Smart Afya

Smart Afya

Share

Tunawasaidia wanaume walio OA wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume

09/10/2023

Niliogopa hata kuonana na mwanamke niliteseka sana.....

03/10/2023

..."Mambo Machache Ya Kuzingatia K**a Unataka Kurudisha Uwezo Wa Kushiri Vizuri Tendo La NDOA "....
Sikuwai Kufikilia Kabisa K**a Nitakuja Kua Na Uwezo Wa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa...
Kwa Muda Mrefu Bila Kuwai Kufika Kileleni ........

Kwasababu Ilifikia Hatua

Kila Tunapokutana Nawai Kumaliza Mapema Alafu Ile Hamu Ya Kuendelea Na Mchezo Inapotea Kabisa.....
.. Kilichokua Kinanipa Aibu Sana Ni Ile Hali Ya Jogoo Kusinyaa...
.. Wengine Wanita Kibamia .....

⚠️ Na Wakati Mbaya Sana Ambao Siwezi Kuusahau Ni Pale Nilipo Gundua Kua Mke Wangu Anachepuka ....
. Na Hiyo Yote Ni Kwa Sababu Nilishindwa Kabisa Kumridhisha Kabisa Wakati Wa Tendo.....
.Ili Kuepuka Dharau Ndipo Nilipoanza Kutafuta Dawa K**a Kichaa ...
.Kila Dawa Niliyo Ambiwa Kua Inasaidia Kurudisha Uanaume Wangu Basi Nilituma......
. Madawa ya Kienyeji Nilituma Sanaa .....
. Nakumbuka Hata Yale Wanayoita Vumbi La Kongo Nilitumia Pia .....

Lakini Sikupata Nafuu Yoyote....
. Hali Ambayo Ilipelekea Ndoa Yangu Kua Kwenye Migogoro Sanaa ....

Ilifika Wakati Niliamini Msemo Wa Doctor Millard Kua....
.. Haijalishi Kua Una Pesa Kiasi Gani K**a Huna Elimu Sahihi" .....
.. Basi Utajikuta Unapoteza Muda Na Pesa K**a Ilivyokua Kua Kwangu.....
.. Sikuamini kua PROGRAM YA VIRUTUBISHO NA MUONGOZO MAALUMU YA VYAKULA NA MATUNDA PAMOJA NA MAZOEZI MAALUMU YA KUIMARISHA MISULI YA UUME ....
... Vinge nisaidia Kuongeza Uwezo Wangu Wa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa......

Kwani Baada Ya Kutumia PROGRAM MAALUMU YA VIRUTUBISHO tu Naweza Kupiga Mpaka Bao Tatu Mfululizo .........

⭕... Inawezekana Hata Wewe Unatamani Sana Kurudisha Uwezo Wako Wa Kushiriki Vizuri Tendo......
.. Na Unatamani Sana Kufahamu Unawezaje Kupata PROGRAM HII MAALUMU YA VIRUTUBISHO K**a Mimi

Baada ya Kupga Punyto Kwa Muda Mrefu Ili Kurudisha Uwezo Wak Wa Kushiriki Vizuri Tendo La Ndoa .....

.. K**a ndio basi Usijali

Bofya Alama / Neno WhatsApp 👇👇👇 iliopo kwenye picha usaidiwe mapema

Au piga simu +255 754775949 ...Ili Kupata Program Hii BURE Kabisa.....

Photos from Smart Afya's post 03/10/2023

Unaitaji suluhisho mapema la changamoto yako . Bofya Alama ya WhatsApp kwenye picha kuhudumiwa mapema ..

03/10/2023

Parachichi, au avocado, ni chanzo kizuri cha lishe na ina faida kadhaa kiafya. Hapa kuna baadhi ya faida za kutumia parachichi:

1. **Vitamini na Madini**: Parachichi ina vitamini na madini muhimu k**a vile vitamini K, vitamini E, vitamini C, vitamini B-6, folate, potasiamu, na chuma.

2. **Afya ya Moyo**: Ina asidi ya mafuta yenye manufaa, hasa asidi ya oleic, ambayo inaweza kusaidia kudhibiti cholesterol na kuboresha afya ya moyo.

3. **Faida kwa Ngozi na Nywele**: Parachichi ina virutubisho vinavyosaidia kuboresha ngozi na nywele. Inaweza pia kusaidia kupunguza michirizi na kuchelewesha uzee wa ngozi.

4. **Kuongeza Kinga ya Mwili**: Vitamini C, vitamini E, na beta-carotene vilivyomo kwenye parachichi vinaweza kusaidia kukuza mfumo wa kinga ya mwili.

5. **Kudhibiti Uzito**: Fiber nyingi zilizomo kwenye parachichi zinaweza kusaidia kuhisi kushiba kwa muda mrefu, na hivyo kudhibiti hamu ya kula.

6. **Afya ya Macho**: Parachichi ina lutein na zeaxanthin, ambayo ni antioxidants muhimu kwa afya ya macho.

7. **Afya ya Akili**: Ina asidi ya mafuta omega-3 ambayo inaweza kuchangia kuboresha afya ya ubongo.

8. **Kusaidia Uzalishaji wa Hormoni**: Parachichi ina vitamini na madini yanayoweza kusaidia kudhibiti uzalishaji wa homoni mwilini.

Hata hivyo, ni muhimu kutumia parachichi kwa kiasi kwa sababu ina kalori nyingi. K**a vile, k**a na vyakula vyovyote, usawa na aina ya lishe ni muhimu kwa afya bora.

K**a unaitaji Ushauri wasiliana nami kwa kubofya Alama ya WhatsApp kwenye Picha

30/09/2023

Kutumia ndizi kuna faida kadhaa kwa mwanaume, ikiwa ni pamoja na:

1. **Kuongeza Nishati:** Ndizi zina wanga, ambao ni chanzo kikuu cha nishati. Hii inaweza kusaidia kuongeza nguvu na kustawisha mwili.

2. **Kupunguza Shinikizo la Damu:** Ndizi zina kiasi kikubwa cha potassium, ambacho ni muhimu kwa kudhibiti shinikizo la damu. Hii inaweza kusaidia kuzuia matatizo ya moyo na mishipa ya damu.

3. **Kuboresha Uzazi:** Ndizi zina virutubisho k**a vile vitamini B6 na C, ambazo zinasaidia kudumisha afya ya uzazi, pamoja na kuboresha uzalishaji wa manii.

4. **Kusaidia Ufanyaji kazi wa Mfumo wa Nerve:** Ndizi zina vitamini B6, ambayo ni muhimu kwa afya ya mfumo wa neva. Hii inaweza kusaidia kudumisha utendaji mzuri wa mfumo wa neva.

5. **Kuboresha Afya ya Matumbo:** Ndizi zina nyuzinyuzi za lishe, ambazo husaidia kudumisha afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kuzuia matatizo ya kuhara na kuvimbiwa.

6. **Kupunguza Mzigo wa Mfumo wa Mkojo:** Kutokana na kiwango cha juu cha potassium, ndizi husaidia kutoa ziada ya sodiamu mwilini, na hivyo kupunguza hatari ya mawe ya figo.

7. **Kusaidia Mzunguko wa Damu:** Ndizi zina chuma, ambacho ni muhimu kwa kuunda chembe nyekundu za damu na kudumisha mzunguko wa damu.

Ni muhimu kula ndizi kwa usawa pamoja na vyakula vingine vya lishe ili kupata faida zote za kiafya zinazotolewa na matunda haya.

Tembelea ukurasa huu kujifunza mengi zaidi kuhusu afya yako

29/09/2023

Naitwa Mr James Bongole Mimi Ni Mshauri Wa Maswala Ya Afya Na lishe Na Mtaalamu Wa Afya Ya Uzazi Kwa Wanaume ....

Nawasaidia Wanaume k**a wewe kuondokana na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ( kuwai kufika kileleni, kushindwa kuendelea na tendo, kua na uume legevu, kukosa hamu ya tendo na kushindwa kumpa mimba mwanamke) kwa kutumia Program Maalumu Ya Virutubisho lishe, Mazoezi na Mwongozo Maalumu wa maisha n.k...

Mpaka Sasa Nimeweza Kuwasaidia Wanaume Kumaliza Tatizo la Upungufu Wa Nguvu Za Kiume kwa kuwapatia miongozo ya muhimu kulingana na chanzo cha tatizo husika na mpaka sasa Wanaume wengi wana amani ndani ya ndoa/mahusiano yao...

Kwa kipindi cha miaka zaidi ya 3 sasa nimekuwa nikiwasaidia Wanaume kuboresha na kuimarisha afya zao na kuwa na afya njema....

Nimegundua makosa makubwa ambayo yanawafanya Wanaume (Vijana/ watu wazima) kushindwa kumaliza changamoto zao licha ya kuwa wanatumia madawa mengi na gharama kubwa kutafuta tiba zao....

Wanaume wengi wamekua wasaulifu juu ya afya zao na kuto kua vzur katika kujijali na uku wakiitaji kuonekana wako vizuri angali mara nyingi awaipi afya kipaumbele kitu ambacho kinawafanya kua dhaifu katika tendo la ndoa mara kwa mara na kudhani kuwa hakuna njia ya kuwasaidia kwa sababu wanapoona hali ya udhaifu wanakimbilia njia za kupata matokeo ya haraka haraka kitu ambacho kinawapelekea kua na matatizo mengine makubwa zaidi....

Nimeweza kuandaa GROUP hili kwa lengo la kumsaidia kila mwanaume anayeitaji njia sahihi ya kumaliza tatizo na sio kuboost kwa kutaka matokeo ya haraka .....

Nimekuandalia Darasa BURE ambalo litakufundisha namna sahihi ya kuhakikisha una maliza tatizo lako kwa kutumia program Maalumu Ya Virutubisho, Mazoezi, kufuata utaratibu wa kubadili mtindo wa maisha ambayo yamekupelekea kua na hili tatizo na kutumia muongozo maalumu wa vyakula na matunda yatakayo kufanya uwe imara zaidi......

⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

*Je Utajuaje K**a Una Upungufu Wa Nguvu Za Kiume*

Mambo yafuatayo yatakusaidia sana kujitambua k**a una upungufu wa nguvu za kiume au huna.

*Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa*

Kikawaida mwanaume alie kamilika anakua na ashiki ya kufanya tendo la ndoa muda wote tofauti na mwanamke ambae yeye anaweza kukaa hata siku tatu pasina kuwa na hata hamu ya kushiriki tendo...

Hivyo ukiona mwanaume unamaliza siku tatu,wiki,mwezi pasina kuwa na hamu ya kushiriki tendo la ndoa basi ujue wewe unakabiliwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume ambao unatokana na kuvurugika kwa homon ya kiume iitwayo testosterone hormone.

*Kuwai Kufika Kileleni*

Hii ni hali ya mwanaume kumaliza mshindo wa kwanza chini ya dakika 5 , wapo wanao ishia sekunde ,wengine dakika 1 au 2 hii yote tunaita kuwai kufika kileleni na Ukiona Una Dalili Hii ujue una upungufu wa nguvu za kiume.

*Kushindwa Kurudia Tendo*

Ki Kawaida Mwanaume ambae yupo normally anatakiwa baada ya kumaliza round ya kwanza akae angalau dikika 10 hadi 15 ili kurudia round ya pili.....

Japo kuna wengine ambao hapo hapo baada ya kumaliza round ya kwanza wanaunganisha na ya pili, lakini ukiona una maliza saa zima au masaa mawili bado hauna kabisa hamu ya kushiriki tendo basi ujue una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ...

Piah hali hii ina ambatana na kuchoka Sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu.

*Uume Kusimama Kwa Ulegevu*

Hii ni hali ya mwanaume kushiriki tendo la ndoa hali ya kua uume wake ukiwa legevu. Na hapa kuna wengine ambao hawasimamishi kabisa uume na hawa tunawaita hanisi....
Mwanamke ili apate raha ya tendo ana hitaji uume ukio mkak**avu hata k**a ni mdogo.

*Kuhisi Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa*
Maumivu Wakati Wa Tendo La Ndoa au baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha wewe kujua k**a una upungufu wa nguvu za kiume

Lakini wakati mwingine Maumivu haya yanaweza kusabbaishwa na size ya uume kua kubwa kuliko uke wa mwanamke au fangasi au magonjwa ya zinaa au ni dalili ya kupata effection kwenye Tezi dume.

*JAMBO LA PILI*

Wanaume wengi wanapokumbana na changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume anakua k**a amechanganyikiwa na kujikuta akitumia kila madawa atayoambiwa bila kupata elimu kwa kina juu ya Tatizo lake kitu ambacho kinawapelekea tatizo kuwa kubwa zaidi hadi kufikia hatua ya kua sugu na kumlazimu atumie gharama kubwa zaidi kujitibu......

Kwanza kabla aujataka kupata matibabu lazima kwanza uhakikishe unafahamu magonjwa/ visababishi vinavyo kupelekea tatizo lako uendelee kua nalo mpaka leo...

*JITIBU MARADHI YANAYO SABABISHA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.*

Hii ni kosa kubwa sana wanalo fanya wanaume wengi sana wenye changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume.

Kosa lenyewe ni kukurupuka kutumia madawa bila kujua chanzo cha tatizo lako au chanzo cha yeye kupata upungufu huo ni nini...!?

Unacho hitaji kujua ni kuwa upungufu wa nguvu za kiume ni unasababishwa na vitu vingi sana ikiwemo maradhi,mifumo ya maisha yetu, pamoja na maendeleo ya teknolojia.

Kuna maradhi ambayo akiwa nayo mtu anakua kwenye hatari kubwa sana ya kupata changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume.

Maradhi hayo ni k**a pressure, ngiri, vidonda vya tumbo, Bawasili, kisukari, maradhi ya moyo, tezi dume, choo kigumu (costipation) n.k

Hivyo basi hakikisha k**a unataka kupona upungufu wa nguvu za kiume moja kwa moja hakikisha kwanza unatibu maradhi haya kisha ndio upate suluhisho sahihi la changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume.

Vinginevyo utakua unatumia dawa mara kwa mara na za kila aina na hutapata matokeo mazuri au utakua ukipata matokeo ya muda mfupi kisha tatizo linajirudia tena.

Na kuna watu wanadhani ya kwamba maradhi haya tulio yataja haoa juu hayana tiba kabsa lakini kumbe sio kweli....

Tambua kua kisukari, pressure, maradhi ya moyo yote hayo yana tibika kabis ni wewe tu ndio hujafanya jitiada za kutibu maradhi hayo.

⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

*Fahamu Undanu Kuhusu Tatizo la Upungufu Wa Nguvu Za Kiume*

Leo katika zama hizi za Satan's na teknolojia tatizo la upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana , siyo tu Tanzania bali duniani kote ....

Jambo muhimu analopaswa mwanaume yeyote kufahamu ni kwamba kupungua nguvu za kiumr siyo UGONJWA, Ni dalili ya ugonjwa hii ina maana kuna dosari au udhaifu wa kiutendaji ndani ya mwili wako.....

Kuna sababu zaidi ya 200 zinazosababisha mwanaume upungue nguvu za kiume , mtu anaweza kujiuliza kwa nini kuwe na sababu nyingi namna hiyo. Kwanza lazima ufahamu nini maana ya NGUVU ZA KIUME...

NGUVU ZA KIUME NI NINI....!?
Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya tendo la ndoa, kua na mbegu zenye uwezo wa kutungisha mimba, kua na uume uliosimama imara yaan barabara, kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa, uwezo wa kurudia tendo la ndoa, pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika tendo la ndoa.....

*Ni Viungo Gani Vinavyo Husika Na Nguvu Za Kiume...!*

Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili . Kuna zaidi ya viungo na vitu 40 ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni moyo, ubongo, mishipa ya fahamu (neva), mishipa ya damu (ateri) , mirija midgo midgo midogo inayosafirisha na kupokea damu ndani ya uume , misuli inayonyumbulika inapopokea damu kwenye uume ( corpora cavernosum).....

Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezi dume (Prostate gland), figo, ini, serotonin, dopamine homoni ya testosterone, uti wa mgongo, kemikali ya acetylcholine, kiuno, eneo la nyonga.....

Viungo vingine ni misuli maalumu itwayo pelvic floor muscle, tezi pituitary ( pituitary gland), kemikali ya prolactin, kemikali ya nitric oxide, utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli ya pubococcygeus ( PC Muscles) n.k

Mwanaume viungo hivi na homoni pamoja na kemikali hiz zinapokua katika ubora mzuri hatimaye ndipo unapoona kua performance yako katika tendo inakua vizuri ikitokea kimoja wapo hakifanyi kazi vizuri lazima uwe dhaifu katika tendo la ndoa....

⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

*UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI NINI...!?*

Unapo pungua nguvu za kiume ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya viungo kati ya nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo na inavyotakiwa.....

Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri au ini ,tezi dume au neva ya parasympathetic / moyo una tatizo / mishipa ya ateri au misuli ya pelvic floor/ homoni fulani ipo juu sana au ipo chini sana ( Hormonal Imbalance) orodha ni ndefu sana....

Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kua ni ..:-

➡️Uume kusimama kwa ulegevu.
➡️kukosa hamu ya tendo la ndoa .
➡️kuchelewa sana kufika kileleni au kutofika kabisa kileleni
➡️ Kuwai sana kufika kileleni.
➡️kushindwa kuendelea au kurudia tendo la ndoa.
➡️kuhisi maumivu wakati wa tendo au baada ya tendo la ndoa.
➡️kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika tendo la ndoa
➡️kuchoka Sana baada ya tendo la ndoa hata kukinai au kuhisi kichefuchefu na kupatwa na usingizi mzito .

Ili uelewa vizuri labda niseme kwamba *NGUVU ZA KIUME NI K**A KIWANDA* na ni zaidi ya kiwanda , ndani ya kiwanda kuna umeme, watu , maji madawa , wafanya kazi wa kila taaluma na ujuzi au fani, mitambo, mashine. Malighafi n.k

Ikitokea kitu kimojawapo kukosekana, mathalani umeme , wafanyakazi wakagoma au kukakosekana madawa muhimu au maji na kadhaa wa wakadhaa basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni kwa uhakika haitapatikana kwa sababu hakutakuwa na uzalishaji mzuri wa bidhaa (production).....

Vivyo hivyo nguvu za kiume mathalani ikitokea homoni ya testosterone au tezi dume kutofanya kazi vzuri basi hapo mwanaume hutoona nguvu za kiume , zitapunguua au zitaisha kabisa....

Kwahiyo upungufu wa nguvu za kiume ni udhaifu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili wa mwanaume, mwanaume yeyote anapaswa kutambua jambo hili...

*Nini Kinacho Pelekea Viungo Hivyo Kushindwa Kufanya Kazi.....!?*

Kuna maradhi kadhaa , tabia ,vyakuoa na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri, Baadhi ya maradhi hayo Na Tabia hizo ni Kujichua/ kufanya punyeto, madawa ya kuboost na kulevya, pressure, kisukari, uvutaji wa sigara, kufanya kazi kupita kiasi, kunywa pombe kupita kiasi, kukosa muda wa kupumzika, matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala na msingo wa mawazo...

Sababu zingine za kupungua kwa nguvu za kiume ni kutokunywa maji ya kutosha, tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kupush/ kusukuma choo ,uzito mkubwa, kuvimba kwa tezi dume, kutofanya mazoezi, kitambi, ukosefu wa kumbukumbu.....

Sababu nyingine ni saratani ya tezi dume, upasuaji, vyakula vya mafuta, matibabu ya mionzi, ugonjwa unaoathiri shughuli za mwili k**a vile ukuaji wa celi hai na tissue. Magonjwa yanayoathiri mfumo wa fahamu na ubongo na miuondoko ikiwemo kutembea na kuongea , ulaji wa vyakula vinavyo ongeza kiwango cha hormones ya k**e.....

Sababu nyingine ni maumivu ya viungo k**a vile mgonjwa, uti wa mgongo, kiuno , utumiaji holela wa madawa ya kemikali, kiharusi, upungufu wa utendaji wa tezi za mwili .....

⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

Sababu Zingine ni kutozalishwa kwa homon ya thyroid ya kutosha, ugonjwa unaoathiri uzalishwaji wa homon ya cortisol (Cushing syndrome ) , ugonjwa wa kupinda kwa uume ( Petronas disease), kukak**aa kwa mishipa ya damu ( atherosclerosis) orodha ni ndefu sana zaidi 200.....

Hivyo mwanaume anapo kua na upungufu wa nguvu za kiume ina maana kuna udhaifu wautendaji ndani ya mwilini wako au unaweza kuwa huo ugonjwa umeshajiridhisha kwa nje au huo uko ndani ya mwili unamla na kumaliza kimya kimya k**a yalivyo baadhi ya magonjwa ambayo baadaye hulipuka ....

Hii ndiyo maana kitaalamu tunasema kupungua nguvu za kiume sio ugonjwa ni dalili ya ugonjwa *" Unapopungua nguvu za kiume hiyo ni KENGELE YA TAHADHARI kwamba ndani ya mwili wako kuna kitu hakifanyi kazi vizuri "*.....

Hata hivyo unapaswa kuchukua TAHADHARI KABLA YA HATARI ....!

NILICHOGUNDUA NI HILI KWA WANAUME WENGI

*Kosa Kubwa Sana Wanalo Fanya Wanaume Wengi Ni....!*

Wanaume wengi wanapo pungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume na sio kutibu tatizo kuanzia kwenye chanzo yaani kuondoa chanzo cha tatizo....

Hii ni KOSA KUBWA SANA....

Ni kosa kubwa sana kukurupuka kutumia madawa bila kujua chanzo cha tatizo lako na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu tatizo gani....

Kwa kutumia njia hiyo utamaliza zaidi ya miaka 100 na hutopata matokeo unayoyataka kwa sababu sehemu kubwa ya dawa hizo zinakwenda kutenganisha mawasiliano yaliopo kati ya uume na mishipa ya fahamu na kufanya mwanaume asiweze kuhisi ladha wakati wa tendo hivyo kumuwezesha kudumu muda mrefu katika tendo na kusababisha lingine la maumivu ya mishipa ya uume ambayo siku zijazo haitaweza kusaidia uume kusimama IMARA na kusababisha Tatizo lingine la uhanithi ( kutosimamisha uume kabsa)....

*"TIBA SAHIHI"*

Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewa kwanza. Mathalani k**a tatizo linasababishwa na athari za kisaikolojia ( sociological effect) kutokana na historia ya mahusiano yao kimapenzi kwa mgonjwa au changamoto za maisha ni vyema tatizo likajulikana kabla ya matibabu na k**a tatizo ni la tezi ijulikane kwanza na k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo kabla ya kuyatua kilchozababishwa na tatizo , hayo ndiyo matibabu na si vinginevyo......

Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana mw pressure kwa mwanaume huyu au kisukari kwa mwanaume huyu au hormonal Imbalance kwa mwanaume huyu au shida katika tezi dume kwa mwanaume mwingine...

Basi vipi kwa kila mwanaume kutibiwa na dawa moja angali vyanzo vya tatizo ni tofauti na dawa ni ya aina moja , watu wengi wameelewa kimakosa sana ndio maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana ....

⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

*Ni madhara gani mwanaume anayapata anapokuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.....!?*

Mwanaume anapokuwa na tatizo hili anakumbana na maswali mengi kichwani kwake yasio pata majibu stahiki juu ya Tatizo lake na hapo ndipo wanaume wengi ukimbilia kutumia madawa bila kupata ufahamu wowote kwa kina, kuna madhara mengi yanayo mpata mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume nayo :-

➡️Unapoteza uwezo wa kujiamini kadri siku zinavyoenda na unapokutana na mwanamke yeyote uwezo wako un**idi kushuka yaan tatizo lin**idi kua kubwa kutokana na kukosa kujiamini zaidi.

➡️ Unadharaulika kwa kila mwanamke unaekutana nae kwa sababu ya kushindwa kumridhisha au kumtimizia haja zake kitendo hiki kitanakufanya uwe na hofu na aibu na kupelekea kupata tatizo Kwenye mfumo wa fahamu ( msongo wa mawazo, kukosa usingizi, kuwa na wasiwasi) yaan madhara juu ya madhara pale unapokumbans na tatizo hili hasa unapozidi kukaa nalo kwa muda mrefu...

➡️ Unajiweka hatarini kupata magonjwa hatar k**a vile shinikizo la juu/chini la damu ( high/low blood pressure) kitendo hichi uku pelekea hata kifo k**a usipo pata msaada wa haraka. kumbuka uume kusimama kwa ulegevu au kukosa nguvu ni ishara kua mzunguko wako wa damu kuelekea kwenye mfumo wa uzazi hauko vizuri hvyo kuna tatizo kwenye mishipa ya damu na namna inavyosafiri hivyo unakua upo kwenye hatar kubwa ya kupata tatizo la moyo...

➡️ Mwanaume unapokua unashindwa kumtimizia mkeo haja yake ya msingi ya tendo la ndoa moja kwa moja mkeo ana anza kukudharau hali hii upelekea kukosekana kwa amani ndani ya nyumba ata jamii itakuchukulia vibaya k**a ikitokea mkeo anatoka njee kutimiza haja zake na majirani wakiwa wanajua hali ambayo itakupelekea kupata matatizo kwenye mfumo wa fahamu...

➡️ Unapokua na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume unajiweka karibu kupata tatizo la kuvimba kwa tezi dume hadi kua saratani ya tezi dume maana tezi dume inahusika kwa kiasi kikubwa kuimarisha uimara wa nguvu zako kuanzia mbegu mpaka mihemko unayopata sasa tezi hii inapokosa uimara na kuanza kua dhaifu kwa kukosa madini muhimu upelekea kuanzs kuvimba na mwisho wa siku itakuladhimu kutumia gharama kubwa zaidi kujitibu na kupona ni kwa asilimia chache sana yaan unaweza kupona au usipone na kurudisha heshima yako chumbani.

➡️Unapokua na upungufu wa nguvu za kiume unaku na hofu hali ambayo itakufanya uwe na msongo wa mawazo na kushindwa kua na watu wa karibu kuhofia kuchekwa kutokana na tatizo lako hali hii upelekea hadi kifo

*Kiufupi madhara yake ni mengi sana hatuwezi kuyataja yote hapa kutokana na muda hila kwa sababu tuko pamoja Tutaendelea kuyafahamu siku baada ya siku lakini ni muhimu kupata SULUHISHO kwa sababu hatuitaji haya madhara ya endelea kua juu yetu*....

Nini Kifanyike sasa.....!?

Nimekuandalia utaratibu wa kuzingatia kwa wakati huu kutatua changamoto yako utaratibu huu nitakupatia BURE KABISA jitahidi kuufanyia kazi maelekezo haya ninayokupatia leo .....

*MICHANGANYIKO 7 ITAKAYO KUSAIDIA KUDHIBITI NGUVU ZA KIUME*

Hii ni michanganyiko ambayo unaweza ukaitengeneza mwenyewe ukiwa nyumbani kwako tena kwa vitu ambavyo vinapatikana masokoni kote....

Sababu kuu ambayo imenipelekea kuandaa michanganyiko hii ni kutokana na kuwa kuna watu ambao wanayo changamoto hii na hawana uwezo wa kukidhi gharama za matibabu...

Lakini kupitia michanganyiko hii utaweza kudhibiti changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume.

*MCHANGANYIKO WA KWANZA*

Katika mchanganyiko huu unaitaji kuwa na vitu vifuatavyo hili kukamilisha mchanganyiko wako;

➡️Maji safi (moto / baridi):
Ukitumia yaliyo chemshwa itakua vizuri zaidi Lakini hata ya baridi unaweza kutumia.

➡️ Kitunguu swaumu :
Tunatumia kitunguu swaumu kwa sababu husaidia kuondoa uchafu kwenye mishipa ya damu na hivo kuruhusu damu kusafiri vizur kuelekea katika viungo vya uzazi.

Piah kitunguu swaumu husaidia kuthibiti kiwango cha sukari mwilini na mwisho kabisa husaidia kuchoma mafuta mabaya katika mwili ( Bad Cholesterol ).

➡️ Kitunguu maji ;
Tunatumia kitunguu maji kwa sababu, Kitunguu maji hulinda na kuboresha afya ya ubongo...

Huboresha mifupa ,husafisha damu na mwili na mwisho husaidia kupunguza mafuta mabaya katika mwilini.

➡️Tangawizi;
Tafiti zinasema kuwa Tangawizi ina uwezo wa kutibu magonjwa zaidi ya 72 katika mwili wa mwanadamu.

Kuhusu faida zake katika tendo la ndoa ni kwamba ;

👉Husaidia kuboresha mzunguko wa damu .
👉Husaidia kuyeyusha mafuta yalio ganda katika mwili.
👉pia husaidia kuondoa sumu mwilini,
👉Husaidia kutibu vidonda vya tumbo ambavyo bado havijawa sugu .

*HATUA ZA KUCHANGANYA MCHANGANYIKO HUU*

➡️HATUA YA 01.
Osha vizuri vitu ambavyo unaenda kuvitunia katika mchanganyiko huu, osha vizuri Tangawizi, kitunguu maji, kitoe maganda yske ya juu

➡️HATUA YA 02
Kwangua vizuri Tangawizi pamoja na kitunguu maji Katika bakuli moja kwa kutumia kunio au twanga kwenye kinu kidogo...

➡️HATUA YA 03
Kata vitunguu swaumu katika vipande vidogo vidogo ili kuruhusu kiweze kuchanganyika vizuri kwenye maji.

➡️HATUA YA 04
Weka maji yako yaliyo chemshwa katika mchanganyiko wa kitunguu maji na Tangawizi (weka glass moja) kisha ya chuje maji hayo kwa chujio.

➡️HATUA YA 05
Weka vipande vidogo vidogo vya kitunguu swaumu, kisha subiri kwa muda wa dakika k**a 5 mpaka 10 ili kuruhusu vichanganyikane vzuri.

NB;
Hakuna muda maalumu wa kunywa mchanganyiko huu unaweza kunywa muda wowote ( au ukatumia asubuh na jioni ) kutumia mchanganyiko huu ndani ya siku 7 matokeo utakayo yapata utashare hapa kwenye Group.

*MCHANGANYIKO WA PILI*
K**a mchanganyiko huu unaitaji kuwa na vitu vifuatavyo.

🕳Vitunguu maji at least vitatu.
🕳Limao kuanzia tatu: Limao husaidia kupunguza uzito, piah husaidia kupunguza mafuta mabaya mwilini ( bad Cholesterol ) na ni kinga nzuri ya mwili.
🕳Unahitajika kuwa na blenda piah kwa ajili ya kusaga.
🕳Asali mbichi; asali ni tiba ya maradhi ya moyo ,piah asali ina mchango mkubwa sana katika kuboresha afya ya ubongo.

*HATUA ZA KUCHANGANYA MCHANGANYIKO HUU*

➡️HATUA YA 01
Osha vizuri malimao yako na vitunguu saumu vyako

➡️HATUA YA 02
Toa maganda ya juu ya vitunguu maji vyako,lakini usitoe maganda ya limao.

➡️HATUA YA 03
Saga limao zako na vitunguu maji vyako kwa pamoja katika blenda

➡️HATUA YA 04
Chuja mchanganyiko wako ili kuondoa zile periticle au chembechembe.

➡️HATUA YA 05.
Juice itakayo patikana ichanganye na asali vijiko viwili au vitatu kisha tumia mchanganyiko huu kutwa mara 2 kwa muda wa siku 7.

*MCHANGANYIKO WA TATU*
Katika mchanganyiko huu unahitaji kuwa na vitu vifuatavyo.

🕳Kitunguu maji
🕳Tangawizi na
🕳Asali

Mchanganyiko huu unataka kufanana na mchanganyiko namba moja tofauti hapa ni kwamba tunatumia Asali badala ya maji, lakini piah hapa hatuta tumia kitunguu swaumu;

➡️HATUA YA 01
Osha Tangawizi yako pamoja na kitunguu maji (Usitoe maganda ya Tangawizi).

➡️HATUA YA 02
Saga Tangawizi na kitunguu maji Katika chombo kimoja.

➡️HATUA YA 03
Changanya na asali vijiko viwili mpaka vitatu (tayari kwa matumizi)

NB:Tumia mara 2 kwa siku 7.

*MCHANGANYIKO WA NNE*
Katika mchanganyiko huu unaitaji kuwa na vitu 4 ambayo ni;

🕳N**i: n**i ni nzuri sana katika kuimarisha afya ya ubongo na kuboresha mzunguko wa damu.

🕳Karanga Mbichi

*FAIDA ZA KARANGA MBICHI*

👉Huongeza idadi ya mbegu za kiume
👉Huongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa
👉Husaidia uzalishwaji wa homon ya kiume
👉Huboresha mtiririko wa damu kwenye viungo vya uzazi
👉Huimarisha misuli ya uume kwa sababu ina madini ya calcium na zink

🕳Tunatumia piah Muhogo mbichi
Muhogo mbichi husaidia kuimarisha na kuongeza nguvu za kiume kutokana na madini ya zink na chumvi ambayo yanatajwa kusaidia uzalishaji wa vichocheo vinavyohamasisha msisimko wa tendo .

*HATUA ZA KUCHANGANYA MCHANGANYIKO HUU.*

➡️HATUA YA 01
Hakikisha vitu unavyovitumia viwe safi kuanzia vyombo mpaka Mihogo, karanga na n**i

➡️HATUA YA 02
Kata Muhogo na n**i katika vipande vidogo vidogo.

➡️HATUA YA 03
Changanya vipande vya Mihogo, N**i, karanga, kisha weka maziwa ndani yake tayari kwa kutumia .

(Hakuna kipimo maalum katika vitu hivi ,tumia kadri ya uwezo wako hila usinywe kupita kiasi,piah hakikisha maziwa yako yamechemshwa / tumia mtindi . Ni vyema piah ukatumia asubuhi na jioni mchanganyiko huu.

*MCHANGANYIKO WA TANO*
Katika mchanganyiko huu unaitaji kuwa na vitu vya aina 4 ambavyo ni;

🕳Machungwa Matatu na zaidi
🕳punje 7 za tende
🕳Asali vijiko kumi
🕳Maziwa glass moja

*HATUA ZA KUCHANGANYA MCHANGANYIKO HUU*
Saga machungwa yako yote kwenye Brenda mpaka ipatikane juice, changanya asali, tende pamoja na maziwa katika chombo kimoja / ukivitenganisha ni sawa.
(TUMIA MCHANGANYIKO HUU DAKIKA 30 KABLA YA TENDO LA NDOA.)

*MCHANGANYIKO WA SITA*
Vinavyoitajika katika mchanganyiko huu ni vitu k**a vile ;
🕳Ndizi mbivu tatu🍌
🕳Tikitimaji kipande kimoja hadi viwili 🍉
🕳Karoti tatu 🥕
🕳Maji lita moja

*MATUMIZI*
Vitu hivi unavitumia kwa muda wa siku 7 k**a ifuatavyo

*SIKU YA KWANZA MPAKA SIKU YA SABA*

➡️ *Asubuhi (Tumia Kabla ya Kula)*
Tikiti maji kipande kimoja .
Ndizi Tatu.
Karoti tatu .
Kisha shushia na maji lita moja .

➡️ *Mchana (Tumia Kabla ya Kula)
Ndizi Tatu.
Tikitimaji kipande kimoja.
Karoti tatu.
Kisha shushia na maji lita moja

➡️ *Jioni /Usiku (Tumia dakika 30 kbla ya kula chakula cha jioni)*

Tikitimaji kipande kimoja
Ndizi Tatu .
Karoti tatu
Kisha shushia maji lita moja

Hakikisha unatumia mchanganyiko ndani ya siku 7 au tumia kila siku naifanye iwe ni sehemu ya maisha yako

*(Muongozo huu ni hatua za Awali za kutatua tatizo hili la Upungufu Wa Nguvu Za Kiume)*

⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

*Mwongozo Wa Program Maalumu Ya Uhakika Itakayo Kusaidia Kutatua Na Kumaliza Changamoto Yako*

Kwanza Program Hii Maalumu Kwa Ajili Ya Kumaliza Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume....

Inakua na mjumuisho wa formula maalumu ya mazoezi ya kuimarisha misuli ya uume uliolegea na mazoezi maalum ya kumaliza tatizo la kuwai kufika kileleni,

Pia kutakua na muongozo maalumu utakao kuongoza kuanzia vyakula mpaka matunda na kukusaidia kujia ASUBUHI unapaswa kula nini k**a mwanaume na MCHANA unapaswa kula nini Kuimarisha zaidi uwezo wako Hivyo hvyo na USIKU itakusaidia kujua kipi ule na kipi usile na na ni muda gani sahihi wa kula vyakula na matunda na maji unywe kiasi gani hili kuhakikisha unakua imara siku zote katika maisha yako baada ya kutatua tatizo hili (Muongozo sahihi wa mfumo wa maisha ya kila siku).

Pamoja na PROGRAM YA VIRUTUBISHO LISHE SAHIHI kwa ajili ya kutatuta moja kwa moja tatizo lako na isiwe rahisi kujirudia tena k**a utafuata kile nitakacho kuelekeza mimi baada ya kuanza program yako ya siku 30 hadi siku 90 hapa kwenye siku itategemeana na ukubwa wa tatizo lako..

Soma kwa umakini ⬇️
Program hii nimeipa jina la *"GENTLEMEN PROGRAM"* kutokana na umahili wake na namna inavyofanya kazi kwa haraka na kukufanya uwe MWANAUME KAMILI siku zote...

Kwanini kila mwanaume aliepo hapa ndani anapaswa kutumia hii GENTLEMEN PROGRAM na je usipo itumia utakua umekosa nini au umepoteza nini katika kuimarisha na kuboresha afya yako.....!!?

Kwanza lazima uweze kufahamu kua program hii haimalizi tu tatizo upungufu wa nguvu za kiume bali unatatua vyanzo vyote na magonjwa yote yanayopelekea tatizo hili na unapokua umeanza program unajiweka mbali kabsa kupata matatizo/ magonjwa yanayotokana na tatizo hili la Upungufu Wa Nguvu Za Kiume k**a vile pressure, msongo wa mawazo ,ongezeko la uzito kutona na taka mwili kua nyingi mwili n.k utakapo kosa program hii utakua umekosa mengi sana na utakua aujaitendea haki afya yako......

*Gentlemen Program Itakusaidia.....*

➡️Itakusaidia kukuweka mbali na tatizo la kupata choo kigumu au cha shida kwa sababu changamoto hii ya kutopata choo kwa wakati au choo kigumu inasababisha kuwa na tatizo la kuwa na uume legevu yaan uume unaosimama ukiwa auna nguvu auwi imara kwa sababu choo cha shida huathiri misuli ilioshikilia uume hivyo unapoanza program hii itakusaidia kutatua changamoto ya uume legevu na kuweka sawa mfumo wa chakula na utoaji wa takamwili kwahyo UTAKUA NA UUME IMARA UNAOSIMAMA BARABARA K**A MSUMARI UKIWA KWENYE TENDO.

➡️Program Itakusaidia wewe kuondoa sumu mwilini/ takamwili kwa sababu ongezeko hili la takamwili upelekea mwanaume kupata mabadiliko ya homoni na kukufanya uwe na tatizo la kukosa hamu ya tendo kwa kuvuruga homon ya kiume ambayo ni Testosterone na kuongeza homon ya estrogen ambayo n homon ya k**e kitendo hichi cha ongezeko la sumu mwilini kinaleta madhara mengi sana mwili katika kila upande wa afya yako hivyo utakapoweza kupata program hii utaimarika zaidi na kukufanya UWE NA HAMU YA TENDO YAAB HAMU YA TENDO LA NDOA ITAONGEZEKA SANA NA ITAKUSAIDIA USICHOKE HARAKA UNAPOKUA KWENYE TENDO kwa sababu program hii inaondoa visababishi vya wewe kua dhaifu na kukufanya uwe imara zaidi...

➡️Program hii itakusaidia kupunguza kabisa msongo wa mawazo hivyo itakufanya uwe imara na kubalance homon inayokufanya uwe na hamu ya tendo na kushiriki tendo zaidi ya mara moja au mara mbili utashiriki tendo kadri utakavyo kwa sababu uzalishwaji wa homon ya kiume utakua kwenye level sahihi na itakufanya urudishe nguvu zako kwahiyo UKUWA NA STAMINA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA MARA NYINGI ZAIDI BILA YA KUCHOKA HARAKA kwa sababu tendo la ndoa kwa mwanaume lina anzia KICHWANI.

➡️Program hii itakusaidia kuratibu ongezeko la sukari hivyo utajiweka mbali na visababishi Ugonjwa wa kisukari kwa sababu program hii inaenda kusaidia viungo vya mwili kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na sukari ilioifadhiwa mwilini kutumika k**a nishati kwa wakati bila kuathiri mifumo ya mwili na kukuweka hatarini kupata tatizo la kisukari hivyo utakua na UUME WENYE NGUVU NA MISULI YA UUME KUJAA NA KUTANUKA VZURI kwahyo ITAKUONDOLEA TATIZO LA KUWAI KUFIKA KILELENI NA KUSHINDWA KUENDELEA NA TENDO LA
NDOA ..

➡️Program hii itakusaidia kupambana na ugonjwa wa tezi dume na kudhibiti kansa ya korodani kwa sababu inarejesha madini uliyopoteza mwilini ambayo yanasaidia ufanyaji kazi wa viungo hivi unapoona dalili za upungufu wa nguvu za kiume jua kua hivi viungo vipo hatarini kwa sababu ya upungufu au ukosefu wa viini lishe sahihi vinavyosaidia mfumo wa uzazi kwahiyo itakusaidia KULINDA AFYA YA UZAZI NA KUZALISHA NA KUONGEZA IDADI YA MBEGU ZA KIUME KWA KIWANGO KIKUBWA hivyo utaitwa baba k**a ukiitaji maana utaweza kutoa mbegu nyingi na zenye ubora mkubwa sana .

➡️Program hii itakusaidia kupunguza mafuta kwenye mishipa ya damu na utapunguza uzito kiasi hivyo Program hii itakuepusha kuja kuumwa magonjwa ya moyo hivyo utakua na afya njema na mzunguko wa damu mzuri kila sehemu ya mwili wako hivyo itakusaidia kuwa na hamasa, hamu yakutosha, stamina ya muda mrefu na ITAMALIZA TATIZO LA KUWAI KUFIKA KILELENI kwa sababu inahakikisha kila kiungo cha mwilini kinachohusika katika kuimarisha afya ya uzazi kipo salama na kinafanya kazi kwa ufanisi mkubwa zaidi.

*Hivyo Program hii itakusaidia kuwa na hamu ya tendo la ndoa , kua na uume imara na wenye nguvu na stamina ya muda mrefu, kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume zenye ubora mkubwa, kumaliza tatizo la kuwai kufika kileleni ba kushindwa kuendelea na tendo hivyo utakua unashiriki tendo kadri utakavyo yaan wewe ndio unaeamua mchezo, kuondoa msongo wa mawazo hivyo utapata hile raha halisi ya tendo la ndoa, itakusaidia kuimarisha misuli ya uume hvyo utakua na uume wenye mvuto kwa uimara na unene mzuri hivyo itakufanya ufurahie wewe pamoja na mwenza wako*

*"HESHIMA YAKO INARUDI NDANI YA SIKU 7 HADI 15 YA PROGRAM YA SIKU 30"*

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
MAKUMBUSHO