Eva na Afya
Boresha Afya yako kwa Tiba iloyoboreshwa zaidi na ya Uhakika.
KINGA NA TIBA YA TEZI DUME BILA UPAUAJI.
Tezi dume nini ..ni tez inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..
Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku Mara Tatu au Zaidi.
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3. Ukikojoa mkojo hauluki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
4.Unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5.Unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.Baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado upo Kwenye Kibofu.
7. Unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani. Unajishangaa umelowana..
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI. Yaani unatatizo la uvimbe wa Tezi Dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume.
Sasa KUNA SULUHUSHO..
PROSTATRELAX ni dawa ya asili inayokinga na kutibu Tezi Dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda, cGMP, na Halali unaweza tumia kujitibu au kujikinga.
Tazama video hapo chini kwa maelezo na ushauri na kupata huduma piga Namba 0713 767258 au 0785 204467.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam