Afya ya mwili98

Afya ya mwili98

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ya mwili98, Health/Beauty, Dar es Salaam.

22/02/2020

ZIJUE SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA.

Tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke limekuwa sugu hasa katika kipindi hiki ambapo imepelekea wenzi wao kwenda nje ya ndoa kisa kukosa ushirikiano ndani ya ndoa.
Kuna dalili ambazo zinaonyesha kuwa mwanamke anakosa hamu ya tendo la ndoa baadhi ni k**a ifuatavyo: kutojisikia kushiriki tendo la ndoa, anakuwa hafurahii tendo la ndoa, pia anachukua muda mrefu kufika kileleni yaani anachelewa kufika kileleni. Ukiona dalili hizo ujue unakosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Baada ya kuona hayo niongelee saababu ambazo zinasababisha mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa. Pengine wewe mwanake umekuwa ukijiuliza sana nini kinasababisha nikose hamu ya kushiriki tendo la ndoa. Sasa ukiona jambo linatokea ujue kuna chanzo chake. Sasa tatizo la kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa husababishwa na sababu mbalimbali k**a ifuatavyo:-

TATIZO LA HOMONI KUTOKUWA SAWA( HORMONE IMBALANCE)
Homoni katika ushiriki wa tendo la ndoa ni muhimu sana. Katika mwili wa mwanamke kuna hormone inayoitwa ostrogen ambayo humsaidia mwanamke kuzalisha ute ute kwenye uke wake ambao unamfanya afurahie tendo la ndoa. Hivyo basi k**a kiwango cha ostrogeni ni kidogo husababisha uke wa mke kuwa mkavu na kuleta maumivu wakati tendo la ndoa na hatimaye kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

UTUMIAJI WA POMBE NA UVUTAJI WA SIGARA.
Kutumia pombe kupindukia na uvutaji wa sigara husababisha kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke kadiri unavyodhidi kuitumia kwa muda mrefu.. Wakati mwingine kutumia kiasi kidogo cha pombe kinaweza kisiwe kibaya sana lakini kinapozidi lazima kilete madhara. Kwa upande wa uvutajibwa sigara hajalishi ni kiasi gani unatumia lazima kitaleta madhara. Kwahiyo ni bora kuacha tu kutumia ili afya yako iendelee kuimarika.

UTUMIAJI WA DAWA ZA UZAZI WA MPANGO.
Dawa za uzazi wa mpango zisemwa kuwa zinashusha usawa wa homoni muhimu kwa mwanamke. Na ukiona homoni zimeshuka ujue hamu yako ya kushiriki tendo la ndoa itashuka.

UZEE ( MENOPAUSE)
Mwanamke anapofikia ukomo wa hedhi kwenye miaka 40 hivi homoni inayojulikana k**a ostrogen hushuka chini kwa kiasi kikubwa sana. Kushuka kwa homoni husababisha uke kuwa mkavu muda mwingi jambo ambalo hupelekea maumivu makali wakati wa tendo la ndoa na mwishowe hamu ya kushiriki tendo la ndoa inashuka.

KUWA NA UZITO ULIOPITILIZA.
Hii imekuwa chanzo pia cha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke. Unene au uzito uliopitiliza unasabaibishwa na kuwepo kwa mlundikano wa takamwili na mafuta mabaya ambayo yanaziba mishipa ya damu isipitishe damu kwa urahisi kwenye sehemu mbalimbali za mwili. Pia hupelekea homoni kutokuwa sawa yaani hormone imbalance. Hivyo basi kupelekea kukosa hamu ya tendo la ndoa. Kwahiyo inakubidi upunguze uzito na unene ili kuuweka mwili sawa.

Sababu zingine ni k**a vile kuwa na msongo wa mawazo kwa muda mrefu, kuuwa na majukumu mazito ambayo hupelekea kuchoka sana, hasira za mara kwa mara nk.. Hizo ni baadhi tu ya sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa kwa mwanamke.

Jari Afya yako... Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa kupiga sim au sms au whatsapp namba 0622291850

Photos from Afya ya mwili98's post 21/02/2020

KWANINI WATU WENGI WANAO JIHUSISHA NA UPIGAJI PUNYETO WANA MAUMBILE MADOGO YA KIUME YALIYO DUMAA, SINYAA NA KURUDI NDANI.


Uzeofu unaonyesha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume ambao wamewahi kufanya punyeto kwa muda mrefu, wanakabiliwa na tatizo la kuwa na maumbile ya kiume yaliyo dumaa, sinyaa na kurudi ndani.


SABABU KUBWA NI HII HAPA

Sababu kubwa ni kwamba vijana wengi wa kiume, huanza kujihusisha na punyeto wakiwa na miaka kumi na sita , kumi na saba au chini ya hapo.

Hiki ni kipindi ambacho vijana hawa ndio wanakuwa wamebalehe.

Na kwa mujibu wa tafiti za kisayansi, katika kipindi hiki cha balehe ndio kipindi ambacho homoni za HGH ambazo huhusika na ukuaji wa sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo maumbile ya kiume, huzalishwa kwa wingi.

K**a tulivyo ona hapo juu, upigaji punyeto huathiri uzalishwaji wa homoni hizo.

Mwisho wa siku maumbile ya kiume ya wahusika, hushindwa kukua na kuishia kudumaa na kusinyaa.

Na hii ndio sababu kubwa wanaume wanao kabiliwa na tatizo hili husalia kuwa na maumbile yenye ukubwa ule ule walio kuwa nao wakati wa kubalehe

NINI TIBA ASILIA YA TATIZO LA KUDUMAA, KUSINYAA NA KURUDI NDANI KWA MAUMBILE YA KIUME.

K**a uume wako umedumaa, sinyaa, legea, nywea na kurudi ndani kwa sababu ulifanya punyeto kwa muda mrefu na unataka kuondokana na hali hiyo. HII NI HABARI NJEMA SANA KWAKO!
Tumia virutubisho k**a
+
pollen

Kwa mawasiliano zaidi piga
0622291850
Whatsapp 0622291850

21/02/2020

JE UNAFAHAM UMHIMU WA ARG+ NA MACCA
faida zake hizi hapa soma👇👇
Muunganiko huu siyo mchezo 💪💪🔥🔥🔥🔥
1. Husaidia moyo kufanya kazi zake vizuri na hivyo damu kuzunguka.

2. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa, stamina na nguvu za kiume kwa asilimia 100% 👍💪 3. Zinasaidia kubalance presha.

4. Zinasaidia kuondoa cholestrol(Mafuta mabaya) na damu kusambaa vizuri ndani ya mwili.

5. Hupunguza kasi ya uzee (anti aging)na Inasaidia kubalance hormone

6. zinasaidia kujenga misuli, wanaopenda kujenga misuli mikubwa💪 zinawasaidia sana.

7.kuzuia na kuratibu ukuaji wa tezi dume

8. Kuongeza idadi na ubora wa mbegu

9. Kupunguza athari za msongo wa mawazo🤔

Kwa maelezo zaidi na kujipatia bidhaa bora sana piga namba hii
+255622291850 au whatsapp 0622291850

21/02/2020

TUMIA MULTIMACA KUONDOA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA.

MULTIMACA ni kirutubisho kilichotengenezezwa kwa mizizi ya mmea unaoitwa maca unaopatikana nchini peru huko amerika ya kusini. Watu wa huko wanaitumia kwa ajili ya kuboresha mfumo wa uzazi kwa kuongeza nguvu za kiume na kuondoa tatizo la ugumba kwa wanawake.

FAIDA ZA KUTUMIA MULTIMACA.
1. HUSAIDIA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME NA STAMINA YA MWILI.

2. HUONDOA UCHOVU MWILINI HASA PALE UNAPOMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA. MARA NYINGI WANAUME WENGI WAMEKUWA WAKIKUMBWA NA TATIZO HILO SANA. YAANI AKIMALIZA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA ANACHOKA NA ANASINZIA OVYO.

3. HUSAIDIA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA MWANAMKE NA MWANAUME.

4. HUIMARISHA MISULI YA UUME ULIOLEGEA NA KUUWEZESHA KUSIMAMA KWA MUDA MREFU.

5. HUSAIDIA KUONDOA UCHOVU UNAPOKUWA KAZINI PIA INASAIDIA KUONGEZA KUMBUKUMBU.

6. INAONGEZA IDADI YA MBEGU NA KUZIFANYA KUWA NA AFYA BORA. PIA ZINATAOKA KWA WINGI SANA.

7. PIA INASAIDIA KURUTUBISHA MAYAI YA MWANAMKE. KUNA WANAWAKE WENGI WAMEKAA KWENYE NDOA KWA MUDA MREFU NA WAMEKUWA WAKIHANGAIKA KUTAFUTA MTOTO NA PENGINE WAMEENDA HOSPITALI NA KUAMBIWA HAWANA TATIZO LOLOTE. SASA UKIITUMIA ITAKUSAIDIA KUBALANCE HOMONI ILI KUFANYA MAYAI YAKO YAWE NA AFYA YAWE NA UWEZO WA KURUTUBISHWA.

8. PIA INASAIDIA KUONDOA MSONGO WA MAWAZO.

9. INABALANCE HOMONI KWA WENYE TATIZO LA HORMONE IMBALANCES.

10.PIA INASAIDIA KUONDOA HALI YA UKAVU UKENI. ITAKUSAIDIA KUWEZESHA MWILI UWEZE KUTENGENEZA HORMONI INAYOITWA OSTREGEN AMBAYO INAZALISHA UTE UTE AMBAO UNAKUSAIDIA KULAINISHA SEHEMU ZA UKE NA WAKATI WA TENDO LA NDOA KUEPUKA MICHUBUKO. LAKINI PIA KUKUFANYA UWEZE KUFURAHIA TENDO LA NDOA.

Meza tembe(vidonge) mbili kwa siku.

Kopo moja utaipata kwa tsh.73000 tu

NB: HII SIO DAWA BALI NI KIRUTUBISHO AMBACHO KIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA YA CHAKULA NA DAWA DUNIANI NA HAPA TANZANIA KIMETHIBITISHWA NA TFDA.

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA 0622291850 AU WHATSAPP /255622291850

Pia unaweza ukani follow kwenye page yangu ya Instagram Afya_ya_mwanaume

21/02/2020

JENGA HESHIMA YA NDOA
Tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizuri,kushindwa kurudia tendo la ndoa baada ya mzunguko wa kwanza,kukosa hamu kabisa hasa kwa wanandoa limekuwa tatizo la wanaume wengi sana.

Mfumo wa sasa wa maisha watu wengi tunakula vyakula vilivyojaa usasa mwingi sana,lakini pia ulaji wa chakula aina moja karibia kila siku.Hali ya hewa ya sasa INA uchafuzi mkubwa sana hivyo tunaingiza sumu nyingi sana mwilini ambazo zinaenda kuathiri mfumo wa ndani ya mwili ikiwemo mfumo wa Uzazi.mfano wanaume wengi wanaopendelea vyakula k**a chips na soda akiongeza pombe kidogi...akibadilisha nyama choma na ugali akiongeza na vinywaji vyetu,Mara nyingi sana wanakuwa na changamoto hii kubwa ya ukosefu wa nguvu za kiume.
Ongezeko la Uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga na ngano iliyokobolewa na mafuta mengi lakini pia kutofanya mazoezi ya kutosha limekuwa ni tatizo kubwa.
Kujichua/ musturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima pia huchangia MTU kukosa nguvu za kiume.
Zaidi ya asilimia 60% ya wanaume wote duniani wanakubwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika.Tayari watu wengi tumewasaidia na Leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia kiburudisho cha ARGI+.ARGI+ ni kiburudisho chenye ubora wa hali ya juu kilichosaidia watu wengi sana. FAIDA ZA ARGI+
* inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote Mbili akina baba na akina mama stamina na nguvu wakati wa tendo la ndoa
* inasaidia kuondoa msongo wa mawazo
* inasaidia Kuongeza idadi ya mbegu za kiume s***m count na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri( mobility)
* inasafisha mwili na kupunguza kazi ya kuzeeka haraka
* inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo kuboresha hamu ya tendo la ndoa kwa watu wenye changamoto ya sukari
* husaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
* husaidia ufanisi mzuri kazi na moyo
* husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda hivyo kuweka standard pressure
* husaidia damu kusafiri vizuri sehemu mbali mbali za mwili
* husaidia kurudisha umri nyuma kuanzia monekano mpaka ufanyaji kazi wa Viungo kwa ujumla

K**a unahitaji hiki kirutubisho piga simu/sms/whatsapp kwa 0622291850

21/02/2020

RUTUBISHA VIUNGO VYA UZAZI KWA KUTUMIA FOREVER MULTIMACA.

Mahususi kwa wanaume na wanawake.
Forever MULTIMACA ni kirutubisho ambacho kimetengenezwa kwa mchanganyiko wa mizizi ya mmea uitwao maca ambao unapatikana huko peru ya amerika ya kusini na matunda mbalimbali.
Ni kirutubisho ambacho hakina kemikali zozote ambazo zina madhara kwa binadamu.

FAIDA ZA MULTIMACA KWA MTUMIAJI WA KIUME.

hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume

kuongeza idadi ya mbegu za kiume (s***m count) kwa asilimia kubwa na sio tu kuziongeza bali hata kuzifanya hizo mbegu ziwe na uwezo wa kuogelea vizuri.

kuongeza nguvu za kiume na stamina wakati wa tendo la ndoa.

kubalance kiwango cha madini ya chuma kwenye damu.

kuondoa msongo wa mawazo.

FAIDA ZA MULTIMACA KWA MTUMIAJI WA K**E.

kubalance homoni kwa wale ambao wana changamoto ya kutowiana kwa homoni zao.

kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

kuondoa tatizo la kuwa mkavu sehemu za kike(uke). Kwahiyo inamsaidia kuzalisha ute ute ukeni na kumfanya afurahie tendo la ndoa.

kurutubisha mayai na kumfanya aondokane na changamoto ya kutopata ujauzito.

JINSI YA KUTUMIA.
Kopo moja lina tembe au vidonge sitini(60) za rangi ya chokoleti hivyo humezwa mbili kwa siku k**a chakula na maji ya kutosha. Unatumia ndani ya siku 30. Matokeo yake huonekana ndani ya.muda mfupi sana.

KUMBUKA: HII SIO DAWA BALI NI KIRUTUBISHO AMBACHO KIMETENGENEZWA KIASILI. NA KIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA YA CHAKULA NA DAWA DUNIANI.

KWA MAHITAJI NA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KUPITIA 0622291850 AU WHATSAPP /255622291850

Tunadeliver nchi nzima.

Jali afya yako usisubiri kuumwa mpaka ulazwe .
ni bora kuliko tiba.

10/02/2020

FAHAMU KUHUSU UHUSIANO KATI YA VIDONDA VYA TUMBO NA NGUVU ZA KIUME!!
Wanaume wengi wanaougua vidonda vya tumbo kwa muda mrefu hutokewa pia kuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Kwahiyo ikiwa mwanaume una tatizo la kushindwa kuhimili tendo la ndoa na unaumwa vidonda vya tumbo, basi cha kwanza utatakiwa kutibu vidonda vya tumbo.

Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo zinazopelekea pia upungufu wa nguvu za kiume ni pamoja na zifuatazo;
●Kuchoka choka sana bila sababu maalum
●Kuumwa mgongo au kiuno
●Kizunguzungu
●Kukosa usingizi
●Kiungulia
●Tumbo kujaa gesi
●Tumbo kuwaka moto
●Maumivu makali sehemu kilipo kidonda
●Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.

Dalili au matatizo yote hayo hapo juu yanayompata mgonjwa wa vidonda vya tumbo ndizo ambazo kwa namna nyingine k**a matokeo yake zinapelekea tatizo la Upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume wengi kwa Sababu Tezi Kuu ( Pituitary Grand ) Linashindwa Kufanya Kazi Zake Sawa Sawa Kwa Kuwa Wakati Linatakiwa Ku Control Mfumo wa Uzazi ni Muda huo huo Liko Eneo lingine la Mwili lina tatizo na Linahitaji Kufanyiwa "Bold Recovering" Ndiyo Maana tunasema " Upungufu wa Nguvu za Kiume Si Ugonjwa" Bali ni Dalili au Matokeo ya Ugonjwa , Ni Ishara Kwamba aliyepungukiwa na Nguvu za Kiume Liko tatizo Kwenye Mwili wake Linalohotaji matibabu.
Hayo Yaliyoelezwa Juu hapo ni Baadhi tu Ya Matatizo Lukuki Yanayopleka Ukosefu wa Nguvu Za Kiume.

NINI MAANA YA KUPUNGUA NGUVU ZA KIUME?
Unapopungua nguvu za kiume ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo na inavyotakiwa.

"HEBU TUANGALIE MFUMO WA UFANYAJI KAZI WA VUNGO VYA UZAZI VYA MANAUME" KWA UFUPI TU"
Ni viungo gani vinavyohusika na nguvu za kiume?
Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili. Kuna zaidi ya viungo na vitu 50 ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni ubongo, moyo, mishipa ya neva mishipa ya ateri, mirija iliyo ndani ya uume iitwayo corpora cavernosa.

Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezidume (prostate gland), ini, figo, homoni ya testestorone, kemikali za acetylcholine, serotonin, na dopamine, uti wa mgongo, eneo la chini ya mgongo (kiuno), eneo la nyonga.
Viungo vingine ni misuli maalumu iitwayo pelvic floor, tezi pituitari (pituitary gland), utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli iitwayo pubococcygeus [PC muscles], kemikali ya nitric oxide, kemikali ya prolactin n.k.

KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI
Wanaume wengi wanapopungukiwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume, na siyo kutibu. Hili ni KOSA KUBWA sana!
Ni kosa kubwa kukurupuka kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo na bila kujua hiyo dawa inakwenda kutibu tatizo gani. Kwa njia hiyo, utamaliza miaka hata zaidi ya 10 na hautapona!
Upungufu wa nguvu za kiume lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo; kwa maana ya kwamba mzizi wa tatizo sharti ung'olewe kwanza! Mathalani, k**a tatizo ni la homoni ijulikane kwanza; k**a ni tatizo la tezi ijulikane kwanza, kisha matibabu sahihi yaelekezwe katika maeneo hayo.

Hayo ndiyo matibabu, na si vinginevyo. Angalia mwenyewe, upungufu wa nguvu za kiume unaweza kutokana na kisukari kwa mwanume huyu, au shinikizo la damu la kupanda (HIGH BLOOD PRESSURE) kwa mwanaume yule; au shida katika tezi dume kwa mwanaume mwingine au shida ya kihomoni (HORMONAL IMBALANCE) kwa wanawake wengine, basi vipi iingie akilini kwamba wote hao watatibiwa na dawa aina moja? Watu wengi wengi wameelewa kimakosa sana ndiyo maana hata matibabu yamekuwa ni tatizo kubwa sana.

K**a utahitaji kutumia dawa ni bora utumie virutubisho lishe kwa sababu vinafanyakazi ya kuimarisha seli ambazo ndo msingi wa maisha ya kila kiumbe hai.

Mawasiliano ni 0622291850

10/02/2020

KIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA WANAUME NA WANAWAKE.

HUSAIDIA NA KUDUMISHA:

1. KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA, STAMINA NA NGUVU.
2. KUBORESHA MSUKUMO WA DAMU AMBAYO NI MUHIMU KWENYE NGUVU ZA KIUME.
3. KUZUIA UKUAJI WA TEZI DUME.
4. KUONGEZA IDADI NA UBORA WA MBEGU.
5. KUPUNGUZA ATHARI ZA MSONGO WA MAWAZO KWENYE MWILI.
6. INARUTUBISHA MAYAI.
7.HUONGEZA MADINI MUHIMU MWILINI
8.KUONGEZA KINGA YA MWILI
9.KUMBUKUMBU
•Haina side effects (madhara) na siyo dawa bali ni lishe (supplements
KWA MAELEZO ZAIDI NA KWA ORDERS WASILIANA NA +255622291850

10/02/2020

JE,UNAFAHAMU HAYA?
Je,unafahamu kuwa UFANISI KATIKA TENDO LA NDOA unaathiriwa na haya yafuatayo:
1.Ukosefu wa nguvu, hapa naomba tuelewane vizuri inawezekana kuwa na nguvu lakini usiwe na "stamina" yaani ustahimilivu.
2.Mayai yasiyo na rutuba (Mwanamke au mwanaume)ndiyo maana kuna baadhi ya watu wapo kwenye NDOA kwa muda mrefu na hawajapata watoto.
3.Kinga dhaifu ya mwili (Weak immune system)
4.Mwili dhaifu usiopata lishe bora( Poorly nourished bodies)
5.Msongo wa mawazo (stress) ambao huchangia kupunguza nguvu za kiume,na hata hamu ya mapenzi kwa wanandoa
6.Mzunguko mbaya wa damu mwilini, ili tendo la ndoa lifanyike kwa ufanisi na kila mmoja alifurahie ni lazima kuwepo na mzunguko mzuri wa Damu mwilini,Damu ni k**a mafuta kwenye gari,yakikosekana basi gari halitembei.
7.Afya ya moyo pia ni Muhimu mno,moyo unafanya kazi kubwa ya kusambaza Damu mwili mzima.

JE UNGEPENDA KUBORESHA NDOA YAKO KWA KUUPA MWILI WAKO HAYO YOTE AMBAYO YAMENYANG'ANYWA NA MFUMO WA MAISHA???

Mimi ninaiita MULTI MACA ni "mkombozi wa ndoa", wengi waliotumia wameisifia sana kutokana na uwezo wake mkubwa katika "kusaidia na kuongeza":
-Nguvu na stamina katika tendo la ndoa
-Kurutubisha na kuongeza ubora wa mayai
-Kujenga upya kinga ya mwili
-Kuongeza madini muhimu mwilini
-Kuboresha ufanyaji kazi wa ubongo na hivyo kuondoa Msongo wa mawazo.
-Ina kirutubisho kiitwacho L-Arginine ambayo ni Amino Acid yenye nguvu ambayo hutumika kutengeneza Nitric Oxide inayosaidia mzunguko mzuri wa Damu.
-Inasaidia Afya ya moyo na akili pia.

Kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuzipata bidhaa zetu Tupigie /WhatsApp 0622291850

08/02/2020

Hii kwa ajili yako dada ambae Unakua mkavu wakati wa tendo la ndoa,siku zako(MP) kubadilika badilika,kutokua na hamu ya tendo la ndoa,ujauzito kuharibika,usongo wa mawazo,nguvu na stamina,muonekano mzuri wa mwili wako,kushika ujauzito,moods mbaya na mengineyo mengi.huu mzizi wa maca ni suluhisho lako share na ndugu zako huwezi jua nani itamsaidia wasiliana nami kwa namba hizi 0622291850

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam