Usafi ni Afya

Usafi ni Afya

Share

Usafi ni chanzo cha afya bora kwa pamoja tunaweza kuimarisha afya iwapo tukiwa wasafi

20/09/2025

😅kwa faida yetu sote,zipo njia kadha wa kadha ya kuzibua ma sinki ya jikoni,ukiachilia mbali na kufungua, fanya hivi andaa chumvi,maji ya moto na mafuta ya kula(sio lzm).
Mimina chumvi yako kwa sinki lako hakikisha inajaa tumia hata nusu au robo kilo kulingana na size ya sinki lako.
then mimina maji yako ya moto juu ya chumvi yako iliyomo kwenye sinki hakikisha unamimina ya kutosha hii itasaidia kufanya mgawanyiko au usagaji mzuri wa kitu kilicho ziba sinki hilo.......
Tumia maji ya kutosha kumimina ili kupata uhakika zaidi.🤩

17/09/2025

Siri ya kufanya vioo ving'ae pasipo michirizi..........................................
😎usikubali kukaa na vioo vya nyumba yako 🪟hata hiki cha ndani🪞 na kuona ina michirizi ambapo ulitumia sabuni nyingi na maji mengi kwa muda usiofaa ukaoshea vioo vyako......hahaha sikutishi ngoja nikupe siri mshikaji wangu🤩
>>vizia muda wa mawingu🌆 au jua halipo kabisa huu ndio muda muafaka wa kutimiza lengo letu🏜
>>Tumia micro-fiber au gazeti kwa ajili ya kufuta na kukaushia
>>Tumia grass cleaner spray,tahadhari usitumie maji kumwaga kwenye kioo badala yake spray au nyunyizia 🚿
>>Hakikisha unafanya kwa utaratibu anza na kuspray,sugua futa kwa kuzunguka yaani kwa kutengeneza mduara.

Call now to connect with business.

17/09/2025

Habari mpendwa karibu sana kwenye page hii,utanufaika vingi kupitia ukurasa huu wa usafi, nia yetu kuu ni kufikisha ujumbe juu ya umuhimu wa USAFI, tumekuwa tukifanya tathimini kubwa juu ya hili swala la usafi kwa maoni na ushauri comment yako ni muhimu au nitafute kwa namba hii 0744308638☎️

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Dar Es Salaam