Kayemba na Afya

Kayemba na Afya

Share

"Natatua Changamoto za Mifupa bila upasuaji kwa kutumia Tibalishe"

06/09/2022

Dalili za viungo kusagana:-

1 MAGOTI.
●Maumivu kwenye magoti.
●magoti kushindwa kujikunja.
●kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi.
●Kusikia milio ya mifupa kugusana kwenye magoti.

2 MGONGO/UTI WA MGONGO.
●Maumivu kwenye mgongo.
●kushindwa kuinama.
●Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama.
●Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni.

🔹k**a unachangamoto ya matatizo haya ya mifupa basi tafadhali wasiliana nami kwa msaada wa Tiba.
kwa mawasiliano piga simu namba:-
+255655378505

Photos from Kayemba na Afya's post 03/09/2022

Suluhisho la Gaut na maumivu ya mifupa ni virutubisho ambavyo vitakurudishia afya ya mwili wako na kufurahia maisha tena
KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NAMI KWA NAMBA +255655378505
HAKIKA AFYA YAKO NI UWEKEZAJI WAKO JITAMBUE

31/08/2022

4. GAUT ARTHRITIS
* Hii inasababishwa na uric
acid ( kemikali inayotokana
na protini ya nyama)
* Gaut ni mojawapo ya tatizo la arthritis
ugonjwa ambao hushambulia sehemu za
maungio ya mifupa
* Gaut huleta maumivu makali ya gafla hasa
linapoanzia dole gumba la miguuni
* Dalili za ugonjwa huu huanza pale ambapo
tindikali aina ya URIC ACID kuzaliwa kwa
wingi mwilini
KWA MAELEZO ZAIDI NA USHAURI PIGS NAMBA +255655378505
HAKIKA AFYA YAKO NI UWEKEZAJI JITAMBUE

30/08/2022

3. OSTERPOROSIS
* Hili ni tatizo ambapo linatokea mtu anapokuwa na upungufu wacalcium
* Hili hupelekea viungo kuvunjika kwa urahisi
mfano; mifupa ya miguu, uti wa mgongo no
KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NAMI KWA NAMBA + 255655378505
HAKIKA AFYA YAKO NI UWEKEZAJI WAKO
JITAMBUE

30/08/2022

2. RHEUMATIC ARTHRITIS
* Tatizo hili hutokea pale
ambapo kings ya mwili
imegeuka na kutafuna cartilage ( gegedu)
* Hili linawapata watu wote watoto, vijana na
watu wazima
* Hili ni moja ya tatizo linaloitwa AUTOIMMUNE
* Tatizo hili halina tiba maalumu
Tatizo hili linatibika kwa virutubisho
Kwa ushauri na matibabu wasiliana nami kwa namba + 255655378505
HAKIKA AFYA YAKO NI UWEKEZAJI WAKO JITAMBUE

27/08/2022

CHANGAMOTO YA MGONGO. MGONGO. ^ Kwenye mgongo kuna uti wa mgongo ambao umetengenezwa kwa pingili za uti wa mgongo. ^ Kati ya pingili na pingili ya uti wa mgongo kuna disc ambayo ndiyo cartilage yenyewe yaani gegedu ^ Hiyo disc ndani yake kuna uteute ambao husaidia mjongeo wa mgongo. ^ Hiyo disc kazi yake ni kuzuia pingili zisisagane kwenye uti wa mgongo HATUA ZA PINGILI ZA UTI WA MGONGO KUSAGIKA 1. Disc kuwa dhaifu: hapa virutubisho vinakuwa vimepungua na kufanya disc kuwa laini 2. Disc kutuna ili uteute utemwe ( disc bulhe): hapa disc inakuwa imebonyezwa kwa sababu ya mgandamizo wa pingili ambapo huathiri mishipa ya fahamu. 3. Ute kutemwa kutoka kwenye disc; hapa uteute unaotemwa huathiri mishipa ya fahamu. 4 Disc kuwa nyembamba na kulika kabisa. ZINGATIA. Watu wanaopata shida za mgongo wanapata maumivu makali sana, wengi ni kwa sababu mishipa ya fahamu inaathiriwa na disc bulge au ute unaotemwa KWA MAELEZO ZAIDI NA USHAURI ; PIGA NAMBA + 255655378505. HAKIKA AFYA YAKO NI UWEKEZAJI WAKO

25/08/2022

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA 1. MAGOTI. * Maumivu kwenye magoti. * Magoti kushindwa kujikunja. * Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi. * Kusikia milio ya mifupa kugusana kwenye magoti. 2. MGONGO/UTI WA MGONGO. * Maumivu kwenye mgongo. * Kushindwa kuinama. * Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama. * Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni. 3. BEGA (SHOULDER JOINT) * Kushindwa kunyanyua mikono na kusikia maumivu makali kwenye bega. kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba hiyo +255655378505. HAKIKA AFYA YAKO NI UWEKEZAJI WAKO

25/08/2022

Matatizo ya mifupa na viungo Kuna aina tofauti za maumivu ya viungo. (1) OSTEOARTHRITIS. Hili ni tatizo linaathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa. Natokea baada ya gegedu (cartilage) kupika kwenye viungo pia uteute kuisha. Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti nk. ĶUMBUKA. *Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (mfupa na mfupa) * Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage) hii ni plastic ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo. * Pia kwenye viungo kuna uteute unaitwa synovial fluid. * OSTEOARTHRITIS hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo SABABU KUU INAYOPELEKEA KUTOKEA KWA OSTEOARTHRITIS. Virutubisho vinavyosaidia kukamilisha gegedu vinapopungua mwilini mfano; glucoseamine. * Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda. * Inasemekana mtu akifikisha miaka Uzito. mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu(cartilage) SABABU ZINAZOONGEZA KASI YA IKITOKEA KWA OSTEOARTHRITIS. 1. Uzito uliopindukia. 2. Historia ya familia. 3. Ajali. 4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano; wanamichezo , wana mazoezi nk CHANGAMOTO KATIKA KUTIBU OSTEOARTHRITIS. 1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu. * Dawa as maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu CARTILAGE) 2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi. * Mazoezi pia huwa yanawasaidia kwa muda mfupi tu na baadae shida inajirudia pale pale. * Kwa hiyo watu wengi ambao wanashida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana

31/12/2021

TIBA YA ASILI KWA MAUMIVU YA VIUNGO NA VIUNGO KUSAGANA .piga:0655378505

(TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk

KWANZA, TUJIELIMISHEKIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)

MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISAH MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,

HII HISABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
=>ARTHROEXTRA NI BIDHAA INAYOREJESHA UTE UTE NA GEGEDU(CARTILAGE)
HIVYO HUSAIDIA MIFUPA ISIENDELEE KUSAGANA KWENYE VIUNGO, HUONDOA MAUMIVU HARAKA.
=>ZAMINOCAL HUONGEZA MADINI YA CALCIUM HIVYO HUSAIDIA KUPONA HARAKA,
NI KIRUTUBISHO CHA ASILI,, HAINA KEMIKALI, IMETHOBITISHWA NA TFDA.
PIGA.0655378505 kupata huduma

29/12/2021
Photos from Kayemba na Afya's post 16/12/2021
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


0655378505
Dar Es Salaam
2345