afya kwanza Palace.
SULUHISHO LA
UTI SUGU KWA WANAUME
TEZIDUME
NGUVU ZA KIUME
UZAZI KWA MWANAUME
+255678807838.
Habari!!!
Na Hizi Ndizo Dalili Za Mwanaume Mwenye Ugonjwa Wa Uvimbe Wa *Tezidume* ⤵️
1. Kukojoa Mara kwa Mara Hasa Nyakati za Usiku. Na hii ni Zaidi ya Mara 3 na Unakuwa Umekunywa Kiasi Kidogo cha Maji.
2. Unakojoa Mkojo Wenye Mtiririko Dhaifu Yani Mkojo Unadondokea Miguuni. Kumbuka Kasi Yako Ya Mkojo Haiwezi Kufanana Na mwanaume Chini Ya miaka 40. Lakini unapokuwa na Uvimbe Huu Basi Mkojo Huangukia Karibu na Miguu.
3. Kupata Ugumu Unapotaka Kuanza Kukojoa, Unachukua Dakika Kadhaa ndio Mkojo Unaanza Kutoka.
4. Upungufu Wa Nguvu za Kiume, Yaani Huwezi Kushiriki Tendo Zaidi ya Mara Mbili . Kumbuka Upungufu wa Nguvu za Kiume ni Madhara Ya Tezidume K**a Tayari Umeshaathirika na Dalili zake.
5. Kuhisi Mkojo unabaki Kwenye Kibofu na Baada Ya Muda Mfupi unahisi Kukojoa Tena.
6. Kuminya Uume Ili Mkojo Wote Uishe na Muda Mwingine Mkojo Kutoka Kisirisiri Hadi Kupelekea Kuloanisha Nguo Yako Ya Ndani.
7. Mkojo Kutotoka Kabisa Hali Inayopelekea Kuwekewa Mpira Wa Mkojo (Catheter) Mara Kwa Mara Kila Inapotokea.
Ikiwa Wewe ni Mwanaume Mwenye Dalili Hizo Basi Fahamu Tezidume Yako Imeanza Kutanuka.
Fanya Haya Yafuatayo ⤵️
1. Hakikisha Hutumii Maji Kwa Wingi Wakati wa Usiku, hii itakusaidia Kupunguza kukojoa Mara Kwa mara.
2. Hakikisha Unatumia Dark au Green Vegetables mfano: Brocoli, Kale, Cabbage, Spinach nk.
3. Acha Matumizi ya Sigara na Pombe.
4. Hakikisha Unafanya Mazoezi Kilasiku asubuhi Yanayoitwa *Kegel exercise*.
5. Hakikisha Unatumia Mbegu za Maboga (Pumpikin seed) na Mbegu za Kitani (flax seed) Kwa Wingi.
6. Hakikisha Unapata Pia Na Chakula Dawa Zitakazo Kusaidia Kuondoa Chanzo Cha Tatizo na Tatizo Lililopo.
Je Ungetamani Tukuhudumie Na *Upone* *Changamoto Yako ya Uvimbe wa Tezidume* Kwa Kutumia Tiba Lishe Ndani Ya mwezi Mmoja na Kumaliza Changamoto yako Kabisa?
K**a Jibu lako ni *Ndio* na Unachangamoto Hii Kwa muda Mrefu Umetumia Dawa Mbalimbali Na Umefanyiwa Upasuaji Ila bado Unaona Dalili tena, Basi Sikiliza Video Hii Hadi Mwisho Kisha Chukua Namba ili Tuweze Kuwasiliana. Kwani Kuna PUNGUZO LA 13% Litakalokuwezesha Kupata Tiba Kwa Urahisi na KUPONA Changamoto Yako.
Pia Utapata Ushauri Wa Vyakula gani Muhimu, Matunda , Mboga za Majani, Mazoezi na Utaelekezwa Namna Sahihi ya Kuandaa Sharubati ya Mbegu Za Mimea Yenye Mchanganyiko wa Binzari Manjano, Mbegu za Kitani na Brocoli Ukiwa Nyumbani Itakayokusaidia Kuboresha Afya Yako ya Tezidume.
Afya Yako Jukumu Lako.
Dr. Elizabeth Noah.
0678807838.
Afya_kwanza_palace.
Habari!!!
Na Hizi Ndizo Dalili Za Mwanaume Mwenye Ugonjwa Wa Uvimbe Wa *Tezidume* ⤵️
1. Kukojoa Mara kwa Mara Hasa Nyakati za Usiku. Na hii ni Zaidi ya Mara 3 na Unakuwa Umekunywa Kiasi Kidogo cha Maji.
2. Unakojoa Mkojo Wenye Mtiririko Dhaifu Yani Mkojo Unadondokea Miguuni. Kumbuka Kasi Yako Ya Mkojo Haiwezi Kufanana Na mwanaume Chini Ya miaka 40. Lakini unapokuwa na Uvimbe Huu Basi Mkojo Huangukia Karibu na Miguu.
3. Kupata Ugumu Unapotaka Kuanza Kukojoa, Unachukua Dakika Kadhaa ndio Mkojo Unaanza Kutoka.
4. Upungufu Wa Nguvu za Kiume, Yaani Huwezi Kushiriki Tendo Zaidi ya Mara Mbili . Kumbuka Upungufu wa Nguvu za Kiume ni Madhara Ya Tezidume K**a Tayari Umeshaathirika na Dalili zake.
5. Kuhisi Mkojo unabaki Kwenye Kibofu na Baada Ya Muda Mfupi unahisi Kukojoa Tena.
6. Kuminya Uume Ili Mkojo Wote Uishe na Muda Mwingine Mkojo Kutoka Kisirisiri Hadi Kupelekea Kuloanisha Nguo Yako Ya Ndani.
7. Mkojo Kutotoka Kabisa Hali Inayopelekea Kuwekewa Mpira Wa Mkojo (Catheter) Mara Kwa Mara Kila Inapotokea.
Ikiwa Wewe ni Mwanaume Mwenye Dalili Hizo Basi Fahamu Tezidume Yako Imeanza Kutanuka.
Fanya Haya Yafuatayo ⤵️
1. Hakikisha Hutumii Maji Kwa Wingi Wakati wa Usiku, hii itakusaidia Kupunguza kukojoa Mara Kwa mara.
2. Hakikisha Unatumia Dark au Green Vegetables mfano: Brocoli, Kale, Cabbage, Spinach nk.
3. Acha Matumizi ya Sigara na Pombe.
4. Hakikisha Unafanya Mazoezi Kilasiku asubuhi Yanayoitwa *Kegel exercise*.
5. Hakikisha Unatumia Mbegu za Maboga (Pumpikin seed) na Mbegu za Kitani (flax seed) Kwa Wingi.
6. Hakikisha Unapata Pia Na Chakula Dawa Zitakazo Kusaidia Kuondoa Chanzo Cha Tatizo na Tatizo Lililopo.
Je Ungetamani Tukuhudumie Na *Upone* *Changamoto Yako ya Uvimbe wa Tezidume* Kwa Kutumia Mbegu za Mimea Pamoja Na Chakula Dawa?
K**a Jibu lako ni *Ndio* na Unachangamoto Hii Kwa muda Mrefu Umetumia Dawa Mbalimbali Na Umefanyiwa Upasuaji Ila bado Unaona Dalili tena, Basi Sikiliza Video Hii Hadi Mwisho Kisha Chukua Namba ili Tuweze Kuwasiliana.
Utapata Ushauri Wa Vyakula gani Muhimu, Matunda , Mboga za Majani, Mazoezi na Utaelekezwa Namna Sahihi ya Kuandaa Mbegu za Mimea Pamoja na Chakula Dawa Zilizoandaliwa.
Afya Yako Jukumu Lako.
Dr. Elizabeth Noah.
0678807838.
Afya_kwanza_palace.
01/02/2024
Habari!
Leo Tujifunze kwa Pamoja Umuhimu wa Kutumia Nyanya Jinsi Inavyosaidia Kulinda Afya Zetu Dhidi ya Saratani.
Nyanya ina kitu cha Pekee Kinachoitwa LYCOPENE. Lycopene ndiyo Inayoipa Nyanya rangi Yake Nyekundu na Kirutubisho Hicho ni Mahususi kabisa Kwa Ajili Ya Kulinda Cells za Mwili Zisibadirishwe na Kuwa Saratani Hufanya Cells za Mwili Kuwa Zenye Afya na Kujizalisha kwa Ubora Bila Kuleta madhara Yoyote Kwenye Miili Yetu.
Hakikisha Unakula Nyanya Mara Kwa Mara Ila K**a Una shida Ya Vidonda Vya Tumbo usitumie kwani inaweza kukuletea Changamoto Nyingine.
Kwa Ushauri na Matibabu Juu Ya Changamoto Ya Uvimbe wa Tezidume Kupona Kabisa Kuanzia Kutibu Kwenye Chanzo Cha Tatizo... Basi Unaweza wasiliana Nami Kupitia 0678807838.
Afya_kwanza_palace
31/01/2024
Habari!!
Mbegu za Saw palmetto (mkoche) ni Mbegu Nzuri sana Kwa Ajili ya Tezidume.
Chukua Mbegu Zako K**a Kilo tatu Baada Ya Kutoa Maganda Yake ya Nje ili Upate ile Mbegu ya Ndani Maana Hiyo ndiyo Tunayoihitaji Katika Tiba. Ukiweza Changanya na Mbegu za Maboga (Nilishaelezea Namna ya Kutengeneza mbegu za maboga) Kisha Nenda Kasage.
Utatumia Kijiko Kimoja cha Chai kwenye Maji ya Moto Nusu Kikombe Cha Chai Kutwa Mara Mbili Fanya Hivyo Angalau Kwa Miezi mitatu Mfululizo.
Kwa Ushauri na Matibabu Juu Ya Changamoto Ya Uvimbe wa Tezidume Kupona Kabisa Kuanzia Kutibu Kwenye Chanzo Cha Tatizo na Uvimbe Usijirudie. Unaweza Wasiliana Nami Kupitia 0678807838.
Afya_kwanza_palace
30/01/2024
Habari!
Leo Napenda Kukuelezea Mbegu Hii Adimu inayoitwa Mkoche au Palmetto.
Je husaidia nini Kwa Mwanaume Aliyekwisha Athirika na uvimbe wa Tezidume?
1. Huongeza ubora wa afya ya Tezidume kuliko kawaida.
2. Huondoa dalili zote za njia ya mkojo zinazosababishwa na kuvimba kwa Tezidume.
3. Husaidia kupunguza/ kuondoa uvimbe wa Tezidume.
4. Hudhibiti kiasi cha hormone ya kiume kwenye mwili (testosterone) na kufanya kuwa kwenye uwiano unaotakiwa.
5. Husaidia Kuongeza bacteria walinzi Kwenye njia ya Mkojo.
Karibu kwa Ushauri na Matibabu Kuhusu Uvimbe wa Tezidume na Uweze Kupona Changamoto hii Kwa Kutibu Chanzo Cha Tatizo ili Uvimbe Usijirudie tena kwa mara Nyingine.
Afya_kwanza_palace
29/01/2024
Habari!
Je Unafahamu Kuwa Damu Inaweza Kutumika Kujua Kuwa Unaviashiria Vya Tezidume Kutanuka?
PSA ni Moja Ya Kipimo Kinachotumika Kujua K**a Tezidume yako Imetanuka Lakni zaidi Hutumika kuangalia K**a Una Viashiria Vya Saratani ya Tezidume.
Kwa Kawaida PSA inatakiwa kuwa 0-4 Hivyo Inapoanza Kupanda Huashiria Saratani kuanza ndani ya Tezidume Yako.
Hivyo Ukiwa K**a Mwanaume Unayependa Na Kujali Afya Yako Basi Kuwa na Kawaida ya Kufanya Vipimo ili Kufahamu Afya Yako zaidi. Kumbuka Afya Yako ni Jukumu Lako.
Kwa Ushauri na Matibabu Juu Ya Changamoto ya Uvimbe wa Tezidume Kupona kuanzia Chanzo cha Tatizo Basi Unaweza wasiliana Nami Kupitia 0678807838.
Afya_kwanza_palace
26/01/2024
Hongera Sana Mr. Mzirai kwa kupitia Program Yetu Ya PONA TEZIDUME Umeweza kupunguza Uvimbe Wa Tezidume Kutoka 51 Hadi 41 Ndani ya Miezi Miwili cm 10 zimepungua.
Kwa ushauri na Matibabu Wasiliana Nami Kupitia 0678807838.
Afya_kwanza_palace
🇺🇬
26/01/2024
Hongera sana mr. Mzirai katika Program Yako Umeweza Kupunguza cm 10 za Uvimbe ndani ya miezi miwili. Kutoka 57 hadi 47.
Tezidume unaweza Kupona Kabisa Bila Kufanyiwa Upasuaji na Isijirudie.
Kwa ushauri na Matibabu unaweza Kuwasiliana Nami Kupitia 0678807838.
Afya_kwanza_palace
🇺🇬
26/01/2024
Habari!!
Wanaume Wengi Wamekuwa Wakiniuliza kuwa nina dalili zote ila je ni Kipimo Gani Naweza Kufanya ili Kuhakiki Kuwa Tezidume imetanuka?
Moja Kati ya Vipimo Rahisi na Kisichokuwa na Mambo mengi Ni kipimo cha Ultrasound (Picha ya Tumbo) Kipimo hiki huonyesha Ukubwa au Ujazo wa Uvimbe wa Tezidume kwa Kizio cha Cm au Gram.
Hivyo kupitia Kipimo hiki ndipo Matibabu Yako yanaweza Kuanzia Hapo.
Ila Cha Ajabu Unaweza Ukawa na Dalili Zote za Tezidume ila Ukifanya Kipimo hiki Majibu Yakaonyesha Huna Tatizo hili.
Je unaweza Kunambia Kwanini Inakuwa hivyo? Weka comment Yako ili Tuzidi Kujifunza zaidi.
🇹🇿 🇺🇬
25/01/2024
Habari!!
Yafuatayo ni mambo baadhi ya kuzingatia ili kupunguza hatari na dalili za Tezidume.
1. Punguza Kunywa Vimiminika wakati wa jioni ufikapo. Hakikisha kuanzia asubuhi hadi saa moja usiku uwe umemaliza maji unayotakiwa Kutumia kwa siku kulingana na Uzito wako.
2. Punguza Kutumia Vyakula Vyenye Chumvi nyingi au Acha Kutumia Sukari K**a Tayari una Saratani ya Tezidume.
3. Pendelea Kutumia Matunda na Mbogamboga za Majani zinazosaidia Kuhimarisha Mfumo wa Mkojo. Mfano: brocoli, Cauliflower, kale, Parachichi, Machungwa , Nyanya, Tikitimaji nk.
4. Shiriki Tendo La Ndoa Ipasavyo...Kiafaya Mwanaume Hautakiwi Kukaa Zaidi ya Siku 7 Hujashiriki tendo La Ndoa. Hivyo pata Muda Wa Kushiriki Tendo la Ndoa Ipasavyo.
Kwa ushauri na Matibabu Juu Ya Tezidume Kuanzia Chanzo Cha Tatizo la TEZIDUME Pamoja Na Uvimbe wasiliana Nami kupitia namba 0678807838.
Afya_kwanza_palace
24/01/2024
Moja kati Ya kitu Ambacho tunakizingatia Katika Kutoa huduma kwa wagonjwa wetu ni kuhakikisha wanapata matokeo mazuri na Kufatiliwa Hali Zao za kiafyamara kwa mara.
Hii imewafanya wagonjwa wengi kupona haraka, kupata faraja na ni tiba pia kisaikolojia.
Je wewe ni moja kati ya wagonjwa wenye changamoto ya uvimbe wa Tezidume na kwa muda mrefu umetumia dawa bila kupata mafanikio yoyote?
Karibu Afya_kwanza_palace kwa huduma iliyo bora na sahihi ya kutatua changamoto yako kwa muda wa siku 180 kwa kutumia MIMEA ya ASILI na MBEGU bila kufanyiwa Upasuaji.
Kwa Ushauri na Matibabu Wasiliana nami kupitia simu namba 0678807838.
Afya_kwanza_palace
🇹🇿
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam