didah_onlineshop
Page hii inajihusisha na uuzaji wa vipodozi tofauti tofauti vinavyoendana na ngozi yako karibuni
19/01/2026
DOVE BODY LOTION & SOAP
✍️Hii ni treatment pack ambayo husaidia kulinda na kutunza ngozi,utang’aa kulingana na rangi ya ngozi yako yaani haibadili rangi hung’arisha rangi yako na kupata natural glowing skin😊
Lotion 15,000
Sabuni 5,000
📍Sinza Kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413
19/01/2026
SMOOTH ARABIAN YELLOW TONE OIL IS A BEST OIL
✅Hakikisha unapata Original kutoka kwetu
✍️Kama wewe ni mvivu kutumia mafuta tumia hii oil ni nzuri sana inang’arisha sanaa, Inakupa unjano wa ajabu kwenye ngozi,Inakupa rangi moja, Inaondoa darkspots,weusi katikati ya mapaja hii inamaliza inakupa unyevu unyevu muda wote
Tsh 40,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/whatsap:0752518413
19/01/2026
HOLLYWOOD BEAUTY COCOA BUTTER
✍️Nataka utofautishe haswa hii na nyingine uliyowahi kukutana nayo
Hii ya USA ni inasaidia ngozi haswaa, na hata usipotumia body oil there is no difference! As long as ushateseka na Stretch marks, Scars, ngozi kavu na isiyofanana njoo uchukue hii hutojutia
✅Hii Moisturizer ina utofouti wake haswa,Pamoja na kuondoa Stretch marks (michirizi) kuondoa ukavu wa ngozi na discoloration inaondoa MAKOVU🙌unaweza kuiweka na kaserum unapata rangi moja Amazing👌😍
Tsh 40,000
📍Sinza Kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413
Hobby shower gel ni shower gel nzuri sana zenye povu,zinanukia na zinatoa taka zote mwilini zipo katika flavor tofauti tofauti.
Tsh 18,000 each
📍Sinza Kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413
15/01/2026
What are you Manifesting for 2026?💗
Hii ndio tunaita chakula cha ngozi jamani k**a hutaki kutakata yani kuwa mweupe hii haikuhusu
✅Inang’arisha kizungu rangi moja mwili mzima bila sugu👌kopo la mls250 kwa tsh 45,000 tu
📍Sinza kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413
12/11/2025
VASELINE CERA GLOW
✍️Ngozi yenye afya iliyong’ara huanza hapa.Tunakuletea Vaseline Cera Glow —Suluhisho la kila siku kwa ngozi laini, yenye unyevuunyevu na harufu nzuri.
Inafaa kwa
👩🦰Wanawake vijana wanaojijali
🧑🦰Akina mama wanaohitaji muda wa kujitunza
👱♂️Wanaume wanaothamini muonekano na afya ya ngozi
💥Hulainisha ngozi - Husaidia kuifanya ngozi yako kuwa laini na nyororo
💥Huomgeza mng’ao wa asili - Hutoa muonekano wa ngozi yenye afya na kung’ara
💥Hulinda unyevu - Inafunga unyevu ndani ya ngozi na juzuia ukavu
💥Ina Ceramides ambayo inasaidia sana ngozi kuwa na unyevu wa kutosha na kulinda ngozi mbali na madhara
💥Hulinda dhidi ya mazingira - Hupunguza madhara ya upepo, jua na vumbi
💥Hupunguza ukavu wa ngozi kupasuka - Inafanya mgozi ibaki na unyevu muda mrefu
💥Inafaa kwa aina zote za ngozi
200mls
Tsh 55,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413
12/11/2025
Marina lotion
Face & Body
✍️Shida sio kuwa mweupe je weupe wako unavutia😀….Basi hii ndio kiboko yenu mnaopenda rangi nzuri k**a mnavyojua body oil yake imefamya vizuri sana sas tumewaletea lotion yake ni nzuri sana na ina matokeo mazuri👌
Lotion 55,000
Oil 35,000
Sabuni 18,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413
12/11/2025
MIRACLE GLOW SUNSCREEN
💥Tinted Sunscreen
-Ina rangi laini inayosawazisha skin tone
-Inaficha mabaka madogo & muwasho wa ngozi kwa natural finish
-Perfect kwa siku ambazo hutaki foundation — Skin but better 😍
-Haikolei, haitoki weupe, smooth & glow
✍️Normal Sunscreen (Untinted)
-Ina SPF 50 kulinda ngozi dhidi ya jua
-Nyepesi, haina mafuta inafaa oily & combination skin
-Husaidia kupunguza dark spots & hyperpigmentation
-Glowing bila rangi —clean & fresh look😊
Tsh 35,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413
06/10/2025
One of the prettiest scrubs
Tsh 70,000
📍Sinza Kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Sakura Street
Dar Es Salaam