SAID UZAZI

SAID UZAZI

Share

"Furaha ya ndoa ni mtoto"οΏ½ οΏ½
Rejesha furaha ya ndoa yako kwa kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu bila kutumia dawa.
0759296625.

01/09/2026

Angalia video hii mpaka mwisho kisha husianisha video hii na changamoto za uzazi kwa mwanamke kisha tuambie umejifunza nini?.πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ
SAID UZAZI

Photos from SAID UZAZI's post 31/08/2026

Maelezo kidogo kuhusu mrejesho huu.πŸ‘πŸ‘πŸ‘

1. Mtoto wa kwanza ana miaka 15.
2. Mtoto wa pili ndiyo huyu ametimiza mwaka mmoja leo. πŸ’ƒ
3. Miaka zaidi ya 10 ya kutafuta ujauzito.
4. Kabeba ujauzito akiwa na miaka 40, kajifungua akiwa na miaka 41 na sasa ana miaka 42. Kuna mtu ana miaka 35 anasikika akisema umri umeenda siwezi kupata mtoto tena.
5. Ukijua changamoto yako vizuri utashauriwa vizuri kulingana na changamoto yako na utafanikiwa.
6. Tumpongeze mwanae kwa kutimiza mwaka mmoja.πŸ‘πŸ‘πŸ‘

Kipi umejifunza kwenye mrejesho huu?.
SAID UZAZI .

31/08/2026

Mrejesho wako wa kumeza vitunguu swaumu vilikusaidia nini?.
.

28/08/2026

Tumbo lako zuri lililobarikiwa lilete k**a huyu.πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ
.

27/08/2026

Mungu anajua nani amlete, lini amlete, nani awahi, nani amuondoe na nani achelewe lakini kila mtu lazima apate kwa wakati wake sahihi.πŸ€°πŸ‘©β€πŸΌ

Mda mwingine kuchelewa kwako ni ushuhuda kwa mwingine na huashiria kuandaliwa kwa vikubwa zaidi kwa ajiri yako sawia na subira yako.

Ndiyo kusubiria mda mrefu kunachosha lakini usikate tamaa kwani; "Yapo mambo makubwa mazuri ambayo Mungu amekuandalia ambayo hujawahi kuyaona kwa macho wala akili yako haijawahi kuyawaza wala haukuwahi kuyasikia, ikiwa utamtii."
1 Wakorintho 2:9-10.
.

25/08/2026

JINSI YA KUONDOA SUMU YA UZAZI WA MPANGO MWILINI/KWENYE KIZAZI KWA KUTUMIA JUISI YA TANGAWIZI na KAROTI ILI UBEBE UJAUZITO KIURAHISI.🫚πŸ₯•

Chukua tangawizi kubwa moja na karoti mbili saizi ya kati au moja kubwa kisha zioshe vizuri kuondoa uchafu na vijidudu kisha katakata vipande vidogo vidogo usage kwenye blenda kwa kutumia maji nusu lita.

Chuja juisi yako unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kwa siku 30 mfululizo. Kabla ya kunywa weka asali vijiko viwili.

NYONGEZA:πŸ‘‡
1. Mwenye vidonda vya tumbo asitumie sababu ya tangawizi.
2. Unaweza kuhifadhi kwenye jokofu (friji) kwa ajiri ya baadae.
.

24/08/2026

Kitu gani umepona kupitia page hii SAID UZAZI? πŸ₯°

Taja na ulichotumia ili tujifunze wote.
.

22/08/2026

Faida moja kubwa uliyoipata baada ya kutumia juisi hii?.
.

20/08/2026

KUSAFISHA TUMBO LA UZAZI UKIWA HEDHI TUMIA JUISI HII:πŸ‘‡

Mahitaji:
1. Karafuu saga unga wake kisha tumia vijiko vinne mpaka vitano.
2. Vitunguu swaumu vizima viwili vimenye upate punje zake.
3. Maji lita moja.

Maji lita moja kwenye chupa, changanya na vijiko vinne mpaka vitano vya unga wa karafuu, na punje za vitunguu swaumu vizima viwili kisha funika.

Fanya zoezi hili jioni kisha kesho asubuhi chuja yote unywe hiyo lita moja kwa siku nzima mpaka iishe. Unaweza kunywa kidogo kidogo lakini hakikisha lita nzima inaisha kwa siku.

Kila siku tengeneza mpya na utumie siku 7 mfululizo baada ya kuanza hedhi.

Itakusaidia:πŸ‘‡
1. Kusafisha tumbo la uzazi kwa ujumla.
2. Kuandaa mfuko wa mimba na ukuta wa mimba kwa ajiri ya ujauzito.
3. Kuweka homoni ya Estrogen na Progesterone sawa.
4. Kuondoa maumivu ya chango la uzazi (maumivu wakati wa hedhi).
5. Kuongeza hisia na ute ufikapo siku za hatari.
6. Pia ni nzuri sana kwa wale ambao wamepima vipimo vyote hakuna shida lakini hawabebi ujauzito.

Faida ipi umeipenda zaidi kati ya hizo?.
.

19/08/2026

JE, WAJUA...❓

Kuna mimba nyingi sana zimeharibika kutokana na watu kusema:
1. Naogopa kupima nikakuta sina mimba.
2. Nilishazoea kupitiliza nikaona uvivu kupima.
3. Naogopa kupoteza buku yangu/hela yangu bure ya kipimo.
4. Sipimi maana sioni hata dalili moja.
5. Sipimi ngoja nivutevute kidogo hata wiki moja au mbili mbele.
6. Nasubiria ikuekue hata miezi mitatu au mitano ndipo nianze Clinic/ nimwambie dokta.

Ushauri: Ukipitiliza siku za kuingia hedhi hata k**a ni siku moja, hata k**a hujaona dalili yoyote hakikisha unapima sababu kupitiliza ni dalili namba moja ya ujauzito.

SWALI:πŸ‘‰ Mimba unataka na kwenye kutafuta mimba ukiingia tu hedhi utasikia nisaidie kujua siku za hatari nikiwasheπŸ˜‚ lakini kupima mimba aaah hutaki sasa tutajuaje k**a umefanikiwa?.πŸ™†β€β™‚οΈ
.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00