Afya yako

Afya yako

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya yako, Health/Beauty, Mikocheni, Dar es Salaam.

05/06/2023

Jamani nawakumbusha tu kwamba “Mwanamke anapofika or**sm (Kilele cha Mlima wa Mapenzi) huwa mwili unachangamka, upendo unaongezeka, Mawazo yanapungua, huwa anatamani tukio lirudiwe na mtu yuleyule”
Mwanamke huwa ana tabia ya kuhisi k**a huyu “Ameweza basi mwingine hawezi kuweza ndio maana anajikuta anapenda kurudia na huyo huyo aliyemfikisha”
Sasa Kweli Mwanamke gani ambaye atafika kwa mechi ya dakika 2-5? Haya ndio mambo makuu yanayo dharirisha mwanaume Kitandani wakati anataka Kuweka Heshima kwa Mke:-
1. Magonjwa Yanayo uchosha mwili wako. Kiwili wili kinapokuwa kinaumwa hata k**a una homoni nyingi kiasi gani huwezi kumnyanyua babu. Hata akinyanyuka hudumu hata kwa dakika nyingi.
Yanayo chosha mwili ni pamoja na Infections (Maambukizi ya Mkojo,Zinaa, Damu choo nk). Pia magonjwa k**a malaria Kisukari shinikizo la damu, magonjwa ya tezi ya thyroid, Uzito mkubwa nk

Jichunguze K**a huna hayo basi Twende kwenye sababu zingine zinazokufanya unashindwa kumaliza sahani ya Biriani kila siku usiku.

2. Magonjwa yanayo athiri Msukumo wa damu. Dawa nyingi zinazo ongeza msukumo wa damu huhamasisha babu kusimama k**a chuma. Ila sasa hazitibu mzizi na Ukijenga mazoea nazo Hutamnyanyua babu milele.
Kwa hio sasa tukiangazia kwenye mambo yanayo athiri na kuchakaza mishipa ya damu k**a Kisukari, Mwili kuwa kwenye msongo wa sumu wa vyakula vya kukaanga vinakufanya mwili hauchangamki vizuri pale unapopata na hisia. Inabaki Goigoi sasa Hapo kweli kinyonge kinyonge mama anayependa mechi za ugenini utaweza? Acha vyakula vya Kukaanga rafiki.
3. Mambo yanayo Upokonya mwili Virutubisho ambazo ni booster za Kuwa na nguvu k**a simba.
Tazama kijana anakula sahani ya wali na energy drink, sahani ya tambi na soda, sahani ya ugali na juisi. Hapo kweli kwa miaka mitano lishe ya hivyo lazima Mechi iishe ndani ya dakika 3-5.

4. Maradhi yanayo athiri Homoni za uzazi. Asilimia kubwa ya vijana hawana hili tatizo labda wazee. Ila wengi hujificha hapa na Kusingizia punyeto imemaliza kitu ambacho sio kweli.

Hakikisha unaacha visababu anza special package yako ya Mega Bedroom Pack inayodeal na kurekebisha kiini cha tatizo katika mfumo wako mzima wa uzazi kuanzia kwenye Damu,Kuweka sawa hormones zako,Kuondoa Sumu mwilini, kujenga mishipa ya uume iliyokwisha haribika pamoja na kuongeza ubora na wingi wa mbegu zako nipigie au nitumie ujumbe WhatsApp tuanze matibabu mapema🙏🙏

Kwa ushauri na Matibabu zaidi Wasiliana nami Sasaivi nikushauri ikiwezekana nikupatie Tiba sahihi ya Tatizo lako.

Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱

28/03/2023

Hata k**a huumwi ni muhimu kila baada ya muda kuwa na ratiba ya kutumia detox kwa ajili ya kutoa sumu mwilini ikiwemo kuondoa mabaki kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula

Kumbuka madini,maji na virutubisho vyote muhimu hufyonzwa kutoka kwenye utumbo kurudi mwilini

Endapo kuna mgando wa mabaki zoezi hili huwa ni gumu na kusababisha mwili kukosa baadhi ya vitu muhimu mwilini

Je unajua asilimia kubwa ya watu tunatembea na uchafu(kinyesi)tumboni??
Unaweza ukashangaa inakuwaje lakini magonjwa mengi huanza endapo mwili unakusanya uchafu na kushindwa kutoa
Kuta za utumbo mkubwa wa chakula huwa na uchafu mwingi ambao unanaswa na mwili wenyewe hushindwa kuutoa
Hii husababisha kuzaliana kwa bacteria wengi wabaya kwenye mfumo wa mmeng’enyo wa chakula hivyo mwili kuingia kwenye mashambulizi ya bacteria
Hapo sasa dalili k**a tumbo kujaa gesi,tumbo kuongezeka ukubwa,kichwa kuuma,kuchoka sana,kukosa usingizi,kiuno kuuma etc huanza kujitokeza taratibu
Fanya utaratibu wa kutumia detoxification program hata kwa mwezi mmoja utaona tofauti kubwa mwilini 🙏🏻🙏🏻

KINGA NI BORA KULIKO TIBA JITAHIDI SANA KUEPUKA VITU VINAVYO CHAKAZA MWILI WAKO KIDOGO KIDOGO.
Kwa ushauri kuhusu afya please nipigie tuongee afya nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱

29/11/2021

Hizi Ndio Changamoto Zinazowaumiza Wanaume Wengi Duniani Wakati Wa Tendo La Ndoa..

1. Ni ile ya Kuwahi Kufika Kileleni... ni changamoto namba 1 inayo wanyima amani wanaume wengi duniani, na ni changamot9 inayowafanya wanaume wengi kudharaulika au kudaiwa takala kwenye Ndoa zao..

SWALI... Je wewe una changamoto hii? K**a jibu Ndio. Umekuwa nayo kwa mda gani sasa? Na inakukera kwa kiasi gani hasa.. Na Je unatamani kuitatua leo ?

Ndugu yangu Ikiwa umekuwa na changamoto hii kwa mda mrefu (MIEZI 2, 6 AU MWAKA) maana yake ni kwamba kwa kipindi chote hicho Hujamfikisha mwenza wako kileleni.. na je unajua nini kitatokea ikiwa utaendelea kuwa hivyo bila kutatua Changamoto yako hiii?

2. Kushindwa Kurudia Au Kuchukuwa Mda Mrefu Sana... inauma na inakera hasa kwa mwanamke kuona mwenza wake anaishia bao moja na pengine hilo bao moja halijachukuw hata dakika 2. Kisha mwenza wake anashindwa kuendelea wakati yeye akiwa bado na mzuka na hamu.

Kiukwel inaboa na inabidi ikuume k**a unachangamoto hii maana yake ni kwamba huna uwezo wa kummudu mwanamke na ukamridhisha kindoa.

Tuzungumze kirafiki. Ni changamoto ipi inakuumiza zaidi kwenye hizo mbili.

Na vipi k**a leo ikitokea umepona na ukawa huwahi kufika kileleni haraka, bao la kwanza unaenda zaidi ya dakika 10. Mwenza wako anafika kileleni, Anakupenda, Na hapo hapo unaweza kurudia zaidi ya mara moja. Unajiamini zaidi huna hofu tena ya tendo la ndoa.. Hem nambie utajisikiaje hasa ??
K**a una moja kati ya changamoto hizi wasiliana na

Call me/whtsap
📲📞0717398068
0624813120
🌱

03/11/2021

Kuna Uhusiano Mkubwa Wa Upungufu wa nguvu za kiume na presha.

SWALI:...Kwa nini kuna uhusiano mkubwa? Kwanza Jua Presha ni ugonjwa unaotokana na mfumo wa Mzunguko wa damu. Hivyo k**a Presha ya damu ni ndogo husababisha damu kutokutiririka vizuri ndani ya uume.
Uume unatakiwa upokee damu ya kutosha tena yenye kuja kwa nguvu au kasi ili uweze kusimama vizuri na kwa uimara.
Ugonjwa wa Presha hudhuru kutanuzi na upitishaji wa damu kwenye mishipa ya damu na hivyo kusababisha mishipa hiyo kukak**aa(kuziba) na njia yake ya kupitisha damu kuwa nyembamba zaidi.
Presha pia husababisha mishipa ya ateri kushindwa kufunguka vizuri na hata kupelekea kupasuka kwasababu ya hewa kutokuingia ya kutosha.

Una changamoto ya kuwahi kufika kileleni na unashindwa kurudia tendo. Wasiliana na . tuweze kukushauri na kukusaidia namna ya kumalza changamoto hizi mara moja.

Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱

28/10/2021

Katika kuzingatia Chakula (Ulaji Sahihi).

ZINGATIA HAYA MAMBO MANNE..
1. WINGI WA CHAKULA... Chakula cha aina gani kimejaa ndani ya sahani yako. Ni mboga mboga, Protein au Wanga.? Unatakiwa kujiuliza hilo.
2. UMEBALANCE VIPI CHAKULA CHAKO.... Sahani yako lazima iwe na Portion 3 au 4 Zenye kueleweka.
3. AINA YA KAZI UNAYOFANYA.... Kuna aina ya kazi unatakiwa kuepuka kula vyakula vya Wanga kwa Wingi. Na Kuna aina ya kazi Tunashauri ule Wanga kiasi kikubwa..
Mfano.. K**a unafanya kazi za Kukaa kitako kwa zaidi ya masaa 3. EPUKA KULA VYAKULA VYA WANGA KUPITA KIASI. na K**a Kazi zako ni za kuushuhulisha mwili k**a Unabeba mizigo au unafanya kazi ngumu za kutumia nguvu.. KULA KIASI KIKUBWA CHA WANGA.
4. SAHANI YAKO ISIWE NA CHAKULA CHA AINA MOJA..... Epuka sana kula chakula cha aina moja..

K**a Unachangamoto ya KUWAHI KUFIKA KILELENI NA UNASHINDWA KURUDIA TENDO. Tumekuandalia Program Ya Bedroom Park na Mega Bedroom Park pamoja na mfumo mzuri wa Chakula Na Mazoezi Itakayokusaidia Kuondokana Na Changamoto hizi mara moja.

Call me/whtspa
☎️📞0717398068
0624813120
🧠

25/10/2021

Utafiti ulofanywa na chuo kikuu Cha Harvard University marekani ,unaonyesha kuwa watu wanao kula samaki atlist Mara mbili kwa week wanakuwa na akili Sana kwa mantic ya kwamba hata maamuzi yao na ufikiri wako uko smart Sana I mean thinking capacity yao Iko active muda wote

Kwa utafiti wangu mimi naweza sema Ni Fact natural Ni ukweli wa asili hao watu wanaokula samaki Mara kwa Mara wako na maamuzi sahihi hata Wewe mpenzi msomaji wa hi post nafikiri utakubaliana na mimi Katika hili eb angalia watu wanaotoka Kanda ya ziwa hao watu wanakuwaga na akili Sana

Sikia Sasa nakujuza afya ya ubongo inahitaji mafuta ya samaki 🎣 ndo maana Hawa watu wanakuwa na akili Kwasababu several times wanapata samaki Tena walio fresh sio K**a hao unaokula Wewe wameshakaangwa na mama ntilie zaidi ya Mara mbili na K**a tunavyojua ukiunguza mafuta zaidi ya Mara mbili ishakuwa sumu tayari

Sasa unafikiri muuza samaki 🎣 atakubali kukaanga samaki kwenye mafuta Mara moja tu bila kurudia rudia🙄

Kwa Ushauri na suluhuhisho la matatizo mbalimbali usiache kunipigia simu tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako lako

Call me/whtspa
☎️📞0717398068
0624813120
🧠

18/10/2021

Ukweli ni Kwamba K**a unafika kileleni ndani ya dakika 3. Wakati mwenza wako anafika kileleni zaidi ya muda huo, jua wazi unahitaji MSAADA maana huwezi kumfikisha mwenza wako kileleni. Wakati wewe unawahi kufika yeye bado.
Kwa ushauri na suluhisho nipigie simu tuongee nikushauri vizur zaidi ndugu ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱

15/10/2021

MTOTO WA JICHO (CATALACT)
Mtoto Wa Jicho (Cataract) Ni Nini?
K**a una miaka zaidi ya 50 na unaona ukungu unapovitazama vitu mbele yako, unaweza kuwa na tatizo la mtoto wa jicho (cataract). Ni tatizo linalowasumbua watu wengi wenye umri mkubwa.
Cataract ni kufunikwa kwa lensi ya jicho na tabaka la protini lililojijenga kuizunguka lensi. Mtu mwenye mtoto wa jicho huviona vizuri cataract kwa kawaida hujijenga taratibu na haisumbui katika kuona kwenye hatua zake za mwanzo. Lakini, taratibu mtoto wa jicho ataanza kuvuruga uonaji wako.
Mwanzoni, mwanga mkali au kuvaa miwani ya jua kutaweza kukusaidia. Ikifika hatua ya kushindwa kufanya kazi zako vizuri, unaweza kuhitaji upasuaji. Kwa bahati nzuri, upasuaji wa mtoto wa jicho au ukatumia dawa za kuyeyusha za Special Suppliments na zikamsaidia mgonjwa kurudia kwenye hali yake ya awali.

DALILI ZA MTOTO WA JICHO

Dalili za mtoto wa jicho zaweza kuwa:
✓. Kuona ukungu au mwanga kupungua
✓. Kupata matatizo zaidi ya kuona usiku
✓. Kutopenda mwanga mkali
✓. Kuhitaji mwanga zaidi wakati wa kusoma na kufanya shughuli nyingine
✓. Kuona mwanga wa mviringo kuzunguka vyanzo vya mwanga (halos)
✓. Kuhitaji kubadili miwani mara kwa mara
✓. Kupungua kukolea kwa rangi
✓. Kuona vitu mara mbili kwenye jicho moja

Chanzo Cha Mtoto Wa Jicho

Cataracts nyingi hutokea kwenye umri mkubwa au kutokana na kuumia kunakobadili tishu zinazojenga lensi ya jicho lako. Cataracts zinaweza pia kutokea kwa sababu ya upasuaji wa jicho au matatizo ya kiafya k**a kisukari. Matumizi ya muda mrefu ya homoni za kutengenezwa (steroids), pia, huweza kuleta cataracts.

Jinsi Mtoto Wa Jicho Anavyotokea

Lensi, eneo ambapo cataract hujenga, ipo nyuma ya sehemu ya jicho yenye rangi (iris). Lensi hukusanya mwanga unaoingia jichoni na kutengeneza picha angavu juu ya sehemu moja iitwayo retina – ngozi nyembamba yenye usikivu wa mwanga inayofanya kazi k**a filamu kwenye kamera.

Umri unapokuwa mkubwa, mnyumbuliko wa lensi hupungua, uangavu wake hupungua na huwa nene. Mabadiliko yanayotokana na umri na madhara mengine ya kiafya husababisha tishu ndani ya lensi kuvunjika na kunatana, na kufunika maeneo machache ya lensi.

Kwa ushauri na suluhisho nipige simu tuongee nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako bila kufanyiwa operation 🙏

Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱

15/10/2021

Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume.

1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katikati ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Tuwasiliane K**a una dalili tajwa hapo juu. Nitakusaidia Nitakupatia Matibabu Utapona Kabisa Hali Yako Itakuwa Nzuri K**a Mwanzoni.

Kwa ushauri na suluhisho nipige simu tuongee nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱

12/10/2021

Makosa 4 Unayofanya Katika Kutatua Tatizo La Nguvu Za Kiume Ndio Maana Unamaliza Dawa Kisha Matokeo 0.

Kosa 1. Unakimbilia kutumia dawa bila kujua sababu ya changamoto yako ni nini? Kumbuka nguvu za kiume hazipungui kwa bahati mbaya lazima kuna sababu moja au mbili zimepelekea. Hivyo lazima ujue sababu kwanza..

Kosa 2. Hautatui Chanzo/mzizi wa changamoto yako. Ni ngumu sana kupata matokeo makubwa k**a hujaanzia kwenye kutatua chanzo au sababu ya changamoto yako... Hakikisha unawekeza nguvu zako zote kwenye kuondoa mzizi wa tatizo kwanza kabla ya tatizo lenyewe

Kosa 3. Hubadilisha mfumo wa maisha yako katika ulaji, Yani Unakula vyakula vile vile, tariba yako ni ile ile ya ulaji. Pia huna mda wa kufanya mazoezi. Huna mda wa kutosha wakupumzika, na Kutuliza Akili na mwili. Kumaliza tatizo basi lazima ubadilishe na mtindo wa maisha yako.

Kosa 4. Unatumia Bidhaa zisizo na uwezo wa kutatua changamoto yako. Yani wewe kila bidhaa unayoiona kisa inauzwa bei rahisi unatumia. Ukitaka kupata matokeo Chanya basi Ekeza kwenye bidhaa au tiba yenye uhakika wa kumaliza changamoto yako sio unajaribu k**a itasaidia au laa.

K**a unachangamoto ya Kuwahi kufika kileleni, Kushindwa Kurudia Zaidi ya mara moja au Askari anasimama legelege. N.k

Tumekuandalia Program itakayokusaidia Kuondokana na changamoto hizo kwa 100%..

Kwa ushauri na suluhisho nipige simu tuongee nikushauri vizur zaidi ndugu ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱

12/10/2021

VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.

👇
Pelvic floor muscle.
Ni msuli ambao umeshikilia Uume,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu.

Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli
👉🏾 huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja,👇🏻
Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

Mbili,👇🏻
Kuvimbiwa tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

Tatu,👇🏻
Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

Nne,👇🏻
Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

Tano,👇🏻
Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Mengine k**a kisukari,presha,stress n.k

Zaidi tibu magonjwa yanayokusumbua k**a yaliyotajwa hapo juu.

Kwa ushauri na suluhisho nipige simu tuongee nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako.👇👇

Call me/whtsap
☎📞📲0717398068
0624813120
🌱

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Address


Mikocheni
Dar Es Salaam