rosle_naturalessence

rosle_naturalessence

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from rosle_naturalessence, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.

30/11/2025

✨BODY BUTTER✨

💥Ni mafuta mazito ya mwilini,hutunza unyevu muda wote na kufanya ngozi kuwa laini

💥Husaidia kufifisha michirizi na matumizi ya muda mrefu huondoa kabisa

💥Husaidia kuondoa pumu ya ngozi (eczema) na rashes mwilini

💥Husaidia kupona haraka endapo utajikata,kuungua au kuumwa na wadudu

💥Hulainisha nywele,huimarisha sana nywele na kusaidia zisikatike unapochana na kuzijaza sana

✨Price ; 25,000/=

✨Karibu kwetu wewe mwenye changamoto ya ngozi upate suluhisho.

✨Tunapatikana Mwenge ITV Karibu na Nakiete pharmacy

Call / WhatsApp : 0716047614 / 0685179475


✨Lets glow naturally!

Photos from rosle_naturalessence's post 21/11/2025
22/07/2025

🌿✨ Discover the Power of Nature with ✨🌿
Kesho Tarehe: 23 July 2025 nitakua LIVE ITV Tanzania 📺 |

Nitazungumzia uzuri wa kweli kutumia bidhaa asilia kwenye ngozi yako— salama, za asili, na zenye matokeo ya kudumu! 🌸🍃

🧴 Fahamu kwa nini ngozi yako inahitaji bidhaa salama zisizo na kemikali hatari.
💡 Sikiliza hadithi ya mafanikio na siri za .

👁️‍🗨️ Usikose! Tazama ITV au ITV App

12/04/2025
18/11/2024

✨KARIBU, unaweza kuwa mshindi..

💥Giveaway yetu itakua na washindi wawili, na package za ushindi ni k**a ifuatavyo;

💥Mshindi wa 1, huyu atapata;

1. African black soap cleanser
2. Rose water facial mist(toner)
3. Niacinamide brightening serum
4. Anti-acne face moisturizer
5. Qasil powder

💥Mshindi wa 2,
Mshindi wetu wa tatu atanunua chochote dukani kwetu kwa nusu bei..


✨JINSI YA KUSHIRIKI;

🌺Tufuate kwenye ukurasa wetu wa Instagram

🌺Like na Repost hiyo giveaway post kwenye account yako

🌺Share hii giveaway post kwenye insta story yako kwa 24 hrs

🌺Tag marafiki zako uwezavyoweza(tag nyingi zinaongeza nafasi ya kushinda)

☘️Giveaway yetu itaisha
•tar 24/112024
•saa06:00 usiku.

21/10/2024

Have a blessed week y’all ❤️

Photos from rosle_naturalessence's post 02/09/2024

THE GLOW PACKAGE

✨Hii ni perfect combo wakati wote

Ina;
1.African black soap cleanser ambayo ni sabuni ya maji itakusaidia kuosha uso wako,kuondoa mafuta ya ziada (excess oil) na kuondoa chunusi,vipele n.k

2.Rose water toner
-Husaidia ku balance PH na mafuta Asili a ya ngozi -Husaidia kupunguza matundu ktk ngozi (pores) na kufanya ngozi kuwa nyororo. -Hutumika kuchanganya kwenye mask badala ya maji -Hutumika pia k**a makeup remover

3.Niacinamide serum,kuondoa madoa,mabaka na hyperpigmentation,huzuia Chunusi, kung’arisha ngozi na kuifanya kuwa na rangi moja,huchochea uzalishwaji wa collagen, kuondoa wekundu (kwa walioungua na vipodozi vikali),Husaidia kufifisha weusi chini ya macho

4.Face moisturizer (natural face cream) ambayo pia ni anti-acne -inasaidia kuondoa vipele chunusi,madoa na makovu,kulainisha na kung’arisha ngozi iliyofubaa na kukosa nuru,Kuondoa makunyanzi na kuipa ngozi unyevu muda wote n.k

✨ Hivi vyote unapata kwa 60,000/= tuu,….

Karibu 🤗

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam