Suluhusho la afya

Suluhusho la afya

Share

Afya Sahihi na Suluhisho la Afya ya Uzazi kwa Mwanaume na Mwanamke

08/03/2023

24/02/2023

__

Tezi dume ni nini?

Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

Unene uliokithiri

Ukosefu wa mazoezi

Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.

Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

Dalili zake ni zipi?

Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
Kwenda kukojoa mara kwa mara.
Damu ndani ya mkojo.
Kushindwa kukojoa.
Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
KWA USHAURI ELIMU SULUHISHO PIGA AU TUMA UJUMBE (SULUHISHO) WHATSAPP NO 0716183086

24/02/2023

@downloader_
__

Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa uwezo wake kitandani

1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka halafu unahisi usingizi .

2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kufika kileleni ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

K**a hizi dalili tajwa hapa juu unazipata basi ni wazi umeanza kupungukiwa uwezo wako k**a mwanaume

Kwa Muda mrefu nimekuwa nikiwasaidia wanaume wenye changamoto k**a tajwa na wanapona kabisa Nitakupatia Matibabu Utapona Kabisa Hali Yako Itakuwa vizurii K**a awali

Chukuwa hatua Mapema Kabla Tatizo Halijawa kubwa.

Nitumie Ujumbe Whatsapp andika neno IMARIKA +255 716 183 086

Usisahau kutembelea page yetu kwa ajili ya kujifunza zaidi

17/02/2023

Kwa Ushauri Elimu Suluhisho Mawasiliano Piga No 0716183086

17/02/2023

Kwa Mawasiliano Piga Au Tuma Ujumbe Whatsapp No 0716183086

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
11101