Afya ni mali

Afya ni mali

Share

�MY HEALTH SERVICES �
�Tezi Dume Bila Upasuaji
�Nguvu Za Kiume
�Kisukari & Pressure
�PID - UTI- Fangasi Sugu
�Mifupa & Maungio n.k

10/06/2024

CHUKUA HATUA USICHUKULIE POWAA 📌📌

10/06/2024
10/06/2024

Karibu nkuhudumie

10/06/2024

Ijali Ngozi yako Kwa kutumia virutubisho asilia.Karibu nkuhudumie

10/06/2024

Ukipata dalili hizo👆🏽 jua upo kwenye hatua mbaya Sana
Karibu Kwa Ushauri na tiba💊0672768141

23/05/2024

CALCIUM & VITAMIN D3 MILK TABLETS Ongeza kiwango cha afya ya watoto wako na BF SUMA! •Hii ni bidhaa mpya kabsa yenye ladha ya Strawberry, ni nzuri sana na mahususi kwa watoto, wajawazito, wamama wanaonyonyesha na watu wazima. • Ina vidonge 60 na 100mg. Idadi ya vidonge kwa siku; •📍Miaka 4-13 atumie 1.📍Miaka 14-17 na mjawazito atumie 1-2. 📍Anayenyonyesha atumie 1-3. 📍Mtu mzima atumie 1-5. •Ni bidhaa nzuri na tamu sana hata mtoto asiyependa kutumia vidonge ataipenda sana. FAIDA ZA KUTUMIA CALCIUM & VITAMIN D3 MILK TABLETS Kuimarisha ukuaji wa mifupa 👉🏾Huzuia matege kwa watoto 👉🏾Hudumisha usawa wa Calsium na Phosphorus 👉🏾Husaidia kukuza meno yenye Afya 👉🏾Inaondoa Hali ya mwili kuchoka au mwili kuishiwa nguvu na kuwezesha mwili na akili kufanya kazi kwa ufanisi wa hali ya juu👉🏾 Kuwa wa kwanza kununua na kutumia CALCIUM & VITAMIN D3 MILK TABLETS

23/05/2024

*VITAMIN C CHEWABLE TABLETS.*

🥰Hii ni bidhaa mpya kabsa yenye radha ya chungwa na ni nzuri sana na mahususi kwa watoto, wajawazito, wamama wanaonyonyesha na watu wazima.

🥰Ina vidonge 120 na 100mg, unaweza kutumia pamoja na chakula au bila chakula.

Idadi ya vidonge kwa siku;
🖍️Miaka 4-13 atumie 1.
🖍️Miaka 14-17 na mjawazito atumie 1-2.
🖍️Anayenyonyesha atumie 1-3.
🖍️Mtu mzima atumie 1-5.
🥰Ni bidhaa nzuri na tamu sana hata mtoto asiyependa kutumia vidonge ataipenda sana.

*FAIDA ZA KUTUMIA VITAMIN C CHEWABLE TABLETS KUTOKA BF SUMA*
👉Inazuia na kutibu anemia.
👉Inaongeza kinga ya mwili kwa kuziwezesha chembe cells nyeupe kufanya kazi yake kwa ufanisi wa hali ya juu.
👉Inazuia kukakama kwa cell za ateri.
👉Ina antioxidant za kutosha kwa ajiri ukuimalisha cells na kuzuia cells zisiharibike.
👉Inasaidia kuponesha vidonda haraka.
👉Inazalisha collagen za kutosha ambazo ni proteins zinazoimalisha ngozi, mishipa ya damu na damu yenyewe, mifupa na cartilage.
👉Inasaidia uchukuliwaji wa madini chuma mwilini(Iron absorption) ambayo kazi yake ni kuzalisha chembe cells nyekundu na kusafirisha oxygen mwilini.
👉Inazuia au kutibu upungufu wa vitamin c mwilini.
👉Inaondoa na kupunguza mafua au dalili za mafua.
👉Inaimalisha meno na mifupa Kwa sababu inasaidia uchukuaji wa calcium.
👉Inaondoa Hali ya mwili kuchoka au mwili kuishiwa nguvu na kuwezesha mwili na akili kufanya kazi kwa ufanisi wa hali ya juu.

🥰Kuwa wa kwanza kununua na kutumia Vitamin C CHEWABLE TABLETS kutoka BF SUMA na Wahi upate yako mapema maana ziko chache sana.

Tuwasiliane kwa namba hii ........ Ili kupata utaratibu wa kuipata bidhaa nzuri Sana ambayo haijawahi kutokea.

23/05/2024

*MAUMIVU YA KICHWA MARA KWA MARA SASA* *BASI* .
Mara nyingi Watu hupata shida ya *maumivu ya kichwa mara kwa mara shida* kubwa ikiwa ni mzunguko wa damu unakuwa haupo vizuri. Sasa tumekuletea kahawa isiyo na kaffein ambayo ni *kiboko katika kuondoa maumivu* ya *kichwa* . Licha ya kazi hiyo mahsusi hufanya kazi zifuatazo.
➡️Kuongeza uwezo wa kuona yaani (improve eyesight).
➡️Inaongeza uwezo wa kufikiri kwa sababu inahusika na ubongo, pia inaongeza uwezo wa kukumbuka.
➡️Ni nzuri sana kwa wanaopata usingizi wa mang'amun'gamu (kukosa usingizi).
➡️inaongeza ufanisi wa utendaji kazi wa moyo.
➡️inahuisha seli na kufanya ngozi ing'ae na kuondoa mikunjo usoni.
➡️Inaimarisha kinga za mwili.
➡️Inaongeza nguvu za kiume.
➡️Ina ubora wa hali ya juu kulifanya figo kuchuja sumu vizuri.
➡️Inaongeza uwezo wa kutoa sumu mwilini hivyo inapunguza uzito kwa wale wanaotaka *kupungua* .
➡️inaongeza nguvu mwilini kwa wale wenye miili lege lege au kuhisi uchovu ni kiboko ya *kuondoa uchovu.*
➡️Inaondoa mafuta kwenye mishipa na mshipa wa fahamu

23/05/2024

HABARI MPYA ! HABARI MPYA ! HABARI MPYA !

🌿💪 Boresha kinga ya mwili wako kwa kutumia bidhaa mpya ya Pure and Broken Ganoderma Spores Oil! 🌿✨. Bidhaa yenye asili ya mafuta iliyotegenezwa kwa viambata asili kwa ajili ya kuboresha kinga ya mwili wako. 🌿💪Bidhaa hii inafanya kazi zifuatazo:
✨ Husaidia Kuboresha Afya ya Ini
✨ Husaidia Kuondoa vimbe mbali mbali mwilini
✨ Husaidia Kuondoa sumu mwilini
✨ Husaidia Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
✨ Husaidia Kuondoa uchovu na kuboresha usingizi
✨ Husaidia kupunguza kasi ya ukuaji wa maradhi ya kansa
✨ Husaidia kuweka sawa kiasi cha mafuta mwilini
✨ Husaidia Juboresha mfumo wa mazunguuko wa Damu
✨ Husaidia kuboresha Afya ya Kongosho na kuweka sawa kiasi cha sukari Mwilini.
✨ Husaidia kuboresha Afya ya ngozi.
🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿🌿
Wasiliana nami kupitia 0672768141

15/05/2024

Karibu katika kuhamasisha kukuza Sekta ya utalii Tanzania. Mhe, Dr Samia Suluhu Hassain, Rais wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania kawa kiongozi Mkuu katika jambo hili, aliweka nia na akaweka Mwanga ambao kwa sasa unaleta manufaa makubwa sana kwa ongezeko kubwa la watalii kutoka mataifa mbalimbali. Jiulize kwa nini mimi na wewe tushindwe? kufanya utalii wa ndani hata mara mbili kwa mwaka na wapendwa wetu, Ungana nasi kwa nia ya kumuunga mkono Mhe Rais katika nia yake ya kuifungua Tanzania.

Mhe, Rais wa🇹🇿 nchi ni mmoja tu, mwanamama Supavu.

🇹🇿TWENDE_KUTALII 🇹🇿





,ahamad


-abdulkingo


@yahoo.com
-lukumay

-yovina








Danija


magela




dukay


mwinyi

16/04/2024

*FAIDA YA PROBIO3 BFSUMA 🇺🇲🇹🇿♀️♂️*
○ Inaimalisha kinga za mwili
○ Inaongeza nguvu ya uzalishaji wa vitamin B6 & B12
○ Inaboresha mfumo wa upumuaji kwasababu inaondoa wadudu wanaoathiri maambukizi ya kinywa (candida)
○ Inaboresha Ngozi kwa sababu probiotics inaondoa wadudu wanaoharibu ngozi (eczema and psoriasis)
○ Inapunguza matatizo ya Mafua na kifua
○ Inatibu matatizo ya tumbo na mmeng'enyo (leaky gut syndrome and inflammatory bowel disease)
○ Inasaidia kwa wanaotaka kupungua uzito.
○ Inapunguza matumizi ya antibiotics
○ Tiba ya mawe kwenye figo
○ Huondoa Maumivu ya kusokota kwa tumbo (Colic)
○ Inaondoa wadudu waharibifu wa meno na kinywa (cavities and gum disease)
○ Inaondoa matatizo kwenye utumbo mkubwa (colitis and Crohn’s disease)
○ Inatibu matatizo ya Ini (liver disease)
○ Inapambana na kansa
○ Inaondoa hari ya kujichanganya (Manage autism)
○ Inaondoa Mafuta
○ Inaondoa baktelia wanaosababisha vidonda vya tumbo (ulcers)
○ Inaondoa Chunusi (Improve acne)

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mlimani City
Dar Es Salaam