Tiba bf suma
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba bf suma, Health/Beauty, mwenge mataa, Dar es Salaam.
bf suma ni kampuni inayojihusisha na tiba asili za magonjwa mbalimbali ya binadamu ambayo imesajiliwa na shirika la afya,dawa zetu ni za uhakika na zimeponya watu wengi wotemnakaribishwa kufika ofisin
27/09/2022
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
ni hali inayotokea mwanaume pale ambapo uume wake kushindwa kusimama kabisa au kutoweza kuendelea kusimamama barabara na kukamilisha tendo la ndoa.
VITU AMBAVYO HUPELEKEA UUME KUSIMAMA VIZURI
●Mishipa ya damu inayozunguka uume ifanye kazi vizuri
●damu iifadhiwe ndani ya uume
●hisia kutoka kwenye ubongo
●mzunguko wa damu kwenye uume na ubongo lazima uwe wa uhakika
SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
●Matumizi ya sigara,pombe,bangi na sh**ha
●mapenzi ya jinsia moja
●stress/msongo wa mawazo
●ulaji mbovu wa vyakula vya mafuta
●sababu za kisaikorojia huathiri hisia
●hofu,huzini,ugomvi kila siku
●PUNYETO
●magonjwa ya sukari,pressure,vidonda vya tumbo, tatizo la mifupa na uzito mkubwa
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
●Uume hausimami kabisa
●uume kusimama legevu
●uume kusimama kwa mda mchache
●huwezi kurudi round nyingine
●huwezi kwenda bao zaidi ya 5
●unachukua mda mrefu kurudia round nyingine..wakati mwanaume kamili hutumia sekund mpk dak 2 kurudia round
●kuchelewa kumwaga,tafiti zinasema mwanaume hitumia dk 15 mpk 25 kumaliza round,ikiwa chini ya dk15 anatatizo na ikiwa zaidi ya 25 anatatizo pia
●Kutoa shahawa nyepesi
MADHARA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
●kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
●kuathirika kisaikolojia
●kuwepo ugomvi kwenye mahusiano
●kutokujiamini na kumdhalilisha mwanamke
●kutoweza kumtungisha mwanamke mimba
●utaachana na kila mwanamke kwani hakuna mwanamke atakayeweza kuishi na mwanaume ambaye afunction
NOTE; upungufu wa nguvu za kiume sio ugonjwa ila ni ukosefu wa virutubisho na madini mwilini pia ni kuziba kwa mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye uume na ubongo....k**a unadalili izo hapo jua njoo inbox niweze kukusaidia kwani madhara uwezi yaona yote asaivi utayaona kwenye ndoa pia mficha maradhi kifo humuumbua....tumeweza kuwasaidiaa wengi kwa hizi bidhaa zetu na wameweza kutibu tatizo....0623636598
25/09/2022
UVIMBE KWENYE KIZAZI
ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la uzazi au ndani ya kizazi kutokana na kuvurugika kwa homoni.
DALILI ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI
●kupata hedhi nyingi kupit kiasi
●hedhi kutoka mda mrefu
●maumivu ya nyonga,tumbo chini ya kitovu, mgongo na miguu
●kukojoa mara kwa mara na kutomaliza mkojo
●kupata choo kigumu
●tumbo kujaa gesi
●maumivu makali wakati wa hedhi
SABABU ZA UVIMBE
●kuvurugika kwa homoni ambapo husababishwa na PID na UTI
●kurithi
MADHARA YA UVIMBE
● kukosa mtoto
●kuishiwa damu
NOTE; Upasuaji wa uvimbe ni hatari kwa afya kwani hupelekea yafuatayo
●kuharibu kizazi kabisa
●kupoteza maisha kwa kupoteza damu nyingi
Tunabidhaa asili na virutubisho lishe vitakavyosaidia kutibu na kuponyesha uvimbe bila upasuaji karibu tukuhudumie
tupo mwenge mataa karibuni sana
0623636598
21/09/2022
hii dawa imetengenezwa na uyoga unaoitwa gadonema unafaida nyingi sana k**a
●huondoa uvimbe kwenye kizazi
●hutibu kisukari na kuponyesha vidonda vilivotokana na sukari
●hulinda ini na kutibu ini
●hutibu tatizo la saratani
●huondoa tatizo la ganzi
●husaidia mwanaume mwenye tatizo la nguvu za kiume
Tunapatikana mwenge mataa unaweza kutupigia 0623636598 kwa msaada zaidi
21/09/2022
Ewe mwanaume mwenye changamoto zifuatazo tupigie 0623636598 kwa msaada zaidi;
●kuwahi kufika kileleni
●uume legevu
●uweze kwenda bao nyingi yaani chini ya bao 5
●unachukua mda mwingi kurudia round nyingine
●unatoa shahawa nyepesi
●unatatizo la tezi dume
tupo mwenge karibu sana
11/09/2022
hii dawa inawafaa sana watu wenye pressure,kisukari,matatizo ya moyo na stock/kiharusi
10/09/2022
karibu tukuhudumie..dawa izi husaidia kuongeza ute ute kwenye mifupa ivo huondoa maumivu kwenye viungo na huondoa hali ya kusagana kwenye mifupa
07/09/2022
HORMONE IMBALANCE; ni kemikali zenye nguvu ambazo huzalishwa na matezi. kazi za homoni ni kumsaidia mwanaume awe na tabia za kiume k**a vile ndevu,besi,nguvu na misuli. na pia humfanya mwanamke kuw na tabia za k**e k**a vile sauti nyororo, nywel kuvutia, na ngozi laini.
DALILI ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZINAWEZA KUMPATA MWANAUME AU MWANAMKE
●overbleeding/damu kutoka zaid ya wiki moja wakati wa hedhi
●hedhi kutoeleweka yaan kutokuwa na mpangilio
●kukosa hamu ya tendo la ndoa
●kutoshika mimba/kutompatish mwanamke ujauzito
●kupata michirizi yenye rangi ya puple au pink
●maumivu na kuvimba kwa viungo
●nywele kupuputika na kuwa nyepesi
●kutopata choo
VISABABISHI VYA KUVURUGIKA KWA HOMONI
●kutoa mimba ovyo
●pid sugu,uti,fangasi ukeni
●chango
●kukoma kwa hedhi
●ulaji mbovu yaani kula vyakul vya mafuta kwa wingi
●kisukari
●goita
●unywaji pombe kwa wingi na uvutaji sigara
●matumizi ya homoni za bandia
MADHARA YA KUVURUGIKA KWA HOMONI
●kuota nywele zisizo za kawaida kwenye kidevu,usoni na sehemu zingine za mwili
●kupoteza nywele
●uke kuwa mkavu na kukosa raha ya tendo la ndoa n kupata maumivu wakati wa tendo
●kutoweza kubeba mimba au mimba kutoka kila mara
●maumivu ya kiuno,mgongo na tumbo chini ya kitovu
●kuvimba kwa kuta za uke na kuvimba kwa uke
●kupata maotea kwenye ngozi na sehemu za siri
k**a una dalili hizo hapo juu karibu tukusaidie na utapona kabisa dawa zetu ni za asili tunapatikana mwenge mataa kwa mawasiliano zaidi tupigie au kutututumia ujumbe whatsp 0715199576
04/09/2022
Anatic soup ni sabuni iliyotengenezwa na asali,limao na manjano inayokufanya uwe sofy na kutibu vitu vifuatavyo/;
●chunusi
●madoa na makovu
●harara
●upele
●mba
●mapunye
karibu sana tukuhudumie inapatikana kwa shiling elf 8 tu yaan hautajutia
0715199576
03/09/2022
KAZI NA FAIDA ZA FEMICARE
>huweka maeneo ya siri safi na salama
>hutibu na kukinga maradhi ya maeneo ya siri
>inaondoa maji maji yenye harufu na miwasho ukeni.majimaji hayo yanaweza yakawa ya rangi ya kijani,njano,cream,mgando k**a maziwa na yaliochanganyika na damu
>husaidia kutibu na kukinga dhidi ya maradhi ya mkojo(u.t.i sugu)
> husaidia kutibu PID
>huzuia kusinyaa na kubana misuli ya uke
>inatibu vijidudu vinavyosababisha upele sehemu za siri
>husafisha kizazi kwa wale waliotoa mimba au mimba kuharibika
>husaidia kutibu kwa kusafisha na kuzibua mirija ya uzazi
>kuua bacteria wanaosababisha STDs
>huondoa kuwaka moto ukeni
>hurudisha uke katika ujana na kumfanya mume afurahi zaidi
Tumia siku 7 hadi 10 kwa matibabu
Dawa zetu ni za asili yaani tiba lishe na huponyesha kabisa tunapatikana mwenge mataa kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia namba
0715199576
NB; tunafanya delivert bure kwa walioko dar kwa mikoani tunatuma kwa uaminifu kabisa. Dawa inapatikana kwa sh 40000 na mteja analipa baada ya kupokea mzigo kwa wateja wa dar
karibuni sana tuwahudumie tumesajiliwa na mamlaka zote vyeti vipo hapo chini
01/09/2022
MAZIWA MGANDO / MTINDI
... k**a miwasho inakusumbua sana sehemu nyeti kwa sababu ya fangasi unaweza kutumia njia hii pia
Chukua maziwa mtindi kisha utatia asali kidogo tu kisha utachanganya na kujipaka maeneo ya nje ambayo unahisi muwasho kwa dakika 15 kisha utajisuuza kwa maji mengi.
Kikubwa zingatia usafi na mlo k**a ambayo huwa nafundisha mara kwa mara
Endelea kujifunza na kuzingatia, matokeo mazuri yapo
Ikiwa una changamoto ya uzazi na ungependa nikusaidia namna ya kuitatua, Niandikie hiyo changamoto kwenda WhatsApp namba 0715199576
Ukihitaji dawa ya kukusaidia kusafisha mfumo wako wa uzazi na matatizo ya homoni ipo FEMICARE
Hii tiba lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo
✓ Itakusaidia kusafisha via vya uzazi.
Inasafisha mirija ya uzazi, huondoa majimaji au uchafu kwenye tumbo la uzazi, na inaondoa maambukizi ya fangasi na P.I.D sugu
✓ Itakuondolea makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, kwenye mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars & ovarian cysts)
✓ Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii itakusaidia pia kuondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi k**a unapata tatizo la kukosa hisia, kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo, period kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, mayai kutokupevuka, kukosa kubeba mimba n.k....
Unaipata dozi hii kwa tsh 40000 tu popote ulipo
Usafirishaji ni bure
Weka oda kwa kupiga simu au kwa kutuma ujumbe kwenda namba 0715199576
Mwanamke yeyote unapokuwa hedhini....
1: Usitumie kinywaji cha baridi sana hata k**a ni maji hakikisha yanakuwa ya joto la kawaida
2: Epuka vinywaji vyenye kafeina (caffeine) k**a kahawa, soda za viwandani na kinywaji chochote k**a kina kafeina inasababisha kuvurugika kwa siku za hedhi na misuri ya tumbo kukaza hivyo kukusababishia maumivu ya tumbo
3: Usibebe vitu vizito sana au kufanya kazi ngumu sana siku za hedhi kutoka
4: Usitumie tango wala juisi yake kipindi cha hedhi maana ubaridi wake hufanya mwili kupoa sana na kusababisha maumivu wakati wa hedhi
Katika kipindi hiki ni vyema kutumia vyakula / viungo vya kuongeza joto mwilini mfano tangawizi, iliki, manjano, karafuu, mdalasini, kitunguu saumu, lozi (almonds), matunda na mboga za majani...
Nikukumbushe kuwa
• Mwanamke mwenye changamoto za homoni / hedhi ni muhimu kuacha matumizi ya sukari nyingi, vitu k**a keki, ice cream, keki, soda n.k ni vitu ambavyo hupaswi kuviendekeza maana huvuruga zaidi mpangilio wa homoni
• Punguza au Ikibidi achana na matumizi ya nafaka za kukobolewa mfano sembe, wali mweupe na ngano nyeupe, sio rafiki kwa wenye changamoto hizi za homoni / hedhi
• Kuhusu pombe na vilevi hivyo kila mmoja anafahamu kuwa si rafiki wa afya kwa ujumla... Tumia kiasi au Acha maana hutopungukiwa na chochote usipolewa
MAMBO YA KUZINGATIA ZAIDI
• Tumia kwa wingi nafaka zisizokobolewa ugali wa dona, wali wa brown, ngano isiyokobolewa, viazi vitamu, mihogo, n.k
Ili kubalansi homoni za uzazi kwa wingi zaidi tunahitaji sana vyakula vyenye Omega 3, Folic, Vitamin C, Faiba na Vitamins kwa wingi zaidi ambapo orodha hii ya vyakula ni pamoja na kula vyakula vya baharini k**a samaki wabichi, karoti, parachichi, mboga za majani aina zote, papai, mafuta ya zeituni, maharage ya soya, walnuts, mafuta ya n**i, matunda aina zote, mayai ya kienyeji, maziwa, broccoli, mrehani, mdalasini, iliki, tangawizi, mchemsho wa ndizi na nyama / kongoro, n.k
Nimekupa orodha, wewe utaamua utavyoweza kupangiliakulingana bajet
01/09/2022
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANAPUNGUKIWA AU KUISHIWA NGUVU ZA TENDO?
Hali hii husababishwa na mambo mbali mbali k**a vile:
*Kujichua
*Mishipa ya dhakari kulegea au kuwa na mafuta au mabaki ya kemikali za Busta na hivyo kuzuia msukumo mzuri wa damu kutoka kwenye moyo kwenda kwenye mishipa ya dhakari
*Magonjwa k**a kisukari, pressure, ngiri, bawasili, tezi dume na vidonda vya tumbo.
*Unene
SULUHISHO
*X POWER COFFEE ; ni dawa ya asili ya kisukuma inayoaminiwa na kutumiwa na jamii kutibu na kumaliza tatizo la upungufu wa nguvu za tendo
*Ni tiba inayomaliza tatizo moja kwa moja
*Inaimairisha mishipa ya dhakari iliyolegea
*Inasafisha na kuondoa mafuta na mabaki ya kemikali za Busta katika mishipa ya dhakari
*Inakufanya uchelewe kumaliza na inakupa uwezo kurudia tendo mara nyingi zaidi
*Dozi ni siku 14 matokeo yanaanza siku ya tatu ya matumizi ya dawa
*Bei sh 45000
KARIBUNI OFISINI KWETU DAR MWENGE MATAA. MIKOANI TUNATUMA KWA GARI YA OFISI
KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE AU TUTUMIE SMS/WHATSAPP KWA NAMBA 0715199576
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwenge Mataa
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |