Tuonge Afya
Kinga ni bora kuliko tiba. Imarisha afya yako kila siku.
Afya sio Lengo
Ni namna ya Maisha
21/06/2023
👍🏽
Ukitaka kuwa na "Mood" nzuri
Kula vizuri
25/05/2023
Kinywa ndio sehemu ya 1 kabisa katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Chaguo ni lako, kuruhusu kupitisha vitakavyoimarisha Afya ama kuharibu Afya.
Kuwa makini na kila upelekacho kinywani.
1. Kuepuka msongo wa mawazo
2. Muda wa kutosha kupumzika
Ni tiba nzuri katka mifumo mingi ya Afya.
05/05/2023
Ule msemo wa, "We are what we eat" yaani, Tupo Tulivyo Kutokana na Kile Tunachokula. Ukiuishi, huwezi pata shida za mara kwa mara kwenye Afya yako. Na haina maana "Tupo tulivyo kutokana na Tunachokula" yaani kwa kuangalia muonekano tu, La hasha!
Maradhi mengi yasiyoambukiza ambayo yameshika Kasi sana, huanzia tumboni. Na kwa bahati mbaya zaidi, wengi hutuliza tu maumivu ya maradhi hayo huku wakiyaishi miaka yao yote.
Habari njema ni kwamba lipo darasa huru utakalofaidi kuelewa zaidi kivipi maradhi hayo huanzia tumboni, Nini kifanyike,......kumaliza kabisa changamoto zilizojitokeza na namna ya kuendelea kuwa imara kiAfya.
Bonyeza link au wasiliana nami #0676010893 kufaidi uelewa zaidi wa moja kwa moja kupitia Darasa Huru
Jipende vya kutosha kiasi cha kuishi maisha ya kuimarisha Afya.
07/04/2023
Mwili wako umejaza au unaendelea kujaza nini zaidi!?!?
Mlo wako ni k**a akaunti yako ya benki.
Utumiaji wa chakula sahihi ndio uwekezaji wake mzuri.
23/03/2023
Walau;
½ ya sahani yako iwe mbogamboga
¼ moja vyakula vya wanga
¼ ingine vyakula vya protein
Bila kusahau,
~ Maji
~ Matunda
~ Vyakula vya madini
Usizingatie tu unakula kwa kiasi gani
Zingatia pia unakula nini
07/03/2023
Unaweza kubalance vyote! Au kuna kimoja kimemzidi mwingine?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam