brembo_beauty
brembo_beauty products are all about using products for your skin that are natural and wholesome at a
14/07/2022
J✋🏻NDUNDU MKOLENI* *✋🏻NINI UFANYE KATIKA NGOZI UTOKAPO JIKONI/JUANI* -Wakati wa kupika au kuzurura ndio wengi tunaludi na manundu hari ambayo wengi utushangaza na kulaumu vipakwa tupakavyo kumbe hata havihusiki ni sie wenyewe tumeshindwa fanya skincare yakueleweka ili ngozi ya uso itulie. -asubuhi unaamka unaroutine nzuri sana ya ngozi yako wengi mwesho wa routine zetu haiwi sunscreen uwa lotion wala haujui k**a ulitakiwa upake sunscreen ndio utoke yani hauna ujualo kuhusu sunscreen hao tunachanja mbuga kwenda tafuta rizki. -wakati tunatoka jua linatupiga usoni tukumbuke tunalotion usoni asilimia95 ya lotion ni mafuta yanakaangwa vizur sana usoni na jua tunaporudi mbio jikoni tukumbukacho kunawa mikono tunaingia pika uso ushausahau -umetoka jua limekutandika umeludi jikoni direct moto unakutandika kisawa sawa lotion ulopaka ni mafuta yashachange na kuwa acid kali acid ikishak**atwa na joto uzidi nguvu na kugeuka sumu mchakato unaanzia hapo bacteria wanapiga vigeregere kwa makalio sio kwa msosi wanaopata hapo mwari wangu tabia hii ukipiga week2 tu kubari kataa uso utaharibika lazima yani utakupagawisha hautakaa uamini🤣mwanamke mzuri unauso umeja amanundu k**a umeingia jumba la dondola🤣🤣🤣 *✋🏻CHAKUFANYA* -Uludipo miangaikoni chakwanza osha mikono yako na maji safi kabisa na sabuni ukishaosha chukua maji bila sabuni osha uso wako vizur sana ukimaliza osha uso wako vzr na maji chukua sabuni utumiayo ya brembo mimi utumia brembo magic soap chukua povu tia maziwa mkononi hii usaidia kusafisha kuondoa mafuta yote usoni na kuiludisha ngozi nawa vizuri povu lenye mchanganyiko maziwa na sabuni yako utumiayo ya brembo dk1 nawa maji safi vizuri tumia.maji baridi kawaida sio baridi ya friji maliza hapo acha uso ukauke au futa na tissue au kitambaa safi cotton laini. -jipulizie brembo toner usoni kubalance ph ya uso maana ulipotoka kumbuka ushajivulunda kisawasawa so pulizia usoni ili ubalance ph vizuri and then relax sasa k**a wataka ingia jikoni wait dk5 paka sunscreen alafu kapike hauna sunscreen basi kapike ukitoka jikoni nawa maji baridi kawaida ili uipoze ngozi bila sabuni wee nawa alafu relax
13/07/2022
*🫒BREMBO GEL MOSTURISER*
-Haya ni mafuta laini yalio kwenye mfumo wa gel mahsusi kwa wenye ngozi kavu,pumu ya ngozi,walioungua na vipodozi vikali na allegy.
*-Ruksa kutumiwa kwa ngozi za watoto kuanzia 0-17yrs*
*-yanauwezo mkubwa wakukupa unyevu katika ngozi siku nzima*
*VILIVYOMO KWENYE BREMBO GEL MOSTURISER👇🏼👇🏼*
*-SESAME OIL*
*-SHEABUTTER*
*-BAOBAB OIL*
*-SEAWEED*
*-VITAMIN E*
*-GYCELINE*
*FAIDA ZAKE*
-Uongeza unyevu katika ngozi
-Ulainisha ngozi
-uondoa mikunjo katika ngozi
*🥑MATUMIZI*
jipake brembo gel mosturiser kila siku kwa kuipa ngozi yako unyevu aswa unapokuwa kwenye baridi kali,maeneo yenye Ac hakikisha ngozi ni safi ndio unajipaka paka brembo gel moaturiser k**a muhitaji k**a ilivyohainishwa hapo juu👆🏻wenye ngozi ya mafuta huruhusiwi kuipaka usoni.
*unaweza mix brembo gel mosturiser na lotion unayotumia*
*UTAIPATA KWA TSH.20,000*
13/07/2022
*NDUNDU MKOLENI* *NYAYO*
-Wengi wenye miguu migumu uwa na asili ya ngozi kavu wengine kujiendekeza mwanamke hajui mara mwisho lini kusugua nyayo yake mwanamke kutwa snapu yanga ile soks ya miatano kuvaa ànaona kaz utaacha kuwa na nyayo ngumu k**a glass ya gongo🤣🤣🤣🤣🤣🤣weee mwanamke hata kisugulio mguu ndani hana kaoga maji mbio unazania iyo nyayo itajisafishaje na kutwa mguu njiani km unasambaza sare ya kipaimara🤣🤣🤣🤣haiya sikia wewe kwanza hakikisha mguu wako kila siku ukikoga unausugua vzr week mara moja fanya ivi chukua maji moto tia kwenye beseni tia brembo sesame soap au polishingsoap kwenye maji moto tia chumvi mawe loweka miguu dk5 toa sugua miguuu vizuri na kisafishio miguu futa miguu yako paka brembo gel mosturiser,kila siku ushindapo nyumbani vaa visoks vya ndani izo tiles tunajitia wajuzi kuweka matiles ndani alafu tunatafuta mchawi wa nyayo zetu jamani tiles zinakomaza nyayo tiles ndio adui wa kwanza kufanya uwe na nyayo ngumu una soks vaa viatu ndani usitembee peku hakikisha mguuu haukai bila soksi ndani k**a nyayo zishakuwa ngumu k**a zulia la jikoni hakikisha unachukua brembo mosturiser gel mix na RS olive oil paka nyayo vaa soksi week nyingi utakaa sawa kabisaa.🔥🔥🔥
Alhamdulillah
Mama Samia amenena! Tusikate tamaa kwenye biashara au kwenye maisha
27/06/2022
*KWA NINI NIGHTCREAM IPAKWE USIKU TU*
*NIGHTCREAM INA mafuta ya buriti oil, mafuta haya ya buriti yana uwezo mkubwa wakupambana na bacteria hatari wa ngozi mafuta haya yanapopatwa mionzi ya jua yanapoteza ubora wake na ndio mafuta yalioibeba nightcream yote ndio maana tunashauri nightcream kupakwa usiku ili ufanye kazi kwa usahihi.*
26/06/2022
AINA TATU ZA LOTION TOKA BREMBO
🟡K**A UNATAKA KUNG'AAA TUMIA BRIDAL LOTION UTAIPATA KWA TSH.50,000 KOPO TRANSPARENT NDANI LOTION RANGI YA ORANGE
🟡K**A WEWE NI MWEUPE AU CHOCOLATE COLOR TUMIA BREMBO WHITENING LOTION. UTAIPATA KWA TSH.30,000 KOPO JEUPE
🟡K**A NI MWEUSI,/MELANIN TUMIA BREMBO NATURAL LOTION👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻
KOPO LA NJANO UTAIPATA KWA TSH.25,000
26/06/2022
BREMBO TONER
Kiufupi hii tonner will transform ngozi yako kuliko ilivyo mnoooo njoo ushuhudie muujiza wa kukombolewa Ngozi Yako😀😀😀 🟡 Inasaidia kukaza ngozi , kuweka collegen kwenye ngozi kwa hiyo ngozi inakuwa imejaa vizuri na inakuwa hai-drop coz Ina vitamin E tujikumbushe ni Antioxidants. 🟡Ngozi inakuwa smothie & super soft mashallah nani alikuambia vitamin C iliyoko Kwenye maganda ya chungwa ni mchezo mchezo Ile ni Brightening coz Iko na citric acid nani hataki kung'aa 😀😀😀 🟡Inasaidia Kuondoa uchafu uliopo kwenye ngozi ambao sabuni pekee haiwezi kutoa my dear izo breakout unazopambana nazo coz huoshi USO completely Aya ongezea tonner Yako ya KIBREMBO Kwa skin care uwake. 🟡Inaiandaa ngozi kwaajili ya kupokea vipodozi vingine ili viweze kufanya kazi vizuri bila ya kikwazo chochote. BEI 20,000 CALL #0719671744
Vipi weekend imeshafika huko?
14/06/2022
💓Kama unahitaji kutunza NGOZI YAKO KWA BIDHAA ASILIA ....inabidi ujue kwamba,natural products works slow but sure,its not like you will see result in three days or a week, hiyo ikae Kwa head narudi not 3 days or one week. 😍
Inahitajka commitment, patience and consistency 😜
But the reward with natural products is you will gain long lasting results sio ile ukiacha kutumia basi unafubaa hapana and thats REALLY good 😄.
UNAPENDA NGOZI NZURI KIPENZI CHANGU NICHEKI NIKUPE MUONEKANO AMAZING 📞 #0719671744
🚌🚌🌍🌍
👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼SASA UTACHAGUA KUNUKA KWAPA K**A NG'OMBE MZAZI AU KUNUKIA UTAMU WA BIBI K**A BI HARUSI WA KIHINDI😂😂😂😂😂😂😂😂👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼NA BAHIRI HANUKIIIII KUTOKA GRAM 20 NASASA NI GRAM 150👌🏼👌🏼👌🏼👌🏼UTAIPATA KWA TSH.40,000(ELFU AROBAINI*)
Piga 0687946134 au 0719671744
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Gongolamboto And Kinondoni
Dar Es Salaam