Afyanaurembo
Huu ni ukurasa maalum unaojihusisha na kutatua changamoto za afya kwa wanaume na wanawake
24/06/2022
NITRIC OXIDE KICHOCHEO MUHIMU CHA NGUVU ZA KIUME
Kuhusu Nitric oxide
K**a tunavojua kuta za mishipa damu inafanya kazi ya kupisha vitu mbalimbali k**a gas na majimaji.mbali na hayo kuta hizi zinatengeneza kemikali hii ya Nitric oxide inayosaidia kufanya misuli laini inayozunguka mishipa ya damu kurelax hvyo kuimarisha mzunguko wa damu.
Kwenye mwili kuna vichocheo ( enzymes) znazojulikana k**a nitric oxide synthetase ambavyo vinachochea uzalishwaji wa nitric oxide. Kemikali hii inatengenezwa kwa kuungana kwa nitrogen kutoka kwenye aina ya fatty acids inayojulikana k**a L_arginine na L Citrulline na kuiunganisha na oxygen hapo ndo inapatikana nitric oxide
Nitric oxide hii ikifika kwenye misuli ya uume inaingia kwenye seli za misuli laini ya uume na kutengeneza kichocheo kingine kinachojulikana k**a called *guanylyl cyclase* ambayo hii inaenda kutengeneza kemikali ambayo inasaidia kufanya misuli.laini ya uume kurelax inayojulikana k**a *cyclic guanosine monophosphate (cGMP)*. Hivyo kufanya damu kuingia kwa wingi kwenye chemba za uume hali inayopelekea uume kusimama na chemba hzi.zikijaa vzr uume kuwa mgumu.
Kirelax kwa misuli laini ya uume ni kitu muhimu sana sana ili uume usimamae, kwani damu isipoenda kwa wingi kwenye chemba za uume hautaweza kusimama au ikienda kiasi utasimama ila.utakua legelege.
Nitric oxide pia inaweza kutengenezwa na mwili kutoka kwenye vyakula vyenye nitrites nyingi mfano wa vyakula hivi ni mboga za majani ambapo ukila bakteria waliopo tumboni wanaosaidia kumengenya chakula wanabadili hizo nitrites kua nitric oxides.
KARIBIA dawa zote za tatizo la nguvu za kiume mfano vi**ra, na dawa za asili zinakua na viungo vnavyosaidia kuongeza uzalishwaji wa nitric oxide ili uweze kusimamisha uume na kumudu tendo la ndoa.
Dawa hizi nyingine znaboost moja kwa moja uzalishwaji wa nitric oxide na nyingine znaupatia mwili virutubisho ambavyo vinasaidia kuongeza uzalishaji wa Nitric oxide( dawa nyingi za kienyeji zinaangukia hapa)
___________________
19/06/2022
*ZIFAHAMU FAIDA 10 ZA MAZIWA YA NYUKI (ROYAL JELLY)*
Maziwa ya nyuki au Royal Jelly (yaani Jeli ya Kifalme) yana faida nyingi, leo nakupa faida 10 tu.
➖Kuongeza kinga ya mwili.
Jeli ya kifalme (Royal Jelly) inauwezo wa kuongeza uzalishaji wa cell za ulinzi (T- cells) hivyo husaidia kupambana na magonjwa.
➖Kupambana na saratani.
Jeli ya kifalme ina antioxdant ambazo zinauwezo wa kudhibiti seli za saratani zisikue.
➖Kudhibiti sukari au kisukari.
Tafiti zinaonesha kuwa jeli ya kifalme inasaidia kudhibiti ongezeko la unene ambalo ndilo sababishi ya magonjwa mengi ya mtindo wa maisha.
➖Afya ya ubongo.
Virutubisho vya jeli ya kifalme husaidia kukuza kumbukumbu na kukinga magonjwa ya akili k**a misongo n.k
➖Insazuia magonjwa ya mifupa k**a arthritis na oesteroporosis.
Jeli ya kufalme inauwezo wa kuzuia madini aina ya Calcium yasipotee katika mifupa.
➖Hupunguza kasi ya kuzeeka (Anti-Aging).
Jeli ya kifalme hupunguza kasi ya kufa kwa seli hivyo kuzuia kasi ya uzee na kunyanzi katika ngozi.
Yaani inaongeza umri wa mtu kuishi.
➖ Jeli ya kifalme husaidia kuimarisha mfumo wa fahamu.
➖Jeli ya kifalme husaidia kuimarisha mzunguko wa damu.
Na hivyo kudhibiti magonjwa ya moyo.
➖Afya ya njia za uzazi kwa wanaume na wanawake.
Kwasababu ya kiwango cha homornes, jeli ya kifalme huongeza nguvu za kiume na hamu ya kufanya tendo la ndoa takatifu kwa wanawake.
➖Tafiti zinasema kuwa matumizi ya Jeli ya kifalme kwa wanawake husaidia kurekebisha mzuguko wa hedhi na uwezo wa kubeba mimba.
*ROYAL JELLY ZINAPATIKANA Kwa tzs. 93,000 tu katika kampuni yetu*
*KARIBU SANA NDUGU:*
19/06/2022
*MALIZA KABISA TATIZO LA KUFIKA KILELENI HARAKA, KUSHINDWA KURUDIA TENDO NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA, KWA NJIA HIZI.*
Tafiti zinaonesha kwamba katika *kila kundi la wanaume 10, Wanaume 6 wana tatizo la nguvu za kiume au wanashindwa kumudu vyema tendo lao la ndoa vyema!*
Na katika kila *wanawake 6* kati yao *Wanawake 4 hawafurahii tendo la ndoa.. either kwasababu wanaume hufika kileleni haraka kabla ya mwanamke, or kwasababu ya maumivu anayoyapata mwanamke kutokana na uke kukauka haraka wakati wa tendo n.k*
*HEBU TUONE TATIZO HUSABABISHWA NA NINI?*
♦️ Kukosa chakula bora asilia kuupatia mwili wa mwanaume uwezo wa kuzalisha manii, hormone na kuimarisha misuli na mishipa limekuwa tatzo.
♦️ Ongezeko la uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga, ngano, mafuta n.k kwa wengi.
♦️ Kujichua/masturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima
♦️ Msongo wa mawazo {over stress} kutokana na shughuli nyingi za kila siku, ugumu wa maisha, kudharauliwa hasa na wapenzi wao au kukosa Hamu ya tendo la ndoa kabisa
♦️ Upungufu au mvurugiko wa hormones mwilini kutokana na mrundikano wa kemikali mbaya mwilini (Sumu nyingi mwilini)
♦️ Mishipa ya damu kujaa mafuta na Moyo kutofanya kazi vizuri, hivyo damu kutokuzunguka vyema!
*NINI UFANYE KUMALIZA TATIZO HILI.*
Kwanza kabisa ni vyema kufahamu chanzo cha tatizo lako,kisha kufanyia kazi chanzo cha tatizo lako. K**a vile kuacha kujichua, kupunguza uzito, kusafisha sumu mwilini, kula vizuri na kufanya mazoezi.
Licha ya kubadili mfumo wa maisha, *MATUMIZI YA VIRUTUBISHO* yamekuwa ni msaada mkubwa sana kwa watu wengi kutokana na faida nyingi wanazozipata watumiaji na mabadiliko makubwa wanayoyapata mara baada ya kutumia dozi hizi.
*Tuna bidhaa za asili ambazo zimetolewa kwenye mimea na mizizi na matunda. Zina faida mbalimbali mwilini k**a;*
🔹 Kurudisha hamu na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake.
🔹 Kupunguza / kuondoa athari za menopause (Ukomo wa hedhi) kwa wanawake.
🔹 Kuupa mwili stamina na nguvu wakati wa tendo na baada ya tendo.
🔹 Kuondoa msongo wa mawazo.
🔹 Kusaidia kuboresha homoni za uzazi na kurudisha hisia za tendo la ndoa.
🔹 Kusaidia uwezo wa mbegu za kiume kuogelea vizuri.
🔹 Kuongeza uteute kwa kwenye uke wakati wa tendo la ndoa. Hivyo kupunguza msuguano utakaoleta maumivu kwa wanawake wakati wa tendo la ndoa.
🔹 Kusafisha mishipa ya damu isiwe na mafuta mabaya yaliyoganda ili damu iweze kutembea vizuri mwili mzima.
*Kumbuka;*
Ili mwanaume aweze kusimamisha vyema uume wake lazima kuwe na kiwango kizuri cha damu inayofika katika uume, damu ikiwa kidogo uume hauwezi kusimama vizuri, damu ikifika ya kutosha uume utasimama vyema.
🔹 Kusaidia mwanaume aweze kushiriki tendo kwa muda mrefu na kutofika kileleni haraka haraka na aweze kurudia mizunguko kadhaa.
*MATUMIZI YA VIRUTUBISHO LIMEKUWA NI PENDEKEZO KUU KWA WATAALAMU WENGI WA MASUALA YA AFYA KWASASA, KUTOKANA NA UWEZO WAKE NA FAIDA ZAKE KWA WATUMIAJI.*
Kuanzia leo kuelekea mwisho wa mwezi huu Nina ofa maalum kuajili ya watu wangu ikiwemo na nyie humu.
*Kwa kawaida package nzima ya mtu ambae amekaa na changamoto kwa muda mrefu au zaidi ya mwaka mwili wake utakuwa unahitaji wingi wa virutubisho kwa wakati mmoja ili kutumika K**a suluisho lkni wewe ambae hujakaa na Tatizo kwa muda mrefu au halijawa sugu unaweza kutumia package moja na ukawa tayari umepata suluisho lako.*
Namna ya kupata hivi virutubisho fika ofisini kwetu posta karibu na jengo la Benjamin mkapa hapa *Dar* *es Salam* au Waweza kufikishiwa mpaka ulipo k**a upo Dar es salaam na Mikoani pia tunahuduma ya kufanya derivery
*Kwa mwongozo na ufafanuzi zaidi:*
*Afya, na Virutubisho.*
*KARIBU SANA.*
03/06/2022
MZUNGUKO MBOVU WA DAMU CHANZO CHA UDHAIFU KWA WANAUME"
Damu ni kimiminika mhimu katika mwili kwani hufanikisha shughuli nyingi za msingi kimwili zikiwemo;
1️⃣. Kusafirisha virutubusho kutoka katika mfumk wa chakula kwenda katika seli
2️⃣. Kusafirisha hewa ya oksijeni kutoka katika mapafu kwenda katika ubongo na sehemu zingine
3️⃣. Kujaza misuli ya mwili ili mwili ufanye kazi vizuri
4️⃣. Kusawazisha uwiano wa maji mwilini.
Hivyo basi mzunguko mbovu wa damu mwilini huathiri •Upumuaji •Kutanuka na kusinyaa kwa mishipa ya damu
•Mfumo wa hewa katika ubongo
•Msukumo wa damu katika viungo vya uzazi
•Mfumo wa hisia na hamu ya tendo la ndoa
•Uzalishaji wa mbegu katika kiwanda cha uzazi
MICRO2 CYCLE AFYA YAKO
Kwani inasaidia kuongeza ufanisi wa kazi ya Moyo, afya ya ganzi, kurekebisha homoni, kulisha seli za uzazi na kuimarisha misuli ya mwili
29/04/2022
USING'OE JINO TENA.
EBU JIULIZE HAYA MASWALI:
1. Kwa nini meno yanakuuma wakati mwanzo ulikuwa hauumwi meno?
2. Kwa nini unang”oa jino linahamia jino jingine tena kuuma na lenyewe unalitoa tena?
3. Kwa nini kinywa chako hata ukipiga mswaki bado unatoa harufu mbaya?
4. kwa nini ukipiga mswaki fizi zinatoa damu?
5. Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Mara nyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.
Tambua ndugu yangu kuwa unapokwenda kung’oa jino unang’oa Mfupa sio Fizi wala mishipa ambayo hakuna madhara kwa bakteria anaesababisha jino kuuma.
fahamu kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni. Na ndio kazi yao. Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa wake kuwa sugu na hujulikana k**a MACHODIFECE ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza, ama kutoboka kutokana na bakteria AFINOTOBALASAD ndio wanaosababisha na huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la kuumwa na jino au meno.
ADUI WA MENO YETU NI FLUORIDE.
Ndugu angalia dawa ya meno unayotumia k**a imeandikwa fluoride k**a ni ushauri itupe kwani hata k**a kwa sasa uko safi kwenye kinywa badae utaingia tena kwenye changamoto ya meno na kinywa.
TUONE FLUORIDE INAVYO ASILI MENO NA AFYA KWA KWA UJUMLA.
Shirika la afya duniani [WHO] lilipendekeza kiwango cha fluoride kwenye majiya kunywa kiwe (0.5_1) mg/lite kutokana na madhara makubwa yanayotokana na fluoride, mataifa yaliyo endelea yanafanya mpango wa kuiondoa kabisa fluoride katika maji ya kunywa (soma dr Dean burk,mgunduzi wabiotin amefanya kazi national institute of cancer huko marekani kwa miaka zaidi ya thelathini) fluoride iliyowekwa kwenye dawa ya meno imewekwa kwa kiwango kikubwa sana ndio maana wameandika kwamba
a. Usimeze ukimeza kwa bahati mbaya muone dr wa meno. Jiulize umemeza mara nagapi
b. Usibakize masalia ya meno kwenye kinywa
c. Mtoto chini ya umri miaka 6 asimamiwe na mtu mzima ili asimeze wala kuila
d. Swaki mara mbili hadi mara tatu kwa siku
e. Baada ya miezi 3 badilisha mswaki
Haya ndo madhara ya utumiaji wa fluoride .
1. UBONGO
Ungunduzi wa kina wa kisayansi umegundua kuwa utumiaji wa fluoride unapunguza IQ (intelligence quotient) kwa watoto wadogo ambao bado ubongo wao haujakomaa.
2. MIFUPA.
Kiwango kikubwa cha fluoride kinadhoofisha mifupa na kupelekea watu wengi kuvunjika kirahiisi haswa kwenye kiwiko na kwenye hips
3. FIGO.
Wenye matatizo ya figo wanashauriwa wasitumie vitu vyenye fluoride kabisa inamadhara kwa figo zetu (fluoride induced nepharotoxicity)
4. MENO
Kiwango kikubwa cha fluoride hudhoofisha meno na kupelekea Kurusu mashambulizi wa wadudu kwenye kinywa ndo maana unapotoa jino hao wadudu huhamia tena jino linguine.
5. TYROID.
Fluoride husabisha watukushi kutengeza thyroid hormone kwani huzuia iodine isijishikekwenye kemikali inayotumika kutengeneza thyroxine hormone .mwishowe tunaishia kupata goiter na matatizo mengine yatokanayo na upungufu wa vitamin hii.
6. CANCER.
Fluoride ni chanzo kikubwa sana cha kansa kwenye mwili wa binadamu inapojikusanya kwa muda mrefu na hupelekea hata kupata madonda ya tumbo meno kuharibikan.k (Dr Dean USA).
TIBA YA MENO NA KINYWA.
Kuna dawa ya meno ambayo imetengenezwa kwa ubora Zaidi na kufanyiwa tafiti kubwa sana inafanya kazi zifuatazo:
i. Haina fluoride
ii. Inashambulia mdudu anaeharibu jino au kinywa
iii. Inaruhusiwa kumenzwa k**a tumbo linakusumbua kuuma
iv. Ukiungua moto au ukajikata au jeraha la aina yoyote ile ikijipaka unapona bila kovu.
v. Inaimarisha fizi za meno zisitoe harufu mbaya
Na unaweza kuitumia k**a huduma ya kwanza hadi kwenye fungasi na mapunye.
Je ungependa kuipata kwa ajili ya kuboresha ubora wa kinywa chako na kuondokana na maumivu ya jino?
Tunaweza kuwasiliana kwa msaada na ushauri wa jinsi ya kuboresha afya yako kwa mawasiliano
# +255742-026629/0717-915941
NB.KUNG'OA JINO SIYO DAWA BALI KUYAPA NAFASI YA KUHARIBIKA MENGINE.
04/04/2022
Zijue faida za kunywa Maji kabla ya kula chochote unapoamka
Kwanini ni muhimu kunywa maji?
Miili yetu inaundwa na asilimia 70 ya maji, hivyo ni muhimu kunywa maji ya kutosha ili kuufanya mwili kufanya kazi vyema. Iwapo mwili wako haupati maji ya kutosha, hali hii inaweza kusababisha madhara mbalimbali ya muda mfupi na muda mrefu k**a vile magonjwa ya shinikizo la damu, saratani pamoja na magonjwa ya figo.
Ninawezaje kutumia maji k**a tiba?
Unaweza kutumia maji k**a tiba ya matatizo mbalimbali kwa kufanya haya yafuatayo:
Kunywa takriban Mililita 160 za maji kabla ya kuswaki au kula chochote mara tu unapoamka.
Kunywa maji angalau dakika 30 kabla ya kula, lakini si ndani ya dakika 45 baada ya kifungua kinywa, chakula cha mchana au chakula cha jioni.
K**a huwezi kunywa angalau bilauri 4 za maji basi anza na moja kisha ongeza taratibu kadri mwili wako unavyomudu.
Karibu ufahamu faida 8 za msingi za kunywa maji kabla ya kula chochote unapoamka.
1. Huondoa sumu mwilini
Unywaji wa maji mengi husaidia kuondoa sumu mwilini kwani huwezesha viungo k**a vile figo kufanya kazi yake vyema. Unapokunywa maji kabla ya kula chochote asubuhi utauwezesha mwili wako pia kujenga misuli na kuzalisha seli mpya za damu.
2. Huboresha metaboli
Metaboli ni mchakato ambao mwilli hutumia vyakula (wanga, protini na mafuta) ili kupata nguvu na kujijenga. Hivyo basi, unywaji wa maji huwezesha mchakato huu kwenda vyema na kuufanya mwili kuwa na afya njema.
Kunywa maji kabla ya kula chochote unapoamka huufanya utumbo kuwa tayari kufyonza virutubisho. Kumbuka, maji ni muhimu kwa ajili ya watoto na watu wazima pia.
3. Husaidia kupunguza uzito
Wapo watu wanaopenda kupunguza uzito wa miili yao kwani uzito mkubwa si jambo zuri kiafya. Yakupasa kukumbuka kuwa unapoamka na kuanza kutumia vinywaji k**a vile soda na juisi (sharubati) vitachangia sana kuongeza uzito wako wa mwili.
Utafiti unaonyesha kuwa soda ina sukari gramu 35 na gramu 140 za kalori ikilinganisha na maji ambayo vyote ni sifuri. Hivyo basi, ni vyema ukapendelea kunywa maji zaidi kuliko vinywaji vingine.
4. Huondoa kiungulia na matatizo ya umeng’enyaji wa chakula
Kunywa maji kutakusaidia kuzimua asidi inayopatikana tumboni ambayo ndiyo hupelekea tatizo la kiungulia. Sanjari na hayo unywaji wa maji utarahisisha na kuhimiza mchakato mzima wa umeng’enywaji wa chakula.
Hivyo basi, k**a unakabiliwa na matatizo haya ni vyema kuzingatia unywaji wa maji kabla ya kutumia dawa mbalimbali.
5. Huboresha na kuimarisha ngozi
Utafiti unaonyesha kuwa kunywa maji takriban mililita 500 kunarahisisha mzunguko mzuri wa damu katika ngozi. Hivyo basi, hili hupelekea kuondoa sumu mbalimbali katika ngozi na kuiacha ngozi yako katika hali nzuri kiafya.
6. Huhamasisha ukuaji wa nywele bora zenye afya
Upungufu wa maji mwilini una madhara makubwa sana kwa afya yako. Utafiti unaonyesha kuwa ¼ ya uzito wa nywele zako ni maji. Hivyo kutokunywa maji yakutosha kutakufanya kuwa na ukuaji duni wa nywele; pia kutafanya nywele zako kuwa dhaifu.
Kwa ajili ya afya na mwonekano bora wa nywele zako jidahidi kunywa maji yakutosha hasa unapoamka asubuhi.
7. Huzuia mawe kwenye figo
Unywaji wa maji huzimua asidi inayosababisha mawe kwenye figo ambayo hupatikana tumboni. Unywaji wa maji ya kutosha kutakuepusha kwa kiasi kikubwa na matatizo ya figo. Ili kurahisisha utendaji kazi wa figo zako pamoja na afya yake, zingatia kunywa maji ya kutosha hasa asubuhi.
8. Huongeza kinga ya mwili
Kujijenga kwa kinga mwili hutegemea sana maji katika mwili wako. Hivyo ni vyema kuhakikisha unaongeza kinga ya wili wako kwa kunywa maji ya kutosha hasa kabla ya kula kitu chochote.
Neno la mwisho
Ninakuhimiza kujenga utamaduni wa kujali na kulinda afya yako ili uweze kuwa mtu mwenye mafanikio zaidi. Tumeona swala la unywaji wa maji lilivyo na umuhimu; swala hili ni wewe kuamua tu kulifanyia kazi kwani halina gharama yoyote.
25/03/2022
UGONJWA WA KISUKARI
Ulaji wa vyakula usiokuwa sawa na kundi la damu unachangia kuongezeka kwa kasi kwa magonjwa yasiyoambukizwa.
fatilia hapa 👇👇
Neno ugonjwa wa kisukari linajumuisha magonjwa yote yanayosababisha kiwango cha
sukari katika mwili wa mtu kuwa juu. Tunasema mtu ana tatizo la kisukari pale ambapo mwili wa mtu huyu unakuwa na ukosefu wa insulin katika mfumo wake wa damu au pale ambapo mwili wake
unashindwa kutumia insulin iliyopo katika mwili wake hivyo kusababisaha kiwango cha
sukari katika mwili kupanda.
Hii ndiyo aina ya kisukari inayowasumbua watu wengi zaidi
(diabetes mellitus) ingawa kuna aina zingine za kisukari. Sukari tunayoizungumzia hapa si ile ambayo huuzwa madukani (sucrose) bali ni carbohydrate asilia (glucose) ambayo hupatikana kwa wingi kwenye vinywaji baridi
(soda) na kwenye matunda.
Kiwango cha glucose katika damu hudhibitiwa na homoni. Kuna homoni nyingi zinazofanya
kazi hii ikiwa ni pamoja na ile
inayotengenezwa na kongosho, iitwayo insulin. Homoni ni kemikali zilizopo katika mwili wa binadamu na zinafanya kazi ya kutuma ujumbe tofauti kutoka seli moja
hadi nyingine.
Unapokula chakula, kiwango cha sukari huongezeka katika mwili wako na insulin hutuma ujumbe kuzitaarifu seli zinazohitaji glucose kuchukua sukari hiyo kutoka kwenye mfumo wa damu. Seli zikiisha kuchukua glucose ya kutosha kwa matumizi yao, ile ya ziada hutunzwa katika baadhi ya
seli k**a Glycogen.
K**a mwili haupati chakula, seli huvunjavunja glycogen iliyotunzwa na kuibadili kuwa glucose kwa
matumizi ya mwili. Iwapo insulin haifanyi kazi yake kiwango cha sukari mwilini hupanda. Gluocose hutumiwa na seli kuleta nguvu mwilini.
Kutokana na ufafanuzi wetu wa kisukari cha aina hii hapo juu, tunaona kwamba kuna aina mbili au makundi mawili ya watu
wanaosumbuliwa na kisukari cha aina hii,
type 1 diabetes mellitus na
type 2 diabetes mellitus.
Aina Ya Kwanza Ya Diabetes Mellitus (Type 1 Diabetes Mellitus)
Aina hii ya kisukari inatokea pale sehemu ya kongosho linalotengeza insulin inapokuwa imeharibika na kongosho halitengenezi insulin tena. Hali hii ikitokea, sukari
(glucose) iliyopo ndani ya damu haiendi kwenye sehemu za mwili zinazohitaji sukari hiyo. Kumsaidia mtu huyu aishi, lazima apewe insulin kwa maisha yake yote
yaliyosalia.
Tatizo la aina hii ya kwanza ya
diabetes mellitus huwakumba zaidi vijana ingawa huweza kutokea kwa watu wenye umri mkubwa pia. Imeonekana kwamba kati ya
kila watu 10 wenye kisukari, mmoja huwa na aina hii ya kisukari.
Aina Ya Pili Ya Diabetes Mellitus (Type 2 Diabetes Mellitus)
Aina hii ya pili ya kisukari ni tofauti kabisa na ile aina ya kwanza kwa sababu hapa mtu ana uwezo mzuri wa kutengeneza insulin lakini mwili unashindwa kuitumia insulin hiyo
au kiwango kinachotengenezwa kinakuwa kidogo sana. Katika hali hii sukari iliyopo katika mwili
hushindwa kuongozwa kwenda kwenye sehemu husika.
Aina hii ya kisukari hujibainisha zaidi kwa watu wenye umri mkubwa na walio na uzito mkubwa(wanene).
Dalili Za Ugonjwa Wa Kisukari
Hapa chini ni dalili za ugonjwa wa kisukari:
👉Kukojoa mara kwa mara,
👉kusikia kiu kila mara na 👉kupungua uzito bila kukusudia
👉Mwili kushindwa kupata hisia mbalimbali k**a mgandamizo au joto
Madhara Ya Ugonjwa Wa Kisukari
Kisukari ambacho hakitadhibitiwa kinaweza kuleta madhara mengi sana baada ya miaka kadhaa ingawa madhara haya yanaweza
kuanza kujionyesha baada ya miezi michache tu kwa watu wengine. Madhara haya huanza kujionyesha kidogo na kuongezeka kadri miaka inavyoongezeka.
Matatizo mengi yanaanzia kwenye mishipa ya damu. Kiwango cha sukari mwilini kikiwa juu kwa muda mrefu bila kudhibitiwa, husababisha mishipa midogo na mishipa mikubwa ya damu kusinyaa. Kusinyaa huku kwa mishipa husababisha kiwango cha damu inanyofika kwenye viungo mbalimbali vya mwili kuwa kidogo na hapo ndipo mwanzo wa matatizo. Kiwango hiko cha sukari
kisipodhitiwa husababisha pia chembechembe za mafuta katika damu kupanda na kusababisha hali ambayo kiutaalamu huitwa
atherosclerosis.
Atherosclerosis ni hali ambayo chembechembe za mafuta zinajijenga kwenye kuta za mishipa ya arteri ya ukubwa wa kati na ukubwa mkubwa na kupunguza kiwango cha damu itakayopita
au kuzuia kabisa damu isipite.
Atherosclerosis ndio chanzo cha heart attacks na kiharusi (strokes)
Kuwa na mzunguko mdogo wa damu kwenye ngozi humsababishia mgonjwa huyu wa kisukari kupata michubuko na maambukizi
kwenye ngozi. Wagonjwa hawa mara nyingi wanapata vidonda kwenye nyayo na miguu. Mara nyingi vidonda hivyo hupona kwa taratibu sana au haviponi kabisa hali ambayo huweza kupelekea sehemu ya mguu au mguu wote kukatwa.
Wagonjwa wa kisukari huwa ni rahisi kupata maambukizi ya bacteria na fungus hasa kwenye ngozi zao. Kiwango cha sukari
kinapokuwa juu sana katika damu,
chembechembe nyeupe za damu haziwezi kufanya kazi yake ya kupambana na maambukizi.
Maambukizi yoyote huonekana
makubwa na huchukua muda mrefu sana kuyaondoa.
Kuathirika kwa mishipa ya damu ya kwenye macho kunaweza kusababisha upofu (diabetic
retinopathy). Inashauriwa mgonjwa wa kisukari kupimwa mwacho yake kila mwaka kuhakikisha kwamba hakuna dalili zozote za matatizo.
Kisukari kinaweza kusababisha figo
kushindwa kufanya kazi zake na kuharibu mishipa ya fahamu. Uharibifu wa mishipa ya fahamu hujionyesha kwa njia nyingi sana.
*Neva moja ikiharibika ghafla, kwa mfano, mkono au mguu utakosa nguvu. Uharibifu kwenye neva za ngozi humsababishia mgonjwa kuumia mara nyingi kwa sababu
atashindwa kuhisi pale kiungo chake kinapogandamizwa au kugusa na kitu chenye joto kali.
TUMAINI LA SULUHISHO LIPO.
Imesadikika kuwa ulaji Wa vyakula usiokuwa sawa na kundi lako la damu unachochea Uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa huu wa kisukali na mengine mengi.
Kampuni imeweza kufanya utafiti mkubwa kutokea marekani na kugundua ulaji sahihi wa vyakula kuligana na kundi la damu pamoja na bidhaa zake za kukupa uwezo wako wa Mwanzo wa afya yako.
Kwa ushauri unaweza kuwasiliana nasi kwa njia ya simu.
#0784-913232whatsapp/call
# 0717-915941/0742-026629 call only.
22/01/2022
UHUSIANO ULIOPO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA NGUVU ZA KIUME
✅Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
↔Asilimia kubwa ya wagonjwa wa kisukari wanakabiliwa na tatizo la pungufu wa nguvu za kiume.
✅UHUSIANO ULIOPO KATI YA UGONJWA WA KISUKARI NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
Ukisoma vizuri kuhusu sayansi ya nguvu za kiume utagundua kuwa suala la nguvu za kiume ni suala la kimfumo
↔Mambo makuu muhimu katika mfumo wa nguvu za kiume ni :
💢Ubongo imara na wenye afya njema
💢Mishipa imara ya kusafirishia damu mwilini
💢Mfumo imara na wenye afya wa usafirishaji damu mwilini.
💢Mishipa na misuli ya uume iliyo imara na yenye afya njema
💢Pamoja na uhusiano imara na wenye afya kati ya mishipa ya fahamu iliyo katika ubongo ( nerves),mishipa ya kwenye uti wa mgongo ( spinal cords ) pamoja na mishipa & misuli ya kwenye uume.
↔Ili mwanaume aweze kuwa na nguvu imara za kiume ni lazima mfumo wa mwili wake uwe na mambo yote matano yaliyo tajwa hapo juu .
Kukosekana ama kuwa na hitilafu katika lolote kati ya mojawapo kayi mambo yaliyo tajwa hapo juu kutamfanya mwanaume huyo apungukiwe na nguvu za kiume.
↔Hitilafu ama kukosekana kwa zaidi ya jambo moja kati ya mambo yaliyo tajwa hapo juu, kutamfanya mhusika awe katika hatari ya kupungukiwa nguvu za kiume maradufu.
✅JINSI UGONJWA WA KISUKARI UNAVYO SABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Ugonjwa wa kisukari, pamoja na mambo mengine mengi, unafanya mambo yafuatayo katika mwili wa mwanadamu:
✴Unashambulia na kudhoofisha mishipa ya ubongo.
✴Unashambulia na kudhoofisha mishipa inayo safirisha damu mwilini ( Blood Vessels )
✴Unashambulia na kudhoofisha mishipa na misuli mbalimbali iliyopo katika sehemu mbalimbali za mwili wa mwanadamu ikiwemo mishipa na misuli ya kwenye uume.
✴Mishipa ya ubongo ( nerves ), mishipa ya damu ( Blood Vessels ), pamoja na misuli & mishipa ya kwenye uume, ni vitu muhimu sana katika mfumo wa nguvu za kiume
✴Kudhoofishwa kwa vitu hivi muhimu, husababisha upungufu wa nguvu za kiume
Hii ndio sababu kuu inayo wafanya wagonjwa wa kisukari kusumbuliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
✅TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME KWA MGONJWA WA KISUKARI.
↔Ili mgonjwa wa kisukari aweze kupata tiba ya ukosefu wa nguvu za kiume, ni lazima apate pia tiba itakayo saidia ku- control sukari kwenye damu yake.
💥Hivyo basi , tiba ya upungufu wa nguvu za kiume kwa mgonjwa wa kisukari inatakiwa kwenda sanjari na tiba ya ku - control sukari kwenye damu ya mgonjwa.
💥Hii ina maana kuwa, ili tiba ya nguvu za kiume kwa mgonjwa wa kisukari iweze kufanya kazi barabara, ni lazima mgonjwa huyo apate pia tiba ya kuweka sukari yake iwe vizuri na mfumo wote wa damu urudi kwenye hali yale ya kawaida.
🌺Hivyo basi tumewaandalia program maalum watu wote wenye kisukari ambao wanasumbuliwa na upungufu wa nguvu za kiume na wanataka kurudisha heshima ya ndoa nyumbani. Wasiliana nasi ili uweze kuanza program hii ambayo hutoijutia. Nyumba bila heshima ya ndoa basi utadharaulika kila siku kwa mkeo. Hata wanawake ambao wana kisukari pia wanaweza kutumia program hii kwa kuweka sukari ikale kwenye level yake na.kurudisha hata hamu yake ya tendo la ndoa.
USHAURI
Ukijijua wewe ni mgonjwa wa kisukari basi usikimbilie dawa za kuongeza nguvu za kiume. Tatizo lako ili liishe au likae sawa kabla ya kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ni ku control sukari yako na kuhakikisha mzunguko wa damu unakua mzuri na kuratibu ile mishipa ya damu iliyoharibiwa na ile sukari kwenye damu.
Mawasiliano ya ofisi yetu ni
Simu/whatsapp: 0716778844
22/12/2021
Kuvurugika Kwa Homoni za Mwanamke na Mwanaume Maana Yake ni Nini?
✍🏻Maana yake ni kwamba homoni zako haziko katika mhimili unaotakiwa na zinasababisha kwa namna moja au nyingine mzunguko wako wa hedhi unakuwa sio salama na linaweza kusababisha kutobeba hata mimba, inategemea na ukubwa wa tatizo lako
Tizama mifano hii👇👇
1️⃣Endapo homoni ya estrogen ikiwa juu sana inaweza kukuhatarisha pata magonjwa yafuayo;
a) Shinikizo la Damu
✍🏻Hii ni kwa sababu homoni ya estrogen huenda kuishinikiza figo kuzuia madini ya chumvi (sodium) yasitoke nje. Na kadri unavyozuia madini haya ya chumvi yasitoke huenda sambamba na kuzuia maji. Hivyo hii inaweza kupandisha kiwango cha damu (plasma) na kusababisha Shinikizo la damu, moyo kupanuka, kuvimba miguu nk,
b) Kansa na Uvimbe kwenye Kizazi (fibroids)
✍🏻Homoni hii huenda kuchochea seli za t**i, ukuta wa kizazi kukua kwa kasi sana na zinaweza kuchochewa na kubadilika kuwa kansa. Hivyo homoni nyingi ya estrogen inakuweka hatarini kupata kansa ya t**i (breast cancer), kansa ya kizazi (Endometrial cancer) na baadhi ya kansa za Ubongo
2️⃣ Homoni ya Progesterone Inapokuwa Chini Sana Inaweza Kusababisha yafuatayo:
👉Kuwa na maumivu makali sana ya hedhi
👉Kuingia hedhi yenye kuambatana na kutokwa na damu nyingi sana na kwa muda mrefu
👉Mimba kuwa zinatoka, kila unapobeba mimba inatoka hata kabla haijamaliza miezi 3.
3️⃣Homoni ya Prolactin Ikiwa Juu Sana Kwenye Damu Unaweza Kupata Matatizo Yafuatayo Kiafya:-
➡️Kumbuka homoni hii inapanda unapokuwa una mimba na unanyonyesha tu. Lakini ukikuta ipo juu sana kwenye damu wakati hunyonyeshi na huna mimba kiafya inakuwa sio salama.
➡️Inaweza kusababisha kutokwa na maziwa wakati huna mimba na hunyonyeshi. Chuchu zikawa zinatoa maziwa.
➡️Huwezi kubeba mimba kabisa kwa sababu prolactin ikiwa juu wakati huna mimba huenda kuzuia ovari zisikomaze na zisipevushe mayai kabisa. Unakuwa unaingia hedhi ambayo hairutubiki.
➡️Mat**i kuwa yanajaa na kuuma sana hasa unapokaribia hedhi
4️⃣Homoni Ya Testosterone Ikiwa Juu kwa Mwanamke Unaweza Kupata Madhara Yafuatayo Kiafya;
➡️Kutokuwa unapevusha mayai hata kidogo hii inaweza kusababisha ukawa mgumba.
➡️Mayai yanakuwa hayapevuki na matokeo yake unapata aina ya uvimbe kwenye ovari tunaita “Cysts”. Ambapo cyst inaweza kuwa moja na kubwa au zinaweza kuwa nyingi “Polycysts”. Kwa hio unakuwa hatarini kupata uvimbe kwenye ovari.
➡️Kuota nywele sehemu ambazo mwanamke hutakiwi kuwa na nywele. Mfano ndevu kwa mwanamke, nywele kifuani nk.
➡️Hamu ya tendo la ndoa hupotea kwako inakuwa ni maumivu tu wakati wa tendo la ndoa
Je kwa Wanaume Inakuwaje Hili Tatizo la Mvurugiko Wa Homoni?
✍🏻Wanaume pia huwa wanakabiliwa sana na matatizo haya ya mvurugiko wa homoni na huenda kuathiri sana uzazi kwa mwanaume.
Mfano:
1️⃣Homoni ya Testosterone Ikishuka Kwa Mwanaume Unapata Haya:
➡️Unaongezeka uzito kwa kasi hasa kitambi cha tumbo la chini, nyonga na mapaja na kupungua inakuwa kazi sana
➡️Hamu ya kushiriki tendo la ndoa na matamanio kwa jinsia tofauti inapungua sana au kuisha kabisa inategemea na kiwango cha ukubwa wa tatizo.
➡️Kiwango cha mbegu na ubora wa mbegu za kiume kushuka sana.
➡️Unaanza kupoteza nywele, unaanza kukonda sehemu zingine isipokuwa tumbo la chini linaongezeka. Testostrone kujenga misuli ikiwa chini unaanza kupoteza misuli.
2️⃣Homoni ya Estrogen Ikizidi Kwa Mwanaume Matatizo Haya Unapata
➡️Homoni ya estrogen huwa ipo chini sana kwa mwanaume. Inapozidi kiwango yaani ikatawala inakufanya mwanaume mat**i yakue, kitambi, unatengeneza hipsi k**a mwanamke, na maumbile sehemu za siri yanaanza kupungua kwa kasi sana
✍🏻Huu ndo undani wa mvurugiko wa homoni (hormonal imbalance)
⚠️ Changamoto ya Homon Imbalance inaisha kabisa. Nikushauri kupata matibabu ya uhakika. Piga simu no 0712307668
IMARISHA TENDO LA NDOA ZAIDI
USIWAHI KUFIKA KILELENI
ZALISHA MBEGU ZENYE AFYA
SIMAMA KWA MUDA MREFU ZAIDI
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Tazara
Dar Es Salaam