Afya plus
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya plus, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.
28/05/2022
suluhisho la kudumu kwa MWANAUME.
NGUVU ZA KIUME
Usitumie dawa β
Tumia virutubisho upone moja kwa moja kwa kutumia BEDROOM PACK yenye mchanganyiko wa mboga mboga na matunda mbalimbaliβ
,
Kuipata package yako andika neno BEDROOM kwenda.
Call/whatsapp 0764631685
Gusa ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏhttps://wa.me/message/AWOBJFTRSRG2C1
02/05/2022
Changamoto ya kuwahi kufika kileleni huweza kutatuliwa kwa uhakika ikiwa utatumia njia za asili ambazo hazihusishi kabisa madawa ya kemikali.
Njia hizo hufanya kazi kwa hatua 3 zifuatazo;
1. Uondoaji wa sumu ambazo zimetokana na ulaji wa vyakula na vinywaji vyenye kemikali.
2. Uimarishaji wa mzunguko wa damu ili ifike ya kutosha kwenye mashine kuiwezesha isimame muda mrefu bila kulala
3. Uongezaji uwezo wa kushiriki tendo muda mrefu bila kuchoka haraka.
Ukibonyeza hapa ππππΏππΏππΏππΏ https://wa.me/message/AWOBJFTRSRG2C1
Au ukipiga kwenye namba hii +255764631685 utaweza Kujifunza zaidi kuhusu hatua hizi.
Njia hizo ni za Asili 100% hazihusishi kabisa madawa ya hospitalini.
13/01/2022
Eat green for your body fitness
12/01/2022
JINSI PUNYETO (MA********ON) INAVYOATHIRI SUALA LA NGUVU ZA KIUME.
K**a wewe upo kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii utakuwa umeshaona jinsi magroup ya mambo ya picha za uchi na video za ngono yalivyo mengi kwenye mitandao ya kijamii Washiriki wengi ni wanaume hasa vijana, na tafiti mbali mbali zinaonyesha kuwa wanaathiriwa sana na picha hizo na kuchochewa kujichua (kupiga punyeto) ili kumaliza hamu zinazoamshwa na hisia kali za ngono baada ya kutazama picha hizo na vidoe hizo. Wengi wao hawafahamu namna gani suala hilo (ma********on) linavyoweza kuathiri afyaya uzazi hasa nguvu za kiume. Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani. Of course ipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume. Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi ya kisukari, presha,shinikizo la damu, moyo, figo, matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya uti wa mgongo, matatizo kwenye mishipa itumikayo kusafirisha damu mwilini, maradhi ya ngiri, pamoja na upigaji punyeto kwa muda mrefu. Na leo nataka tuangalie namna suala la upigaji punyeto linavyo athiri nguvu za kiume. Kabla hatujaangalia namna suala la upigaji punyeto linavyo maliza nguvu za kiume, ni vyema tukafahamu kwanza kuhusu mfumo wa nguvu za kiume. SAYANSI YA MFUMO WA NGUVU ZA KIUME IKOJE? Ukisoma vizuri kuhusu mfumo wa nguvu za kiume, utagundua kuwa suala la nguvu za kiume ni suala la kimfumo. Ili mwanaume awe na nguvu za kiume, aendelee kuwa na nguvu za kiume na azilinde nguvu zake za kiume, ni lazima ogani zote zinazo husika na mfumo wa nguvu za kiume ziwe na afya njema na ziwe na ushirikiano thabiti na wenye afya. Vile vile , utagundua kuwa , mambo makuu muhimu katika mfumo wa nguvu za kiume ni k**a ifuatavyo: i.Mishipa imara ya ubongo na yenye afya njema ii. Mishipa imara ya uti wa mgongo (spinal chord) iii.Mishipa imara itumikayo kusafirisha damu mwilini (Blood Vessels ) iv. Mfumo imara wa usafirishaji damu mwilini v. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema vi. Uhusiano imara na wenye afya kati ya mishipa ya fahamu iliyopo katika ubongo, mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na misuli & mishipa ya kwenye uume. Hivyo basi, ili mwanaume aweze kuwa na nguvu imara za kiume, na aendelee kuwa na nguvu hizo ni lazima mambo yote muhimu katika mfumo wa nguvu za kiume yawe imara pasi na hitilafu yoyote. Hitilafu yoyote katika mambo hayo, itasababisha ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume kwa mwanaume huyo. Pale inapotokea hitilafu ama mapungufu katika ogani zaidi ya moja kati ya zilizo tajwa hapo juu, basi tatizo kwa muhusika huwa kubwa mara dufu. JINSI PUNYETO INAVYO SABABISHA TATIZO LA UKOSEFU & UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME. Mwanaume anapopatwa na wazo la kufanya tendo la ndoa, ubongo hutoa ishara kwenye mishipa ya uti wa mgongo ambayo nayo husafirisha taarifa hadi kwenye mishipa & misuli ya uume. Mishipa ya uume inapopokea taarifa hiyo, hutanuka. Na mishipa ya uume inapotanuka, hufanya mambo mawili muhimu sana : i.Husababisha mishipa ya ateri kupanuka na hivyo kuruhusu damu kuingia kwa kasi sana ndani ya mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume usimame na kuwa imara bara bara. ii. Huibinya na kuiziba mishipa ya vena na hivyo kuzuia kunyonya ama kufyonza damu iliyo ingia ndani ya mishipa ya uume. ( KAZI KUBWA YA MISHIPA YA VENA ILIYO KARIBU NA MISHIPA YA UUME NI KUHAKIKISHA HAKUNA DAMU NDANI YA MISHIPA YA UUME. HIVYO BASI DAMU INAPOINGIA NDANI YA MISHIPA YA UUME, MISHIPA YA VENA HU βSENSEβ JAMBO HILO KWA HARAKA NA HIVYO KUIFYONZA DAMU HIYO KUTOKA KWENYE MISHIPA YA UUME YA KUITOA NJE YA MISHIPA YA UUME. NA DAMU INAPOKOSEKANA NDANI YA MISHIPA YA UUME, HUUFANYA UUME KUSINYAA NA KULEGEA ) Mtu anayepiga punyeto husababisha mambo yafuatayo katika mwili wake : 1. Huua nguvu ya mishipa & misuli ya uume ambayo ndio inayo husika na kusimama kwa uume 2. Mishipa ya uume inapo sinyaa na kukosa nguvu yake ya asili, husababisha mambo yafuatayo : i. Huondoa uwezo wa mishipa & misuli ya uume kutanuka, na hii ndio sababu inayo wafanya waathirika wa punyeto kutumia nguvu nyingi sana katika kuufanya uume usimame. ii. Huondoa uwezo wa mishipa & misuli ya uume kuibana na kuiziba mishipa ya vena, na hii ndio sababu inayo fanya waathirika wa punyeto kufika kileleni haraka sana, kwani damu inayo ingia kwenye misuli ya uume hufyonzwa ndani ya muda mfupi sana. Hii hutokea kwa sababu mishipa na misuli ya uume inakuwa imelegea,na mishipa ya vena inakuwa imepwaya, hivyo msuguano wowote ule hufanya mishipa ya vena kufunguka na kufyonza damu kutoka kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kusinyaa ndani ya dakika ama sekunde chache sana. 3. Vile vile punyeto hufanya uume kusinyaa na kurudi ndani na kuufanya uonekane k**a uume wa motto mdogo. Kwa ufupi punyeto husababisha ukosefu wa nguvu za kiume kwa sababu kuu zifuatazo : i. Kwanza hudhoofisha na kuharibu mishipa ya uume, ambayo ndio hufanya uume kusimama. ii. Pili hudhoofisha utendaji kazi wa mishipa ya ateri, ambayo ndio hutumika k**a njia ya kusafirisha damu kupeleka kwenye misuli ya uume na ivyo kuufanya uume usimame iii. Tatu, punyeto hupelekea kuvuja kwa mishipa ya vena na hivyo kusababisha damu kufyonzwa kwa haraka sana kila iingiapo ndani ya misuli ya uume na matokeo yake ni uume kusimama kwa muda mfupi sana wakati wa tendo la ndoa. iv. Punyeto huathiri mtiririko wa damu kwenda kwenye mishipa ya uume, kwa sababu hudhoofisha misuli & mishipa ya uume pamoja na mishipa ya ateri ambayo ndio hutumika katika kusafirisha damu kwenda kwenye uume DALILI ZA MTU ALIYE ATHIRIWA NA PUNYETO Dalili kuu za mtu aliye athiriwa na punyeto ni k**a ifuatavyo: i. Uume kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto ii. Uume kurudi ndani iii. Uume kusimama ukiwa legelege iv. Kufika kileleni haraka wakati wa tendo la ndoa. Ndo unakuja kuoa binti wa watu baada ya muda mfuoi tu anashangaa tendo la ndoa huwezi anahisi una michepuko au humpendi tena migogoro inaanza... kumbe kuna jambo lilishaharibika na hukuwahi kujua nini ufanye ili kurejesha hali imara na murua. MSAADA WA UHAKIKA UPO. Hata hivyo inawezekana kabisa kuondoa ATHARI hizo zinazosababishwa na kujichua kwa muda mrefu. Ingawaje ni lazima kuongea na mhusika na kujua amefanya hivyo kwa muda gani na mara ngapi kwa wiki nk kwa miaka mingapi, na kufahamu mazingira aliyopo na mambo yaliyofanya akaanza kujichua. Yoye haya tunasema ni case to case basis. Ila kuna njia za kukusaidia kurejesha nguvu zako za kiume na kuimarisha tena misuli ya uume na kuufanya usiwe unarudi ndani k**a wa mtoto pamoja na kukusaidia kabisa kuacha kujichua. K**a unataka kujifunza zaidi na kusaidiwa kuondokana na athari hizo karibu tuzungumze kwa ajili ya msaada zaidi. Mawasiliano haya hapa: Whatsapp 0764631685
12/01/2022
Tumia hii leoo kwa furaha ako,,, na familia ako
11/01/2022
Imarisha afya yako,, ya mwili na akili kwa kutumia virutubisho bora na asili,, upate nguvu,,,
Suluhisho lipo sasa,, hauna haja ya kuendlea kupigizana makeleele na mpenzi wako.
06/01/2022
Tumia hii leoo upate nguvu
05/01/2022
Imarisha afya ako,, kwa virutubisho asili, kabsa,,,
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 14:00 - 17:00 |
| Tuesday | 14:00 - 17:00 |
| Wednesday | 14:00 - 17:00 |
| Thursday | 14:00 - 17:00 |
| Friday | 14:00 - 17:00 |
| Saturday | 14:00 - 17:00 |
| Sunday | 14:00 - 17:00 |