Genital Warts - Masundosundo Tz

Genital Warts - Masundosundo Tz

Share

Tunatoa Tiba Na Ushauri:
MASUNDOSUNDO/GENITAL WARTS. Karibu Kwa Tiba Na Ushauri:0743235150

28/05/2026

MASUNDOSUNDO:DALILI, KINGA NA TIBA
Neno sahihi kwa kiingereza ni Ge***al Warts
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyofahamika k**a Human Papilloma Virus (HPV)
Masundosundo hivi ni vinyama vidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri
Ugonjwa huu unaweza kudhuru UUME, UKE, MLANGO WA KIZAZI, SEHEMU YA HAJA KUBWA, URETHRA (mrija wa mkojo), MDOMO, KOO, pamoja na KIBOFU CHA MKOJO
Husambazwa kwa mgusano wa ngozi kwa ngozi hasa wakati wa ngono, japo migusano mingine ya maeneo athirika isiyohusisha ngono inaweza pia kuwa chanzo cha kusambaa kwake
DALILI ZA MASUNDOSUNDO
-Dalili kubwa ni kuota kwa nyama kwenye sehemu za siri ambazo zinaweza kuwa ndani ya uke, nje ya uke, mlango wa kizazi, maeneo ya uume, sehemu ya haja kubwa pamoja na sehemu inayopatikana kati ya uke/uume na sehemu ya haja kubwa

-Miwasho sehemu husika

-Kuchomwachomwa sehemu husika

-Kutokuhisi maumivu (kufa ganzi) maeneo yanayozunguka masundosundo

-Kuvuja damu ukeni baada ya tendo la ndoa.
TIBA YA MASUNDOSUNDO.
MASUNDOSUNDO YANATIBIKA KWA KUTUMIA DAWA YA ASILI YA INFECTIONS SHIELD NA YA KUPAKA(WARTS REMOVAL)
1. KWA KUNYWA - Chukua INFECTION SHIELD (Ya Unga) Weka Kijiko Kimoja Cha Chai (kijiko kidogo) Kwenye Chai Au Maziwa Ujazo Wa Kikombe Au Glass, CHUJA Na Chujio; KUNYWA Mara Moja Kwa Siku (Kila Siku Jioni/Usiku). Hii Bei Yake Ni Tsh. 45,000/=
Hii Itasaidia Kupambana Na Wadudu Wanaosababisha Ge***al Warts (HPV) Kwa Ndani Na Kuimarisha Kinga Kuanzia Kwenye Damu.
2. KWA KUPAKA - Chukua Dawa Ya Kupaka (CREAM), Kabla Ya Kupaka Safisha Kwanza Hilo Eneo Kwa Maji Ya Uvuguvugu Kwa Kutumia Kitambaa Au Nguo Laini. Kisha Paka Eneo Lote Lenye Warts. Paka Asubuhi Na Jioni. Hii Bei Yake Ni Tsh. 45,000/=
JUMLA YA DOZI NZIMA (DAWA MBILI) NI TSH. 90,000/=
KARIBU OFISI ZETU ZA DAR ES SALAAM (Goba Njia Nne) KWA USHAURI NA TIBA.
KWA DAR ES SALAAM USAFIRI NI BURE (FREE DELIVERY) NA UTALIPA UKISHAPOKEA DAWA.
MIKOANI TUNATUMA KWA NJIA YA BASI, NAULI NI 5,000/= UTATUMA TSH. 95,000/= (YA DAWA NA NAULI) KWENDA
MPESA 0743235150 EDWARD EDWIN WIGIRA AU
M-PESA LIPA NAMBA 50741365
JINA:AFYA KWANZA
UTAPOKEA OFISI ZA BASI HUSIKA
0743-235150 (GOBA NJIA NNE)

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Goba Njia Nne (Dar Es Salaam)
Dar Es Salaam