DAWA ZA UZAZI
πΏ Uzazi Asilia Clinic
π Huduma za uzazi wa asili
π©ββ€οΈβπ¨ Wanandoa
π Siri na heshima
π² Wasiliana nasi
255697040566
Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Mohamedy Katonga, Adiah Raymond
KUVIMBA KWA UKE(VAGINA SWOLLEN)+255762170283/call or WhatsApp up
Mara nyingi hali hii uambatana na maumivu na utokaji wa uchafu ukeni(majimaji).
Kuna hali au magonjwa mbalimbali yanaweza kusababiaha tatizo hili la kuvimba uke .
Baadhi ni yafuatayo:
1.FANGASI KUSHAMBULIA UKE
(VAGINAL YEAST INFECTION)
Ambako kuna ambatana na muwasho kunakopelekea kujikuna na kujisikia raha wakati wa kujikuna na hatimaye kuvimba kwa uke kuongezeka.
2.KUKARIBIA UCHUNGU
Kwa wajawazito wanaokaribia uchungu wa kujifungua baadhi yao uvimba uke
3.TRICHOMONIASIS
Ni miongoni mwa magonjwa ya ngono yanayosabisha pia kuvimba kwa uke
4.KUVIMBA KWA SHINGO YA KIZAZI
Hali ambayo inapelekea na uke kuvimba
5.CELLULITIS
Ni tatizo la ngozi linatokana na maambukizi ya bacteria Katika ngozi na hatimaye kuwa nyekundu ,na kuvimaba .
6.VAGINITIS
Kuwa na maambukizi Katika mashavu ya uke au ngozi ya uke kuna pelekea muwasho na kuwa nyekundu au ngozi ya uke kuwa ngumu
7.MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO(U.T.I)
Maumivu wakati wa kukojoa au kushindwa kukoja vizuri upelekea uke kuvimba
8.CHLAMYDIA
Ni Katika magonjwa ya ngono yΓ napeleka mauimvu wakati wa kukojoa na kuvimba kwa uke
9.SARATANI KATIKA
AU MFUKO WA UZAZI
10.CANDIDIASIS
Ni miongoni mwa aina za fangasi zinazoshambulia uke .
11.KUINGIZA VITU UKENI(FOREIGN BODY)
12.GONO
13.PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID).
14.MZIO (ALLERGY )
Hasa kwa wale wenye kupaka au kuweka baadhi ya vipodozi au vitu ukeni .
24/01/2024
KAZI NA FAIDA ZA KUTUMIA FEMICARE:
β huweka maeneo ya siri safi na salama.
β hutibu na kukinga maradhi ya maeneo ya sili.
β inaondoa maji maji machafu harufu na miwasho.
β Hutibu na kukinga dhidi ya maradhi ya njia ya mkojo UTI sugu.
β Hutengeneza sisima / lubricant asilia.
β huzuia kusinyaa kwa misuli ya uke.
β hurudisha uke katika ujana na kumfanya mume afurahie tendon la ndoa.
β Ni nzuri kwa matibabu ya PID
β inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywele hasa sehemu za siri.
β husaidia kusafisha na kuzibua mirija ya uzazi.
β kuua bacteria wanao sababisha STDs.
β huondoa kuwaka moto ukeni na inasaidia kutuliza joto kali pamoja na kuzuia bacteria,fungus na matatizo mengineyo.
Tumia Siku 7 hadi 10 kwa matibabu.
JICHO KUCHEZA AU KUTINGISHIKA.
Kwanza ni chukue nafasi hii kuwaomba radhi viongozi wa kundi pamoja na member kwa kukiuka nnje ya mada ambazo huwa na zitoa ,Nafanya hivi baada ya kupata maswali mengi kutoka kwa memba kuhusu jicho kuxheza.
Niaze kwa kusema jicho kucheza hii ni ishara maalum ambayo huipata baadhi ya watu, ishara hii ni itikadi ambazo hujengwa na watu na husababishwa na jini ili kukupa ujumbe au taarifa ambazo tayari umejiwekea jicho lako likicheza basi kuna jambo na kweli jambo hilo hutokea.
Hii siyo bishara kutoka kwa Allah tusije tukadangana maana hakuna ushahid wa hilo.
Watu hawa jicho kucheza wako wa aina mbili kuu.
1)Wanaofikiria.
2)Walio pangiwa.
WANAOFIKIRIA.
Watu hawa huwa wanafikiria jambo pindi jicho lao likicheza na fikira hizi huwa ni kweli Mfano jicho lako limecheza hapohapo ukaaza kufikiria kwa mujibu wa jicho hili lilivo cheza basi huku nnako kwenda nitapata pesa au Itatokea ajali na ikawa kweli hawa ni wafikiriaji na wanaendeshwa kijini.
WALIOPANGIWA.
Na hawa pindi macho yao yanapo cheza huwa kunamaana maalum.
UFAFANUZI.
1)Mtu mwenye kucheza jicho lake la kulia upande wa juu Anapewa bishara kuwa atapata furaha yy pekeake kwa siku ile au ya pili yake.
*Jicho hili hili litakapocheza mara 2 atapata faraja yy na mkewe.
*Jicho hili hili likicheza mara tatu faraja yy na watoto wake.
*Jicho hili hili likicheza mara 4 na kuendelea furaha yy na familia yake na marafiki.
2)Jicho la kulia upande wa chini ni furaha kwa wazazi wako au ndugu zako.
3)Jicho la kusoto upande wa juu ni hatari juu yako.
4)Upande wa chini ni hatari kwa walio kuzunguuka.
Nimeelezea kwa uchache ila hii ni imani ya mtu mwenyewe
Allah aalam
04/09/2023
Masundosundo au vigwaru au Ge***al warts ni vinyama laini vidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri. Vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo [urethra], v***a, shingo ya kizazi [cervix], au maeneo ya kuzunguka njia ya haja kubwa au ndani yake.
Huu ni ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya kujamiiana [sexually transmitted infection (STI)].
Visababishi
Ugonjwa wa masundosundo husababishwa na jamii ya virusi wanaoitwa Human papilloma virus (HPV). Kuna zaidi ya aina 70 tofauti za virusi wa HPV ingawa si wote wanaosababisha masundosundo kwenye maeneo ya siri [ge***al warts]. Baadhi ya aina nyingine za HPV husababisha masundosundo kwenye ngozi inayozunguka sehemu nyngine za mwili k**a vile kwenye mikono au miguu.
Tafiti kadhaa zimeonesha kuwa baadhi ya aina za virusi wa HPV pia husababisha saratani ya shingo ya kizazi [carcinoma of the cervix] kwa wanawake au saratani ya njia ya haja kubwa [a**l cancer] kwa jinsia zote mbili. Aina hii ya virusi hujulikana pia k**a high-risk HPV.
Pamoja na kwamba ugonjwa wa masundosundo kwenye maeneo ya siri umejitokeza kwa kasi kubwa hasa baada ya kuwepo kwa janga la UKIMWI, watu wengi waliopatwa na ugonjwa huu huwa hawaoneshi dalili zozote zile. Kwa mfano, kwa wanawake, virusi wa HPV wana uwezo wa kusambaa mpaka maeneo ya ndani kabisa ya kuta za uke au shingo ya kizazi [cervix] bila kuonekana wala kuhisiwa kwa urahisi.
K**a tulivyotangulia kueleza hapo awali, maambukizi ya HPV husambaa kutoka kwa mtu mmoja mpaka mwingine kwa njia ya kujamiiana kunakohusisha njia ya haja kubwa, uke au ngono ya mdomoni. Mara baada ya kuambukizwa, huweza kuchukua mpaka muda wa wiki sita hadi miezi 6 kwa masundosundo kuwa dhahiri, ingawa baadhi ya wagonjwa wanaweza kukaa hata miaka kadhaa bila kuwa na dalili yeyote ile. Aidha imeonekana pia kuwa si kila mtu anayejamiina na aliye na maambukizi ya HPV au mwenye masundosundo anaweza naye kupata ugonjwa huu.
Vihatarishi
Watu walio katika makundi haya wapo katika hatari TUMA UJUMBE
02/09/2023
MADARA YA MATUMIZI YA KISASA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO!.................................................................
A) MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA....πππ
(1) Usumbufu wa hedhi
(2)Kuumwa kichwa mara kwa mara
(3)Kizunguzungu
(4)kichefuchefu
(5)kuongezeka uzito usiokuwa na faida
(6)kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(7)kusababisha uvimbe kwenye kizazi
B ) MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA.......ππππ
(1)huharibu fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
(2)kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
(3)kuumwa kichwa mara kwa mara
(4)kuhisi kichefuchefu kila muda
(5)kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
(6)kubadilisha mzunguko wa damu
(7)kuliathiri ini kidogo kidogo
(8)kupata kisukari
(9)kupata ugonjwa wa moyo
(10)kupooza upande wa mwili
(11)kupunguza hamu ya tendo la ndoa
C) MADHARA YA KITANZI......ππππ
(1) Damu kutoka ovyo
(2) Kutoboka fuko la kizazi
(3) Kuongezeka kwa upana wa uke na kufungua lupa na kufunga kwa kizazi
(4) Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
(5) kuondoa hamu ya tendo la ndoa
(6) Maambukizi kwenye via vya uzazi yaani pelvic inflammatory disease PID
D)MADHARA YA KIJITI.......πππ
(1)husababisha kansa
(2)huchanganyikiwa (mvurugiko wa akili)
(3)shinikizo la damu
(4)maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
(5)kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
(6)maumivu ya mgongo na kiuno kila siku
(7)maumivu makali ya kichwa
(8)kutokwa na damu nyingi bila mpangilio
(9)mwili kuwa mzito au kiuno
πCHUKUA TAHADHARI EWE MWANAMKE UNAATHIRIKA BILA KUJITAMBUA
β Madawa haya yanasababisha ugumba kwa wale wote ambao tayari wameshaathirika na matumizi haya.
** NJOO In box. NIKUPE USHAURI WA BURE Itakuja kukusaidia sana pia utakuja kunishukuru.......
01/09/2023
ππππK**a unachangamoto ya majipu ukeni comment upate DAWA mficha maradhi humumbuwaπasante
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam