Mshauri wa afya Petro

Mshauri wa afya Petro

Share

NakujaliSanaNakupendaSana. karibu katika program yangu ya 90dys ERASE P.I.D,U.T.I & Hormone imbalance

18/04/2026

K**A WEWE NI MWANAMKE NA UPO KWENYE MAHUSIANO AU NDOA ZAIDI YA MIAKA MITATU NA HUJAWAHI KUSHIKA UJAUZITO NA HUJUI UFANYE NINI ACHA KUSUBIRI Bus 🚌 AIRPORT UTAACHWA..

WANAWAKE WENGI HAWAPATI UJAUZITO KWA SABABU MBALIMBALI NA WENGI WAO HUWA HAWAJUI WAPI WATAPATA USHAURI NA TIBA YA UHAKIKA K**A WEWE NI MMOJA WA WATU WANAOTAFUTA MTOTO KWA MDA MREFU BILA MAFANIKIO NAOMBA CHUKUA SIMU YAKO TUPIGIE KABLA MAMBO HAYAJAWA MAGUMU..

ZIPO SABBU NYINGI SANAA ZINAZOPELEKEA MWANAMKE ASHINDWE KUBEBA UJAUZITO.. HIZI HAPA NI BAADHIπŸ‘‡πŸ‘‡

πŸ‘Œ- hormones imbalance (kuvurugika kwa homon)

πŸ‘Œ-Magonjwa sugu k**a vile PID, UTI SUGU NA FANGASI

πŸ‘Œ- Mirija ya uzazi kuziba na kujaa maji

πŸ‘Œ- Uvimbe kwenye kizazi (fibroid) pia hupelekea mwanamke kukosa uwezo wa kubeba mimba

πŸ‘Œ- Endometriosis pamoja na ovarian cyst pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kushindwa kupata mimba

Na mambo mengine mengi kwa maelezo zaidi njoo tutakusaidia.

πŸ‘Œ-WATAG RAFIKI ZAKO UNAOWAJUA KUWA WANASHIDA NA KUPATA MTOTO ILA WAMEKAA TU.

Prepared by Dr Petro +255745449093 whatssap and Normal ,dawa zipo popote tunatuma mikoani kote.

03/02/2026

Wanaume msiache kukagua korodani zenu , itasaidia kugundua mabadiliko yoyote yanayotokea, mfano uvimbe (Unaweza kuwa uvimbe wa kawaida au saratani)

Cha kufanya :
Kwanza kabisa oga maji ya vuguvugu ili ngozi inayobeba korodani (Sc***um) ilegee, iwe rahisi kufanya uchunguzi

Zungusha vidole vyako na kagua korodani moja baada ya nyingine kwa kugusa gusa na kuhisi k**a kuna uvimbe wowote au hali isiyo ya kawaida

Unatakiwa ujue kuna mshipa mnene kiasi unaolala juu ya kila korodani tunaita epididymis (Unaohifadhi mbegu, hii ni kawaida usije kudhani ni uvimbe hapana

Fanya uchunguzi mara kwa mara ili ujue utofauti wowote unaotokea . Korodani moja kuwa kubwa kidogo kuliko nyingine ni kawaida usishangae

Zoezi hili unaweza kusaidia na mke wako, hii kazi wanawake wanaipenda sana na wanaiweza πŸ˜‚πŸ˜‚ kwahiyo mwachie akusaidie ila ndo hivo tena baada ya uchunguzi lolote linaweza kutokea

Kwa changamoto yoyote usisite kuwasiliana nasi BURE kupitia WhatsApp namba πŸ‘‡
+255745449093

02/02/2026

SI LAZIMA KULA ASUBUHI – MWILI HAUJALAZIMISHWA NA SAA.

Watu wengi wanaamini usipokula asubuhi afya inaharibika. Ukweli ni kwamba mwili hauangalii saa, unaangalia njaa halisi na hali ya homoni.
β€” Asubuhi mwili bado uko kwenye hali ya kutumia akiba ya mafuta (fat burning mode)
β€” Homoni ya cortisol huwa juu asubuhi, inasaidia nguvu hata bila kula
β€” Ukila bila kuwa na njaa, unaongeza sukari na insulini bila sababu.

Faida za kutokula mapema asubuhi ,au kutokula kabisa (kwa mtu anayefaa):
β€” Husaidia mwili kuchoma mafuta (kupunguza kitambi)
β€” Huboresha usikivu wa insulini (msaada kwa kisukari cha aina ya pili)
β€” Hupunguza kula kupita kiasi siku nzima
β€” Hupa mfumo wa chakula muda wa kupumzika

Lakini si kwa kila mtu ⚠️

Hupaswi kuruka kifungua kinywa k**a una:πŸ‘‡πŸ‘‡

β€” Kisukari kinachotumia dawa au insulin
β€” Vidonda vya tumbo vinavyosumbua sana
β€” Uzito mdogo kupita kiasi
β€” Mjamzito au anayenyonyesha
β€” Kizunguzungu au kushuka sana presha usipokula.

Muhimu zaidi kuliko β€œsaa ya kula” ni:
β€” Kula ukiwa na njaa ya kweliπŸ“Œ
β€” Kula chakula chenye virutubisho, si sukari tuπŸ“Œ
β€” Usile usiku sana halafu utegemee breakfast isahihisheπŸ“Œ

Hitimisho:
Breakfast ni chaguo, si sheria ya afya. Wengine mwili wao unafanya vizuri zaidi wakianza kula mchana β€” na hilo ni sawa kabisa.

k**a unachangamoto yoyote ya Kiafya karibu nikuhudumie.
0745 449 093

30/01/2026

Je, mwanamke unakumbana na changamoto yoyote kati ya hizi?

πŸ”Ή Harufu mbaya kutoka ukeni
πŸ”Ή Ngozi ya sehemu za siri kuwa laini kupita kawaida
πŸ”Ή Kuwashwa, maumivu au moto ukeni wakati wa tendo la ndoa
πŸ”Ή Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa (ikiwa hauko kwenye hedhi).
πŸ”Ή Kupata hedhi mara zaidi ya mbili kwa mwezi.
πŸ”Ή Kukosa hedhi kwa miezi kadhaa bila ujauzito.
πŸ”Ή Dalili za ujauzito bila kuwa mjamzito.
πŸ”Ή Hedhi yenye mabonge mabonge au nzito kupita kawaida.
πŸ”Ή Kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida ukeni.
πŸ”Ή Hedhi inayodumu chini ya siku 3 au zaidi ya siku 7
πŸ”Ή Fangasi, UTI, au PID sugu
πŸ”Ή Changamoto za kushika mimba
πŸ”Ή Mimba kuharibika mara kwa mara.

Usihangaike tena! Suluhisho thabiti lipo kwa ajili yako. Wasiliana nami sasa kwa msaada wa haraka!
0745 449 093

28/01/2026

FAHAMU HAYA KUHUSU HEDHI YAKO

πŸ₯•Mzunguko wa hedhi wakawaida na usiokuwa na tatizo ni kati ya siku 21-35, ukiwa unapata chini ya hapo au juu ya hapo hilo nitatizo, jiulize hedhi yako ikoje?

πŸ₯•Damu ya hedhi yako inatakiwa itoke kati ya siku 2-7 tu, na isiwe na maumivu makali, damu nzito na ya madonge, wala yenye harufu kali, nje ya hapo nitatizo, je unapataje wewe??

πŸ₯•Kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea kupata hedhi ya kubadilika badilika kitalaamu huwa inatokea na muda mwingine sio tatizo!!

πŸ₯•Wewe unayetumia sindano, kijiti, vidonge, kukumbwa na mabadiliko ya hedhi ya kila mwezi nikawaida baada ya kutumia uzazi wampango, ila hali ikiwa mbaya zaidi onana na daktari kwa ushauri

Nb:Ukiwa nanafasi nzurii zaa mapema, kadri umri unavyokwenda na sifa za kuzaa zinapunguaa, mayai yanapungua na ubora wa mayai unapungua!

NB: Je unapata hedhi yenye mtiririko sahihi?? Hedhi salama??

0745 449 093

25/01/2026

Unaweza ukawa na Majigambo mengi mbele ya vijana wenzako lakini ukiwa chumbani na mwanamke unawahi kufika kileleni hadi Unakosa Kujiamini πŸ˜”

Yaani kila ukijaribu kujizuia inashindikana Alafu Baada ya kukojoa kimoja mwili mzima unakufa ganzi unashindwa kurudi mchezoni kwa haraka hadi unahaibika.

Usiendelee kuhaibika!
Karibu upate msaada wa haraka na wa uhakika. 🀝

23/01/2026

Valentine USED πŸ˜πŸ˜ŽπŸ€— majukum mengi sana kwhyo ukipewa kitu used pokea TU.😁

20/01/2026

Hizi hapa ni sababu zinazoweza kufanya mat**i kutoa maziwa ilhali huna mimba wala hunyonyeshi:

✍️ Homoni zimevurugika:
Kuna homoni inaitwa prolactin. Ikiwa iko juu kupita kiasi, inaweza kuyaambia mat**i yako, β€œzalisha maziwa!” hata k**a hakuna mtoto.

✍️ Msongo wa mawazo unausumbua mwili:
Kuwaza sana, kukosa usingizi au msongo wa kihisia kunaweza kuvuruga homoni zako na kusababisha maziwa kutoka.

✍️ Dawa unazotumia zinaweza kuwa chanzo:
Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango, dawa za mfadhaiko (antidepressants) au dawa nyingine zinaweza kuongeza uzalishaji wa maziwa bila wewe kujua.

✍️ Ubongo wako unaweza kuhusika:
Tezi ya pituitary (tezi kuu ya homoni) wakati mwingine inaweza kutoa ishara zisizo sahihi na kuyaambia mat**i yazalishe maziwa bila sababu ya msingi.

✍️ Ulishawahi kuwa mjamzito kabla:
Baada ya mimba kuharibika, kutoa mimba au kujifungua, maziwa yanaweza kuendelea kutoka kwa miezi kadhaa. Homoni haziondoki ghafla.

⚠️ Lakini tafuta msaada wa kitabibu haraka ikiwa

Maziwa yanatoka yenyewe bila kunyonyesha

Yanatoka kwenye t**i moja tu

Yanatoka yakiwa na damu au rangi ya njano

Hedhi yako imesimama bila sababu au haieleweki

Tunatoa matibabu Kwa changamoto hii na kurekebisha mzunguko na hormone Kwa ujumla

Ikiwa unachangamoto hii niandikie ujumbe kupitia no.
+255745449093

18/01/2026

Uzazi wa mpango unaweza kukuchelewesha kupata hedhi au uwezo wa kupata mimba kwa muda, lakini hauleti utasa wa kudumu kwa wanawake wengi.

Nimekuwekea maelezo hapa chiniπŸ‘‡πŸ‘‡

Kabla hujakubali kufanya Uzazi wa Mpango, zingatia haya.

Hakuna daktari atakayekwambia haya moja kwa moja.

Uzazi wa mpango ni moja ya uvumbuzi muhimu sana kwa afya ya wanawake, lakini unaweza kuja na madhara madogo ambayo daktari wako anaweza asiyaeleze yote kwa undani.

Wacha tueleze kwa hapa

Uzazi wa mpango unaweza kukulinda dhidi ya mimba zisizotarajiwa, lakini kitu kimoja cha kuelewa ni kwamba baadhi ya wanawake huathirika sana

Ndiyo maana huwa nawafundisha jinsi ya kuhesabu mzunguko wa hedhi na siku za ovulation, ili ujue ni siku zipi uko salama au hauko salama kufanya TENDO LA NDOA, na hivyo kuepuka usumbufu wa uzazi wa mpango unaochanganya homoni za mwili.

Haya ndiyo mambo ya kuzingatia ukifikiria kuanza au k**a tayari umeanza kutumia uzazi wa mpango:

✍️ Mabadiliko ya homoni ambayo yanaweza kushtua mwili
1️⃣ kusababisha kubadilika kwa hisia, maumivu ya mat**i, maumivu ya kichwa, kichefuchefu na hata kupungua hamu ya tendo la ndoa kwa baadhi ya watu.

✍️ Kutokwa na damu isiyo ya kawaida
πŸ’ wakati mwingine damu kuwa nyingi, au hedhi kutokea mara mbili kwa mwezi au kupotea kwa kipindi fulani.

✍️ Kuongezeka uzito ghafla

✍️ Kuchelewa kurudi kwa uzazi

πŸ’ kwa baadhi ya wanawake, inachukua muda kabla hedhi kurudi na mwili kurejea kawaida baada ya kuacha uzazi wa mpango. (Lakini si utasa wa kudumu.)
Na mengine k**a vile:

βœ… chunusi, ngozi kuwa ya mafuta,
βœ… kubadilika kwa rangi ya shingo, kwapani au usoni,
βœ… kupungua hamu ya ngono,
βœ… ukavu ukeni,
βœ… uchovu wa mwili.
Unaona sasa?

Sijasema uache, lakini kuwa na uelewa kabla, na ujiandae na mwili wako k**a bado unataka kufanya uzazi wa mpango.

Natumaini umejifunza kitu leo.
Shiriki ili wengine nao wajifunze.
+255745449093

14/01/2026

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯ Haya sasa walete hapa Kati . Yaan pampch inatoa Harufu hadi Jamaa anaifeel. Acha hizo Furaha ya tendo huanza na afya ya uke. Usimsubiri mwenza akuambie jijali mapema. Malkia anajijali hata sehemu zake za siri. Afya ya uke = Kujiamini + Raha πŸ’Œ DM for trusted care. πŸ“¦ Dawa salama zinapatikana.DETOX IPO KWAAJILI YAKO🀣🀣
+255745449093

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
255