Afya yangu

Afya yangu

Share

Afya yangu

03/07/2021

VIDONDA VYA TUMBO NA TIBA YAKE
*Dalili za vidonda tumbo*
0763858426
1. Maumivu makali au kiungulia maeneo ya chembe moyo (epigastic pains): Maumivu juu kidogo ya tumbo mara nyingi huendana na muda wa kula chakula. Mtu mwenye vidonda kwenye tumbo (gastric ulcers) hupata maumivu makali sana kipindi anapokula au mara tu baada ya kumaliza kula wakati aliye na vidonda kwenye sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenal ulcers) hupata maumivu makali anapokuwa na njaa na hupata nafuu pindi anapokula.

2. Kuvimbiwa au tumbo kujaa gesi. Hali hii pia yaweza kuendana na kubeua au kujamba mara kwa mara.

3. Kucheua na kuongezeka kwa mate yanayoshuka tumboni baada ya kucheua.

4. Kichefuchefu na kutapika

5. Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito

6. Kutapika damu

7. Kupata haja kubwa ya rangi nyeusi au kahawia yenye harufu mbaya sana. Hii humaanisha mgonjwa anapata haja kubwa au choo kilichochanganyika na damu kwa mbali

Uwepo wa dalili k**a kiungulia cha muda mrefu, kucheua na kutapika baada ya kula na historia ya kutumia dawa za kupunguza maumivu (NSAIDs) kwa muda muda mrefu bila kufuata ushauri wa daktari ni ishara tosha ya kumfanya mgonjwa kumuona daktari kumpima na kumfanyia uchunguzi ili kujiridhisha kuwa hana tatizo la vidonda vya tumbo.

*NB* :Iwapo una vidonda vya tumbo au Tatizo la kiungulia. Epuka
1.Kahawa
2.Matunda jamii ya Citrus k**a limao
3.Sigara
4.Pombe
5.Vyakula vyenye viungo vingi hasa pilipili

PIGA/WhatsApp. namba hizi UpatE suluhisho

0763858426

https://wa.me 255763858426

03/07/2021

UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE
👇
0763858426
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo-:

👉 Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi . Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua . Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe .

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣ Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
• Ugumba
• Kansa ya shingo ya kizazi
• Mirija ya uzazi kuziba
• Majeraha kwenye mirija ya uzazi

Wahi sasa tiba yipo iliyoandaliwa kitalamu zaidi Virutubisho lishe wasiliana nami . Tunapatkana


ipo
ipo
+255763858426

12/06/2021

0763858426

17/04/2021

Suluisho lipo tupigie kwa no 0763858426

03/04/2021

MADHARA YA NJIA ZA KISASA ZA UZAZI WA MPANGO.
0763858426
✍🏻Masuala ya uzazi na malezi kwa wanawake ni jambo lililo wazi kabisa lakini kutokana na maadili baadhi wamekuwa na woga wa kujadili wazi wazi. Hata hivyo baadhi ya wanawake hawa hupenda kuzungumzia haya madhara hasa wanapo kutana ili kubadilisha mawazo na hata kujifunza zaidi.
✍🏻Tuangalie MADHARA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO kutokana na njia husika.
MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA
👉🏻Usumbufu hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizungu zungu
👉🏻Kichefu chefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA
👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefu chefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
MADHARA YA KITANZI
👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.
MADHARA YA KIJITI
👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉🏻Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa
✍🏻TUMIA njia ASILI ya uzazi wa mpango.
✍🏻Kwa nini tunahangaika namna hiyo????🤔🤷🏼‍♂
CHUKUA TAHADHARI EWE MWANAMKE UNAATHIRIKA BILA KUJUA
✔Madawa haya yanasababisha ugumba na KANSA.........🤔🤷🏼‍♂
✔Ongea na mwenza wako ili mbadilishe maisha mnayoishi.
Piga +255763858426 Kwa ushauri

03/04/2021

"TUMBO KUUNGURUMA , KUJAA GESI NA KUTOPATA CHOO - ( CONSTIPATION )*.

♑"CONSTPATION NI NINI ?

👒Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara ChacheLakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka , Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo K**a tope Jeusi au Vipande Vipande K**a Cha Mbuzi na Kwa Kiwango Kikubwa Kinatawaliwa na Miungurumo isiyokwisha tumboni na Hewa Nyingi Wakati wa Kwenda haja ( Kujamba Sana ) Inayoambatana na Harufu Kali Sana.

♑CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?

👒Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakulaKwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula , Ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunzovuta Pamoja na Mafuta tunayokula kwenye vyakula huwa Viaenda kujipachika katikati ya Villars (vidole) na hivyo kusababisha vidole visimame (blocked) hivyo chakula Kinakuwa hakimeng'enywi na kusababisha chakula tunachokula kupitiliza moja kwa moja kwenye utumbo mkubwa K**a Kilivyo na hapo ndio tatizo linapoanzia.

👒Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo Vingi Sana Kwa Watu Mbali Mbali Mbali na Wengine Bila Kufahamu Chanzo Cha Magonjwa Waliyonayo - Hata Baada ya Vipimo Vya Kimaabala .

👒K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:

~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
~ Msongamano wa Hewa Kwenye Mapafu ( Kubanwa Mbavu na Kukosa Pumzi).
~ Maumivu ya tumbo Mara kwa Mara.
~ Muwasho Njia ya Haja Kubwa .
~ Maumivu ya Koromeo ( Kuhisi Kitu Kinapanda Kooni na Kushuka ).
~ Kiungulia .
~ Magonjwa ya Ngozi.Na Mengine Mengi Sana..

👒Kwa Msaada Zaidi Kuhusu Magonjwai Mbali Mbali na Suluhisho Lake - Wasiliana namba hii 0763858426

03/04/2021

JE, UNAJUA BAWASIRI NI NINI????!!
#0763858426
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
Piga #0763858426

03/04/2021

UGONJWA WA U.T.I SUGU UNATIBIKA,ACHA KUHANGAIKA,
#0763858426
UTI (Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.
UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo
MFUMO WA MKOJO
Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada
Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu
KISABABISHI CHA UTI
Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,
Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu
KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA WAKUBWA?
Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje
1.Urethra(mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana hivyo kuruhusu bakteria kufika kwa haraka kwenye kibofu
2.Pia mrija huo unafungukia sehemu ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni puru
Kwa wanaume ni vigumu sana ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake
WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI
#‎Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo
#‎Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo
#‎Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra
#‎Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk
KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)
Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo
1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena
2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria
DALILI ZA UTI
1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk
5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
JINSI YA KUTIBU UTI SUGU
Tunayo tiba maalum kwa ajili ya kutibu UTI sugu zilizoshindikana kwa dawa za hospitalini pamoja maaambukizi mengine k**a fangasi katika via vya uzazi
Kwa uhitaji na maelezo zaidi Piga 0763858426

03/04/2021

UVIMBE KWENYE KIZAZI.(FIBROIDS)
0763858426
Fibroids ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha unaoota na kukua kwenye uterus. Majina mengine ya uvimbe huu ni uterine fibroids, myomas, au fibromyomas. Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Fibroids ni uvimbe ambao mara nyingi (asilimia 99) hauna madhara kiafya na wala kuhusiana na ugonjwa wa kansa.
Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 20 hadi 50 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 30 hadi 50, wana fibroids ingawa wengi wao hawahangaiki kuchukua vipimo vya fibroids. Uvimbe wa fibroids unakuwa na ukubwa tofauti tofauti, unaweza kuwa mdogo k**a haragwe au kufikia ukubwa wa tikiti maji.
Chanzo Cha Fibroids
Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri ingawa inaamika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya musuli wa uterus ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kukua kwa haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya estrogen.
Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids kwa sababu ya kuwa wameishi na homoni ya estrogen kwa muda mrefu zaidi. Wanawake wenye asili ya mchanganyiko wa wamarekani na waafrika (wamarekani weusi) nao wanaonekana kupatwa na fibroids zaidi ya wanawake wengine ingawa sababu bado haijajulikana.
Utafiti umeonyesha pia kuwa idadi ya wanawake wanaopatwa na fibroids katika kundi la wanawake ambao wamezaa watoto angalau wawili wakiwa hai huwa ni nusu ukilinganisha na wale ambao hawajazaa hata mara moja. Hapa haieleweki k**a kuzaa kulizuia wanawake hawa wasipate fibroids au fibroids ndizo zilizozuia wanawake wa kundi la pili wasizae. Utafiti kuhusu hilli bado unaendelea.
Dalili Za Fibroids
Akina mama wengine wenye uvimbe wa fibroids huwa hawaoni dalili zo zote zile (wengi hawajui k**a wana fibroids) au kuona dalili kidogo na kwa wengine dalili hizi hujitokeza sana na kuwasumbua hadi kufikia kutafuta tiba. Baadhi ya dalili za fibroids ni:
– Kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku au kutokwa na damu kwa muda mrefu
– Kutokawa na damu kusiko kwa kawaida katikati ya siku za mwezi
– Mauvimu ya nyonga (uvimbe kugandamiza kwenye viungo vya nyonga)
– Kupata haja ndogo mara kwa mara
– Maumivu ya mgongo
– Maumivu wakati wa tendo la ndoa
– Upungufu wa damu kwa sababu ya kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku
– Maumivu ya kichwa
– Maumivu kwenye miguu
– Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo (Fibroids kubwa)
– Uzazi wa shida
– Mimba za shida
– Kutopata mimba
– Kutoka kwa mimba mara kwa mara
Aina Ya Fibroids
Kuna aina nne za Fibroids
Intramural: Fibroids aina hii hukua kwenye kuta za uterus. Hii ndiyo aina ya fibroids inayowapata wanawake wengi.
Subserosal fibroids: Fibroids aina hii hukua nje ya kuta za uterus na huweza kuwa na shina. Subserosal fibroids huweza kukua na kuwa kubwa sana.
Submucosal fibroids: Fibrioids aina hii huota na kukua kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za uterus.
Cervical fibroids: Fibroids aina hii hujenga kwenye shingo ya tumbo la uzazi (Cervix).
Tiba Ya Fibroids Kwa njia Asili PASIPO kua na Upasuaji...
TUNAZO TIBA ASILI AMBAZO HAZINA CHEMICAL HUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI KWA ASILIMIA KUBWA..
tumeona fibroids ni nini, chanzo cha fibroids, dalili zake, aina za fibroids na tiba ya kuondoa fibroids pasipo Upasuaji.
mawasiliano:
whatsapp UVIMBE KWENYE KIZAZI.(FIBROIDS)
0765929781
Fibroids ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha unaoota na kukua kwenye uterus. Majina mengine ya uvimbe huu ni uterine fibroids, myomas, au fibromyomas. Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Fibroids ni uvimbe ambao mara nyingi (asilimia 99) hauna madhara kiafya na wala kuhusiana na ugonjwa wa kansa.
Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 20 hadi 50 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 30 hadi 50, wana fibroids ingawa wengi wao hawahangaiki kuchukua vipimo vya fibroids. Uvimbe wa fibroids unakuwa na ukubwa tofauti tofauti, unaweza kuwa mdogo k**a haragwe au kufikia ukubwa wa tikiti maji.
Chanzo Cha Fibroids
Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri ingawa inaamika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya musuli wa uterus ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kukua kwa haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya estrogen.
Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids kwa sababu ya kuwa wameishi na homoni ya estrogen kwa muda mrefu zaidi. Wanawake wenye asili ya mchanganyiko wa wamarekani na waafrika (wamarekani weusi) nao wanaonekana kupatwa na fibroids zaidi ya wanawake wengine ingawa sababu bado haijajulikana.
Utafiti umeonyesha pia kuwa idadi ya wanawake wanaopatwa na fibroids katika kundi la wanawake ambao wamezaa watoto angalau wawili wakiwa hai huwa ni nusu ukilinganisha na wale ambao hawajazaa hata mara moja. Hapa haieleweki k**a kuzaa kulizuia wanawake hawa wasipate fibroids au fibroids ndizo zilizozuia wanawake wa kundi la pili wasizae. Utafiti kuhusu hilli bado unaendelea.
Dalili Za Fibroids
Akina mama wengine wenye uvimbe wa fibroids huwa hawaoni dalili zo zote zile (wengi hawajui k**a wana fibroids) au kuona dalili kidogo na kwa wengine dalili hizi hujitokeza sana na kuwasumbua hadi kufikia kutafuta tiba. Baadhi ya dalili za fibroids ni:
– Kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku au kutokwa na damu kwa muda mrefu
– Kutokawa na damu kusiko kwa kawaida katikati ya siku za mwezi
– Mauvimu ya nyonga (uvimbe kugandamiza kwenye viungo vya nyonga)
– Kupata haja ndogo mara kwa mara
– Maumivu ya mgongo
– Maumivu wakati wa tendo la ndoa
– Upungufu wa damu kwa sababu ya kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku
– Maumivu ya kichwa
– Maumivu kwenye miguu
– Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo (Fibroids kubwa)
– Uzazi wa shida
– Mimba za shida
– Kutopata mimba
– Kutoka kwa mimba mara kwa mara
Aina Ya Fibroids
Kuna aina nne za Fibroids
Intramural: Fibroids aina hii hukua kwenye kuta za uterus. Hii ndiyo aina ya fibroids inayowapata wanawake wengi.
Subserosal fibroids: Fibroids aina hii hukua nje ya kuta za uterus na huweza kuwa na shina. Subserosal fibroids huweza kukua na kuwa kubwa sana.
Submucosal fibroids: Fibrioids aina hii huota na kukua kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za uterus.
Cervical fibroids: Fibroids aina hii hujenga kwenye shingo ya tumbo la uzazi (Cervix).
Tiba Ya Fibroids Kwa njia Asili PASIPO kua na Upasuaji...
TUNAZO TIBA ASILI AMBAZO HAZINA CHEMICAL HUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI KWA ASILIMIA KUBWA..
tumeona fibroids ni nini, chanzo cha fibroids, dalili zake, aina za fibroids na tiba ya kuondoa fibroids pasipo Upasuaji.
mawasiliano:
whatsapp 0763858426

03/04/2021

0763858426
PELVIC INFLAMMATORY DESEASE'(P.I.D)
PID NI NINI?
ni maambukizi katika via vya uzazi,maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka
VISABABISHI
ugonjwa huu husababishwa
*kufanya ngono bila kinga
*kusafisha kizazi mara kwa mara
*matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
*matumizi ya njia ya uzazi wa mpango mf. kitanzi
*kutoa mimba
*matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa
DALILI
Baadhi ya wanawake dlili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida
*kuwashwa sehemu za siri
*uke kutoa harufu mbaya
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
*Sehemu za uke kuwa laini sana
*Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa
*hedhi kuvurugika
*Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
*Maumivu wakati wa choo,kukojoa
*Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*Wakati mwingine kutokwa usaha
MADHARA
*Ugumba
*Kansa ya shingo ya kizazi
*Mirija ya uzazi kuziba
*Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
*Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
*Majeraha kwenye kizazi
TIBA
Zipo tiba nyingi hospitali za matatizo haya.Ila wanawake wengi wanaripotiwa kujirudiarudia kwa tatizo hili kila mara na kuleta maudhi. Hivyo tunakushauri kutumia TIBA LISHE (SAYANSI YA VYAKULA) ILI KUTOKOMEZA KABISA TATIZO HILI LISIJIRUDIE TENA

03/04/2021

UVIMBE KATIKA VIUNGO VYA NJE YA UKE (Batholin cyst)
#0763858426
Tatizo hili huwatokea zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa. Viungo vya nje vya uzazi vya mwanamke ambavyo huathirika na tatizo hili la uvimbe ni mashavu ya uke Mashavu au midomo ya uke kitaalamu huitwa 'l***a majora' ambayo ni midomo ya nje ya uke na 'l***a minora' ambayo ni midomo ya ndani ya uke. Uvimbe huo utokea kwenye tezi ya batholin.
TEZI YA BATHOLIN NI NINI
Hizi ni tezi zisizoonekana zipo kkwenye mashavu ya uke sehemu ya chini karibu na tundu la uke.
Tezi hizi husaidia kuzalisha ute ili kuufanya uke kuwa na unyevunyevu muda wote.
Uvimbe katika viungo vya nje vya uke hutokea tu au husababishwa na maambukizi. Uvimbe huu unaweza kuwa na maumivu au usiwe na maumivu. Uvimbe unaweza kuwa mdogo au mkubwa kutegemea na sehemu ulipo na muda tangu ulipoanza.
Mwanamke pia anaweza kupata tatizo la midomo ya ndani ya uke ambayo hurefuka na kujiona k**a kero, hiyo ni hali ya kimaumbile na haina madhara.
AINA ZA UVIMBE
Uvimbe wa mashavu ya uke huwa unatokea kwenye tezi iitwayo 'Bartholin gland'. Tezi hii huwa haionekani kwa macho na mojawapo ya kazi zake ni kutoa majimaji ya kulainisha uke wakati wa tendo la kujamiiana.
1.'Bartholin cyst', huu ni uvimbe mgumu hutokea pembeni ya shavu la uke kwa ndani. Uvimbe huu mara nyingi huwa hauumi lakini huendelea kukua na kuleta shida wakati wa tendo la kujamiiana, na hutokea tu wenyewe. Uvimbe huonekana kwa macho au mwanamke anauhisi anaponawa ukeni au wakati wa kujamiiana.
2 .'Bartholin Abscess'. Aina hii ya uvimbe ni jipu kwani ndani yake huwa kuna usaha. Uvimbe huu huwa na maumivu makali sana, hutokea upande mmoja wa shavu la uke. Mgonjwa pamoja na kuwa na maumivu makali huweza kupata homa, kushindwa kutembea vizuri na wakati mwingine uvimbe hupasuka. Maumivu husababisha mgonjwa ashindwe kuendelea na mambo yake.
jipu hili huwa na tabia ya kujirudia rudia.
Athari ya aina hii ya uvimbe ambayo ni jipu ni maumivu makali, kushindwa kufanya tendo la ndoa na uvimbe unapasuka na kusababisha kidonda.
Uvimbe kwenye mdomo wa kizazi 'Cervix' huwa wa aina tofauti,
Dalili za matatizo katika mlango wa kizazi ni uvimbe katika mdomo wa kizazi ambapo mgonjwa atauhisi wakati wa kujisafisha ambapo atahisi kitu k**a gololi katika mdomo wa kizazi kimeshuka chini.
Mwanamke pia hulalamika maumivu wakati na baada ya tendo la kujamiiana, kutokwa na uchafu ukeni mara kwa mara unaoambatana na muwasho na harufu mbaya ukeni.
Wakati mwingine damu hutoka ukeni baada ya tendo au kuhisi kitu kinasukumwa kwa ndani wakati wa tendo la kujamiiana.
USHAURI
Kwa ushauri piga 0763858426

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwalimu House
Dar Es Salaam
255