Dr. Wadeya

Dr. Wadeya

Share

MTALAAM wa AFYA Uzazi kwa wanawake

NASAIDIA WANAWAKE WENYE CHANGAMOTO YA MAUMIVU MAKALI SANA CHINI YA KITOVU NA KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE UKENI NA KUPATA MWASHO SEHEMU ZA SIRI , NA KUSHINDWA KUPATA MTOTO KARIBU SANA KWA MSAADA ZAIDI
PIGA 255756949438/Whatsapp+255693654485

07/05/2026
06/05/2026

Whatsapp au kawaida+255693654485

05/05/2026

Ameweka Siku Moja ,
Ameshaanza Kuona Mwanga na anaomba Kuongeza nyingine k**a Inawezekana
Nahitahidi sana kuwapa kilichobora zaidi

04/05/2026

Hata wewe Utaona tu Ute ba Hamu ya tendo la ndoa utapata tuu na ujauzito utapata Haraka zaidi...

03/05/2026

Haya Ndio Madhara ya . P2 (Postinor-2) ni dawa ya dharura ya kuzuia mimba, lakini ina madhara yanayoweza kutokea kwa watumiaji. Baadhi ya madhara hayo ni:

*1. Mabadiliko ya hedhi:*
- Hedhi kuchelewa au kutoka mapema
- Hedhi kuwa nzito au nyepesi kuliko kawaida

*2. Maumivu ya tumbo na nyonga*

*3. Kichefuchefu au kutapika*

*4. Uchovu au maumivu ya kichwa*

*5. Maumivu ya matiti*

*6. Mabadiliko ya mhemko/hisia (mood swings)*

*7. Kutokuwepo kwa mimba hata baada ya matumizi ya mara kwa mara* – P2 haifai kutumika mara kwa mara k**a njia ya kawaida ya uzazi wa mpango.

30/04/2026

Muhimu Sana Usifanikiwe peke Yako Unandugu Yako ,Rafiki Yako unatakiwa Ajiunge na UZAZI Clinic (Kwa Dr.Wadeya )
Mpe link tu
https://chat.whatsapp.com/Dsb4x9HfymlKRO5tYTviqo?mode=gi_t

Usifanikiwe pekee yako alfu ukachune Tuu

28/04/2026

Huyu ni Amina Aliniamsha ,Usiku akitaka kutuma pesa

Baada ya Kuona offa ya Dozi ,ya kupata ujauzito HARAKA

Asubui Tarehe 1 4/01/2026
Akatuma pesa Nimetumia Dozi yake

Leo Tarehe 28/04/2026

Amina anapima Mimba tayari hii ni baada ya kukaa.mdaa mrefu sana Bila Mimba

Humu (Uzazi Clinic)Kwa Dr.Wadeya ukishatumia dawa Relax Tuu,Mimba lazima upate....

Hongera sana Mamangu Mungu amekupa Furaha ya Moyo wako...

27/04/2026

MWANAUME

Ukiacha haya utakua mtu hatari zaidi (kiakili, kifedha, na hata kiroho).

1. Punyeto

Hii inakuondolea nguvu ya ndani bila wewe kujua. Unapoteza hamasa ya kufanya kazi, unakuwa mlegevu kiakili na kimwili. Ukiacha, utaona nguvu zako zinarudi, focus inaongezeka, na unaanza kuwa na control juu ya nafsi yako. Hakuna mpiga nyeto aliyefanikiwa kwa chochote

2. P**n (video za ngono)

Hii inaharibu ubongo wako taratibu. Unaanza kuzoea raha ya haraka isiyo na effort, na maisha ya kawaida yanaanza kukuonekana boring.

Ukiacha, utaanza kufurahia vitu halisi vya maisha na kupata hamasa ya kufanya kazi na kujenga maisha yako.

3. Kuishi bila direction

K**a hujui unataka nini, utatumia nguvu zako zote vibaya. Unakuwa busy lakini hauendi popote. Mwanaume anahitaji direction, iwe ni pesa, afya, au malengo ya maisha. Bila hivyo, miaka inaenda tu bila mabadiliko

4. Marafiki wasiokuwa na malengo

Watu unaokaa nao wanaathiri maisha yako moja kwa moja. K**a kila siku ni stori za mipira, udaku, madem, starehe na hakuna anayekusukuma kuwa bora au kukuconnect kwenye fursa utaishia kuwa k**a wao.

Ukibadilisha mazingira, hata mindset yako inabadilika

5. Kupoteza muda kwenye social media

Unatumia muda mwingi kuangalia maisha ya wengine kuliko kujenga maisha yako. Taratibu unapoteza focus na muda unaenda bila faida. Ukipunguza matumizi, utapata muda wa kufikiri, kujifunza, kufanya kazi, na kuongeza kipa

6. Kukimbilia raha kuliko majukumu

Ukizoea kuchagua vitu rahisi, maisha yatakuwa magumu. Ukijifunza kuchagua vitu vigumu vinavyokujenga, maisha yanakuwa rahisi baadaye. Discipline ndiyo inatengeneza mwanaume imara.

7. Betting (k**ari)

Inakufanya utegemee bahati badala ya kazi. Unapoteza focus kwenye kazi au biashara. Ukiacha, unajenga pesa halisi.

Mabadiliko ya mwanaume hayawezi kuja kwa bahati. Yanakuja kwa kuacha vitu vinavyomrudisha nyuma na kuchagua vitu vinavyomjenga.

Ukidhibiti akili yako, muda wako, na tabia zako maisha yako yote yanabadilika.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Kinondoni Shamba
Dar Es Salaam
14620