Madam_neema_shinning_Solution
Tunatoa ushauri wa afya ya uzazi kwenye majukwa yetu karibu💪
26/07/2023
Ujumbe muhimu kwa Mwanamke
Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na Maumivu wakati wa kujamiana
K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.
Kwa jina naitwa Neema Lazaro
Ninawasaidia Wanawake kutatua changamoto hiyo bila ya [kitu alichokuwa hakipendi] kupitia [njia maalum].
Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kuondokana na maumivu wakati wa kujamiana .
K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ucomment namba yako ya simu ya watsapp hapa chini.
Au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba 0764818266
Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako) darasa bure kabisa kupitia group la watsapp.
Comment namba yako hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.
Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,
Neema Lazaro
Mkurugenzi,@ madam_neema_shining_solution]
22/07/2023
PID Ni nini? Pid ni maambukizi ya bacteria katika mfumo wa uzazi wa mwanamke .
Ugonjwa huu wa PID unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai ,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi n.k
WENGI HUJIULIZA PID HUSABABABISHWA NA NINI ?
Pid husababishwa na magonjwa k**a.Uti,fungus,Gonnorea,kisonono,kutoa mimba ,matumizi ya madawa hovyo,uzazi wa mpango n.k
JE UTAJUAJE K**A K**A UNACHANGAMOTO YA PID
🍭Maumivu ya tumbo sehemu ya chini ya kitovu au juu upande wa kulia
🍭Kutokwa na uchafu ukeni wenye harufu mbaya ambapo wengi hudhani kuwa ni fangasi.
Lakini siyo hii inakuonyesha kuwa bacteria wameshashambulia via vya uzazi kiasi cha kufikia wale bacteria wazuri kushindwa kufanya kazi na kusababisha harufu ya uchafu kuwa nzito na kali
🍭Maumivu wakati wa tendo la ndoa .
Asilimia kubwa hupata maumivu haya wakati wa tendo la ndoa na wasijue shida ni nini
PID ikishakuwa imeshambulia mfumo wa uzazi wa mwanamke hawezi kufurahia tendo hilo la ndoa na hapo utasikia kitu inaitwa homoni imbalance na k**a ulishawahi kuambiwa uko na changamoto hiyo basi hiyo ndyo inakusababishia kutokusikia hamu ya tendo la ndoa .
🍭Maumivu wakati wa kukojo.
Hapa bacteria wakishashambulia mji wa mimba/uzazi uchafu ukianza kutoka husababisha miwasho na miwasho hii husababisha kujikuna na kuvimba kwa uke hivo hupelekea maumivu makali ya nje na ndani ya uke kwa sababu bacteria wazuri wameshindwa kufanya kazi.
🍭Kutokwa na damu nyingi isiyokua na mpangilio.
Hii ni kutokana na matumizi uzazi wa mpango au vimbe kwenye ovaries
U
🍭Ugumba.H
Hapa kwenye ugumba unaweza kuwa unatafuta mtoto kwa muda mrefu hupati PID inaweza kuwa imesababisha madhara makubwa ambayo ni Makovu kwenye mfuko wa uzazi,Mirija imejaa maji au usaa,Mayai kushindwa kupevuka kwa kulingana na utumiaji wa madawa ya kutibu maradhi ya aina fulani au matumizi ya dawa za kukukinga na ujauzito hususani PID
Somo letu litaendelea huko mbele tutaona madhara ya PID pamoja na suluhisho lake.
19/07/2023
Hello karibu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
11000