Uzazi na caromoki
MTAALAMU WA AFYA YA UZAZI KWA MWANAMKE(uti,pid,fangasi na miwasho sehemu za siri pia kushika mimba)
07/04/2023
FERTILITY BOOSTER MKOMBOZI WA WANAWAKE 🔥🔥
FAIDA ZAKE
🔸️KUBALANSI HOMONI
🔸️KUPEVUSHA NA KUCHEVUSHA MAYAI KWA HARAKA
🔸️KUPATA UTE WA MIMBA
🔸️KUKUPA HAMU YA TENDO
🔸️KUONDOA MAAMBUKIZI YA PID, FANGASI, UTI
🔸️KUONDOA NA KUYEYUSHA UVIMBE
🔸️KUZUIA KUHARIBIKA KWA MIMBA
ANGALIZO: HII SIO YA KUJARIBU NI UHAKIKA (HATA WEWE UNAWEZA KUWA MAMA)TUWASILIANE 0747007121
JE, UNASUMBULIWA NA UKAVU UKENI?
HUWA UNAPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA PERIOD?
27/02/2023
s Aina za Uchafu Ukeni
Kuna aina nyingi za uchafu ukeni. Aina zifuatazo zimegawanywa kwa kulingana na rangi na kiwango cha utokaji wake. Utaona kwamba aina zingine za uchafu ni salama na uchafu mwingine siyo salama, unaashiria kuwepo kwa ugonjwa
💛Uchafu Mweupe Ukeni
Kutokwa na uchafu mweupe hasa mwanzoni mwa hedhi au mwishoni mwa hedhi ni jambo la kawaida. Hata hivo k**a uchafu huu unaambatana na muwasho na ni mzito sana k**a maziwa ujue siyo kawaida na inahitaji upate vipimo na tiba kwani ni kiashiria cha fangasi ukeni.
💛Uchafu Mwepesi K**a Maji
Uchafu mwepesi k**a maji ni kawaida kabisa. Unaweza kupata uchafu huu muda wowote katika mzunguko wako na hasa baada ya kufanya mazoezi.
💛Uchafu mwepesi unaovutika
Ukiona uteute mwepesi na unavutika k**a ute wa yai basi ujue upo kwenye ovulation, yaani siku za hatari na yai limepevuka tayari kwa kurutubishwa. Uteute huu ni wa kawaida.
💛Uchafu wa brown unaoambatana na damudamu.
K**a unapata uteute huu kabla ya hedhi na ulifanya tendo bila kinga basi kuna uwezekano ukawa umeshika mimba. K**a uchafu huu unatoka wakati mimba yako bado ni changa basi yaweza kuashiria kwamba mimba inaharibika unatakiwa kuwahi hospitali haraka.
Kwa kesi chache sana uchafu wa brown wenye damu damu ni kiashiria cha saratani ya shingo ya kizazi ama pia uvimbe kwenye kizazi(fibroids) ama uvimbe mwingine kwenye kizazi. Ndio maana ni muhimu sana kufanya utrasound kucheki hali ya kizazi endapo utaona dalili zisizo za kawaida k**a hizi.
Pia infections kali na sugu k**a PID hupelekea uchafu wa aina hii
Uchafu Wa njano au kijani
K**a unapata uchafu wa kijani au njano unaoambatana na harufi mbaya siyo jambo la kawaida. Uchafu wa namna hii ni kiashiria kwamba kuna maambukizi ya ugonjwa wa zinaa.
👆Ukiona dalili hizi ujue una hitaji tiba kwa haraka zaidi
27/02/2023
KOJOA/ JISAFISHE KILA BAADA YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA
Utasaidia kuondoa bakteria na vijidudu vingine vya magonjwa ambavyo vinaweza kuwa viliingia kwenye mrija wa mkojo wakati unashiriki tendo la ndoa
-
2: JISAFISHE KUTOKA MBELE KWENDA NYUMA (Frontal to back wiping) kila baada ya haja kubwa na ndogo. Itasaidia kuzuia uingiaji wa bakteria ndani ya mrija wa mkojo kupitia uke. Utakuwa unajikinga pia na magonjwa hasa UTI ambao umekuwa ugonjwa sugu siku za hivi karibuni
-
3: WAKATI WA HAJA NDOGO UNAPASWA KUWA UMETULIA (Relaxed),mara nyingi kujisaidia huku umesimama au umejikunja kwa namna yoyote ile hubana misuli ya kibofu cha mkojo hivyo kusababisha kiasi fulani cha mkojo kibaki ndani.Hii husababisha athari kwenye kibofu cha mkojo pamoja na magonjwa hasa UTI.Wakati wa haja ndogo,jitahidi uchuchumae au ukae (k**a choo ni cha kukaa)
-
4: HAKIKISHA MKOJO WOTE UNAISHA
Pia hakikisha huutunzi mkojo kwa muda mrefu.Unapofanya hivi wadudu hasa bakteria huzaliana kwa wingi sana.Unajiweka kwenye hatari ya kuugua magonjwa mengi hasa UTI
5: Kunywa maji yakutosha kilasikuu.
6: Pendelea kujisafishia maji na sio toilet paper baada ya KUPATA choo.
7: Baada ya kufanya mambo haya, hakikisha unavaa NGUO ZA NDANI zilizotengenezwa kwa pamba 100% pia uvae nguo zilizokauka ambazo hazikubani sana. Husaidia hewa inayopatikana kwenye uke na kibofu cha mkojo iwe imekauka. Nguo mbichi,zinazobana pamoja na nguo za ndani zilizotengenezwa kwa nylon au material yoyote ambayo SIYO ya pamba hutunza hewa yenye unyevu. Hali hii huchochea uzalianaji wa wadudu hasa bakteria hivyo kukufanya uwe unaugua mara kwa mara magonjwa mbalimbali hasa U.T.I
Nawatakia mchana Mwema, matatizo binafsi njoo Dm. Ushauri/Msaada zaidi, Zungumza nami kwa Whatsapp no: 0747007121
27/02/2023
s Aina za Uchafu Ukeni
Kuna aina nyingi za uchafu ukeni. Aina zifuatazo zimegawanywa kwa kulingana na rangi na kiwango cha utokaji wake. Utaona kwamba aina zingine za uchafu ni salama na uchafu mwingine siyo salama, unaashiria kuwepo kwa ugonjwa
💛Uchafu Mweupe Ukeni
Kutokwa na uchafu mweupe hasa mwanzoni mwa hedhi au mwishoni mwa hedhi ni jambo la kawaida. Hata hivo k**a uchafu huu unaambatana na muwasho na ni mzito sana k**a maziwa ujue siyo kawaida na inahitaji upate vipimo na tiba kwani ni kiashiria cha fangasi ukeni.
💛Uchafu Mwepesi K**a Maji
Uchafu mwepesi k**a maji ni kawaida kabisa. Unaweza kupata uchafu huu muda wowote katika mzunguko wako na hasa baada ya kufanya mazoezi.
💛Uchafu mwepesi unaovutika
Ukiona uteute mwepesi na unavutika k**a ute wa yai basi ujue upo kwenye ovulation, yaani siku za hatari na yai limepevuka tayari kwa kurutubishwa. Uteute huu ni wa kawaida.
💛Uchafu wa brown unaoambatana na damudamu.
K**a unapata uteute huu kabla ya hedhi na ulifanya tendo bila kinga basi kuna uwezekano ukawa umeshika mimba. K**a uchafu huu unatoka wakati mimba yako bado ni changa basi yaweza kuashiria kwamba mimba inaharibika unatakiwa kuwahi hospitali haraka.
Kwa kesi chache sana uchafu wa brown wenye damu damu ni kiashiria cha saratani ya shingo ya kizazi ama pia uvimbe kwenye kizazi(fibroids) ama uvimbe mwingine kwenye kizazi. Ndio maana ni muhimu sana kufanya utrasound kucheki hali ya kizazi endapo utaona dalili zisizo za kawaida k**a hizi.
Pia infections kali na sugu k**a PID hupelekea uchafu wa aina hii
Uchafu Wa njano au kijani
K**a unapata uchafu wa kijani au njano unaoambatana na harufi mbaya siyo jambo la kawaida. Uchafu wa namna hii ni kiashiria kwamba kuna maambukizi ya ugonjwa wa zinaa.
👆Ukiona dalili hizi ujue una hitaji tiba na ushauri kwa haraka zaidi piga/WhatsApp 0747007121
Kuna mda unawashwa mpaka unachanganyikiwa na aujui nini cha kufanya mpaka unaona bora upake poda ili kutuliza muwasho😃😃😃
Wanawake wengi sana wamekuwa wakisumbuliwa na miwasho sehemu za siri kiasi kwamba miwasho hiyo hupelekea kupata michubuko na maumivu makali wakati wa kukojoa na kuwakosesha raha na mda mwingine utakuta umeshatumia kila aina ya dawa lakini baada ya muda hali inajirudia tena hii ni kwasababu watu wengi wamekuwa wakitoa gharama kubwa kutibu tatizo badala ya kutibu chanzo cha tatizo
Ninahabari njema kwako wewe mwanamke unaesumbuliwa na changamoto ya aina hii kwa ushauri piga/WhatsApp 0747007121
Kwa ushauri piga/WhatsApp 0747007121
15/01/2023
Bila kungoja njoo fasta nikupe ushauri BUREEEEEE utakao kuweka huru na hii changamoto piga/WhatsApp 0747007121
15/01/2023
Je? umekua mhanga wa kukosa ute na kutoka haarufu mbaya ukeni??
🔹️maumivu wakati wa tendo la ndoa,
🔸️maumivu chini ya kitovu au upande wa kulia au kushoto,
🔹️hauoni Ute wa uzazi,
🔸️ miwasho majimaji yenye harufu mbaya ukeni,
🔹️siku zako za hedhi zinabadilika badilika
🔸️Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.... usinyamaze ni hatari Sana kwa Afya ya Uzazi...wengi waliopuuza wanajuta leo hii, na wanatumia gharama kubwa kujitibia...
😭😭😭😭 Tuna taarifa nzuri kwa wewe unayesoma ujumbe huu, K**a una tatizo hili, au ndugu mwenye tatizo hili mfahamishe kuwa Kuna ofa kubwa ambayo haijawahi kutokea. nikutokana na maombi ya watu wengi walikosa msimu uliopita. Kwenye msimu huu wa OFA Usipange kukosa ofa hii ya FEMALE DETOX HII NI PACKAGE MPYA NI NZURI MNOO ambayo inakwenda kutolewa kwa watu 15 wa mwanzo kupiga simu au kutuma meseji WhatsApp 🔅kuwahi kwako ndio kupata kwako🔅 ♦️piga simu kwa huduma ya haraka 📱📲0747007121/ tuma neno NAHITAJI OFA YA FEMALE DETOX
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam