afyayakomaishayako2020
TUNATOA TIBA BORA KWAKUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE VYA ASILI. MAGONJWA K**A PRESHA,KISUKARI, BAWASIRI,M
20/12/2021
DALILI ZA PID NA FANGASI UKENI
Wanawake wengine huenda wasihisi dalili za PID mpaka pale ambapo watagundua kuwa hawawezi kushika ujauzito, dalili za PID ni pamoja na;
1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
2. Maumivu ya mgongo au fupanyonga
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa au kukojoa
4. Kutokwa na uchafu (utoko) mweupe, wa njano au kijani, na utoko huu mara nyingi huambatana na harufu mbaya k**a ya shombo
5. Kutokwa na hedhi nzito au damu nyingi wakati wa hedhi
6. Kupata homa, kuhisi kichefuchefu au kutapika n.k.
7. Kuhisi MIWASHO ukeni N.K
_
JE, WEWE UNAHISI DALILI ZIPI KATI YA HIZO 👆?
ZINGATIA: Ikiwa unahisi dalili yoyote kati ya hizo ☝️ au yoyote ambayo haijatajwa hapo basi usichelewe hiyo si hali ya kawaida, wahi mapema sasa tukusaidie kabla tatizo lako halijawa kubwa zaidi.
Tupigie #0656268062
Tutumie sms #0656268062
Tucheki WhatsApp #0656268062
15/12/2021
DALILI ZA PID
Wanawake wengine huenda wasihisi dalili za PID mpaka pale ambapo watagundua kuwa hawawezi kushika ujauzito, dalili za PID ni pamoja na;
1. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
2. Maumivu ya mgongo au fupanyonga
3. Maumivu wakati wa tendo la ndoa au kukojoa
4. Kutokwa na uchafu (utoko) mweupe, wa njano au kijani, na utoko huu mara nyingi huambatana na harufu mbaya
5. Kutokwa na hedhi nzito au damu nyingi katikati ya hedhi
6. Kupata homa, kuhisi kichefuchefu au kutapika n.k.
_
JE, WEWE UNAHISI DALILI ZIPI KATI YA HIZO 👆?
Njoo tukusaidie haraka
10/12/2021
Imeandaliwa na
Mawasiliano: #0656268062
HII NI DR. TS TOOTHPASTE DACTARI WA MENO
Meno yaliotoboka
Fizi kutoa damu
Maumivu ya meno
Meno kufa ganzi na
HARUFU mbaya kinywani
Dr. TS ndio SULUHISHO la uhakika ni Dawa ya ASILI YENYE NGUVU KUU NNE
1: Honey suckle: huzuia kuvimba kwa fizi
2: Nitogingseng: huzuia fizi kutoa damu
3: Blue cleaning factor: hung'arisha meno kuondoa ganzi na ufubavu wa meno
4: Green factor: HUFANYA kazi ya kuondoa vimelea waharibifu mdomoni.
Jali AFYA ya kinywa chako na familia yako KWAKUTUMIA DR. TS TOOTHPASTE sasa.
04/12/2021
SABABU ZA KUOTA NYAMA SEHEMU ZA SIRI
Imeandaliwa na
Mawasiliano #0656268062
Kuota vinyama sehemu za siri (Ge***al Warts) ni hali ya kuota vinyama kwenye ngozi au utando laini unaozunguka sehemu za siri, huu ni UGONJWA unaoenezwa kwa njia ya kujamiiana (s*xually transmitted Infections).
Ugonjwa huu unaweza kutokea kwenye , , Mirija ya mkojo (urethra), shingo ya kizazi (cervix) au MAENEO ya kuzunguka njia ya haja kubwa au ndani yake. Ugonjwa huu husababishwa na jamii ya virusi wanaoitwa kitaalamu .
Watu walio na umri kuanzia miaka 14 hadi 35 wapo katika hatari ya kupata UGONJWA huu Hususani wanawake waliovunja ungo na wale walio katika umri wa kuzaa, Wanawake wajawazito, Waathirika wa VVU na wenye MAGONJWA sugu k**a KISUKARI, SARATANI n.k
DALILI ZAKE ni kuwa na vinyama sehemu za siri ambavyo huwa vinawasha wakati mwingine.
*x
29/10/2021
The Amazing YOUTHEVER product. Series for our ladies and the best anti aging product in town. Check it out and glow your skin in our natural way. Contact us #0656268062
ally.58
25/09/2021
Kupitia Kampuni Yetu ya Unaweza kumiliki yako yako kwa mdogo wa 46000/= tu
Tunawakaribisha wote waliotayari kuanza biashara nasi
#0656268062
24/09/2021
☕ REISHI COFFEE
Ni Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.
Kahawa hii ina faida zifwatazo;
✅Inasaidia wenye matatizo ya moyo na pressure kushuka
✅Inaondoa allergy zote mwilini
✅Inaongeza kinga za mwili
✅Inaondoa sumu mwilini
✅Inaondoa mafuta mwilini
✅Inaweka sawa kiwango cha sukari mwilini
✅Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia figo na ini kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia mtu kulala usingizi mzuri
✅Inasaidia watu wenye vidonda vya tumbo
✅Inasaidia kuondoa msongo wa mawazo na wasiwasi
Kwa ushauri kuhusu yako wasiliana nasi kwa #0656268062
21/09/2021
☕ REISHI COFFEE
Ni Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.
Kahawa hii ina faida zifwatazo;
✅Inasaidia wenye matatizo ya moyo na pressure kushuka
✅Inaondoa allergy zote mwilini
✅Inaongeza kinga za mwili
✅Inaondoa sumu mwilini
✅Inaondoa mafuta mwilini
✅Inaweka sawa kiwango cha sukari mwilini
✅Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia figo na ini kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia mtu kulala usingizi mzuri
✅Inasaidia watu wenye vidonda vya tumbo
✅Inasaidia msongo wa mawazo na wasiwasi
PIGA/WhatsApp #0656268062
19/09/2021
DALILI ZA KISUKARI
➡️Kukojoa mara kwa mara
➡️Kuhisi njaa mara nyingi
➡️Kuhisi kiu ya maji mara kwa mara
➡️Kutokuona vizuri
➡️Kupungua uzito
➡️Vidonda kuchelewa kupona
➡️Uchovu wa mwili usio wa kawaida
➡️Maumivu ya kichwa yasiyo ya kawaida
DALILI ZA KISUKARI kwa wanaume:
➡️Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
➡️Upungufu wa nguvu za kiume
➡️Misuli kuwa dhaifu
DALILI ZA KISUKARI kwa wanawake:
➡️Maambukizi ya UTI na fungus ya mara kwa mara
➡️Ngozi kuwa kavu/ kuwasha.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam