TIBA BORA Asilia
Tunaisaidia na jamii ya kitanzania kuweza kutatua matatizo mbalimbali ya kiafya k**a kisukari, presh
10/05/2021
UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI, AINA ZAKE, CHANZO, DALILI ZAKE NA TIBA YAKE ASILIA.
Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa
Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.
Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.
Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.
SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI
Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;
(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.
Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa
ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
AINA ZA BAWASIRI
{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne
DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.
DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia
DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
kupata kinyesi chenye damu
kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
~ matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI bawasiri fluid na bawasiri powder hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri
ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU
EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI
MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri
KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI
HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU
HUATHIRI KISAIKOLOJIA
MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua kabla ya kujua tiba
KWA MAHITAJI YA DAWA ASILI ILIYOKWISHAANDALIWA YENYE KUONDOSHA BAWASIRI MOJA KWA MOJA KWA UWEZO WA MWENYEZI MUNGU WASILIANA NAMI KWA MAWASILIANO YANGU HAPO CHINI
DAWA UTATUMIWA POPOTE ULIPO PIA DAWA UTAIPATA KWA BEI NAAFUU KABISA HUNA HAJA YA KUFANYIWA OPERESHENI YA BAWASIRI KWANI MARA NYINGI BAWASIRI HURUDI TENA PINDI INAPOFANYIWA OPERESHENI..
Bawasiri humpata MTU yeyote katka umri wowote
E-mail: thabitsayd@gmail. com
WhatsApp: 0656 198 441/0764 516995
Dr.Thaabit Saidi (Abuu barmak)
🔥 BAWASIRI FLUID🔥
▶ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasir ya nje na dawasiri ya ndani:⤵
▶ Hutibu maumivu makali yatokanayo na bawasiri.
▶ Hutibu miwasho itokanayo na bawasiri.
▶ Huondosha uvimbe utokanao na bawasiri.
▶ Huondosha kidonda na kutokwa na damu kutokana na bawasiri iliyopasuka yaani Thrombosed Hemorrhoid
Dawa hii inapatikana katika ujazo wa robo lita yaani mililita 250 (250 mls).Ambayo ni doze kamili.
Ni dawa yakupakaa.
▶Asilimia 100 (100%) ya wateja wote wote waliotumia doze hii hawamalizi hata nusu doze tatizo huisha kabisa na kuendelea na shughuli zao k**a kawaida.
NB: Bawasiri ni katika magonjwa ambayo tiba yake husumbua sana hospital mpaka kupelekea watu kufanyiwa upasuaji lakin bawasiri haiishi kwa kufanyiwa upasuaji kwani huwa inarejea tena.
Kwa mahitaji ya dawa wasiliana namimi:⤵
wa.me/255755162724
Liwaya
Email: [email protected]
Call/Whatsapp 0755162724
28/07/2020
UFAHAMU UGONJWA HATARI WA BAWASIRI/MGOLO & HEMOROHIDES
➖ Dr LIWAYA
_____________________________________
➖(+255717541527)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________
➖Bawasiri ni ugonjwa wa Kutoka kinyama ktk Njia ya haja kubwa.
➖Kwa Lugha Nyingine Inajulikana Kwa Jina la Mgolo Kwa kingereza hujulikana k**a Hemorrhoids Au piles.
➖Watu Wengi Wanasumbuliwa na Bawasiri na Wanashindwa kujieleza katika Familia zao au Jamii Kwa Kuona Jambo la Aibu.
➖Wagonjwa wa Bawasiri Wanapokwenda katika Hospital kupata tiba hakuna Tiba ila Kikubwaa Wanafanyiwa Upasuaji na Kukata kile kinyama.
➖Hali hii Inamfanya Mgonjwa kuacha Shughuli Zake Na Kuanza Kuuguza Kidonda.
➖Na Watu Wengiiii Waliofanyiwa Upasuaji huo Wanalalamika Sana Kuwa Bawasiri Imerejea Tena hata Baada ya Kufanyiwa Hio Operesheni.
*****************************************************
➖*SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI*
*****************************************************
➖Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;
(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.
(8) mapenzi kinyume na maumbile
(9) uzito mkubwa
(10) vyoo vya kukaa
(11) ulevi na mihadarati
*****************************************************
➖DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI – CHUKUA TAHADHARI MAPEMA
*****************************************************
- ➖Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa. Huu muasho unakuja kwa kujirudia mara kwa mara baada ya muda furani.
- ➖Kukatishwa kwa haja kubwa na kurudi ndani wakati wa kujisaidia. Hiki kitendo nikibaya sana.
- ➖Kujitokeza kwa uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. Uvi
25/07/2020
UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI, AINA ZAKE, CHANZO, DALILI ZAKE NA TIBA YAKE ASILIA.
Bawasiri katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa
Ugonjwa huu wa bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu katika jamii hufahamika kwa majina tofauti tofauti hutegemea kabila na mahali.
Ugonjwa huu umekua ni ugonjwa hatari kutokana na tabia za wagonjwa kuficha kutokana na aibu ya tatizo lenyewe lilipo au kuhofia jamii kumtazama tofauti kwa sababu jamii nyingi hasa za afrika mashariki zinaamini kuwa ugonjwa huu ni mkosi mkubwa.
Kuna aina kuu mbili za bawasiri :
1. Bawasiri ya nje
2.Bawasiri ya ndani.
Bawasiri hii ya ndani ndio bawasiri mbaya kabisa kwa sababu ni vigumu mgonjwa kujitambua kua anatatizo na hii inatokana na tabia ya bawasiri yandani kutokua na maumivu wakati inaanza.
SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUPATA BAWASIRI
Ugonjwa huu wa bawasiri husababishwa na mambo yafuatayo;
(1) Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
(2) Tatizo sugu la kuharisha
(3) Ujauzito
(4) Uzito wa mwili kupita kiasi
(5) Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
(6) Kupata haja kubwa ngumu
(7) Kua na mgandamizo mkubwa tumboni.
Bawasiri iliyotokeza nje katika mzunguko wa tundu la njia ya haja kubwa
ATHARI ZA BAWASIRI
* Upungufu wa damu mwilini
* Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
* kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
* kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
* kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
* Kupata tatizo la kisaikolojia
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
* Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
* kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
* Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
* Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
AINA ZA BAWASIRI
{1}BAWASIRI YA NDANI
~hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
Aina hii ya bawasiri imegawanyika katika madaraja manne
DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pake pa kawaida.
DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya kujisaidia
DARAJA LA TATU ~hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
DARAJA LA NNE ~hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
[2}BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO LA BAWASIRI
~Ugonjwa huu wa bawasiri mpaka sasa chanzo chake hasa hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo na hukuweka katika hatari ya kupata tatizo hili
~KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
~TATIZO SUGU LA KUHARISHA
~UJAUZITO
~UZITO MKUBWA
~MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
~KUPATA KINYESI KIGUMU KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
kupata kinyesi chenye damu
kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA WA BAWASIRI
~ matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri, mara nyingi wagonjwa wa bawasiri hupatiwa tiba ya kukatwa kinyama na kushauriwa kuendelea na tiba ya vyakula Lakini tiba huwa haina matokeo mazuri kwasababu baada ya Muda tatizo hujirudia kutokana na kwamba hawajatibu chanzo cha tatizo hivyo tiba nzuri ya bawasiri ni kutumia dawa itakayotibu chanzo cha tatizo huku ukiendelea na tiba ya chakula, MFANO MZURI WA DAWA NI bawasiri fluid na bawasiri powder hizo zinatibu na kuondoa tatizo moja kwa moja kwa muda wa wiki mbili tu hata k**a ulishawahi kufanyiwa upasuaji hivyo ni vizuri kutumia dawa hizo ili kumaliza tatizo pamoja na hayo ni
vyema ukazingatia mambo yafuatayo ili KUEPUKANA na ugonjwa wa bawasiri
ZINGATIA KANUNI YA CHAKULA BORA KWA KUPENDELEA KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA
KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GLASI SITA HADI 12 KWA SIKU
EPUKA KUTUMIA MUDA MREFU CHOONI
MADHARA YA BAWASIRI
~Ugonjwa wa bawasiri una madhara makubwa iwapo hautapatiwa tiba ya uhakika haya ni baadhi ya madhara ya bawasiri
KUPATA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
KUPATA TATIZO LA KUSHINDWA KUHIMILI KINYESI
HUPUNGUZA MORAL YA KUFANYA KAZI KUTOKANA NA MAUMIVU
HUATHIRI KISAIKOLOJIA
MWANAMKE HUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
KUPATA KANSA YA YTUMBO
✍ hayo ni mambo ya msingi sana kuyajua kabla ya kujua tiba
KWA MAHITAJI YA DAWA ASILI ILIYOKWISHAANDALIWA YENYE KUONDOSHA BAWASIRI MOJA KWA MOJA KWA UWEZO WA MWENYEZI MUNGU WASILIANA NAMI KWA MAWASILIANO YANGU HAPO CHINI
DAWA UTATUMIWA POPOTE ULIPO PIA DAWA UTAIPATA KWA BEI NAAFUU KABISA HUNA HAJA YA KUFANYIWA OPERESHENI YA BAWASIRI KWANI MARA NYINGI BAWASIRI HURUDI TENA PINDI INAPOFANYIWA OPERESHENI..
Bawasiri humpata MTU yeyote katka umri wowote
E-mail: [email protected]
WhatsApp: 0717 541 527/0684 167 579
Dr.Liwaya
🔥 BAWASIRI FLUID🔥
▶ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasir ya nje na dawasiri ya ndani:⤵
▶ Hutibu maumivu makali yatokanayo na bawasiri.
▶ Hutibu miwasho itokanayo na bawasiri.
▶ Huondosha uvimbe utokanao na bawasiri.
▶ Huondosha kidonda na kutokwa na damu kutokana na bawasiri iliyopasuka yaani Thrombosed Hemorrhoid
Dawa hii inapatikana katika ujazo wa robo lita yaani mililita 250 (250 mls).Ambayo ni doze kamili.
Ni dawa yakupakaa.
▶Asilimia 100 (100%) ya wateja wote wote waliotumia doze hii hawamalizi hata nusu doze tatizo huisha kabisa na kuendelea na shughuli zao k**a kawaida.
NB: Bawasiri ni katika magonjwa ambayo tiba yake husumbua sana hospital mpaka kupelekea watu kufanyiwa upasuaji lakin bawasiri haiishi kwa kufanyiwa upasuaji kwani huwa inarejea tena.
Kwa mahitaji ya dawa wasiliana namimi:⤵
Dr.Liwaya
Email: [email protected]
Call/Whatsapp 0717541527
22/07/2020
JE, NI WAKATI GANI WA KUNYWA MAJI;
Maji waweza kunywa muda wowote lakini kuna nyakati muhimi sana kunywa maji, mifano
1. Wakati wa kuamka hata kabla ya mswaki; Baadhi wanashauri unywe glass 2.
2. Nusu saa (Dk30) kabla ya kula, walau glass 1, hii itasaidia umeng'enyaji wa chakula, 30Dk tena baada ya kulala.
3. Kabla ya kuoga walau glass moja hii husaidia kuweka presha sawa hasa kwa watu wazima.
4. Kabla ya kulala walau glass 1-2 na ukiamka usiku pia walau 1.
NJIA ZA KUKUFANYA UNYWE MAJI YA KUTOSHA
1. Weka mazingira rahisi ya upatikanaji wa maji ya kunywa mfano; Kuwa na chombo maalumu eneo lako la kazi au ukiwa msafiri tembea na maji yako.
2. Waweza ya tia ladha mfano limau au ndimu.
3. Kunywa maji kwa mafundo, mara kwa mara. Usinywe maji mengi kwa wakati mmoja mwili unatabia ya kuchukua kiasi chake, kingine kiasi kingi kwa wakati moja hupelekea mwili kupoteza madini chumvi (Hyponatremia) na mtu hujisikia vibaya kimwili na kiakili.
JE, NI KIASI GANI CHA MAJI KWA SIKU INASHAURIWA MTU ANYWE?
Tafiti nyingi zinatoa wastani wa kiasi cha maji na hakuna kiwango maalumu na unywaji wa maji hutegemea kazi na hali ya hewa katika eneo husika.
Baadhi wanashauri Mwanaume anywe Lita 3.7 na Mwanamke anywe Lita 2.7
🖋️ Mwandishi: Dr. Liwaya,
22, July, 2020
22/07/2020
FAIDA ZA KIAFYA ZITOKANAZO NA KUNYWA MAJI YA KUTOSHA
💦💧💦💧💦💧💦💧💦💧
1 - Maji husaidia mmeng'enyo au usagaji wa chakula na mara nyingine hutuliza maumivu ya kichwa na hali ya kuchoka akili na mwili.
2 - Aidha, baadhi ya matatizo ya kiafya yanaweza kupunguzwa kwa kunywa maji ya kutosha mfano Mawe kwenye figo, U.T.I, n.k
3 - Maji hupoza joto la mwili.
4 - Maji husaidia figo na maini kutoa sumu mwilini.
5 - Maji husaidia kulainisha macho, pua, midomo, maungo ya mwili (joints) na ngozi kwa ujumla wake (soft skin).
6 - Maji hubeba na kueneza virutubisho, madini na hewa safi (oxygen) mwilini.
7 - ifahamike pia ukiwa na maji ya kutosha mwilini basi unakuwa na mzunguko mzuri wa damu mwilini na husaidia uume kusimama imara, hivyo tujitahid tusiwe na kiu wakati wa jimai, kwa ufupi maji yanasaidia kupata nguvu za mwil ikiwamo na za kiume.
DALILI ZA UPUNGUFU WA MAJI MWILINI;
1. Kuhisi kiu.
2. Kubadilika kwa rangi ya mkojo kuwa na unjano, Na baadhi ya watu hasa wazee uwezo wa kuhisi kiu hushuka/hupungua, hivyo kigezo kitakacho mjulisha ana upungufu wa maji ni rangi ya mkojo wake.
3. Kukauka midomo na ngozi kwa ujumla wake n.k,
JE, NI WAKATI GANI WA KUNYWA MAJI;
Maji waweza kunywa muda wowote lakini kuna nyakati muhimi sana kunywa maji, mifano
1. Wakati wa kuamka hata kabla ya mswaki; Baadhi wanashauri unywe glass 2.
2. Nusu saa (Dk30) kabla ya kula, walau glass 1, hii itasaidia umeng'enyaji wa chakula, 30Dk tena baada ya kulala.
3. Kabla ya kuoga walau glass moja hii husaidia kuweka presha sawa hasa kwa watu wazima.
4. Kabla ya kulala walau glass 1-2 na ukiamka usiku pia walau 1.
NJIA ZA KUKUFANYA UNYWE MAJI YA KUTOSHA
1. Weka mazingira rahisi ya upatikanaji wa maji ya kunywa mfano; Kuwa na chombo maalumu eneo lako la kazi au ukiwa msafiri tembea na maji yako.
2. Waweza ya tia ladha mfano limau au ndimu.
3. Kunywa maji kwa mafundo, mara kwa mara. Usinywe maji mengi kwa wakati mmoja mwili unatabia ya kuchukua kiasi chake, kingine kiasi kingi kwa wakati moja hupelekea mwili kupoteza madini chumvi (Hyponatremia) na mtu hujisikia vibaya kimwili na kiakili.
Dr LIWAYA
0717541527
21/07/2020
BAWASIRI
BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION. ‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISHO• 🌐 Dr. LIWAYA 💧 ☎️+255 717541527 ➡️UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS. Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa, Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa. BAWASIRI YA NDANI. Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➖huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➖pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia BAWASIRI YA NJE
➖hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.
Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➖ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➖ujauzito
➖kuhara kwa muda mrefu
➖kutopata choo kwa muda mrefu ➡️DALILI
➖kujisaidia choo chenye harufu Kali
➖kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).
➡️MADHARA YA BAWASIRI ➖upungufu was damu mwilini
➖kupata maumivu makali wakati was kujisaidia
➖kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➖ kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapo zidi. 🌐 Dr. LIWAYA 💧 ☎️+255 717541527
1)Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua
2)Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,
3)pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa ba kutokwa ba damu mara kwa Mara
SULUHISHO LA KUDUMU Tunatibu ugonjwa wa bawasiri bila operation na unapona kabisa bila kujirudia tena, tuna safisha mfumo mzima wa digestion system,
Tunapatikana Dar es salaam, makumbusho, kijichi na mbagala zakhem.
Kwa mawasiliano zaidi: 🌐 Dr. LIWAYA 💧 Dar es salama-Tanzania 🇹🇿 ☎ +255717541527♨
✅ Wat
21/07/2020
04/07/2020
BAWASIRI/HEMORRHOID.
hii ni hali inayotokea baada ya kuvimba kwa mishipa midogo (vena) inayozunguka sehemu au tishu za tundu la haja kubwa. Ambapo mishipa hii huvimba na kusababisha. Vimbe au vinyama kuota katk eneo la kutolea haja kubwa.
Pia mishipa hyo hupasuka na kusababisha damu kuvilia na kufanya tundu la hajakubwa kuwa bluu au mwekundu uliovimba na sometimes kuziba sehemu ya kutolea kinyesi.
Bawasili zipo za aina mbili kulingana na sehemu inapotokea... Inaweza kuwa ndani au kwa nje.
SABABU
👉mtu akiwa anahara sana
👉kuwa na kinyes kigumu mara kwa mara
👉ujauzito
👉kuwa na uzito kupita kiasi
👉kula sana vyakula vya kukoboa
👉kuchuchumaa mda mrefu wakat wa haja
👉mtu mwenye tatizo la ini huweza kupata pia
DALILI
👉damu kinyesini
👉maumivu wakat wa haja kubwa
👉kuwashwa kwa tundu la haja
👉kujitokeza kinyama kwenye tundu la haja kubwa
KUJIKINGA
👉kunywa maji mengi
👉🏃♀🏃♀mazoezi
👉kula mboga mboga na matunda kwa wingi
NB
Ni watu wengi wanao ugonjwa huu ila huona aibu kujionesha na hatimaye huenda kupasuliwa.... Usiogope endapo unalo tatizo au unamjua alienalo mfahamishe kuna bidhaa ataweza kuzitumia na hatoweza kupasuliwa, zinaondoa kabisa na huo uvimbe hautarudia tena.
Call/SMS/DM/whatsupp
0717541527
26/05/2020
"" FAHAMU TATIZO LA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA KUTOKUPATA CHOO KUBWA""
NA DOCTOR LIWAYA
WHATSAPP/CALL +255717541527
JE WAJUA TATIZO LA KUTOPATA CHOO LAWEZA SABABISHA:-
~KANSA YA UTUMBO.
~BAWASILI (VINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA).
~KIFO,
~KUJAA GESI,
~VIDONDA VYA TUMBO NA
~KUPOTEZA NGUVU ZA KIUME NA UWEZO WA KUZAA KWA KINA MAMA??
Kati ya changamoto ya kiafya niliyokua nayo,ni kutopata choo na kupata choo kigumu k**a cha mbuzi,na nilidhani ni kawaida kutopata choo kwa muda wa siku 3 hadi week,kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha magonjwa k**a Kansa ya utumbo,kuota kinyama sehemu ya haja kubwa(Hemorrhoids),vifonda vya tumbo(ulcers) na kutoa harufu mbaya na kali unapopumua(kujamba).
Lakini baada ya kupata taarifa sahihi kuhusu chanzo cha tatizo,na kupata msaada wa suruhisho,namshukuru Mungu sasa hivi niko vizuri.
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba.
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles.
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
• AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
• CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
° KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE.
°KUHARISHA KWA MUDA MREFU
°TATIZO LA KUTOPATA CHOO.
°MATATIZO YA UMRI.
°KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
°UZITO KUPITA KIASI.
°MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU.
°VYAKULA VYENYE MAFUTA KWA WINGI.
°VINYWAJI VIKARI K**A POMBE,KAHAWA.
°KUTOKULA VYAKULA VYA NYUZI NYUZI.
° KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA.
°VYAKULA VYA NGANO,WANGA NA VILIVYOKOBOLEWA.
°KUTOFANYA SHUGHULI YOYOTE BAADA YA KULA.
°VAKULA VYENYE MAFUTA KWA WINGI.
• DALILI ZA KUTOPATA CHOO NA BAWASIRI.
√ Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa.
√ kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia.
√ kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.
√kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo.
√kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana.
√ Kuhisi moto wakati wa kujisaidia.
√ Kutopata choo kwa siku 2 na kuendelea.
√ Tumbo kujaa gesi na kujisaidia hewa.
√ Kuhisi maumivu ukikaa.
√ Kusinzia baada tu ya kula
√ Tumbo kuunguruma.
√ Kujamba kila wakati.
√ Kukosa hamu ya kula.
•MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI NA KUTOKUPATA CHOO.
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula,k**a kula matunda,mboga za majani,maji kwa wingi, hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia.
•MADHARA YA TATIZO LA KUTOPATA CHOO NA BAWASIRI.
-kupata upungufu wa damu (anemia)
-Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo.
-hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake.
-kuathirika kisaikolojia
- kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali.
- Kupasuka kwa utumbo na kusababisha kifo.
- Kitambi na uzito uliopindukia.
- Kansa ya Utumbo.
26/05/2020
🌈DAWA YA KUTIBU BAWASIRI/MGORO🌈
sasa imepatikana 100%
☎+255717541527
Dr. LIWAYA
🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏🍏
⚡Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
⚡Kwa kiingereza hujuliakana k**a piles.
⚡ Na kitaalam hujulikana k**a hemorrhoids
🍃AINA ZA BAWASIRI🍃
👉1⃣ BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
👉2⃣BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
⚡Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
👉Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
👉Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
👉Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
👉Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
🌱BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?🌱
👉Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
👉Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
👉Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
👉Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
👉Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
👉Kuharisha sana kwa muda mrefu
👉Kutumia vyoo vya kukaa
👉Kunyanyua vyuma vizito
👉Mfadhaiko/stress
👉Uzito na unene kupita kiasi.
🌱DALILI ZA BAWASIRI🌱
👉Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
👉Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
👉Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
👉Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
👉Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote
🌿ATHARI ZA BAWASIRI🌿
⚡ Upungufu wa damu mwilini
⚡ Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
⚡Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
⚡Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
⚡Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
⚡Kupata tatizo la kisaikolojia
🌿NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI🌿
⚡Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
⚡Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
⚡ Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
⚡ Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
🌈🌈🌈🌈🌈🌈🌈🌈🌈
Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
what's app /call
+255 717 541 527
Dr. LIWAYA
Afya ndo kila kitu. Karibu ujifunze na kujua aina za blood groups (O, A, B na AB) ulaji sahihi ikitegemeana na blood groups uko nayo...
Hivi ni baadhi ya vitu sahihi vya kula vinavyoendana na blood group yako.
Kila mtu aangalie blood group yake na ajue vitu gani ale na vipi asivile.
ZIFAHAMU GROUP (KUNDI) ZA DAMU NA TABIA ZAKE ILIUJINUSURU NA MAGONJWA YAEPUKIKAYO.
Kundi lako la damu linaweza kukufanya uwe dhaifu au imara katika kukabiliana na magonjwa fulani.Ni vema kujua kundi lako la damu sawa na ilivyo vema kujua mambo mengine yanayochangia kuwa na afya njema. Kujua kundi lako la damu Kunaweza kukuza uwezo wako wa kufahamu hatari zinazo kukabili kutokana na kundi la damu Ulilo nalo na kuepuka hatari hizo kwa kutumia mtindo wa maisha unaofaa.Hata hivyo, K**a vilivyo viungo vingine vya mwili, damu nayo ina changamoto ya kukumbana na maradhi mbalimbali, magonjwa yanayoathiri utendaji kazi wa damu yanaweza kugawanywa katika makundi k**a vile ya kurithi, kuambukiza, mabadiliko ya kimwili na saratani tofauti. Damu ya binadamu imegawanyika katika makundi makuu manne ambayo ni A, B, AB, na O, binadamu yeyote lazima awe na moja wapo ya makundi hayo.
GROUP A.
✔Hawa ni vegetarians wanahitaji sana mananasi na zabibu kwa wingi.
✔ Mara nyingi ni wale watu ambao hawaambiliki yaani wakiamua kitu wameamua mpaka wakitekeleze hata k**a ni kibaya.
✔ pia ni watu ambao ni wabishi sana au wabishani na hawakubali kushindwa hivi hivi.
✔Watu Wa kundi hili pia huwa wana changamoto ya kuwa na upungufu Wa acid mwilini hivyo huandamwa na vidonda vya tumbo.
✔Ni watu ambao hushambuliwa sana na saratani za mishipa ya fahamu,utumbo,mifuko ya mayai,mfuko wa kizazi na mlango wa uzazi kwa wanawake,kibofu cha mkojo,figo,kongosho na saratani ya kinywa, tezi za mate na umio./kuishiwa na damu mara kwa mara.
✔Wana hatari pia ya kupatwa na magonjwa ya Moyo,kupata lehemu mbaya mwilini,kwenye Moyo,wako hatarini pia kupata kiharusi na ugonjwa Wa shinikizo la damu Wa Moyo.
☑Vyakula wanavyotakiwa kula kwa wingi ni mbogamboga za Majani na nyama nyeupe nyama nyekundu sio nzuri sana kwa watu hawa.
☑ hawatakiwi kugusa kabisa au kutumia Mara kwa Mara vyakula hivi :-nyama nyekundu,ngano,,na maziwa.maana vinahitaji asidi nyingi na wao hawana uwezo wa kufanya mmeng`enyo wa vyakula hivi ,kutokana na kuwa na upungufu wa asidi tumboni mwao.
☑ wakila ndizi,maembe na mapapai huwasababishia waamkapo asubuhi kutokwa na mak**asi kwa wingi.
☑Wanatakiwa kula kabisa vyakula vyenye asidi kwa wingi k**a machungwa,zabibu,passion,malimao,mananasi ,nyanya na jamii yake
☑ Wa kundi hili wanapenda sana wali na Mara nyingi ndio Chakula chao kikuu.
Hawatakiwi kugusa kabisa ngano na mahindi na endapo wakatumia vyakula hivi hasa kwa wanawake huwasababishia kupata hedhi Mara mbili kwa mwezi.
Tabia zao ni hizi hapa:-
👉ni watu Wa gharama sana hasa wadada au wanawake.
👉huishiwa au wanakuwa na upungufu Wa damu sana.
👉ni wavivu nikiwa na maana hawawezi Kazi ngumu ngumu.
👉sio waongo au wadanganyifu,ni wakweli (they don't like cheating)
👉ni wasirisiri sana.
👉ni waoga sana.
👉wanapenda kujifichajificha k**a ni usiku hupenda kukaa gizani sana.
👉ni waaminifu sana na hapa Mara nyingi unawakuta Maafisa utumishi kwani hufuata sheria.
👉Ni watu ambao pia hawaumwi Mara kwa Mara.
GROUP B.
✔Hili ni kundi la watu ambao ni wazungumzaji yaani ukiwapa nafasi ya kuzungumza ni k**a vile umekosea na hapa Mara nyingi unawapata watu k**a MCs.
✔Ni watu ambao wana tabia zilizojitosheleza yaani wamekamilika.
✔Ni watu ambao husumbuliwa sana au wako hatarini kupata magonjwa k**a uvimbe Wa fizi,na pia wanawake walioko katika kundi hili wako hatarini kupata ugonjwa Wa kisukari aina ya pili.
✔ Mara nyingi ni watu ambao wakipata maambukizi ya virusi vya aina yoyote ile huwa machizi au vichaa kutokana na kwamba vinaenda kuharibu mfumo wake Wa fahamu, wana uwezo mkubwa kukabiliana na ugonjwa wa kibindupindu.
✔Wana hatari kubwa ya kupata saratani ya koo.
☑Watu Wa kundi hili hawashauriwi sana kula vyakula vya aina ya kuku,Karanga,korosho,na nyanya.(Mara nyingi wao wenyewe tu hawapendi kuku ingawa hawaruhusiwi kula),Karanga,korosho,na nyanya.
GROUP AB.
✔Hawa ni watu ambao Mara nyingi hawaeleweki yaani wana tabia za A na pia tabia za B wakati mwingine.
✔zNi watu ambao wanaweza akaanzisha kitu asikimalizie ukakuta kaishia katikati halafu kaanzisha kingine.
✔Ni watu ambao wako hatarini Kupata magonjwa k**a kiharusi,dengue,magonjwa ya Moyo,shinikizo la Moyo,na lehemu kujaa kwenye mishipa ya damu.
✔Watu Wa kundi hili Mara nyingi wakifikia uzeeni uwezo wao Wa kufikiri hupungua kwa haraka.Lakini Mara nyingi kupungua kwa uwezo Wa kufikiri hutokana na magonjwa k**a shinikizo la Moyo,kisukari na lehemu kuwa nyingi sana mwilini.
✔ ni watu ambao wana uwezo mkubwa sana Wa kukabiliana na magonjwa yaani kinga yao ya mwili ni imara ukifananisha na makundi mengine yote ya damu.
GROUP O.
✔Hawa ni watu ambao ni jeuri na kiburi na wanajiamini sana.
✔ watu ambao ni wababe,wagumu,wenye ubinafsi na wanafanya maamuzi yao pale wanapoamua na sio kulazimishwa.
✔ watu ambao wana roho nzuri sana ila hawapendi uongo hivyo usije ukajaribu kuwadanganya hata siku moja.
✔ Ni Watu ambao sio rahisi sana kupata shambulio la ghafla la Moyo k**a ilivyo kwa watu wenye makundi mengine ya damu.
✔ Hawana kinga ya kutosha dhidi ya kipindupindu lakini wana kiasi fulani cha kinga dhidi ya Kifua Kikuu (TB), Malaria isiyo kali, saratani za kongosho, tumbo, matiti na mlango wa kizazi.
✔Ni rahisi kupata magonjwa ya maambukizi ya ngozi,na vidonda vya tumbo.Wanapata sana maumivu ya kiuno,magoti pamoja na mgongo.
✔Ni watu wasiopenda vitu vichachu kutokana na uwepo Wa acid kwa wingi mwilini mwao hivyo wanasumbuliwa sana na vidonda vya tumbo na huwa wanasumbuliwa sana na tatizo la choo (constipation) pamoja na kisukari.
✔Kundi hili pia hutokewa na mvi za mapema sana.
✔Kwa wanaume hapa ndipo unawakuta ambao wana mapaja yasiyolingana yaani moja kubwa lingine Dogo.
☑Hawatakiwi kula ngano na mahindi Mara kwa Mara au kutokula kabisa.
☑ Hawapaswi kabisa kugusa au kula machungwa,passions,ukwaju,maembe mabichi nk na vyote vyenye acid.
☑Hawatakiwi kabisa kula ugali au wali,mahindi ya kuchoma au kukaanga au kupika hayawafai kabisa.
☑Wanaume walioko katika kundi hili wanahitaji protein kwa wingi kuliko wanawake kutokana na kuhitaji nguvu kwa sana katika shughuli zao na miili yao kwa ujumla.
☑Kwa wanaume wanatakiwa kula matunda sana k**a maembe,mananasi,ndizi,matikiti maji (ule na mbegu zake) hapa pia k**a ni tunda unakula lote mfano nanasi unalimaliza,papai unalimaliza,na pia matunda ya rangi moja kula kwa pamoja.
☑Ukitengeneza kitu k**a juice ya matunda unywe yote kwa wakati huo na sio kutengeneza ya wiki au siku kadhaa.
☑ sana kula nyama yenyewe hasa ya mbuzi ya kuchoma
☑Vyakula vinavyowasaidia au wanavyohitaji sana mwilini ni matunda ,mboga za Majani,protein kwa wingi yaani nyama,maharage,mayai na maziwa.
NB:Magonjwa mengi yanaweza kuepukwa kwa kuzingatia usafi wa mwili na mazingira, mlo kamili(kula kilingana na Uhitaji wa group lako la damu), kufanya mazoezi, kupunguza uzito uliozidi na kuepuka matumizi ya tumbaku, pombe pamoja na dawa za kulevya.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Dar Es Salaam
1234