Tuonge Afya

Tuonge Afya

Share

Kinga ni bora kuliko tiba. Imarisha afya yako kila siku.

22/06/2023

Afya sio Lengo

Ni namna ya Maisha

21/06/2023

👍🏽

26/05/2023

Ukitaka kuwa na "Mood" nzuri

Kula vizuri

25/05/2023

Kinywa ndio sehemu ya 1 kabisa katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

Chaguo ni lako, kuruhusu kupitisha vitakavyoimarisha Afya ama kuharibu Afya.

Kuwa makini na kila upelekacho kinywani.

23/05/2023

1. Kuepuka msongo wa mawazo
2. Muda wa kutosha kupumzika

Ni tiba nzuri katka mifumo mingi ya Afya.

05/05/2023

Ule msemo wa, "We are what we eat" yaani, Tupo Tulivyo Kutokana na Kile Tunachokula. Ukiuishi, huwezi pata shida za mara kwa mara kwenye Afya yako. Na haina maana "Tupo tulivyo kutokana na Tunachokula" yaani kwa kuangalia muonekano tu, La hasha!

Maradhi mengi yasiyoambukiza ambayo yameshika Kasi sana, huanzia tumboni. Na kwa bahati mbaya zaidi, wengi hutuliza tu maumivu ya maradhi hayo huku wakiyaishi miaka yao yote.

Habari njema ni kwamba lipo darasa huru utakalofaidi kuelewa zaidi kivipi maradhi hayo huanzia tumboni, Nini kifanyike,......kumaliza kabisa changamoto zilizojitokeza na namna ya kuendelea kuwa imara kiAfya.

Bonyeza link au wasiliana nami #0676010893 kufaidi uelewa zaidi wa moja kwa moja kupitia Darasa Huru

11/04/2023

Jipende vya kutosha kiasi cha kuishi maisha ya kuimarisha Afya.

07/04/2023

Mwili wako umejaza au unaendelea kujaza nini zaidi!?!?

24/03/2023

Mlo wako ni k**a akaunti yako ya benki.
Utumiaji wa chakula sahihi ndio uwekezaji wake mzuri.

23/03/2023

Walau;
½ ya sahani yako iwe mbogamboga
¼ moja vyakula vya wanga
¼ ingine vyakula vya protein

Bila kusahau,
~ Maji
~ Matunda
~ Vyakula vya madini

09/03/2023

Usizingatie tu unakula kwa kiasi gani
Zingatia pia unakula nini

07/03/2023

Unaweza kubalance vyote! Au kuna kimoja kimemzidi mwingine?

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam