Tina na afya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tina na afya, Health/Beauty, Dar es Salaam.
15/04/2022
Popote ulipo huduma yetu inakufikia
15/04/2022
Tumia vyakula vyenye nyuzinyuzi kuepuka changamoto za mfumo mbovu wa mmengenyo wa chakula
15/04/2022
Wasiliana nasi kupitia namba
0688842384
kupata suluhisho la
changamoto zako
15/04/2022
Chukua hatua mapema
15/04/2022
Mahali popote ulipo huduma yetu inakufikia
EPUKA MATATIZO YA MMENG'ENYO MBOVU WA CHAKULA.0688842384
UNAJUA BAWASIRI NI NINI
Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
CHANZO CHA TATIZO
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
👉WAJAWAZITO
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉Kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
Wasiliana nasi Kwa Namba 0688842384
15/04/2022
👉BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo
la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa
na huambatana na maumivu makali na
kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu
Hilo pia husababisha mishipa ya damu
(vena) kupasuka na damu kuganda na
kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo
15/04/2022
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
👉BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya
mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani
na maumivu na wengi huwa hawajitambui
kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na
kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani
ya mfereji wa haja kubwa
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |