didah_onlineshop

didah_onlineshop

Share

Page hii inajihusisha na uuzaji wa vipodozi tofauti tofauti vinavyoendana na ngozi yako karibuni

19/01/2026

DOVE BODY LOTION & SOAP

✍️Hii ni treatment pack ambayo husaidia kulinda na kutunza ngozi,utang’aa kulingana na rangi ya ngozi yako yaani haibadili rangi hung’arisha rangi yako na kupata natural glowing skin😊

Lotion 15,000
Sabuni 5,000
📍Sinza Kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413

19/01/2026

SMOOTH ARABIAN YELLOW TONE OIL IS A BEST OIL

✅Hakikisha unapata Original kutoka kwetu

✍️Kama wewe ni mvivu kutumia mafuta tumia hii oil ni nzuri sana inang’arisha sanaa, Inakupa unjano wa ajabu kwenye ngozi,Inakupa rangi moja, Inaondoa darkspots,weusi katikati ya mapaja hii inamaliza inakupa unyevu unyevu muda wote

Tsh 40,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/whatsap:0752518413

19/01/2026

HOLLYWOOD BEAUTY COCOA BUTTER
✍️Nataka utofautishe haswa hii na nyingine uliyowahi kukutana nayo
Hii ya USA ni inasaidia ngozi haswaa, na hata usipotumia body oil there is no difference! As long as ushateseka na Stretch marks, Scars, ngozi kavu na isiyofanana njoo uchukue hii hutojutia
✅Hii Moisturizer ina utofouti wake haswa,Pamoja na kuondoa Stretch marks (michirizi) kuondoa ukavu wa ngozi na discoloration inaondoa MAKOVU🙌unaweza kuiweka na kaserum unapata rangi moja Amazing👌😍

Tsh 40,000
📍Sinza Kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413

15/01/2026

Hobby shower gel ni shower gel nzuri sana zenye povu,zinanukia na zinatoa taka zote mwilini zipo katika flavor tofauti tofauti.

Tsh 18,000 each
📍Sinza Kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413

15/01/2026

What are you Manifesting for 2026?💗

15/01/2026

Hii ndio tunaita chakula cha ngozi jamani k**a hutaki kutakata yani kuwa mweupe hii haikuhusu
✅Inang’arisha kizungu rangi moja mwili mzima bila sugu👌kopo la mls250 kwa tsh 45,000 tu

📍Sinza kumekucha
📞Call/whatsapp:0752518413

12/11/2025

VASELINE CERA GLOW

✍️Ngozi yenye afya iliyong’ara huanza hapa.Tunakuletea Vaseline Cera Glow —Suluhisho la kila siku kwa ngozi laini, yenye unyevuunyevu na harufu nzuri.

Inafaa kwa
👩‍🦰Wanawake vijana wanaojijali
🧑‍🦰Akina mama wanaohitaji muda wa kujitunza
👱‍♂️Wanaume wanaothamini muonekano na afya ya ngozi

💥Hulainisha ngozi - Husaidia kuifanya ngozi yako kuwa laini na nyororo
💥Huomgeza mng’ao wa asili - Hutoa muonekano wa ngozi yenye afya na kung’ara
💥Hulinda unyevu - Inafunga unyevu ndani ya ngozi na juzuia ukavu
💥Ina Ceramides ambayo inasaidia sana ngozi kuwa na unyevu wa kutosha na kulinda ngozi mbali na madhara
💥Hulinda dhidi ya mazingira - Hupunguza madhara ya upepo, jua na vumbi
💥Hupunguza ukavu wa ngozi kupasuka - Inafanya mgozi ibaki na unyevu muda mrefu
💥Inafaa kwa aina zote za ngozi

200mls
Tsh 55,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413

12/11/2025

Marina lotion

Face & Body

✍️Shida sio kuwa mweupe je weupe wako unavutia😀….Basi hii ndio kiboko yenu mnaopenda rangi nzuri k**a mnavyojua body oil yake imefamya vizuri sana sas tumewaletea lotion yake ni nzuri sana na ina matokeo mazuri👌

Lotion 55,000
Oil 35,000
Sabuni 18,000

📍Sinza kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413

12/11/2025

MIRACLE GLOW SUNSCREEN

💥Tinted Sunscreen
-Ina rangi laini inayosawazisha skin tone
-Inaficha mabaka madogo & muwasho wa ngozi kwa natural finish
-Perfect kwa siku ambazo hutaki foundation — Skin but better 😍
-Haikolei, haitoki weupe, smooth & glow

✍️Normal Sunscreen (Untinted)
-Ina SPF 50 kulinda ngozi dhidi ya jua
-Nyepesi, haina mafuta inafaa oily & combination skin
-Husaidia kupunguza dark spots & hyperpigmentation
-Glowing bila rangi —clean & fresh look😊

Tsh 35,000
📍Sinza kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413

Photos from didah_onlineshop 's post 06/10/2025

One of the prettiest scrubs

Tsh 70,000
📍Sinza Kumekucha
📞Call/Whatsapp:0752518413

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Sakura Street
Dar Es Salaam