Healthy Lifestyle
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Healthy Lifestyle, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Tunahudumia watu wenye changamoto ya uzito mkubwa kwa upande wa wanawakeuliosababishwa na chochote either lifestyle yake au baada ya uzazi na upande wa wanaume kuondoa vitambi na uzito mkubwa.
08/11/2022
NINI KINASABABISHA MAAMBUKIZI YA MARA KWA MARA YA NJIA YA MKOJO.
1. Kuziba kwa njia ya mkojo.
2. Maumbile ya k**e Kwa sababu njia ya yurethra ya wanawake ni fupi kuliko ya wanaume,basi huwezekano wa kupata maambukizi ni mkubwa zaidi kuliko wanaume.
3. Maingiliano/ Kujamiiana: Wanawake wanaoshiriki tendo la ndoa huweza kupata maambukizi mengi zaidi kuliko wenzao wasioshiriki tendo hilo.
4. Mawe Mawe kwenye figo, njia ya kuelekea kwenye kibofu cha mkojo (ureta) au ndani ya kibofu chenyewe yanaweza kuzuia mtiririko wa mkojo na hivyo kusababisha maambukizi.
5. Mpira wa katheta Watu waliowekewa katheta wana uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi kirahisi.
6. Kasoro za kimaumbile Watoto wenye kasoro za kimaumbile k**a mkojo kurudi nyuma k**a kwenye kibofu na hivyo kwenda kwenye yureta ( vesicoureteral reflux) au k**a njia ya yurethra valve inafungukia nyuma, hupata maambukizi kwa urahisi sana.
7. Kuongezeka ukubwa wa tezi dume Wanaume walio na umri wa miaka zaidi ya sitini wanaweza kupata maambukizi kwa sababu ya kukua kwa tezi dume.
8. Kinga ya mwili iliyodhoofika Wagonjwa wa kisukari,UKIMWI au saratani.
9. Sababu nyingine: k**a njia za yureta na yurethra kuwa nyembamba,tibi (TB) kwenye njia ya mkojo, neurogenic bladder,diverticulumnk.
Makala ijayo tutapata elimu ya namna kuzuia maambukizi ya mfumo wa mkojo.Ila k**a umekumbwa na hii hali ya kukuta una sumbuliwa na UTI zaidi ya moja kwa mwaka
Wasiliana nasi
PIGA/WHATSAPP 0692909488
04/11/2022
Yani anadai hakuna kitu unakuwa umefanya😔😅
Kwa ushauri na elimu ya kukupa uimara
Wasiliana nasi
PIGA/WHATSAPP +25592909488
kiafya
03/11/2022
Chakalikeni tuongeze size ya vifaa vyetu.
Kwa wale umesinyaa bila wewe kugundua na kuwa midogo au size ya mtoto .
PIGA/WHATSAPP +255692909488
Kupata ushauri na suluhisho.
kiafya
03/11/2022
Inabidi ufahamu kwamba mapenzi ni dhana yenye wigo mpana sana na ndiyo maana hutasikia hata siku moja tumepumzika kuizungumzia.
Nalazimika kuandika makala haya baada ya kubaini kuwa wengi wamekuwa wakifanya makosa na kujikuta wakishamaliza kufanya tendo hilo takatifu!
Unakuta kila mmoja anageukia kwake kisha kuuchapa usingizi. Sisemi kwamba ni lazima kuyafanya haya nitakayo yaeleza leo ila yakifanywa huwa na manufaa yake na mara nyingi yanaboresha mahusiano.
1.KUOGA PAMOJA.
Mtakuwa ni watu wa ajabu k**a mtamaliza kufanya tendo hilo kisha kila mmoja kulala na majasho yake. Wapo wasiojali katika hili na kuona kuoga au kutooga ni uamuzi wa mtu. Elewa kwamba, linapokuja swala la usafi inashauriwa mkimaliza lazima muoge.
wewe ambaye hujawahi oga na mwenzio Baada ya tendo, anza leo. Mmemaliza mambo yenu, chukuaneni kimahaba, elekeeni bafuni kisha ogeshaneni kimahaba. Baada ya hapo rudini chumbani, mkishajifuta maji pandeni kitandani mkiwa wepesi.
2.KUSIFIANA.
Hakuna muda maalum uliotengwa kwa ajili ya wanandoa kusifiana. Hilo linaweza kufanyika wakati wowote lakini pale mnapomaliza kufanya tendo la ndoa ni lazima utakuwa na jambo zuri la kumuambia mwenza wako.
Msifie kwa utundu na ubunifu wake, Msifie pia kwa mapenzi matamu anayokupa na ikibidi mpe sifa ya uzuri wake kiasi cha kukufanya kila unapokuwa karibu yake ujisikie amani ya kupitiliza.
Wapo ambao hawana kabisa taaluma ya kuwasifia wala kuwashukuru wenza wao kwa mazuri wanayofanyiwa. Yaani wao wanachukulia kila kitu poa tu bila kujali kwamba kusifiana kunanogesha mambo.
3.KUELEKEZANA.
Kwenye kale kamchezo, wapo ambao wanakosea, kuelekezana na kukosoana kwa wapenzi ni jambo la kawaida. Yawezekana mwenza wako alifanya kitu ambacho hakikukufurahisha wakati mkiendelea na burudani yenu, mnapomaliza mwambie lakini kwa lugha ya kimahaba na ya upole. Naamini kwa kufanya hivyo atakuelewa na kubadilika
4.ZUNGUMZIENI MAISHA.
Huu ni wakati muafaka wa kujadili changamoto na malengo katika maisha yenu. Hapa akili zinakuwa zimetulia na kila mmoja anakuwa na mawazo chanya kwa mwenza wake. Jadilini mambo yenu, wekeni mikakati tofauti.
K**A HUWEZI KUMRIDHISHA MWENZIO KITANDANI
PIGA /WHATSAPP 0692909488.
03/11/2022
FAHAMU KUHUSU UTE /UCHAFU UTOKAO SEHEMU ZA SIRI KWA WANAWAKE;
Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, rangi yake na harufu yake vitabalikabadilika kutoka kipindi kimoja hadi kingine kulingana na muda mwanamke aliopo katika mzunguko wake wa mwezi. Uchafu huu utabadilika vilevile k**a ananyonyesha, atakuwa na hisia za kufanya mapenzi, atakuwa na mabadiliko ya lishe, anatumia madawa hasa ya mpango wa uzazi au atakuwa na ujauzito. Kwa kawaida uchafu huu huwa usio na rangi, wenye rangi yenye weupe wa mawingu au njanonjano pale unapokaukia kwenye nguo. Unaweza kuwa na vijipande vidogovidogo na mara nyingine ukawa
1. Uchafu mweupe na mzito: Hii ni kawaida na mara nyingi hutokea pale mwanamke anapokaribia kuingia period. Ila endapo uchafu huu utatoka ukiambatana na maumivu ama miwasho, huweza kuwa ni fungal infection.
2. Uchafu wa brown: Uchafu huu huonekana sana endapo kuna mvurugiko wa siku za hedhi, ila endapo hali hii itaendelea kwa kipindi kirefu, huweza kuwa dalili ya cancer ya kizazi.
3. Uchafu wa njano: Hii si dalili nzuri, mara nyingi huwa ni dalili ya uambukizo wa bacteria ama magonjwa ya zinaa (STIs) na mara nyingi huambatana na harufu mbaya.
4. Uchafu wa kijani: Hii pia si dalili nzuri maana huonesha uambukizo kwa mwanamke, na mara nyingi uchafu wa kijani husababishwa na TV (Trichomonas vaginalis) ambayo hutibiwa na antibiotics.
5. Uchafu mweupe ulio k**a maziwa mgando ama siagi: Wengine huota uchafu wa fungus (yeast discharge) ambayo huambatana na muwasho na maumivu pamoja na wekundu sehemu za siri (yaezekana kwa ajili ya kujikuna).
MADHARA:
1.maumiv wakati wa tendo
2.maumivu ya tumbo chini ya kitovu
3.period kupishana pishana
4.kukosa hedhi kwa wakati
5.kutoa harufu mbaya ukeni
6.vimelea vya saratani
7.Uke kulegea
8.Kupata ute wenye rangi tofout tofout
9.Mimba kuharibika/Motto kufia tumboni
SULUHISHO LA MUDA:
– Kuacha kutumia antibiotics au dawa za fungus
– Kuacha kutumia sabuni ukeni na kutumia maji ya uvuguvugu tu
– Kutovaa nguo za ndani usiku
– Kutofanya tendo la ndoa
– Kupunguza kiwango cha sukari katika mlo
SULUHISHO LA KUDUMU
Tumia virutubusho kuepuka madhara makubwa zaidi ya ulionayo.
02/11/2022
Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika " SHUPAVU" +255692909488 Utapata kuhudumiwa haraka
♥️Like
💬Comment
🚀Share kwenye story
🗄️Save usome siku nyingine
💯Follow kwa Dondoo za afya ya uzazi kwa wanaume
🔔Turn on post notification uwe wa kwanza kuona nikipost madini ya Afya
🍆🍌
01/11/2022
HATUA MBILI MUHIMU.
Hatua zote mbili zinapo kamilika, ndipo tunapo pata kitu kinaitwa STRONGER AND LONGER ER****ON
JINSI HATUA ZA KUSIMAMA KWA UUME ZINAVYO TOKEA.
1. HATUA YA KWANZA:
DAMU KUTIRIRIKA KWA KASI KUINGIA NDANI YA MISHIPA YA UUME NA KUUFANYA UUME KUSIMAMA NA KUWA MGUMU.
Unapopata wazo la kufanya tendo la ndoa, mishipa ya fahamu iliyopo kwenye ubongo, hupeleka ishara kwenye mishipa ya uti wa mgongo, ambayo nayo hupeleka taarifa hadi kwenye mishipa ya uume. Taarifa inapofika kwenye mishipa ya uume huifanya mishipa hiyo ku-relax na hatimaye kufanya mishipa ya ateri kufunguka na kutanuka. Mishipa ya ateri inapo tanuka na kufunguka, huruhusu damu kuingia kwa kasi ndani ya mishipa ya uume na hivyo kuufanya huume kusimama.
Ni muhimu kujua kuwa, mishipa ya uume inapo relax hupelekea kuisukuma na hatimaye kuiziba mishipa ya vena iliyo karibu na mishipa ya uume na hivyo kuiondolea uwezo wa kunyonya damu iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka sehemu nyingine za mwili.
N.B: Kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kunyonya damu iliyomo ndani ya mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyingine za mwili. Au kwa lugha nyingine unaweza kusema, kazi kubwa ya mishipa ya vena ni kuhakikisha hakuna damu kwenye mishipa ya uume.
2. HATUA YA PILI :
DAMU KUENDELEA KUHIFADHIWA KATIKA UUME WAKATI UUME UKIWA UMESIMAMA NA HIVYO KUUFANYA UUME UENDELEE KUDUMU KATIKA TENDO LA NDOA KWA MUDA MREFU.
Uume ulio simama, ili uendelee kusimama, ni lazima mishipa ya vena isiwe na uwezo wa kunyonya damu kutoka katika mishipa ya uume na kuipeleka katika sehemu nyinginezo za mwili.
Mishipa ya Vena ndio inayo husika na kunyonya damu kutoka kwenye mishipa ya uume na kupeleka sehemu nyingine za mwili. Ili uume uendelee kusimama lazima mishipa hii ya vena iwe imezibwa. Ili iweze kuzibwa ni lazima misuli laini ya kwenye uume iwe - ime relax na hivyo kuifanya mishipa ya vena kushindwa ku nyonya damu kutoka kwenye uume.
Endapo mishipa ya vena itazibuka , basi itanyonya na kutoa damu yote kutoka kwenye mishipa ya uume uliosimama na kuipeleka sehemu nyinginezo za mwili na hatimaye uume huo ulio simama na utasinyaa mara moja.
Kwa ushauri, Elimu, Suluhisho
PIGA/WHATSAPP 0692909488
25/10/2022
NINI UFANYE KUONDOA HOFU WAKATI WA TENDO LA NDOA?
1. Kwanza ukiona una hali hii mwone mshauri wa afya AFYA YA CHUMBANI.]] au hata mwingine ambae atakusaidia kujua chanzo cha hofu uliyonayo na kutafuta ufumbuzi. K**a tatizo ni kuwa na maumbile madogo, kuwahi kufika kileleni, uzito uliopitiliza/kitambi/mwonekano mbaya basi AFYA YA CHUMBANI.]] atakusaidia kupata virutubisho vitakavyokuweka sawa na kukufanya ujiamini zaidi.
2. Kuwa muwazi kwa mwenzi wako, kumweleza kuhusu hofu yako, hii itakusaidia kupunguza mashaka na mtakaposaidiana kutafuta ufumbuzi kwa pamoja itawafanya kuimarisha uhusiano wenu.
3. Jaribu namna nyingine ya kuwa karibu na mwenzi wako/namna nyingine ya kumridhisha mwenzi wako. Mfanyie massage au pata muda wa kuoga pamoja, itakusaidia kujiamini zaidi na kuondoa hofu/kumuogopa mkeo.
4. Jiliwaze mwenyewe kutoka kwenye hofu. Weka mziki au movie ya mahaba unaposhiriki tendo na mkeo. Itakusaidia kuondoa hofu na kukufanya ufurahie tendo.
Mwisho. K**a umejifunza kitu kwenye mfululizo wa makala hii ya namna ya kuondoa hofu wakati wa kushiriki tendo la ndoa basi weka maoni yako chini au k**a una nyongeza ya ushauri basi tusaidie kushauri kwenye comments. Kwa maelezo zaidi.
Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika " SHUPAVU" +255692909488 Utapata kuhudumiwa haraka
♥️Like
💬Comment
🚀Share kwenye story
🗄️Save usome siku nyingine
💯Follow AFYA YA CHUMBANI.]] kwa Dondoo za afya ya uzazi kwa wanaume
🔔Turn on post notification uwe wa kwanza kuona nikipost madini ya Afya
🍆🍌
20/10/2022
Mwanaume asie na tatizo la nguvu za kiume,huonesha ishara zifuatazo
1. Uume husimama ukiwa k**a msumali.
2. Hukaa kifuani kwa mda mrefu wastani (dakika 20 adi 45).
3. Huweza kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara tatu na bila misuli ya uume kuchoka.
4. Huweza kufanya tendo kwa stail yoyote ile.
5. Uume husimama wenyewe bila kushikwa shikwa wala kuwa kusisimuliwa na vi**ra wala mikongo kwa namna yoyote ile.
Kiufupi anakamilisha tendo la ndoa kwa ufanisi wa hali ya juu bila visingizio vyovyote
JE WEWE NI RIJALI?
Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika " SHUPAVU" +255692909488 Utapata kuhudumiwa haraka
♥️Like
💬Comment
🚀Share kwenye story
🗄️Save usome siku nyingine
💯Follow kwa Dondoo za afya ya uzazi kwa wanaume
🔔Turn on post notification uwe wa kwanza kuona nikipost madini ya Afya
🍆🍌
20/10/2022
Ilibaki hivu tu🤌🏽 afike kileleni dada wa watu ni hivyo tu hujazingatia changamoto yako ukamuacha njiani.
Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika " SHUPAVU" +255692909488 Utapata kuhudumiwa haraka
♥️Like
💬Comment
🚀Share kwenye story
🗄️Save usome siku nyingine
💯Follow kwa Dondoo za afya ya uzazi kwa wanaume
🔔Turn on post notification uwe wa kwanza kuona nikipost madini ya Afya
🍆🍌
19/10/2022
Kuna jambo huwa naulizwa na vijana wa kiume hata baadhi ya watu wazima kwamba wanapopata choo kikubwa wanaona manii zao zikitoka bila kuwa na hamu ya tendo na wengi wanashikwa na butwaa na kudhani ni ugonjwa.
Sasa Tutazungumzia tatizo linalowasumbua baadhi ya wanaume la kutokwa na manii (MBEGU za KIUME) wakati wa kujisaidia haja kubwa. Hali hii imekuwa ikiwasumbua wanaume na wavulana wengi ingawa ni wachache wanaojitokeza na kueleza kinachowasumbua.
Hali hii kitaalamu huitwa ‘ejaculation during bowel movement’ ambapo mwanaume hutokwa na manii bila mwenyewe kujijua au kuhisi hali yoyote wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Endapo hali hii inajitokeza mara chache, huwa haina tatizo kwani kinachotokea ni kwamba mtu anapochuchumaa, viungo vya uzazi hasa mfuko wa manii (epidydimis) hukandamizwa na misuli ya miguu, mapaja pamoja na ya kiuno hivyo kulazimisha kilichomo ndani yake (manii) kutoka. Pia unapotoa manii wakati wa kujisaidia haja Kubwa ni ishara kwamba unakaa muda mrefu bila kushiriki tendo la Ndoa. Lakini endapo tatizo hili linajirudia mara kwa mara, likiambatana na maumivu kwenye uvungu wa viungo vya uzazi au katika njia ya mkojo huwa ni dalili ya magonjwa mengine ikiwemo saratani ya kibofu (prostate cancer) hivyo ni lazima mhusika awahi hospitalini kwa ajili ya vipimo kisha matibabu. Angalizo:
Endapo tatizo hili linajirudia mara kwa mara, usitumie dawa bila kuonana na daktari kwani unaweza kuongeza ukubwa wa tatizo.
Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika " SHUPAVU" +255692909488 Utapata kuhudumiwa haraka
♥️Like
💬Comment
🚀Share kwenye story
🗄️Save usome siku nyingine
💯Follow kwa Dondoo za afya ya uzazi kwa wanaume
🔔Turn on post notification uwe wa kwanza kuona nikipost madini ya Afya
🍆🍌
Najua ni ngumu kuishi na hili tatizo hivyo mbinu zifuatazo zitakusaidia sana kuishi kwa amani katika ndoa yako:
1. Sio mwisho wa ndoa yako wanawake wanaweza kukuvumilia.
Utaanza kwa kujidharau, kudhani labda mke wako atakuacha, kudhani labda atakudharau na kudhani labda ndiyo mwisho wa ndoa yako. Labda nikuambie kitu si mwisho wa ndoa yako, wanawake si warahisi kutoka kwenye ndoa namna hiyo na niwavumilivu mpaka basi. Acha kupaniki, acha kujidharau, mke wako hakudharau na k**a ukiwa muwazi na kujiamini hata unaweza kufurahia tendo la ndoa na nguvu hizo kidogo.
2. Acha kuhangaika na wanawake wengine watakuchuna tu.
Najua ikishindikana kwa mke wako lazima utatest nnje kuangalia kuwa tatizo ni wewe au mke wako. Ushatest mara moja mara mbili, tatizo ni wewe, nguvu zimepungua kubali na achana na wanawake wa nnje. Wanakusifia ujinga tu kuwa unawaridhisha, Si kweli nikwakua wanakuchuna tu na wengine wana visirani vya ndoa.
3. Jiondolee Kisirani, jiamini wewe bado ni mwanaume.
Kitu kikubwa ambacho kinavunja ndoa nyingi za wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume ni kisirani cha wanaume hao. Unapokua una tatizo hili kwanza unakua hujiamini, kila wakati unahisi unasalitiwa na kuona k**a unadharaulika. Unaona kwakua wewe huna amani basi njia ya kumtawala mwanamke ni kwa kumnyima amani, Hili ni kosa kwani badala ya kukusaidia inaharibu.
4. Muandae vizuri mke wako wakati wa tendo la ndoa.
Maandalizi katika tendo la ndoa ni muhimu, ukishakua na tatizo hili jua kuwa huwezi kumfikisha mwanamke kileleni kwa kufanya mapenzi tu, ile ingiza toa ingiza toa haitamfikisha. Unapokua na tatizo hili tumia muda mwingi kumuandaa mwanamke, hakikisha unajua mwili wake, unajua ni sehemu gani zinamsisimua na kuzitumia
5. Tatua Changamoto yako Moja Kwa Moja kupitia huduma zetu za Virutubisho.
Usiendelee kusumbuka na tatizo hili kwani umeumbiwa maisha ya furaha na Mungu. Ni haki yako kufurahia tendo la ndoa kila siku. Anza leo kushughulikia tatizo kabla halijawa sugu.
Tuna PROGRAM ya VIRUTUBISHO pamoja Na Miongozo Ya Kiafya itakayo Kusaidia kurudisha UIMARA kwenye Tendo la ndoa na mwenza wako.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA 👇🏽👇🏽👇🏽
𝐂𝐀𝐋𝐋 0692909488
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam