Charles Afya

Charles Afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Charles Afya, Health/Beauty, seminali, Dar es Salaam.

25/12/2023

🤣🤣🤣

25/10/2023

*_GYMEFFECT CAPS:_* _ Helps in reducing sugar intake, lowers blood sugar, protects blood circulation and improves heart diseases. *_Contact +255 763 554 221 for more information_*

25/10/2023

UNAWEZAJE KUMALIZA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO NA TUMBO KUJAA GESI KWA KUTUMIA NJIA TATU??

Vidonda vya tumbo ni michubuko au makovu yanayotokea ndani katika kuta za tumbo au katika kuta za utumbo mdogo. Vidonda hivi husababishwa na bacteria anayeitwa Helicobactor pylori (H-pylori) ambaye huharibu utando unaokinga kuta za utumbo kutokuharibiwa na tindikali. Hivyo husababisha ukuta wa utumbo kuharibiwa na tindikali na kupeleka vidonda katika kuta hizo za tumbo.
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Kuna aina zipatazo mbili za vidonda vya tumbo:
🥒 Vidonda vya tumbo kubwa: Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa.
🥒 Vidonda vya tumbo ndogo: Hivi ni vidonda vya tumbo ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)
SABABU ZINAZOPELEKEA VIDONDA VYA TUMBO
zipo sababu nyingi lakini zilizo kuu ni hizi mbili:
🍒 Bacteria anayeitwa Helicobactor pylori (H-pylori)
🍒 Tumbo kuunguzwa na kemikali.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Kiungulia au maumivu makali k**a kuungua katikati ya kifua
2. Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
3. Kupata maumivu makali ya tumbo yanayokuwa k**a moto mkali
4. Kutapika damu
5. Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana

MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO
1. Kupata saratani ya tumbo
2. Kuziba kwa njia ya chakula
3. Kuathiri ini na kongosho
4. Kusababisha tundu katika tumbo na kusababish tumbo kutoboka kwa ukuta wa tumbo

SULUHISHO
Zifuatazo ni njia tatu za kuondoa na kumaliza kabisa tatizo la vidonda vya tumbo ndani ya siku 90 kwa kutumia tibalishe pekee:
1. Kuondoa makali ya 34side tumboni
2. Kuongeza ulinzi kwenye tumbo na kuondoa bacteria wabaya.
3. Kuongeza kinga ya mwili na kuponyesha vidonda haraka.

Kwa maelezo zaidi juu ya njia hizi tafadhali wasiliana nasi kwa
Call 0788 688 010 / +255 763 554 221 Whatsapp

KUMBUKA
Hizi ni njia za uhakika za kumaliza tatizo la vidonda vya tumbo kwa miezi mitatu tu. Tunazo shuhuda hai kwa waliotumia njia hizi na hatimaye kuondokana na tatizo hili. Amua leo na ahirisha kifo chako mapema kwani vidonda vya tumbo vimegharimu uhai wa wapendwa na ndugu zetu wengi sana.

19/10/2023

Karibuni sana.

17/10/2023

Follow back 🔙 My Instagram account.
Charles Seven Force

Photos from Charles Afya's post 11/08/2023

KARIBU UJIPATIE MASHATI MAPYA ORIGINAL KWA BEI YA JUNLA KUANZIA PISI MOJA KWA Shs. 15,000/= tuu

MZIGO UNAKARIBIA KUISHA WAHI MAPEMA.
☎️Airtel ➡️ +255 788 688 010
☎️Tigo ➡️ +255 656 688 010
Whatsapp No +255 763 554 221 call Whatsapp/sms

Location📍Dar Es Salaam.

WATEJA WETU WA MIKOANI KARIBUNI PIA MTUPATIE ODA

ZENU. TUNATUMA MZIGO MKOANI KWA UAMINIFU KABISA.
HAPA KAZI TUU 💪

Karibu sana.

Photos from Charles Afya's post 06/08/2023

Call 0788 688 010

06/08/2023

By Charles Seven Force

28/04/2023

Following this Account . Tumpe saport ili afanikishe jambo lake na nyie wadau tunawaomba sana

03/03/2023

?



Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.

Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.

UKUAJI WA TEZI DUME.

Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.
Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.
Takwimu kutoka kwenye shirika la CHRP (Centre for Human Right Promotion), zinaonesha kwamba kiujumla kila mwanaume katika maisha yake ana 16% za kugundulika na saratani ya Tezi Dume, mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; Na 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume.
Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13.

VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jamii kuhusu afya bora na Virutubisho.

tezi dume:
- Ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa Virutubisho muhimu mwilini
- Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi
- Kutokufanya mazoezi
- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara
- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)
- Msongo wa mawazo (Stress )
- Magonjwa ya zinaa
- Umri mkubwa
- Upasuaji wa korodani,matatizo ya kimaumbile ya Korodani
- Historia ya Familia (Kurithi)
- Mazingira (Ethnicity)n.k

DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME

Tatizo la Tezi Dume si tatizo la kutokea tuu siku moja na mara moja tuu na ndo maana tunasisitiza sana matumizi ya Suppliments (Virutubisho) kwa mwanaume yeyote anaejari Afya yake. Mpaka mtu apate saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer), atambue alianza kupata tatizo hilo kwa muda mrefu sana, Wengi wao hueleza dalili za tatizo hili huanza kuziona si chini ya miaka 3.
Hii hutokana na mrundikano wa mkojo unaobaki kwenye kibofu na kwenye mrija wa mkojo (Urethra) wakati unakojoa, ukiendelea kujirundika kwenye kibofu na mrija; baada ya muda unazalisha “Uric Acid” na ndio inatengeneza saratani (cancer).

.
Ya kwanza na ya pili ukiwahi unaweza kupona; lakini ikishafika stage ya 3 na 4, hazitibiki. Unasaidiwa kupunguza makali kwa mionzi ukijitayarisha kupoteza maisha muda wowote.

Hivyo ukiona dalili mojawapo kati ya hizi chukua tahadhari na hatua mapema kabla hujaharibu mfumo wako
mzima wa uzazi wa mwanaume.

a)

- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

b)

- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo , pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa
(kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kujaa gesi mara kwa mara

:
Yafuatayo ni madhara ya tezi iliyotanuka:
- Kibofu cha mkojo kuuma : hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini n.k.
- Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
- Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
- Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
- Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume
- Kifo

SULUHISHO KWA TEZI ILIYOTANUKA

) wengi pindi wanapopatwa na madhara ya Tezi dume ni Dawa na kujikuta wakipewa tiba ambazo huficha tatizo hilo kwa muda mfupi kisha tatizo hujirudia kwa kasi kubwa.
au mitishamba, lakini madawa au upasuaji hupunguza maumivu ya dalili na kuzifanya zisizidi sana.

JE NINI WAWEZA KUFANYA KUJIKINGA NA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA TEZI DUME??.

:
Miili yetu huhitaji virutubisho muhimu ili kuimarisha Kinga na Kuulisha mwili wetu.

Vitu gani vya kuzingatia kuilinda tezi dume?

1. Kula mboga mboga na matunda kwa wingi kulingana na kundi lako la damu yako.
2. Punguza au acha kuvuta sigara
3. Punguza au acha utumiaji wa pombe kali.
4. Punguza kukaa kwa mda mrefu sehemu moja kwa siku.
Fanya mazoezi kwa wingi.(Sitting is a new smoking)
5. Kutovaa nguo za kubana
6. Vaa chupi za cotton na sio material yeyote.
7. Kuhakikisha Uume uwe una erect mara kwa mara

. Utumiaji wa virutubisho (Supplements) hasa vinavyohusika na Tezi dume, Uzazi kwa mwanaume(Nguvu za kiume) pamoja na ogani zote za uzazi.

Tezi Dume inatanuka kwasababu ya upungufu wa madini na virutubisho mwili unavyohitaji.
Kwa watu wenye uhitaji wa kujikinga na pia wenye changamoto hii ya kutanuka kwa Tezi Dume, na mfumo wa uzazi mwanaume ,na
Kampuni tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu . Supplements hizi ni vyakula, siyo madawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika miili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza mfumo bora wa mwili na uzazi wenye afya bora na nadhifu.

Supplements hizi (Virutubisho) vina mchanganyiko wa Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals .
Pia Program zetu za lishe zimethibitishwa na mashirika ya kuthibiti ubora wa viwango vya bidhaa duniani. Na kwa hapa Tanzania, zimethibitshwa na mamlaka ya chakula na madawa (TFDA).

Wasiliana nasi:

+255 788 688 010 Call me ☎️☎️☎️
Or send Sms on Whatsapp

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Seminali
Dar Es Salaam