AfyaYako
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AfyaYako, Dar es Salaam.
NASAIDIA WATU KUPONA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA KWA KUTUMIA TIBALISHE, KAMA UPO TANZANIA AU NJE YA TANZANIA TUWASILIANE KUPITIA +255 763 421 857 / WHATSAPP
UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASILI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi(Overweight)
Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).
6.Kujisaidia Choo Kigumu.
Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
AINA 2 ZA BAWASIRI
BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.
2.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:โคตโคตโคตโคต
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.
HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia
HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda
HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.
ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua
TIBA YA BAWASILI
Mara nyingi Tiba ilio zoeleka kwa hospital ni upasuaji
Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji
Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kupitia
0763 421 857
Tiba ya moja kwa moja ya kusagika kwa pingili za uti wa mgongo.
Tuwasiliane 0763 421 857
TIBA YA MOJA KWA MOJA YA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA UTI WA MGONGO.
TUPIGIE 0763 421 857.
TIBA YA MOJA KWA MOJA YA KUSAGIKA KWA PINGILI ZA UTI WA MGONGO
TUWASILIANE KWA NAMBA #0763421857
SULUHISHO LA MOJA KWA MOJA LA ACID REFLUX
Tupigie 0763 421 857
TIBA YA MOJA KWA MOJA YA ACID REFLUX
TUPIGIE 0763 421 857
TIBU TEZI DUME BILA KUFANYIWA UPASUAJI KWA KUTUMIA TIBA ZETU
WASILIANA NASI 0763 421 857 AfyaYako
TIBU TATIZO LA ACID REFLUX MOJA KWA MOJA KWA KUTUMIA TIBA ZETU
TUPIGIE 0763 421 857
๐ง๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐จ๐ก๐๐๐ข ๐๐ช๐ ๐ช๐๐ก๐๐ข๐ฆ๐จ๐ ๐๐จ๐๐๐ช๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐ฌ๐
ยฐ ๐ก๐ฌ๐ข๐ก๐๐
ยฐ ๐๐๐จ๐ก๐ข
ยฐ ๐ ๐๐ข๐ก๐๐ข ๐ก๐
ยฐ ๐ ๐๐จ๐ก๐๐๐ข (๐๐ข๐๐ก๐ง๐ฆ)
๐๐๐๐๐๐๐: Dr Salum 0763 421 857
๐ฆ๐๐๐๐๐จ ๐ญ๐๐ก๐๐ญ๐ข๐ฃ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐ฌ๐ ๐๐๐จ๐ก๐ข ๐ก๐ ๐ก๐ฌ๐ข๐ก๐๐ (๐ ๐ถ๐ณ๐๐ฝ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐จ๐ท๐๐บ๐น๐ฎ) ๐
โ๏ธ Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
โ๏ธ Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
โ๏ธ Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
โ๏ธ Mawazo (stress).
โ๏ธ Kulala kwa muda mrefu
โ๏ธ Matumizi mabaya ya mto.
๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ง๐๐ฌ๐ข ๐
โ๏ธ Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
โ๏ธ Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
โ๏ธ Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
โ๏ธ Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
โ๏ธ Inaweza kusababisha mtu kupata Kansa ya Mifupa na kusababisha kifo k**a Tatizo halijaondolewa mapema.
๐๐๐๐๐๐ (๐๐๐๐๐๐๐๐) โ๏ธ
Habari njema ni kwamba baada yakufanya Utafiti wa kina kwa Muda mrefu sasa tiba imepatikana Tiba ya uhakika na Waliopata Bahati ya kuitumia 97% Wamepona Kabisaa Changamoto za Mifupa na Maungio ๐
๐๐ช๐ ๐ง๐๐๐ ๐ก๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ญ๐๐๐๐
Tembelea Ofisi Zetu au Tupigie Sasa Kupitia
โ๏ธ+255 763 421 857 AfyaYako
๐ง๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐จ๐ก๐๐๐ข ๐๐ช๐ ๐ช๐๐ก๐๐ข๐ฆ๐จ๐ ๐๐จ๐๐๐ช๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐ฌ๐
ยฐ ๐ก๐ฌ๐ข๐ก๐๐
ยฐ ๐๐๐จ๐ก๐ข
ยฐ ๐ ๐๐ข๐ก๐๐ข ๐ก๐
ยฐ ๐ ๐๐จ๐ก๐๐๐ข (๐๐ข๐๐ก๐ง๐ฆ)
๐๐๐๐๐๐๐: 0763 421 857
๐ฆ๐๐๐๐๐จ ๐ญ๐๐ก๐๐ญ๐ข๐ฃ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐ฌ๐ ๐๐๐จ๐ก๐ข ๐ก๐ ๐ก๐ฌ๐ข๐ก๐๐ (๐ ๐ถ๐ณ๐๐ฝ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐จ๐ท๐๐บ๐น๐ฎ) ๐
โ๏ธ Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
โ๏ธ Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
โ๏ธ Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
โ๏ธ Mawazo (stress).
โ๏ธ Kulala kwa muda mrefu
โ๏ธ Matumizi mabaya ya mto.
๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ง๐๐ฌ๐ข ๐
โ๏ธ Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
โ๏ธ Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
โ๏ธ Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
โ๏ธ Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
โ๏ธ Inaweza kusababisha mtu kupata Kansa ya Mifupa na kusababisha kifo k**a Tatizo halijaondolewa mapema.
๐๐๐๐๐๐ (๐๐๐๐๐๐๐๐) โ๏ธ
Habari njema ni kwamba baada yakufanya Utafiti wa kina kwa Muda mrefu sasa tiba imepatikana Tiba ya uhakika na Waliopata Bahati ya kuitumia 97% Wamepona Kabisaa Changamoto za Mifupa na Maungio ๐
๐๐ช๐ ๐ง๐๐๐ ๐ก๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ญ๐๐๐๐
Tembelea Ofisi Zetu au Tupigie Sasa Kupitia
โ๏ธ+255 763 421 857 AfyaYako
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam