Suluhusho la afya
Afya Sahihi na Suluhisho la Afya ya Uzazi kwa Mwanaume na Mwanamke
24/02/2023
__
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
Saratani ya tezi dume ni nini?
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume
Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii
Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
Unene uliokithiri
Ukosefu wa mazoezi
Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.
Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume
Dalili zake ni zipi?
Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
Kwenda kukojoa mara kwa mara.
Damu ndani ya mkojo.
Kushindwa kukojoa.
Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
KWA USHAURI ELIMU SULUHISHO PIGA AU TUMA UJUMBE (SULUHISHO) WHATSAPP NO 0716183086
24/02/2023
@downloader_
__
Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa uwezo wake kitandani
1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka halafu unahisi usingizi .
2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.
3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.
4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kufika kileleni ,ule uchangamfu unapotea kabisa.
5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .
6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.
7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.
8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.
K**a hizi dalili tajwa hapa juu unazipata basi ni wazi umeanza kupungukiwa uwezo wako k**a mwanaume
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikiwasaidia wanaume wenye changamoto k**a tajwa na wanapona kabisa Nitakupatia Matibabu Utapona Kabisa Hali Yako Itakuwa vizurii K**a awali
Chukuwa hatua Mapema Kabla Tatizo Halijawa kubwa.
Nitumie Ujumbe Whatsapp andika neno IMARIKA +255 716 183 086
Usisahau kutembelea page yetu kwa ajili ya kujifunza zaidi
17/02/2023
Kwa Ushauri Elimu Suluhisho Mawasiliano Piga No 0716183086
17/02/2023
Kwa Mawasiliano Piga Au Tuma Ujumbe Whatsapp No 0716183086
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
11101
08/03/2023
21/02/2023
21/02/2023
21/02/2023
21/02/2023
21/02/2023