Afya Tips 365

Afya Tips 365

Share

Nasaidia Wenye Matatizo Ya Uzazi, Ngozi, Nguvu Za Kiume, Kupungua Uzito, PID Sugu Na Mengineyo.

13/09/2020

My dear sister weekend ndo hii inaishia na p*s kali zote lazima zitoke out kidogo ili kujichetua!

K**a kawaida ushabeba kipochi chako mwenyewe umeeka khanga yako humo, dawa ya meno, mafuta na nini tena kingine???🀷🀷🀷

Na P2 umebeba sio!!!???
Jamani, hivi kwanini unaendekeza sana matumizi ya P2?
Hivi unajua madhara ya kutumia P2 mara kwa mara?

Ndiyo sikatai kujilinda ni muhimu k**a hauko tayari kushika mimba kwa sasa, lakini shoga angu hizo P2 usitumie zaidi ya mara 3 kwa mwezi. Zina madhara makubwa ujueee!!

Huweza kusababisha mirija ya uzazi kuziba na hatimae kupelekea ugumba!! Please acha kutumia na k**a unatumia basi isiwe kila siku!!

Leo mwambie huyo mwenzio atumie kinga ili na wewe uwe salama kwa kutokutumia P2.

Mimi nimekwabia leo, sasa siku yakikukuta ya kutafuta mtoto na hupati, tusilaumiane kabisaa!!
Ila tuu ukikutana na changamoto za uzazi ambazo husababishwa na matumizi ya P2 wewe njoo hapa upatiwe tiba kwa Elfu 20 tuu!!!

DM/WhatsApp:
0657561033/0753741293

12/09/2020

Hii Ndo yenyewe naya asili kabisa, picha linaanza hii haina VI**RA ambayo husababisha madhara kiafya.

Ina mchanganyiko wa mdalasini, hiliki, maziwa, tangawizi, kungumanga na uwatu.
Ushindwe wewe tuu kuitumia.

-Huongeza nguvu za kiume.
-Hukausha uvimbe kwenye kizazi kwa wanaume na wanawake.
-Huzibua mirija ya uzazi kwa wanaume na wanawake.

Unaeza itumia kwenye chai au maji ya moto. Unatumia kidogo tuu na unapata matokeo makubwa zaidi.

Bei yake ni 10000/=

Epuka kutumia Alkasusi yenye VI**RA Ina madhara kiafya.

11/09/2020

Asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa wakipitia changamoto kubwa sana kwenye Afya Ya Uzazi hali ambayo imepelekea wengi wao kushindwa kushika ujauzito au hata kupelekea mimba kuharibika.

Matatizo ya uzazi kwa mwanamke ni pamoja na:
-Kuvurugika au kutokuwiana kwa homoni.
-Maumivu makali wakati wa hedhi.
-Maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa.
-Kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.
-Maambukizi kwenye via vya uzazi (PID)
-Maambukizi kwenye njia ya mkojo (UTI)
-Kuziba kwa mirija ya uzazi.
-Kukosa Ute unaotakiwa siku za hatari.
-Kutokwa na uchafu/majimaji ukeni yenye harufu.

Matatizo haya yanatibika na kupona kabisa endapo tuu utazingatia tiba.

Gharama ya Tiba hii ni elfu 20 tuu.

Njoo Sasahivi
DM/WhatsApp:
0657561033/0753741293

10/09/2020

Wanasema kuna tofauti Kati ya kushika UJAUZITO na kushika MIMBA.

Kwamba MJAMZITO Ni yule aliyeko kwenye ndoa au hata k**a hajaolewa lakini alikuwa tayari kubeba ujauzito na alijiandaa kabisa.

Mwenye kushika MIMBA ni yule ambaye hayuko kwenye ndoa na mimba yake kaipata bila kutarajia yaani hakuwa tayari au hata umri wake hauruhusu mfano mwanafunzi.

Hivi Kuna ukweli hapo??πŸ‘†πŸ‘†

Hivi unadhani kwanini hizi mimba zisizotarajiwa huwa hazina maudhi??
Namaanisha hivi mtu anaebeba mimba kwa kificho mfano mwanafunzi sio rahisi umkute anaumwa au kubagua vyakula nasi ajabu hata clinic asiende lakini akajifungua vizuri tuu bila shida!! Eti jamani kwanini inakuwa hivooo????

Sasa ukute yule mtu kaolewa anaishi vizuri na mume wake akishika tuu ujauzito kashkash haziishi mara Kutapika, oh kuumwa kichwa, sijui kizunguzungu.. yaani maudhi hayaishi na huyu anafata masharti yoote anahudhuria clinic anameza dawa na kila kitu lakini sasa kimbembe!!

Em tukajadili hapo kwenye comment kwanini haya maudhi huwakuta zaidi waliojiandaa kushika ujauzito kuliko wale ambao hawakuwa tayarii?

Haya tiririkaaaa!!!!

09/09/2020

Matumizi ya sayansi na teknolojia hupelekea baadhi ya wanaume kujichua, halii ambayo husababisha upungufu wa nguvu za kiume!

Pia matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kuongeza nguvu za kiume (VI**RA) husababisha madhara makubwa kwenye misuli ya uume.

Siku hizi wadada wa town wala hawana shida na hizo six pack zako Kaka! Kinachoangaliwa zaidi ni ufanisi wako kwenye 6 kwa 6. Sasa wewe unajidai na hizo six pack ili iwe vipi kwa mfano!! 🀷🀷🀷🀷

Kifuani umejaa weee lakini kitandani shughuli ni sifuriiiπŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ yaani mzee wa show mbovu!!

Usikubali kuitwa mzee wa show mbovu.
ALKASUSI ipo kwaajili yako na hii ni original kabisaa kutoka chimbo na haina madhara kwa sababu niya asiliiiii

Bei elfu 10 tuu

Njoo Sasahivi
DM/WhatsApp:
0753741293/0657561033

07/09/2020

Sauti inatoshaaa sioooo!!! Haya sasa kazi kwakooo!!!

Wanasema kizuri kula na mwenzioo, hii Alkasusi ndo kibokoo yao! Hakuna tena show mbovu! Ni mwendo wa masaa tuu mpaka uifikie Kilimanjaro.

Jipatie yako mapemaaaa kwa Bei Nafuu tuuu
10000/=

Njoo Sasahivi Tuyajenge
DM/WhatsApp:
0657561033/0753741293

06/09/2020

ALKASUSI!!!!!!!!! Umewahi kusikia hii kitu? Enhe umewahi kuitumia?πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„

Zimekuwepo tetesi nyingi mtaani juu ya matumizi ya Alkasusi huku wengine wakidai ni sawa kuitumia na wengine wakipinga juu ya matumizi hayo!

ALKASUSI Inafaa kutumiwa na jinsia zote hii ni kutokana na faida za kiafya zilizopo ndani yake!!

FAIDA ZA ALKASUSI MWILINI:
-Huzibua mirija ya uzazi.
-Hukausha uvimbe kwenye kizazi.
-Huongeza hamu ya tendo la ndoa.
-Huongeza nguvu za kiume.
-Humsaidia mwanaume kutokuwahi kufika kileleni.

Tumia ALKASUS original isiyokuwa na VI**RA.

Bei 10000/= tuuuu

Njoo Sasahivi Tuyajenge
DM/WhatsApp:
0657561033/0753741293

Photos 04/08/2020

Vitamin B hupatikana kwenye kundi la vitamin vinavyofahamika k**a Water Soluble Vitamin.
Vitamin B ndani ya miili yetu hufanya kazi ya kuhakikisha kuwa michakato ya kikemikali inafanyika. Na michakato hiyo kitaalamu huitwa METABOLISM na hufanyika ndani ya seli kwaajili ya:

-Kubadili chakula kuwa nishati (Nguvu)
-Kubadili chakula kuwa protein, carbohydrate na lipids.
-Kuondoa uchafu na sumu mwilini.

Vitamin B hupatikana zaidi kwenye vyakula k**a nafaka iliyokobolewa, mimea jamii ya maharage, mimea jamii ya karanga na alizet, viazi, mayai, nyama, mboga za majani na matunda.

04/08/2020

Miili yetu inahitaji zaidi vyakula vyenye Vitamin ili iweze kukua na kuimarika zaidi.
Vitamin B hupatikana zaidi kwenye vyakula k**a nafaka isiyokobolewa, mimea jamii ya karanga, mimea jamii ya maharage, viazi, ndizi, nyama, mayai, mboga za majani na matunda.

Vitamin B Husaidia sana misuli ya mwili kujaa, huimarisha afya ya ngozi, hupambana dhidi ya ugonjwa wa Anemia, Huepusha vidonda vya midomo au midomo kupasuka.

29/07/2020

FAIDA ZA VITAMIN A MWILINI:
-Husaidia katika afya ya macho.
-Husaidia katika ukuaji.
-Huboresha mfumo wa kinga ya mwili.
-Huboresha afya ya mifupa.
-Huboresha afya ya ngozi.
-Husaidia katika afya ya meno.
-Huimarisha ukuaji wa mimba.

23/07/2020

Ipo Tiba kwa wewe mwanaume mwenye tatizo la Uume kuwa mdogo lakini pia wewe ambaye unawahi kufika kileleni.

Tumia virutubisho maalumu vya uzazi kwa wanaume ambavyo husaidia sana kuimarisha misuli ya uume na kuongeza urefu wa uume.

14/07/2020

Unasumbuliwa Na Uzito Au Unene Uliopitiliza?
K**a wewe Ni mhanga wa Changamoto hii elewa kuwa unaweza kupunguza uzito ndani ya muda mfupi kwa kutumia bidhaa isiyokuwa na kemikali na isiyokuwa na madhara kwa afya yako.

Ni elfu 15 tuu utaweza kupunguza kilo nyingi.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam