JackAfyakwanza

JackAfyakwanza

Share

Tunatoa tiba ya uhakika na ushauri,Karibu tukuhudumie-piga0658121252

10/01/2023
04/01/2023

Watu wengi wamekua na changamoto ya maumivu ya magoti,nyonga,mgongo,mabega na viungo kwa sababu ya umri mkubwa,uzito,kuisha uteute au gegedu kwenye maungio,
Usiendelee kuteseka bure tibu tatizo kwa tiba asili,salama na ya kudumu
Piga 0776600769.Kwa ushauri na Tiba

30/09/2022

1.kuimarisha

Photos from JackAfyakwanza's post 26/09/2022
22/09/2022

TIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI
Ifahamu BAWASIRI..
Bawasiri ni ugonjwa wa kutokwa na nyama(uvimbe)kwenye njia ya haja kubwa,uvimbe huu una hatua kuu tatu(kama ukichelewa kutibiwa)
1.Uvimbe kotoka wakati kujisaidia haja kubwa na kurudi ndani wenyewe.2.Uvimbe kutoka nje wakati wa kujisaidia na baada ya kujisaidia mgonjwa anaweza kuurudisha na mkono.3.Hatua ya mwisho uvimbe kutoka nje na kuwa hauwezi kurudishika.
CHANZO CHA BAWASIRI
-Kupata choo kigumu kwa muda mrefu kinachosababishwa na ulaji mbovu
-Kufanya kazi ya kukaa kwa muda mrefu
-kwa baadhi ya watu hupata bawasiri kutokana Kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
MADHARA YA BAWASIRI
-Maumivu makali wakati wa kujisaidia Mara nyingine huambatana na damu pale uvimbe unapochubuka
-Kupungukiwa kwa nguvu za kiume kwa wanaume
-Tatizo likikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa husababisa saratani ya utumbo mpana.
USITESEKE BURE TIBU UGONJWA HUU MAPEMA TUPIGIE 0658121252

19/09/2022

Je unasumbuliwa na maumivu ya magoti yanayotokana na kuisha kwa gegedu?Je unasumbuliwa na maumivu ya kiuno,mgongo, na mabega.Usiteseke bure,tunatoa TIBA SAHIHI NA YA KUDUMU,pamoja na ushauri karibu tukuhudumie.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam