Betty Health Care
Ushauri na elimu kuhusu Afya , ushauri ni bure kabisa Wasiliana nasi 0684 089 771
14/02/2024
Tumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi ,Matunda na Mboga Mboga
Kwa mfano vyakula vya nyuzi nyuzi ni K**a vile ndizi,,maparachichi,Njegere,Mihogo,Viazi na Papai
Zinasaidia Tumbo kusaga chakula na kusukuma mabaki yatoke ili yasibaki tumboni na kusababisha madhara
📞 0684 089 771
12/02/2024
Napenda kuona watu wakisaidika na Program ya Uzazi
Feedback nzuri 💕💕💕💕💕💕💕
Uzazi Program ni kwa wote Wanaume na Wanawake
📞0684 089 771
12/02/2024
UZAZI WA MPANGO HUPELEKEA MAMBO YAFATAYO
✅Kuvugika kwa Hedhi
✅Upungufu wa Homoni ya Estrogen
✅Homoni Imbalance
✅Kutoka damu kwa muda mrefu
✅Kukosa Hedhi
✅Mayai kuzalishwa yasiyoweza kupevuka
✅Stress au Msongo wa mawazo
📞0684 089 771
10/02/2024
Inawezekana ikawa ni maambukizi katika via vya uzazi
✅Fungus
✅PID
✅UTI
✅Saratani ya Shingo ya kizazi
✅Magonjwa ya zinaa
K**a unasumbuliwa na Dalili hizo Chili’s hatua sasa
📞 0684 089 771
07/02/2024
IMEGUNDULIKA NJIA RAHISI YA KUFANYA ILI KUMALIZA TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO
Bila kutumia gharama kubwa lakini matokeo makubwa
Nataka kukufahamisha kuwa njia bora ya kumaliza tatizo la
✅Kuwahi kufika kileleni
✅Uume kuwa mdogo
✅Kukosa kabisa hamu ya Tendo la ndoa
✅Kushindwa kurudia round
✅Kulala usingizi mzito baada ya Tendo
Ipo njia yenye matokeo makubwa ndani ya muda wa siku 3-5.Huu ni mwisho wa kuaibika
Najua bado hujafahamu ni njia ipi!!!
Wasiliana nami kupitia
📞0684 089 771
07/02/2024
IPO NJIA RAHISI SANA YA KUFANYA ILI KUMALIZA TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO
Bila kutumia gharama kubwa lakini matokeo makubwa
Nataka kukufahamisha kuwa njia bora ya kumaliza tatizo la
✅Kuwahi kufika kileleni
✅Uume kuwa mdogo
✅Kukosa kabisa hamu ya Tendo la ndoa
✅Kushindwa kurudia round
✅Kulala usingizi mzito baada ya Tendo
Ipo njia yenye matokeo makubwa ndani ya muda wa siku 3-5.Huu ni mwisho wa kuaibika
Najua bado hujafahamu ni njia ipi!!!
Wasiliana nami kupitia
📞0684 089 771
06/02/2024
We love feedback 💕💕
Program yetu ya Uzazi Program ni mahususi kwa watu wote Wanawake na Wanaume
Huu mwaka ni wa kuforce😁🔥🔥🔥hakuna kukaa kinyonge
📞0684 089 771
06/02/2024
Umuhimu wa Homoni ya Testosterone
✅Homoni hii uimarisha misuli yote ya mwili ya mwanaume
Kwa kawaida mtoto wa kiume akianza kubarehe misuli yote ya mwili uweza kuimarika na kutanuka vizuri kwa hiyo kitendo hicho usababishwa na homoni ya testosterone.
✅Kuimarisha kiwango cha hisia za mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa homoni hii ya testosterone usaidia kabisa kuongea hisia za mwili kwa sababu k**a mvulana hajabalehe huwezi kuhisi au hawezi kuhisi hisia zozote za mwili
✅homoni hii usaidia kuimarisha kiwango cha kufanya tendo la ndoa.
Kwa sababu mtoto wa kiume akianza kubarehe ndipo huwa na hisia za kuanza kufanya tendo la ndoa
✅Kuratibisha uzalishaji wa seli hai za damu.
Pamoja na kufanya mambo ya mabadiliko kimwili kwa mtoto wa kiume pia usababisha kuwepo kwa uzalishaji wa kiwango cha juu cha seli hai za damu.
✅Kuratibisha uzalishaji wa mbegu za mwanaume.
Kwa kawaida mbegu za mwanaume uzalishwa mara nyingi na kwa wakati tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu kwamba hiyo ni kazi ya homoni ya testosterone
06/02/2024
Umuhimu wa Homoni ya Testosterone
✅Homoni hii uimarisha misuli yote ya mwili ya mwanaume
Kwa kawaida mtoto wa kiume akianza kubarehe misuli yote ya mwili uweza kuimarika na kutanuka vizuri kwa hiyo kitendo hicho usababishwa na homoni ya testosterone.
✅Kuimarisha kiwango cha hisia za mwili.
Kwa sababu ya kuwepo kwa homoni hii ya testosterone usaidia kabisa kuongea hisia za mwili kwa sababu k**a mvulana hajabalehe huwezi kuhisi au hawezi kuhisi hisia zozote za mwili
✅homoni hii usaidia kuimarisha kiwango cha kufanya tendo la ndoa.
Kwa sababu mtoto wa kiume akianza kubarehe ndipo huwa na hisia za kuanza kufanya tendo la ndoa
✅Kuratibisha uzalishaji wa seli hai za damu.
Pamoja na kufanya mambo ya mabadiliko kimwili kwa mtoto wa kiume pia usababisha kuwepo kwa uzalishaji wa kiwango cha juu cha seli hai za damu.
✅Kuratibisha uzalishaji wa mbegu za mwanaume.
Kwa kawaida mbegu za mwanaume uzalishwa mara nyingi na kwa wakati tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa kufahamu kwamba hiyo ni kazi ya homoni ya testosterone
📞 0684 089 771
04/02/2024
Uzazi Program
Inazingatia mambo makuu manne
✅Ushauri juu ya Changamoto ya masuala mazima ya Uzazi kwa Mwanaume
✅Diet ni Muhimu katika kuhakikisha Afya ya Uzazi ya mwanaume inakua vizuri
✅Mazoezi ni muhimu yatakusaidia kupata Stamina
✅Matibabu kwa kutumia dietary supplements zisizo na madhara kwenye Mwili
📞0684 089 771
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Madale
Dar Es Salaam