Reen Hair Products

Reen Hair Products

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Reen Hair Products, Beauty, cosmetic & personal care, Msasani Road, Dar es Salaam.

12/06/2026

💯 Mwanaume nadhifu huonekana tu

Reen Curl Cream hukusaidia kuweka nywele zako zikiwa laini, zenye unyevunyevu wa kutosha na mwonekano wa kuvutia siku nzima.

✔️ Hakuna ukavu
✔️ Hakuna mabaki meupe
✔️ Muonekano safi na wa kuvutia

📩 Agiza sasa
💰 Tshs 35,000

12/06/2026

Kila mzazi anatamani kuona mtoto wake akiwa na nywele safi, laini na zenye afya.

REEN Kids Hair Care Set ni organic imeundwa kwa upole wa hali ya juu kwa nywele za watoto

✅ Husafisha nywele na mwili kwa upole
✅ Husaidia kuhifadhi unyevu wa nywele
✅ Hupunguza kukatika na ukavu wa nywele
✅ Hufanya nywele ziwe laini na rahisi kuchana
✅ Husaidia curls kuonekana nadhifu na zenye umbo zuri
✅ Husaidia nywele ziwe na afya, nguvu na kung’aa

💰 Set Kamili: Tshs 110,000 tu

Mpe mtoto wako utunzaji anaostahili kuanzia leo.

📦 Tunafanya delivery maeneo mbalimbali.

11/06/2026
Photos from Reen Hair Products's post 11/06/2026
11/06/2026

🔥 NDIVYO NDEVU ZINAVYOPASWA KUONEKANA! 🔥

Pata muonekano wa ndevu nene, laini na zenye afya kwa kutumia Reen Ndevu Package 🧔🏾✨

✅ Huchochea ukuaji wa ndevu
✅ Hupunguza ukavu na kuwasha
✅ Hulainisha na kuzipa mwonekano mzuri
✅ Husaidia kuimarisha mizizi ya ndevu

Package hii imeunganishwa kwa uangalifu ili kukusaidia kupata ndevu zenye kuvutia na kujiamini zaidi kila siku.

Tshs 70,000

📩 Wasiliana nasi kuagiza sasa
🚚 Tunasafirisha popote ulipo

NdevuZenyeAfya

10/06/2026

A well-groomed man pays attention to the details. 💯

Keep your hair moisturized, neat and fresh with Reen Curl Cream.

No flakes. No dryness. Just healthy-looking hair.

📩 Order yours now
Tshs 35,000

10/06/2026

💈 Nywele zako ni natural au zina curls, waves au zinafrizz kirahisi? Curl Cream ndio suluhisho!

✅ Hufanya curls zionekane vizuri na zenye shape nzuri
✅ Hupunguza frizz na ukavu wa nywele
✅ Hutoa moisture kwa muda mrefu
✅ Hufanya nywele ziwe laini na rahisi kutengeneza

Jinsi ya kutumia:

1. Osha nywele zako na uzikaushe kidogo.
2. Weka kiasi kidogo cha Curl Cream kwenye viganja.
3. Paka kwenye nywele kuanzia mizizi hadi mwisho.
4. Tumia vidole au sponge kufanya curls zako zitoke vizuri.
5. Acha zikauke naturally.

Pata curls zenye afya, mwonekano safi na confidence kila siku! 🔥

💰 Tshs 35,000
📩 Inbox kuagiza.

10/06/2026

✨ Umejaribu kila kitu lakini curls zako bado hazionekani vizuri?

Curl Cream yetu ndiyo suluhisho! 💯

✅ Hufanya curls ziwe defined na zenye mvuto
✅ Hupunguza frizz na ukavu
✅ Hutoa unyevunyevu wa muda mrefu
✅ Hufanya nywele ziwe laini na rahisi kutengeneza
✅ Inafaa kwa natural hair, curls na coils

Bei: TSHS 35,000 tu

Pata curls zenye afya, mwonekano mzuri na confidence kila siku! 😍

📩 Inbox kuagiza

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Msasani Road
Dar Es Salaam