ZuRii House Of Beauty
Shop from our extensive range of health and beauty products from leading brands, fragrances and more.
08/06/2026
08/06/2026
Hizi ni bidhaa brand ya Elisabeth arden
✅zinafaa kwa mtu mwenye ngozi kavu,inaondoa ukavu wa ngozi na kufanya ngozi iwe na unyevu
✅zinafanya ngozi iwe smooth
✅zinasaidia kulainisha ngozi na kuwa soft
✅kwa wale ambao mna sensitive skin,ngozi inawasha,inakauka,inapasuka na unatokwa na vipele tumia hii lotion itakusaidia
✅zinaacha ngozi yako ikiwa na mng’ao wa asili
✅ngozi inakaa na unyevu masaa 48h
✅zinaharufu nzuri na ya kuvutia
✅zinafaa kwa matumizi ya kila siku
LOCATION
Dar Free Market
Call orWhatsapp
0659 189 769 & 0763 543 342
Mbweni Matrekta
Call or Whatsapp
📞 0675 320 444
#
‼️‼️hizi ni conditioner za nywele
✅zinasaidia kulainisha nywele kuwa soft
✅zinakuza na kujaza nywele
✅ zinafanya nywele ziwe laini zisijifunge na zisikakamae
✅zinafanya nywele ziwe na afya
✅zinafanya nywele zisikatike
✅zinafanya nywele zinashine
LOCATION
Dar Free Market
Call orWhatsapp
0659 189 769 & 0763 543 342
Mbweni Matrekta
Call or Whatsapp
📞 0675 320 444
✅Hizi lotion ni mafuta mazuri sana kwa ngozi
✅Inafanya hydration na kufanya ngozi iwe na unyevu wa kutosha
✅Inaondoa mikunjo na ngozi iliyosinyaa
✅Inaondoa ukavu kwenye ngozi na kufanya ngozi iwe yenye afya
✅Inafanya ngozi iwe soft na smooth
✅yanafanya ngozi iglow na yenye kuvutia
✅yana harufu nzuri.
LOCATION
Dar Free Market
Call orWhatsapp
0659 189 769 & 0763 543 342
Mbweni Matrekta
Call or Whatsapp
📞 0675 320 444
#
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 20:00 |
| Tuesday | 08:00 - 20:00 |
| Wednesday | 08:00 - 20:00 |
| Thursday | 08:00 - 20:00 |
| Friday | 08:00 - 20:00 |
| Saturday | 08:00 - 20:00 |
| Sunday | 10:00 - 18:00 |