Dr Issa na Afya
Health and Beauty
Kwanini Unapata damu ya Hedhi ya MABONGE MABONGE...?? By Dr Issa The Scientist Mbobezi wa Changamoto za Uzazi What's App +255678233736
11/09/2022
Kwa changamoto zote za Uzazi wasiliana na Dr Issa kwa namba +255678233736
SULUHISHO LA KIDUMU LA KISUKARI... KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NA DR ISSA KWA NAMBA +255678233736
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
~ Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
~ Wanawake kuwashwa ukeni.
~ Kutoona vizuri.
~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.
~ Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.
~ Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.
~ Majipu mwilini.
Wenye dalili hizi wanashauriwa kupima sukari ili kubaini k**a wana kisukari.
UFAHAMU UGONJWA WA PRESSURE YA KUPANDA NA MATIBABU YAKE (HYPERTENSION) KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NA DR ISSA KUTOKA MUHIMBILI KWA NAMBA +255678233736
Hypertension ni nini? Huu ni ugonjwa ambao hugunduliwa pale presha ya damu inapokua juu sana kupita kiwango chake cha kawaida.
Kawaida damu inasukumwa na moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili lakini nguvu inayotumika kusukuma damu hiyo kutoka moyoni kwenda sehemu zote za mwili. Hivyo binadamu yeyote lazima awe na presha ya damu lakini katika kiwango kinachohitajika ambacho ni 120\80mmhg mpaka 140\90mmhg zaidi ya hapo tunaita hypertension..
WALIOKO KWENYE HATARI YA KUPATA PRESHA..
=umri mkubwa: wanaume wenye umri wa miaka 45 na kuendelea na wanawake miaka 65
=Familia; Koo zenye wagonjwa wengi kwa presha
=Unene:
=Kutofanya mazoezi
=Kuvuta sigara: kemikali ya nikotini huharbu mishipa ya damu na kuongeza hatari ya kuugua ugonjwa wa presha.
=Kula chumvi nyingi
=Kunywa pombe sana
=Mawazo mengi; mawazo mengi humwaga homoni inaitwa adrenaline kwenye damu ambayo huongeza presha ya damu
=Magonjwa k**a kisukari na magonjwa ya figo huongeza hatari ya kuugua presha ya damu.
DALILI ZA PRESSURE NI ZIPI...???
Dalili za presha mara nyingi hua hazipatikani kirahisi na ugonjwa huu hauna dalili maalumu na wakati mwingine huja kulingana na chanzo chanzo cha pressure k**a ifuatavyo.
=Kichwa kuuma
=Kutokwa damu puani.
=Kupumua kwa shida.
=Kuishiwa nguvu
=Moyo kukimbia sana
=Kutokwa jasho kwa wingi
Wahi sasa kupata Suluhisho kamili la shida Yako kwa ushauri na tiba wasiliana na Dr Issa kutoka muhimbili kwa namba +255678233736
SULUHISHO LA MIFUPA KUSAGIKA, GANZI NA MAUMIVU YA VIUNGO.. KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NA DR ISSA KWA NAMBA +255678233736
Mifupa kusagana na maumivu ya viungo
Dalili za mifupa kusagana
>kushindwa kuchuchumaa
>kushindwa kuinama
>maumivu ya joint zote za miguu
>maumivu ya nyonga
>kushindwa tembea umbali mlefu
Chanzo cha mifupa kusagana
>umri kuanzia miaka 30
>uzito kupindukia
>kufanya mazoezi kupindukia
>mfumo wa lishe au chakula
Madhara ya mifupa kusagana
> Kupata vidonda
>kushindwa kutembea
>kuwekewa vyuma bandia
Kwa msaada piga namba 0678233736
UFAHAMU UGONJWA WA PRESSURE YA KUPANDA NA MATIBABU YAKE (HYPERTENSION) KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NA DR ISSA KWA NAMBA +255678233736
Hypertension ni nini? Huu ni ugonjwa ambao hugunduliwa pale presha ya damu inapokua juu sana kupita kiwango chake cha kawaida.
Kawaida damu inasukumwa na moyo kwenda sehemu mbalimbali za mwili lakini nguvu inayotumika kusukuma damu hiyo kutoka moyoni kwenda sehemu zote za mwili na ile ambayo inakuwepo kwenye mishipa ya damu wakati damu inapita ndio inaitwa presha ya damu. Hivyo binadamu yeyote lazima awe na presha ya damu lakini katika kiwango kinachohitajika ambacho ni 120\80mmhg mpaka 140\90mmhg zaidi ya hapo tunaita hypertension..
WALIOKO KWENYE HATARI YA KUPATA PRESHA..
umri mkubwa: wanaume wako katika hatari ya kupata presha kwenye umri wa miaka 45 na kuendelea na wanawake miaka 65 na kuendelea.
Rangi ya ngozi: presha ya damu inasumbua sana watu weusi na huweza kuanza katika umri mdogo zaidi na madhara makubwa k**a kupooza, moyo kusimama ghafla na kufa kwa figo hutokea kwa weusi kuliko weupe.
Familia; Koo zenye wagonjwa wengi kwa presha kwani ugonjwa huu hufuata koo wakati mwingine
Unene: kadri unavyozidi kunenepa ndivyo mwili moyo unataka nguvu nyingi kusukuma damu
mwilini hivyo kuongezeka kwa presha.
Kutofanya mazoezi
Kuvuta sigara: kemikali ya nikotini huharbu mishipa ya damu na kuongeza hatari ya kuugua ugonjwa wa presha.
Kula chumvi nyingi; sodium hubakiza maji mengi mwilini na kuongeza presha ya damu.
Kunywa pombe sana; kunywa zaidi ya bia mbili kwa wanaume na zaidi ya bia moja kwa wanawake ni hatari kwa moyo na hupandisha presha ya damu.
Mawazo mengi; mawazo mengi humwaga homoni inaitwa adrenaline kwenye damu ambayo huongeza presha ya damu hivyo maisha usiyachukulie serious sana matatizo ni sehemu ya maisha.
Magonjwa Fulani Fulani: magonjwa k**a kisukari na magonjwa ya figo huongeza hatari ya kuugua presha ya damu.
Kuna aina mbili za presha ya kupanda..
Primary hypertension: ambayo inakumba zaidi ya 95% ya watu na chanzo chake hakifahamiki.
Secondary hypertension: ambayo inakuwepo kwa 5% ya watu na chanzo chake kinafahamika na ambavyo ni magonjwa ya figo, magonjwa ya mishipa ya damu, magonjwa ya ubongo na mishipa ya fahamu na magonjwa ya mfumo wa homoni.
dalili zake ni zipi?
Dalili za presha mara nyingi hua hazipatikani kirahisi na ugonjwa huu hauna dalili maalumu na wakati mwingine huja kulingana na chanzo cha presha hiyo k**a nilivyoeleza kwenye secondary hypertension k**a ifuatavyo.
Kichwa kuuma
Kutokwa damu puani.
Kupumua kwa shida.
Kuishiwa nguvu
Moyo kukimbia sana
Kutokwa jasho kwa wingi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Muhimbili
Dar Es Salaam