Tiba_Mbadala1
NAWASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME JUU YA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KI AFYA PIGA NUMBER +255676326502
23/01/2024
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo(manii). Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi wakati wa tendo la ndoa
IPO WAPI?
Tezi dume iko kwenye shingo ya kibofu cha mkojo, inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
DALILI ZA KUVIMBA TEZI DUME
✍️ Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
✍️ Kwenda kukojoa mara kwa mara.
✍️ Kukojoa mkojo uliochanganyika na damu.
Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
✍️ Kushindwa kukojoa.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
✍️ Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
VIPIMO vya TEZI DUME
✍️ kuna vipimo vya aina tatu kufanya uchunguzi wa Tezi dume
1️⃣. Kipimo cha damu.
Hiki ni kipimo kinachopimwa kwa njia ya damu, kipimo hiki kinahusisha upimaji wa kiwango cha protein inayoitwa “prostate specific antigen”(PSA) protein hii ikizidi basi mgonjwa tezi yake imevimba.
2️⃣ kipimo cha Ultrasound
Hiki kipimo kinasaidia kujua tezi limetanuka kwa kiwango gani . Uzito wa tezi dume la kawaida ni 20-25gm ikizidi hapo ni tatizo, lakin tutaona upana wake ambao uhalisia ni 4cm na urefu 3cm ikizidi hapo huyo mgonjwa anagundulika ana BPH( Benign Prostatis Hyperlasia)
3️⃣ CT Scan au MRI
Hiki ni kipimo kikubwa na kinatumika mara nyingi mgonjwa akishapata changamoto ya tezi dume kwa muda mrefu kuhakikisha k**a hana vimelea vya saratani.
NINI TIBA YA TEZI DUME!?
1. Upasuaji
2. Virutubisho.
Hizo ndio njia pekee za kutatua changamoto ya Tezi dume.
✍️ Kitaalamu hatushauri mwanaume kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume maana madhara yake ni makubwa na ni hatarishi kwa afya ya mwanaume k**a nitakavyoonesha hapa chini👇👇
Channgamoto za UPASUAJI WA TEZI DUME
1. Baada ya upasuaji, mwanaume atashindwa kuzuia mkojo kutoka hivo kutembea huku ananuka mkojo. Ni aibu kwakweli.
2. Uwezekano mkubwa wa mwanaume Kupoteza nguvu za kiume.
3. Kuvaa pampasi kwa muda usiopungua miezi 6
4. Mwanaume aliyefanyiwa upasuaji hataweza kushiriki tendo la ndoa na mke wake kwa muda usio pungua miezi 6.
5 asilimia 80 za tezi dume kuvimba tena na kumuumiza mgonjwa zaidi ya mara ya kwanza.
6. Hatari zaidi ni huyu mgonjwa kuwa na uwezekano wa kupata vimelea vya saratani ya tezi dume kwa urahisi sana.
PIGA AU TUMA UJUMBE: +255 0676 326 502
Changamoto ya UPASUAJI wa TEZI DUME inatatulika.
Sikiliza kwa umakini na utupigie kwa maelezo zaidi.
27/11/2023
Tupigie: +255 676326502
17/11/2023
10/11/2023
UVIMBE KWENYE KIZAZI (Ovarian Cysts)
Uvimbe kwenye kizazi ni Uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus). Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hujulikana kwa kitaalamu k**a “uterine fibroids/ cysts”.
Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa umbo na ukubwa wa kizazi. Mara nyingi Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na tatizo hili. Wakati mwingine mwanamke anaweza kupata tatizo hili akiwa kwenye ujauzito, hali hii inaweza kusababisha shida wakati wa kujifungua na kupelekea mwanamke kujifungua kwa upasuaji.
Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrogen kwa mwanamke.
31/10/2023
Channgamoto za UPASUAJI WA TEZI DUME
1. Baada ya upasuaji, mwanaume atashindwa kuzuia mkojo kutoka hivo kutembea huku ananuka mkojo. Ni aibu kwakweli.
2. Uwezekano mkubwa wa mwanaume Kupoteza nguvu za kiume.
3. Kuvaa pampasi kwa muda usiopungua miezi 6
4. Mwanaume aliyefanyiwa upasuaji hataweza kushiriki tendo la ndoa na mke wake kwa muda usio pungua miezi 6.
5 asilimia 80 za tezi dume kuvimba tena na kumuumiza mgonjwa zaidi ya mara ya kwanza.
6. Hatari zaidi ni huyu mgonjwa kuwa na uwezekano wa kupata vimelea vya saratani ya tezi dume kwa urahisi sana.
TIBA YA VIRUTUBISHO.
✅ mwanaume anatumia virutubisho vyenye madini ya kutosha kurutubisha tezi lake na kurudi hali yake k**a mwanzo.
✅ Uvimbe wa tezi dume una nyauka bila kuupasua na mgonjwa anapata nuru kabisa.
✅ kuepusha kupata madhara ya figo kufeli au kibofu cha mkojo kujaa mawe.
✅ tuendelee kuhimiza wazee wetu watumie suppliment au virutubisho vyetu kuondokana na adha za upasuaji
31/10/2023
VIPIMO vya TEZI DUME
✍️ kuna vipimo vya aina tatu kufanya uchunguzi wa Tezi dume
1️⃣. Kipimo cha damu.
Hiki ni kipimo kinachopimwa kwa njia ya damu, kipimo hiki kinahusisha upimaji wa kiwango cha protein inayoitwa “prostate specific antigen”(PSA) protein hii ikizidi basi mgonjwa tezi yake imevimba.
2️⃣ kipimo cha Ultrasound
Hiki kipimo kinasaidia kujua tezi limetanuka kwa kiwango gani . Uzito wa tezi dume la kawaida ni 20-25gm ikizidi hapo ni tatizo, lakin tutaona upana wake ambao uhalisia ni 4cm na urefu 3cm ikizidi hapo huyo mgonjwa anagundulika ana BPH( Benign Prostatis Hyperlasia)
3️⃣ CT Scan au MRI
Hiki ni kipimo kikubwa na kinatumika mara nyingi mgonjwa akishapata changamoto ya tezi dume kwa muda mrefu kuhakikisha k**a hana vimelea vya saratani.
NINI TIBA YA TEZI DUME!?
1. Upasuaji
2. Virutubisho.
Hizo ndio njia pekee za kutatua changamoto ya Tezi dume.
✍️ Kitaalamu hatushauri mwanaume kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume maana madhara yake ni makubwa na ni hatarishi kwa afya ya mwanaume k**a nitakavyoonesha hapa chini👇👇
31/10/2023
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo(manii). Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi wakati wa tendo la ndoa
IPO WAPI?
Tezi dume iko kwenye shingo ya kibofu cha mkojo, inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
DALILI ZA KUVIMBA TEZI DUME
✍️ Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
✍️ Kwenda kukojoa mara kwa mara.
✍️ Kukojoa mkojo uliochanganyika na damu.
Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
✍️ Kushindwa kukojoa.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
✍️ Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
01/09/2023
Karibuni sana wapendwa wetu…
Piga/tuma ujumbe kwa namba: 255(0)676326502
10/02/2023
Poleni sana wateja wetu kwa kusubiri kwa Muda wote tuliokuwa kimya
Sasa tumerudi hewani, Karibu tuwahudumie
Na tuna offer kubwa ya punguzo la hadi asilimia 20 kwa bidhaa zetu zote za magonjwa yote yasiyo ya kuambukiza.
tukuhudumie au piga simu
No: 255676326502
12/09/2022
Usiache kutupigia, tezi dume inatibika bila upasuaji✍️
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
255