Zuhura Magengeli

Zuhura Magengeli

Share

Ninatoa suluhisho la uzazi kwa wanawake na wanaume, changamoto zote za PID, fungas na UTI sugu

02/12/2025
27/11/2025

Hizi ni baadhi ya dalili za PID (pelvic inflammatory disease) ni vizuri kuzijua na ikitokea umepata hata moja wapo nenda hospitali kupima na upate tiba sahihi haraka.

Kwa ushauri zaidi na tiba wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

27/11/2025

Madhara yakutotibu PID mapema. Ndugu utakapogundua una maambukizi kwenye via vya uzazi au ukeni wai tiba mapema.

Kwa ushauri zaidi na tiba wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

27/11/2025

Good morning dears

27/11/2025

Changamoto ipi kati ya izo zinazomsumbua mwanao. Karibu upate suluhisho la changamoto za mwanao.

Wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

26/11/2025

Kipi kinakupa changamoto kwenye tendo kwako mwanaume na mwanamke? Ninayo tiba ya kumaliza changamoto zote za uzazi kwa mwanaume na mwanamke na utafurahia tendo na k**a unatafuta mtoto utaweza kuwa tayari kuanza mchakato hu.

Kwa ushauri zaidi na tiba wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

26/11/2025

Karibu upate tiba kwa elf 25,000/= na utanishukuru baadaye ndani ya siku 3 tu shombo la samaki linaisha kabisa.

Kwa ushauri zaidi na tiba wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

26/11/2025

Anza kutumia Omega 3 mapema k**a ushipata hii changamoto tumia pia baada ya wiki utaleta majibu.

Kwa ushauri zaidi na tiba wasiliana nami nipigie qu whatsup #0755160479

26/11/2025

Omega 3 ni must have kwa mama mjamzito kwani inamsaidia mtoto aliyepo tumboni kuzaliwa akiwa na afya njema kiakili na kimwili pia.

Kwa ushauri zaidi na tiba wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

18/11/2025

Kwa supplement zangu hata wik 3 ni nyingi sana utakuwa ushakuwa lelelele alafu hii tiba niya kudumu my dear.

Wasiliana nami nipigie au whatsup #0755160479

26/02/2025

Omega-3 Salmon Plus ina faida nyingi kwa mama mjamzito na mtoto anayekua tumboni. Hii ni kwa sababu mafuta ya samaki yenye Omega-3 (EPA & DHA) yana mchango mkubwa katika afya ya mama na ukuaji wa mtoto.

Faida za Omega-3 Salmon Plus kwa mama mjamzito:

Inasaidia ukuaji wa ubongo na macho ya mtoto – DHA ni muhimu kwa maendeleo ya ubongo na retina ya macho ya mtoto aliye tumboni.

Hupunguza hatari ya kujifungua kabla ya muda – Tafiti zinaonyesha kuwa Omega-3 husaidia kupunguza uwezekano wa kujifungua kabla ya wiki 37.

Inasaidia afya ya moyo na mzunguko wa damu – EPA & DHA husaidia kupunguza shinikizo la damu na kuboresha mzunguko wa damu kwa mama.

Hupunguza uwezekano wa msongo wa mawazo (postpartum depression) – Omega-3 inahusiana na kupunguza dalili za mfadhaiko baada ya kujifungua.

Hupunguza hatari ya preeclampsia – Hii ni hali inayoweza kusababisha shinikizo la damu kwa wajawazito, na Omega-3 inaweza kusaidia kuipunguza.

Inasaidia afya ya ngozi na nywele – Omega-3 huweka ngozi na nywele za mama zikiwa na afya nzuri wakati wa ujauzito.

Jinsi ya kutumia:

Inashauriwa mama mjamzito atumie vidonge 1-3 kwa siku kulingana na mahitaji yake ya lishe.

Ni vizuri kutumia baada ya chakula ili kufyonzwa vizuri mwilini.

Ikiwa unahitaji bidhaa hii au unataka maelezo zaidi, unaweza kuwasiliana nami moja kwa moja kupitia WhatsApp: 0755 160479.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Bamaga Sinza Dar Es Salam
Dar Es Salaam
16102

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:00
Tuesday 09:00 - 20:00
Wednesday 09:00 - 20:00
Thursday 09:00 - 20:00
Friday 09:00 - 20:00
Saturday 09:00 - 17:00