Jukwaa la watumishi

Jukwaa la watumishi

Share

love consulting

22/07/2025

*MAOMBI YA KUVUNJA ROHO YA KUCHELEWA KUOLEWA* NA KUFANIKIWA💥💯

🙏OMBA MAOMBI HAYA🙏

1. Chochote kilicho ndani yangu kinachonizuia kuolewa, kiangamizwe kwa jina la Yesu. (Omba hili kwa umakini)

2. Baba, nitoe katika gereza hili la kucheleweshwa kwa ndoa kwa jina la Yesu

3. Roho Mtakatifu kwa moto, ng'oa kila mbegu ya kuchelewa kwa ndoa katika maisha yangu kwa jina la Yesu

4. Roho Mtakatifu kwa damu ya Yesu, futa kila alama ya kukataliwa na kukatisha tamaa maishani mwangu kwa jina la Yesu.

5. Ninaharibu kila nguvu ya msingi inayopinga makazi yangu ya ndoa kwa jina la Yesu.

6. Ninapinga kila nguvu isiyoonekana inayopinga makazi yangu ya ndoa kwa jina la Yesu

7 Kila nguvu iliyo nyuma ya kucheleweshwa kwa ndoa yangu, ikatwe na kuangamizwa kwa jina la Yesu

8. Ninalemaza kila utendaji wa nguvu yoyote ya kiroho inayosimama dhidi ya makazi yangu ya ndoa kwa jina la Yesu.

9. Baba chochote unachohitaji kubadilika ndani yangu na karibu yangu ili hatima yangu ya ndoa ianzishwe, ibadilishe kwa jina la Yesu.

10. Yesu inuka, vunja kila agano la kuchelewa kwa ndoa katika maisha yangu kwa jina la Yesu

11. Ee Bwana Mungu wangu, utukufu wako uwe juu yangu utakaovutia mwanaume/mwanamke sahihi katika maisha yangu kwa jina la Yesu.

12. Ninaangusha mamlaka juu ya uchawi wote ambao umetolewa dhidi ya nyota yangu ya ndoa. Kwa jina la Yesu.

13. Ninaangusha mamlaka juu ya kila uaguzi mbaya ambao umeachiliwa dhidi ya hatima yangu ya ndoa Katika jina la Yesu.

14. Ninafuta kila laana na tamaa mbaya ambayo imeachiliwa dhidi ya ndoa yangu Kwa jina la Yesu.

15. Ninahukumu katika hukumu kila ulimi mbaya unaonena dhidi ya utukufu wa ndoa yangu tangu kuzaliwa. Kwa jina la Yesu.

16. Ee Bwana Mungu wangu. Inuka kwa ajili yangu sasa. Na kuua kila shughuli ya nyoka wa kishetani na ng'e, iliyofanywa dhidi ya ndoa yangu. Kwa jina la Yesu.

17. Kuanzia leo. Ninavunja ushawishi wa laana zozote zinazosemwa juu ya kibali changu cha ndoa. Kwa jina la Yesu.

18. Kwa upanga wa Bwana, ninainuka na kuharibu kila mnyanyasaji mbaya katika ndoa yangu. Kufa kwa moto sasa. Kwa jina la Yesu.

19. Kwa upanga wa Bwana, ninainuka na kuharibu kila mdanganyifu wa kishetani anayefanya kazi dhidi ya mafanikio yangu ya ndoa. Kwa jina la Yesu.

20. Laana zote zinazosumbua utukufu wangu wa ndoa, rudi ulikotoka kwa moto sasa. Kwa jina la Yesu.

• UFUNGULIWE SASA kwa JINA LA YESU

Mtumishi Emanuel Whatsapp +255675791115🙏

26/03/2024

DALILI (7) ZA KUJUA MAISHA YAKO YAMEFUNGWA NA ADUI.

1. Huoni mambo mapya ya kufurahisha na kutia moyo ya kitokea kwenye maisha yako.

Huoni ukipiga hatua chanya kwenye maisha

MFANO
Huoni ukiongezeka. Kuongezeka kimaendeleo.
Kuongezeka kiuchumi, kipato ulichokuwa nacho mwaka juzi ndiyo hicho hicho mpaka leo japo matumizi yameongezeka.

Matokeo yake kuna mambo mengi ya kuondoa pesa kuliko kuingiza ukipata pesa gafla kunatokea tatizo linalodai hiyo pesa itoke,
mtu wamhim anaumwa au kunatokea msiba au tatizo lingine la lazima.

2. Mawasiliano yako yanafungwa, hakuna anae kuletea taarifa njema unaletewa tarifa mbaya tu. AYUBU 1: 16 💥

Hata ikitokea ukapigiwa simu nyingi ni zamatatizo kuliko za Habari njema

MFANO
Unaweza pigiwa cm za kuachishwa kazi.

Kuachwa na mtu umpendae,
au simu za kulaumiwa na alie takiwa kukufariji.

Kupigiwa simu na wanaokudai kuliko unaowadai.

3. Hakuna ongezeko la watu wapya wenye msaada au faida kwenye maisha yako.

Zaidi wakiongezeka niwatu ambao inabidi wewe uwasaidie.

Watu wengi wanao kutafuta ni wale wazamani ambao na wao hawajapiga hatua yoyote kimaisha,

na story mnazopiga nikukumbushana historia za nyuma za mambo dhaifu mliyo pitia ambayo hayajengi chochote kwenye maisha yako.

Marafiki walio fanikiwa hata ukiwatafuta huoni wakijali sana kuhusu wewe,
hata k**a ulikuwa wa maana sana kwao
wanakuwa k**a hawana kumbu kumbu yoyote ya maana na wewe.

4. Kila kitu chako unakipata kwa kutumia nguvu nyingi na usumbufu isivyo kawaida.

Hata ikitokea umepata mtaji unataka kufanya biashara yoyote unapata hasara,

au unaambiwa umechelewa ungeifanya mwaka jana ilikuwa inalipa sana.

5. Unakosa kibali na heshima unapingwa na mazingira yako mwenyewe,

MFANO
Waliotakiwa kukuheshim wanakudharau,
hata ukiongea wanakuonyesha mapungufu yako,

Hata mke mume au watoto uliowazaa wanakosa kukuheshim,
Hata ukitoa maagizo hakuna anae tekeleza.

6. Ahadi za mambo mazuri kwako hazitimii

MFANO
Mtu anaweza kuku ahidi pesa ikifika ile siku ukimpigia cm anakuambia nilikuwa nayo pesa lakini kunajambo nimeifanyia,

au akasema nilisahau kabisa k**a nilitakiwa kukupa nimeitumia jana subili wakati mwingine.

Unaweza ukaahidiwa kupewa kazi na CV yako ninzuri hata kuliko hiyo kazi lakini ukashangaa anachukuliwa mtu unae mzidi kwa kila kitu.

Unaweza uka ahidiwa kuolewa au kuoana na mtu, lakini ukashangaa amebadili mawazo mwishoni na kumuoa mtu mwingine ambae hakuwa amemkusudia kabisa
MWANZO 29: 25 💥

7. Hali ya kukata tamaa na kuona kila jambo haliwezekani.

Uwezo ndani yako unafunga kila kitu kwako kinakuwa ni kigumu hata mambo uliyo kuwa unayaweza kirahisi yanageuka mzigo.

Kuna kuwa na vita ya ndani inayokuwa inakuambia usijaribu utashindwa utaanguka uta aibika,
Maana wewe huwezi, k**a alishindwa yule mwenye uwezo kuliko wewe wewe huwezi.

Una kuwa na mifano mingi ya watu walio shindwa, wenye uwezo kuliko wewe,

pia inakukumbusha ulipo anguka zaidi kuliko ulipo simama.🙏

Dalili hizi nimbaya sana kuna watu zimekaa kwenye maisha yao mpaka wame amini ndiyo hali yao na maisha waliyo pangiwa na Mungu,

Mpendwa hayo siyo maisha yako bali nishetani amevamia maisha yako,
na akitoka hapo nikukuua kabisa maana hana huruma.

UKIONA UNA HIZI DALILI KWENYE MAISHA YAKO CHUKUA HATUA YA KUINGIA KWENYE MAOMBI YA TOBA NA KUITIA DAMU YA YESU YA UKOMBOZI NA UPATANISHO,

ILI UKOMBOLEWE KUTOKA KWENYE MIKONO YA ADUI NA NGUVU ZA GIZA.

✍️By Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 👏

Maombi na ushauri Whatsapp 0716 822126 💥

26/03/2024

NJIA RAHISI YA KUFANYA YALIYO SHINDIKANA YAWEZEKANE💪

HAKUNA NAMNA KUKU ANAWEZA KUBADILISHA MAYAI YAKE KUWA VIFARANGA ISIPOKUWA KWA KUATAMIA TU.🐔🐣🐥

Ndiyo maana wakati wakuatamia kuku hujinyima, hata kula na ana jitenga na mambo yote mazuri, 🦃

Anakubali kupoteza kila kitu chenye faida kwake ili tu atimize siku za kuatamia kwake apate vifaranga.

Lakini kuku asie tulia kwenye kuatamia mayai yake, yana yanageuka na kuwa mayai viza na hapati watoto zaidi hupata hasara ya mayai na siku za kuatamia kwake.😪

HAKUNA NAMNA UNAWEZA KUBADILISHA MAISHA YAKO ISIPOKUWA KWA MAOMBI TU🙏💯

Watu wengi kwa kushindwa kutulia na kumsikiliza Mungu anasema nini kuhusu maisha yao binafsi
Nakushindwa kuomba mpaka waone majibu ya maombi yao.

Wamefanya maisha yao kuharibika na kuwa k**a vile mayai viza, wame kuwa k**a kuku asie atamia mayai anavyoweza kufanya mayai yake yageuke kuwa mayai viza, na maisha ya wengi yamekuwa viza.

Hakuna namna unaweza kubadislisha laana kuwa baraka isipokuwa kwa maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha mateso kwenye ndoa yako isipokuwa kwa maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha umasikini kuwa utajiri isipokuwa kwa bidii ya kazi na maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadislisha mumeo asikusariti, isipokuwa kwa kuomba tu, 🙏
Maana k**a ni uzuri wengi ni wazuri na hawana waume📌

Hakuna namna unaweza kubadisha mkeo asikuache isipokuwa kwa kuomba tu. 🙏
Maana k**a nipesa kuna walio achwa na pesa zao📌

Hakuna namna unaweza kubadilisha elimu yako iwe ajira, isipokuwa kwa kuomba tu. 🙏
Maana kuna waliosoma wengi na wako nyumbani tu

Hkuna namna unaweza kubadisha dharau yako iwe heshima isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadisha ugonjwa wako uwe uzima, isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Maana kuna wengi wa walikuwa na madaktari bingwa na hospital za kimataifa na bado walipoteza maisha.

Hakuna namna unaweza kubadislisha kukopa kwako kuwe kukopesha isipokuwa kwa maombi tu.🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha kutoka mahusiano ya uchumba na kuwa ndoa isipokuwa kwa maombi tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha kutoka kuwa mfanyakazi wa kawaida na kuwa boss isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadislisha kukataliwa nakuwa na kibali cha kukubalika isipokuwa kwa kuomba tu🙏

Hakuna namna unaweza kubadislisha walio kusahau wakukumbuke isipokuwa kwa maombi tu 🙏

Hakuna namna unaweza kubadilisha jambo lolote isipokuwa kwa kuomba tu 🙏

NENO LA MUNGU LINASEMA TUOMBE BILA KUKOKOMA 1 WATHESALONIKE 5: 16🙏

Maombi na ushauri Whatsapp 0716 822126 💥

✍By Mtumishi Fahim 0716 822126 💥

25/01/2024

MAOMBI YA KUVUNJA VIZUIZI YVA KUCHEWESHWA KWENYE NDOA*‼️‼️‼️

AJENDA ZA MAOMBI KWA SIKU 7 🔥🔥🔥🔥

1. Moto wa Roho Mtakatifu, badilisha kuchelewa kwangu kuwa mafanikio ya ndoa mwaka huu kwa moto, katika jina la Yesu.

2. Kila kufuli inayoshikilia ndoa yangu iwake moto, kwa jina la Yesu.

3. Minyororo ya kucheleweshwa kwa ndoa na kukatishwa tamaa, inakatika kwa jina la Yesu.

4. Mungu ainuke na maadui wote walio nyuma ya ucheleweshaji wa ndoa yangu watawanyike, kwa jina la Yesu.

5. Miaka yangu iliyopotea, irudishwe kwa moto na na niingie katika ndoa ya mwaka huu, katika jina la Yesu.

6. Ninafuatilia, kuvuka na kuokoa ndoa yangu kutoka kwa mikono ya wazuia ndoa, katika jina la Yesu.

7. Madhabahu yoyote ya kishetani inayofunga ndoa yangu, itawanywe kwa moto, kwa jina la Yesu.

8. Kila mshale wa aibu, unaolenga maisha yangu katika mwaka huu wa 2024, unarudi nyuma, katika jina la Yesu.

9. Kila nguvu iliyoamriwa kunifanya niinuke na kuanguka katika uhusiano wangu bila ndoa, ife, kwa jina la Yesu.

10. Kila nguvu ya nyumba ya baba yangu, inayo chelewesha ndoa yangu inakufa, kwa jina la Yesu.

11. Laana na maagano ya kuchelewa kwa shetani katika maisha yangu kujaribu kunizuia nisiolewe/Kuoa,ife, kwa jina la Yesu.

12. Shimo la kina, kumeza fadhila zangu, upendeleo wangu wa ndoa na nafasi zangu za ndoa zinazitapika kwa moto, katika jina la Yesu.

13. Mlolongo wa kucheleweshwa kwa ndoa na kukatishwa tamaa mara kwa mara, inayoshikilia maisha yangu miaka hii yote, vunjila, kwa jina la Yesu.

14. Wingu la giza karibu na mafanikio yangu ya ndoa, tawanyikeni, kwa jina la Yesu.

15. Ninaangusha kila ngome ya kuchelewa kwa ndoa ya kishetani inayofanya kazi maishani mwangu, katika jina la Yesu.

16. Kila shujaa aliyepewa jukumu dhidi ya maendeleo yangu kuoa miaka baada ya miaka kadhaa na kufa, katika jina la Yesu.

17. Amri ya Shetani juu ya picha yangu kwamba sitaolewa/Kuoa kamwe, kufa, katika jina la Yesu.

18. Kila nguvu mbaya inayomaliza fadhila zangu, juhudi, fedha, na wakati katika uhusiano huu wa sasa kufa, katika jina la Yesu.

19. Kushindwa na msiba hautakuwa utambulisho wangu katika uhusiano huu mahususi, katika jina la Yesu.

20. Nguvu ya kudumaa kwa uhusiano na kufuta ndoa, kauka, kwa jina la Yesu.

21. Nitainuka na kuolewa/Kuoa kwa utukufu mwaka huu

Omba Dondoo za maombi hapo juu kwa imani

Fahim 0716 822126 💥

Mungu akubariki.

Niandikie ujumbe Messenger majina yako mahali unapoishi namba yako ya cm na mahitaji yako nikuombee 👏

Maombi na ushauri 0716 822126 Whatsapp

20/11/2023

MUNGU ATUSAIDIE SANA🙏

14/11/2023

JINSI YA KUJENGA NDOA NA MAHUSIANO BORA💥

Nyumba hujengwa na vitu vingi ikiwemo msamaha na matumizi ya kinywa. Mama anapojua kutumia vizuri kinywa chake anayo nafasi kubwa sana kuiponya na kujenga hata kuimarisha ndoa yake.
MITHALI 9: 13💥 MITHALI 14: 1 - 5💥

Hili hutokana na majibu yake pale anapoongea na mume wake kwa kauli nzuri njema zenye kuvutia na kubembeleza; hulka ya mwanamke ni upole na kauli zake ni za kipole maneno matamu yenye kuvutia na kubembeleza hata k**a mtu kapandisha hasira kwa jibu na kauli yako ya upole

Unamshusha sawa na Neno la Mungu lisemavyo katika MITHALI 15: 1 💥ya kwamba "Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu."

Sio kila jambo unatakiwa kulitolea ufafanuzi ama kuongea, wakati mwingine jishushe tu omba msamaha hata uonapo umekosewa na kuonewa kisha nyamaza kimya maana kazi ya utetezi si yako bali ya Mungu wako yeye atasimama kukutetea kwa njia yake mwenyewe.

Kunyamaza ni hekima, maana maandiko yanasema kwamba "Azuiaye maneno yake ni mwenye maarifa; Na mwenye roho ya utulivu ana busara. Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu." (MITHALI 17:27-28) na AYUBU 13:5 💥inasema kwamba "Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu."

kumbe basi kuna muda inakupasa kunyamaza kimya tu si kwa kiburi au dharau ila kuipisha ghadhabu tu.

Sote twafahamu ya kwamba ulimi ni kiungo kidogo lakini kina madhara makubwa sana kulingana na Neno la Mungu kutoka YAKOBO 3:5-6; 💥hivyo basi k**a mke chunga ulimi wako
▪Jishushe
▪Omba tu msamaha ubebe ubaya
▪Nyenyekea na kujishusha
▪Nyamaza kimya usifumbue mdomo wako kuongea ukiwa na hasira maana hasira haifanyi kazi na hekima hata siku moja.
▪Usiwe mwanamke wa kupiga piga kelele tu na kuongea sana

MITHALI 10:19 💥inasema kwamba "Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili." angalia katika kuongea kwako sana unakwaza na kukosea na WAEFESO 4:31💥 inatuonya ya kwamba "Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya"

Wewe ni mke jenga ndoa yako kwa kutumia kinywa chako na msamaha mwombe Roho wa Mungu akusaidie kujishusha, kuachilia, kusamehe, akupe hekima ya kiMungu ambayo ni safi, yenye amani, upole,iliyo tayari kusikiliza, imejaa rehema (msamaha), yenye kutenda mema isiyo na unafiki wala fitina (YAKOBO 3:17-18💥)

✍🏼 Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp 💥

Maombi na ushauri Whatsapp 0716 822126 🙏

29/07/2023

MAOMBI YA KUFUNGUA MILANGO YA BARAKA ZAKO ZILIZOFUNGWA NA SHETANI NA WACHAEWI

1. Leo ninatangaza kwamba familia yangu imebarikiwa na kila baraka za kiroho na kimwili katika Kristo Yesu.🙌

2.Kuanzia sasa, pale ambapo wengine wamekataliwa, tutakubaliwa, pale ambapo wengine wamekatishwa tamaa, tutapendelewa, kwa Jina la Yesu.

3. Ninaamuru msaada na neema isiyo ya kawaida kusimama wakati wa shida kwa kila mwanafamilia yangu, katika Jina la Yesu.

4.Kila vazi la aibu na lawama juu yangu na jamaa yangu livuliwe. Hatutavuna matokeo mabaya ya dhambi za wazee wetu, kwa Jina la Yesu

5. Kila matokeo mabaya kutoka kwenye madhabahu ya familia na uovu wa kizazi ambayo yangeweza kutuzuia, leo, yanafutwa, kwa Jina la Yesu.

6. Upako wa mkamilishaji unaachiliwa juu yangu na wapendwa wangu. Yale ambayo wazazi wangu hawakuweza kuyamaliza, tutayaanza na kuyamiliki kwa Jina la Yesu.

7. Katika siku za mbele, sauti ya furaha haitakoma katika familia yangu. Kila msiba unaisha leo katika maisha yangu na familia yangu, kwa Jina la Yesu.

Asante Kristo Yesu, ngome imara , ngome isiyotikiswa na adui kwa kujibu maombi yangu kupitia mamlaka yenye nguvu na uwezo wako.Ninayafunika maombi haya kwa damu ya Yesu Kristo Ameni, Ameni. Imekuwa• Napokea ushindi mkuu kuanzia sasa, nimevuka• Hakuna chochote kitakachonishinda wala kunizuia•

Baada ya kuomba maombi haya usikiapo msukumo na amani ndani yako ya kuachilia sadaka yako baada ya maombi haya katika muda na lango hili , mruhusu Roho Mtakatifu kwa ajili ya hilo, waweza kufanya hivyo kupitia namba iliyopo chini ya post hii pamoja na ushuhuda wako.

By Mtumishi Fahim 0716 822126 Whatsapp 💥

10/06/2023
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam