Afya_corner 2
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya_corner 2, Health/Beauty, makumbusho, Dar es Salaam.
NATOA SULUHISHO/ USHAURI KWA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE - niulize
kuhusu
✓ Fungus sugu
✓U.T.I sugu
✓ P.I.D
✓Vimbe kwenye kizazi
✓Mimba kuharibika
✓Hormonal imbalance
✓Maumivu wakati wa hedhi
22/06/2024
80% ya wanawake wengi Hupata Tatizo la PID kwa sababu ya utoaji Mimba usio salama
PID - NI maambukizi ya bacteri kwenye Via vya uzazi wa mwanamke
Tatizo hiki huambatana na Dalili k**a
➡️Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya uk*eni
➡️Maumivu makali ya mgongo kiuno au chini ya kitovu
➡️Hedhi Kuvurugika
➡️Maumivu makali wakati wa Tendo
➡️Miwasho sehemu za siri
➡️Kukosa Hisia za Kushiriki tendo la ndoa
➡️Maziwa Kuuma
Tatizo Hili la PID limeua Ndoto za wanawake Wengi sana Pindi wanapohitaji kuwa na familia au watoto
MADAHARA YA TATIZO HILI NI
➡️Kushindwa Kubeba ujauzito
➡️Mimba kuharibika mara kwa mara
➡️Mimba kutunga nje ya kizazi
➡️Kizazi Kujaa maji
➡️Ugumba
28/06/2023
Bfsuma Impact at Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naelimisha watu namna gani ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo sana ,Wanafunzi , wenye ajira wanataka kuongeza vipato vyao , wasio na ajira n.k
Nitafute kwa namba
+255 657 295618
28/06/2023
Its was awesome , Kuonana na Madam president Suzani Onyanja
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
06/12/2021
*SABABU ZA UKE KUWA MKAVU*
Zifahamu sababu za uke kuwa mkavu ni upungufu au uwiano mdogo au mbaya wa homoni za uzazi za mwanamke yaani ESTROGEN HORMONES,ambayo huleta ute na vilainishi vyake
Kwakawaida ute kwa mwanamke unatakiwa uwe wa wastani ambao hufanya uke kubana,kuleta joto na kufanya tendo la ndoa liwe la raha.
VISABABISHI VYA UKE KUWA MKAVU
🥥Upungufu wahomoni za uzazi au uzalishwaji mbaya (HORMONES IMBALANCE)
🥥Magonjwa ya zinaa k**a kaswende,kisonono n.k
🥥Fangasi sugu ukeni
🥥Uke mchafu
🥥U.T.I sugu
🥥Matumizi ya sabuni za antibiotics kusafisha uke
🥥Matumizi ya pedi zisizo za anions
*DALILI ZA UKE KUWA MKAVU*
🍉Maumivu makali wakati au baada ya tendo la ndoa
🍉Kutokwa na damu wajati wa tendo la ndoa
🍉Kukosa au kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
🍉Maumivu ya chini ya kitovu wakati wa tendo la ndoa
🍉Maumivu ya kiuno,mgongo,na tumbo
🍉Maumivu ya mifupa na viungo
🍉Kuwa na ngozi kavu
🍉Msongo wa mawazo
🍉Hedhi kukosa mpangilio maalmu
🍉Kutofurahia tendo la ndoa
🍉Kutoshika Mimba
*MADHARA YA UKE MKAVU*
∆ Upungufu,kiwango kidogo,uwiano mbaya(HORMONES IMBALANCE)
∆ Kutoshika mimba
∆Hedhi kutokuwa na mpangilio
∆ Nirahisi kushambuliwa na maambukizi katika mfumo wa uzazi k**a P.I.D (pelvic inflamatory Deaseases
*Haya yote ninayofundisha yanaweza kupatiwa dawa au tiba endapo utawahi kupata tiba kabla hayajawa sugu unaweza kuwasiliana nami kwa njia ya whatsaap au kawaida namba
0757063806
06/12/2021
0757063806
Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus
Ukweli ni kwamba ni P.I.D - Ni maaambukizi ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..
VIASHIRIA VYA UGONJWA HUU NI
👉Kutokwa na Uchafu sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu
👉kuwashwa ukeni
👉kutoa harufu mbaya sehemu za siri
👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee
👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa
Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni
👉kushindwa kupata ujauzito
👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi
👉mirija ya uzazi kuziba
👉mirija ya uzazi kujaa maji
👉mirija yako kuharibika kabisa
👉kupata tatizo la hormone inbalance..
👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
©Ili kusaidika na tatizo hili la p.i.d
Watsup
0757063806
29/11/2021
Namshukuru Mungu sana kupitia page hii wengi wamepata suluhisho hasa kwa wale waliotumia package za uzazi imesaidi wengi sana kupata baraka za watoto
K**a bado hujaanza dose nipigie tuongee nikusaidie
Kwa neema ya MUNGU watu wanazidi kupata suluhisho la matatizo ya uzazi ..🙏🏻
Kwa huduma nipigie
0757063806
27/11/2021
27/11/2021
FAHAMU TATIZO LA BACTERIA VAGINOSIS(B.V)
Bakteria rafiki na wabaya wote huishi ndani ya uke. Inapotokea uwiano dhalili wa ukeni unabadilika, unaweza kupata ugonjwa huu wa bacterial vaginosis (BV kwa kifupi) au wakati mwingine huitwa vaginal bacteriosis. Ni ugonjwa unaowasumbua wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 15 hadi 44 ingawa mwanamke wa umri wo wote huweza kuupata. Chanzo halisi bado hakijajulikana, lakini kushiriki ngono mara nyingi bila kinga na kujiosha ukeni kwa maji kumedhihirika kuwa kunaongeza uwezekano wa kupata ugonjwa huu.
CHANZO CHA BACTERIA VAGINOSI
Bakteria aitwaye lactobacillus hufanya kazi ya kuuweka uke kwenye hali ya utindikali ili bakteria wabaya wasizaliane. Endapo idadi ya lactobacillus itapungua, bakteria wabaya huongezeka na utapata BV.
Mwanamke ye yote anaweza kupata BV, lakini yafutayo yanaongeza yamkini ya maambukizi haya:
Kuvuta sigara
Kushiriki ngono na mpenzi mpya au wapenzi wengi
Kujiosha ukeni kwa maji au vimininika vingine (douching)
Matumizi ya antibiotics ya siku za karibuni
Unaweza kupata BV kwa kushiriki ngono ya mdomo au ya kinyume na maumbile.
DALILI ZA BACTERIA VAGINOSI
Zaidi ya nusu ya wanawake wenye BV hawaonyeshi dalili zo zote. Pale zinapoonekana huwa pamoja na:
Uchafu mwembamba mweupe, wa kijivu au kijani hasa baada ya tendo la ndoa
Kuwaka moto wakati wa haja ndogo
Harufu ya samaki inayozidi baada ya kujamiiana
Mara chache kuwa na miwasho sehemu ya nje ya uke
kutokwa na vidonda au michubuko ukeni
Tatizo hili linaepukika , & linatatulika
Ili kusaidika na tatizo hili
watsup
0757063806
JE WEWE NI HUYU AMBAE UNA TATIZO LA BAWASIRI?
BAWASIRI NI NINI ?????
¶ Ni uvimbe au vidonda vinavyojitokeza katika tundu la kutolea haja kubwa na huweza kuwa ndani au nje ya tundu la haja kubwa na uvimbe huu waweza kuwa mkubwa au mdogo na hata kufikia kiasi cha ukubwa wa kidole kiasi kwamba ukimaliza haja kubwa muhanga hulazimika kurudisha ndani kwasabab wakati wa haja huweza kutoka nje na husababisha kufanyiwa upasuaji endapo tatizo litakua kubwa Sana
Nini husababisha BAWASIRI ????
• Kuharisha kwa muda mrefu
• Wakati wa kujifungua kwa kina mama
• Kuwa na kinyesi kigumu
• Uzito mkubwa kupita kiasi
• Kufanya mapenzi kinyume na maumbile ( a**l sexual in*******se )
• Kukaa kwa muda mrefu
• Umri mkubwa pia kwasababu ya kulegea kwa baadhi ya misuli
• Kudhurika kwa misuli ya mfumo mzima wa utoaji taka mwili
Dalili za BAWASIRI NI ZIPI ????
✓ Maumivu makali katika tundu la haja kubwa
✓ miwasho na vimbe kwenye tundu la haja kubwa
✓ Kutoka uteute wenye mchanganyiko wa damu kwenye tundu la haja kubwa
✓ kutoa haja kubwa yenye mchanganyiko wa damu
✓ kukosa uwezo wa kudhibiti haja kubwa
✓ Kujitokeza vitu K**a vinyama au vimbe nje au ndani ya tundu la haja kubwa
✓ Ikifikia hali mbaya muhanga hushindwa kukaaa kabisa.
ACHA UWOGA BAWASIRI INATIBIKA NILA KUFANYIWA UPASUAJI
Kwa ushauri zaidia na tiba piga simu 0754819852 au njoo WhatsApp moja kwa moja https://wa.me/+255757063806
19/11/2021
TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)
FIBROID NI NINI?
Fibroids ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana k**a ‘uterine myoma’ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi.
Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke.
Ni uvimbe ambao hauhusiani na kansa
Wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 50 ndiyo wanapatwa kirahisi zaidi na ugonjwa huu.
Chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu bado hakijulikani wazi, hata hivyo baadhi ya sababu za kutokea huu uvimbe ni pamoja na;
●Kuongezeka sana vichocheo vya progesterone na estrogen kuzidi
WAFUATAO WAPO HATARINI KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROID)
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.Unene/uzito kupita kiasi
5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.
DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):
●?️Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.
●Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.
●Kuvimba miguu.
●Unaweza kuhisi una ujauzito.
●Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
●Kupata haja ndogo kwa taabu.
●Kutokwa na uchafu ukeni.
●Kupata choo kigumu au kufunga choo.
● Maumivu nyuma ya mgongo.
●Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.
● Kutopata ujauzito
● Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).
●Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo
●Hedhi zisizokuwa na mpangilio
Tatizo la uvimbe kwenye kizazi litatibika bila kufanyiwa upasuaji
Ili kusaidika na tatizo hili
watsup /call
0757063806
@ corner_ya_uzazi
16/11/2021
Matatizo ya uzazi yanatatulika
watsup 0757063806
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam