahitaji ushauri kuwa Huru kuwasiliana nasi what'sapp namba 0625940143.
07/07/2023
UMUHIMU WA VIAZI VITAMU KIAFYA
Viazi vitamu "sweet potatoes" (Ipomoea batatas) ni mboga ya mizizi yenye wanga, yenye ladha tamu , Ngozi yake ya nje ni nyembamba na kahawia na nyama yake ina rangi angavu, mara nyingi rangi ya machungwa, lakini pia nyeupe, zambarau au njano.
Viazi vitamu ni moja ya vyakula vyenye utajiri wa virutubisho muhimu sana vinavyo hitajika mwilini k**a vile; vitamin A, B6, C, protini, fiber, wanga, na madini k**a vile manganese, potassium, copper beta carotene pamoja na niacin
FAIDA YA VIAZI VITAMU KIAFYA
Viazi vitamu moja ya faida kubwa inayo patikana ni pamoja na Beta carotene iliyopo kwa wingi ambayo hupelekea uzalishwaji wa Vitamini A vya kutosha mwilini hivyo husaidia kuimarisha afya ya macho
Viazi vitamu husaidia kuimarisha afya ya utumbo (gut) kutokana na wingi wa fiber (nyuzi nyuzi) ambazo husaidia ukuaji wa bacteria wazuri wanaosaidia umeng'enywaji mzuri wa chakula tumboni na kukukinga dhidi ya cancer ya utumbo mpana
Viazi vitamu, huimarisha afya ya ubongo , uwezo wa kufikiri , kuzuia madhara yatokanayo na free radicals pamoja na sumu mbalimbali hivyo kukukinga dhidi ya msongo wa mawazo pamoja ma matatizo ya akili
Pia kuongeza kinga ya mwili ya kutosha kutokana na uzalishwaji mzuri wa vitamin A ambavyo ni muhimu sana katika kuimarisha kinga ya mwili
Viazi vitamu pia husaidia kukontrol kiwango cha sukari katika damu kutokana na wingi wa fiber (nyuzi nyuzi) pamoja na kiwango kidogo cha glycemic index ambayo huzuia sukari nyingi katika damu
Viazi vitamu pia husaidia kukulinda dhidi ya magonjwa ya moyo kutokana na uwepo wa kiondosha sumu mwilini (antioxidants)
viazi vitamu pia husaidia kuimarisha afya ya misuli pamoja na mifupa kutokana na uwepo wa madini muhimu k**a vile copper pamoja na magnesium
Bila kusahau vitamin E, B, antioxidant, niacin pamoja na vitamin C husaidia kuimarisha misuli ya uume kuwa imara, pamoja na kupelekea mishipa ya uume (corpora cavernosa, pamoja na corpus cavernosum) kutanuka na kupokea damu ya kutosha , kuufanya uume kuwa mgumu na uwezo wa kuhimili tendo la ndoa kwa muda mrefu bila misuli ya uume kulegea.
Karibu Kwa Ushauri Zaidi , What'sapp +255(625940143.
04/07/2023
●●●
_________
KWA MWANAUME, MBEGU ZA MABOGA ZINA KAZI MUHIMU SANA, FAHAMU FAIDA ZA MBEGU ZA MABOGA KWENYE AFYA YA UZAZI YA MWANAUME.
👇
●Mbegu za maboga ni chanzo kizuri cha madini ya copper, zinc na magnesium.
●Madini ya zinc huhitajika kwenye usafirishwaji wa taarifa za mwili.
●Magnesium hutumiwa na ubongo kwenye kazi yake ya kuchakata taarifa, kufikiri na kutunza kumbukumbu.
●Madini ya copper husadia kuuwezesha ubongo katika kudhibiti vyema mfumo wa taarifa zinazo tumwa ili zifanyiwe maamuzi.
●Upungufu wa madini haya hudumaza uwezo wa ubongo katika kufanya majukumu yake ya msingi kila siku.
●Aidha, mbegu hizi ni chanzo bora sana cha protini inayofaa kwenye ukuaji bora wa watoto. Ni mbegu nzuri kwa afya ya ngozi, kuongeza kinga ya mwili, mifupa na ngozi.
●Huboresha usingizi, ni nzuri kwa kuongeza ubora wa mbegu za kiume pamoja na kudhibiti uvimbe wa tezi dume.
●KAMA HAUTUMII MBEGU ZA MABOGA BASI UNA MISS VITU VINGI
● SWALI LA KUJIULIZA: ni kwamba mara yako ya mwisho kutumia mbegu za maboga ilikuwa ni lini... ? 😀
kuitunza na kuijali Afya yako....🫐🏋🏽♂️🥬
💪🥦
02/07/2023
VIRUTUBISHO ndio suluhisho la Nguvu Za Kiume 🏋️Ninapokushauri upate package yako mapema nataka utatue tatizo lako ili nawewe ufurahie matokeo mazuri k**a wengine na uweze kuwa na furaha pia 💪k**a bado hujapata package yako ya Virutubisho Karibu nikusaidie uipate leo 🔥
Wasiliana nami kwa simu namba 0625940143
Kuwa Huru Kunitafuta , Ili Upate Msaada 🤝
02/07/2023
Wanawake wengi wanapitia kipindi kigumu sana kwenye mahusiano (ndoa) kwa kukosa haki ya tendo lenye kuwaridhisha, wengi wanaishi ilimradi kumekucha ila wana maumivu kwa kutoridhishwa kabisa 😔 Jifunze Hasara 7;
1. Hasira Za Ghafla.
Mwanamke anaepunjwa hisia zake, asieridhika hujikuta akipandwa na hasira hata kwa vitu vidogo, watoto anawafokea vibaya, mfanyakazi anamkasirikia ovyo, nyumba inakuwa chungu sana akiwepo, hata kazini anakuwa mkali sana kwa wafanyakazi wenzake hasa ile siku ambayo ametoka kuguswaguswa tu na kaachwa na hisia (nyege) bila kumalizwa vizuri.
2. Kushindwa Kusamehe.
Mwanamke asiyeridhishwa hujikuta na moyo mzito kusamehe makosa ya watu hasa mumewe, anakuta k**a ni makusudi na pia moyo wa huruma unamtoka, anakuwa hajali sana kuhusu kumpoteza, anajikuta akikusanya makosa ya mwezi mzima.
3. Uvivu/Kupoteza Nuru Ya Mwili
Hapa mwanamke hukosa nguvu za kufanya kazi, atapendelea kulalalala mchana, anakuwa na uvivu wa kujituma, anaweza kuomba ruhusa kazini asiende na wakati hana tatizo kabisa.
Anapoteza mvuto wake, asipopata mafuta ya mwili na nywele anakuwa k**a yupo msibani, hawi na ngozi nyororo, chunusi na kupauka vinamuandama.
4. Kupata Maumivu (tumbo na kiuno)
Kitaalamu Mwanamke ana kilele cha kuenjoy mapenzi na kuna hormones zinatakiwa kutolewa wakati wa kufika kileleni, hii humfanya apate maumivu anapokosa hizo hormones. Kiuno humuuma, tumbo kuuma kabisa hasa wakati wa period.
5. Kiburi/Kukata Tamaa.
Hujikuta akipoteza morali ya kumtii mume, hukosa sababu ya kumnyenyekea mumewe, hupuuza maagizo yake pia, hufika hatua ya kuanza kuhisi hakustahili kuwa Mwanamke, hujikosoa na kujiona wa kawaida sana na pengine hana mvuto labda, Ana kata tamaa.
6. Kujichua.
Daima Mwanamke mwenye kutoridhishwa na mumewe ataanza kutazama video chafu za ngono na huishia kwenye kujichua, kujiridhisha kwa kujichezea mwenyewe aidha kwa vidole, d***o, vi*****rs nk. Jambo ambalo huja kumuumiza yeye na kizazi chake chote.
7. Kuvutiwa Na Mahusiano Ya Wengine.
Wanawake wanatabia ya kusimuliana wanavyofanyiwa na waume zao kitandani, hivyo huyu anaposikia shoga Yake anakunwa vizuri na Mumewe Hivyo Kujikuta akitamani na Yeye Kukunwa na Mume wa Rafiki yake 🤐.
Mwanaume..! Je upo teari mwenza wako apitie hizi changamoto zote kisa wewe umeshindwa kumfikisha kutokana na tatizo lako la kiafya.....?
Wasiliana nami kupitia simu namba 0625940143 ili upate ushauri na suluhisho la changamoto yako.
28/06/2023
Ni ugonjwa unaoathiri korodani na kuifanya ivimbe, ugonjwa huu unaweza kusababishwa na bacteria au virusi Kutokana na maambukizi ya vimelea hivi bacteria na virusi huweza kupelekea kuathirika kwa korodani moja au zote mbili kwa wakati mmoja.
Lakini kabla ya kwenda mbali zaidi ni vizuri kukumbuka kwamba korodani kazi yake kubwa ni kuzalisha mbegu za kiume.
Chanzo Cha Tatizo Hili ;
● Chanzo kikubwa cha ugonjwa huu ni aina ya virusi vijulikanavyo k**a "mups virus" kwa hiyo virusi hawa endapo watashambulia korodani husababisha korodani kuvimba na kupunguza utendaji kazi wake.
Maambukizi yanayotokana na vimelea (bacteria) inawezekana ni vimelea wanaosababisha tatizo la mkojo mchafu (U.T.I) na magonjwa mengine ya zinaa k**a Kaswende, Kisonono nk.
● Kuumia kwa korodani ;
pengine inaweza kuwa chanzo ni ajali au michezo ya hatari hali k**a hiyo pia huweza kuchangia korodani kuvimba.
● Maambukizi ya ‘epididymis’ ni chanzo kingine cha tatizo hili, ambapo ‘epididymis’ ni mrija ambao kazi yake ni kutunza mbegu za kiume baada ya kuzalishwa kutoka kwenye korodani.
Watu Walio Katika Hatari Ya Kupata Ugonjwa Huu
● K**a mtu hakupata chanjo ya kuzuia virusi aina ya ‘mumps’ basi mtu huyo atakuwa katika hatari kubwa ya kupata ugonjwa huu.
● Kupata tatizo la mkojo mchafu (U.T.I) mara kwa mara.
● Watu ambao hufanya mapenzi na watu tofauti tofauti mara kwa mara nao huwa katika hatari ya kupata tatizo hili.
● Kufanya mapenzi na mtu mwenye magonjwa ya zinaa
●K**a mtu alishawahi kupata magonjwa ya zinaa pia yuko kwenye hatari ya kupata tatizo hili.
Dalili Za Kuathirika Kwa Ugonjwa Huu
Dalili za tatizo hilo ni pamoja na kuvimba kwa korodani moja au zote mbili, maumivu makali ya korodani, homa kali, kichefuchefu na hata kutapika na maumivu sehemu za mitoki.
Athari Ambazo Hujitokeza Endapo Mgonjwa Atachelewa Kupata Matibabu
● Kunywea kwa korodani moja au zote mbili.
● Kuwa na jipu au vijipu kwenye korodani ambalo limeathirika na maambukizi ya bacteria.
● Utasa, hii ni kutokana na kuzalishwa ‘testosterone hormone’ kwa kiwango kidogo ambayo inasaidia uzalishaji wa mbegu za kiume
● Upungufu wa nguvu za kiume.
Namna Ya Kuepuka Ugonjwa Huu.
📍Wapenzi wawe na utaratibu wa kupima afya zao hususani magonjwa ya zinaa hasa kabla ya kushiriki tendo la ndoa.
📍Kuzingatia matumizi ya kondomu wakati wa tendo la ndoa hususani kwa wale ambao hawajapima afya zao.
📍Kupata matibabu ya uhakika pale unapogundulika una tatizo la mkojo mchafu (U.T.I) au magonjwa ya zinaa.
📍Endapo utakuwa na miongoni mwa dalili hapo juu ni vizuri ukawahi hospitali kupata matibabu mapema.
Wasiliana nasi kwa simu namba 0625940143 kupata ushauri zaidi.
26/06/2023
"Spontaneous Er****on" , Hali ya mwanaume kusimamisha uume wake bila kichocheo chochote kwenye mazingira ya nje.
Labda hujanielewa , Yani mwanaume anajikuta tu uume umesimama wakati akiwa kwenye shughuli zake , tofauti na ile hali ya mwanaume mpaka apate ushawishi kutoka kwenye mazingira ya nje. mfano kuona mwanamke live au kwenye picha, kupiga story za mambo ya show nk
Kipimo Cha kujigundua kwamba kiwango chako cha testosterone (homoni ya kiume) kipo chini, ni kukosa "spontaneous Er****on" , Unakuta wiki nzima uume umepoa labda ushikeshike au upate kichocheo kutoka nje ndipo unasimama.
Kutokupata "spontaneous Er****on" ni hali ya kawaida kwa wanaume wenye umri kuanzia miaka 50 kuendelea , Sasa k**a wewe ni kijana mdogo na bado hupati spontaneous Er****on inatakiwa ulishughulikie kwa kuhakikisha unatuata hatua sahihi za kuongeza kiwango Cha Testosterone.
Vitu vinavyosababisha kiwango cha homoni ya testosterone kushuka ni Unene, punyeto, kisukari, matumizi ya tumbaku, pombe, sukari kwa wingi, kula vyakula vinavyo hamasisha uzalishwaji wa homoni ya k**e (estrogen) mfano Soya na bidhaa zake, kutokufanya mazoezi, kutokulala vyakutosha na mengine yanayofanana na hayo.
Endapo utakuwa unahitaji kuimarika zaidi kwenye afya ya uzazi haswa upungufu wa nguvu za kiume nipigie au Tuma ujumbe neno "LIVING AFYA" WHAT'SAPP namba 0625940143.
24/06/2023
●kuangalia video za ngono inaweza kusababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume, kwani Ubongo hufanya mwili kupata mihemko.
-sasa unapokua na mihemko mikali kwa muda mrefu mwisho ubongo huzoea mihemko hiyo na baada ya hapo ni kutopata mihemko hiyo kabisa.🙅🏽♂️
JE! NINI HUTOKEA?
● Ubongo huzalisha kemikali inayoitwa *dopamine* ambayo kazi yake hii inakufanya utamani au uwe na hamu ya vitu vinavyouzawadia mwili. mfano, ni vyakula au tendo la ndoa....n.k
●Mfano mzuri ni pale unapoona chakula ubongo unazalisha hii *dopamine* ili upate hamu ya kula.
● Vivyo hivyo unapomwona mwanamke mzuri kwako pia dopamine inazalishwa na kukupa matamanio na kupelekea process ya uume kusimama kwanza.
● Sasa Kuangalia video za ngono mara Kwa mara huathiri mfumo huu kwa kuufanya ubongo kuzalisha "Dopamine" kwa wingi sana kuliko kawaida, hivyo kupelekea ubongo kuzoea kiwango kikubwa hiki cha dopamine na hivyo kuufanya mwili kuhitaji kiwango kikubwa zaidi cha mihemko zaidi ya awali ili uume usimame.
● Hali inayompelekea Mwanaume kutopata mhemko wa kutosha Wakati yupo na mwenza wake Wakati wa tendo la ndoa hivyo matokeo yake ni uume kutosimama vizuri akiwa na mwanamke au kutosimama kabisa.🙆🏾♂️🤦🏽♂️
●Hali hii humwathiri mtu kwa kumfanya ubongo uzoee tu kiwango kikubwa cha dopamine anachokipata kwa kuangalia video au picha za ngono ni kwasababu pia ni hormone inayochochea furaha Mwilini.
● Kinachotokea ni hamu ya kuziangalia video za ngono inakuwa Kubwa kuliko hamu ya Kufanya mapenzi. 🤔
●Na ndio maana mtu anakuwa Addicted Kuangalia video za ngono kupitiliza , Maana yake wapo Wanaume Ambao wakiwa chumbani na wenza wao yani Uume hauwezi kusimama Mpaka aangalie Kwanza video za ngono. 🤦🏽♂️
●Jambo ambalo hupoteza kabisa Uwezo wa kushiriki vizuri Tendo la ndoa , Na wengine huenda mbali zaidi na kuanza kujichua.
USHAURI
NB: Kwa wale wote wanao tizama picha na video za ngono, tambua kuwa unatengeneza tatizo kubwa sana kwenye ubongo wako ambapo utakuwa ukiharibu saikolojia yako kidogo kidogo lakini kwa uhakika, ambapo siku moja unaweza kujutia sana na utakuwa umechelewa sana.
Call or whatsApp 0625940143 kupata ushauri zaidi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam