Lizzy Natural Products

Lizzy Natural Products

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lizzy Natural Products, Health/Beauty, Dar es Salaam.

08/03/2021

Je mwanao ana changamoto zifuatazo:

1:Hana hamu ya kula
2:Ana chagua vyakula
3:Ana allergy ya chakula
4:Ana athma
5:Ana chelewa kuongea na kutembea
6:Mifupa milegevu
7:Kukojoa kitandani
8Hana kumbukumbu
9:Hapati usingizi
10:Haelewi darasani
11:Matege
12:Ana sickle sell au anaishiwa damu
13:Ana umwa Mara kwa Mara!
14:Ana H.IV

PIA WALE WENYE ALEGY MBALI MABLI K**A
1:Nyama kuota Puani
2:Asthma (kupumua kwa shida}
3:Alegy ya chakula

PATA VITA BUDY NA DR COW AMBAZO ZITATATUA CHANGAMOTO ZOTE NA ZAIDI
PIGA NAMBA AU WATSUP 0718558582

PATA SULUHISHO LA AFYA YA MWANAO

08/03/2021

Dr Cow
0718558582

Je una mtoto ambaye:
👉👫Anasumbua kula??

👉👫Ana nywele nyepesi k**a mgonjwa??

👉👫Ana matatizo ya meno kuota??

👉👫Ana mifupa laini ambayo rahisi kuvunjika??

👉👫Mtoto ambaye hakui kwa haraka k**a inavyotakiwa???

👉👫Anayeumwa mara kwa mara kikohozi na mafua???

👉👫Ana matege???

Jibu ni kwamba mtoto huyo ana upungufu wa madini hasa ya calcium

Sasa kwakua tunajua watoto hawapendi vyakula, ambapo vyakula hivyo vina virutubisho vizuri ikiwemo madini ya calcium ambayo ni muhimu sana katika suala zima la ukuaji wao.

Bf suma kwa kujua hilo inakiletea bidhaa inayoitwa DR COW maalum kwa watoto na wamama wanaonyonyesha kwa ajili ya kuongeza calcium mwilini mwake.

Dr cow ipo kwenye mfumo wa candy ambao watoto wengi sana wanapenda na ilivyo k**a p**i, mtoto akionja tu anaweza kula vingi sana. Mtoto anatakiwa ale 4 tu ambapo kula hivyo vinne ni sawa sawa na mtoto aliyekunywa maziwa ml 200. Mtoto akianza kutumia hii bidhaa hata magonjwa yatamkalia mbali.

Dr cow inasaidia sana watoto na mama mjamzito. 0718558582

08/03/2021

P.I.D NINI,DALILI ZAKE NI ZIPI, MADHARA YAKE NI YAPI?
0718558582
P.I.D- Pelvic Inflammatory Disease.
P.I.D Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke ambayo huusisha maambukizi kwenye shingo ya kizazi(CERVICITIS),nyama kwenye mfumo wa wa uzazi(ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi(SALPINGITIS)
Kuna aina mbili ambayo ni chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa P.I.D ni NEISSERIA GONORNOAE na CHLAMYDIA TRACHOMATIC

WANAMKE ANAUPATAJE UGONJWA WA P.I.D
-Kupitia ngono zembe
-Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
-Kufanya mapenzi bila kutumia kinga
-Kupitia magonjwa ya zinaa hususani kaswande na kisonono
-Kupitia kunyonywa ukeni mara kwa mara
-Utoaji wa mimba na kutosafishwa vizuri baada ya kutoa mimba
-Kuweka vitu ukeni ili kuufanye uke ubane au kumvutia mpenzi wako
-Kutumia dawa na njia za kuzuia mimba(vijiti na sindano)
- Kuwa na U.T.I. sugu au fungus ya muda mrefu
0718558582
DALILI ZA P.I.D
-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri yaweza ukawa njano, mweupe au maziwa
-Uke kutoa harufu mbaya
-Kuwashwa sehemu za siri
-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
-Uke kuwa mlaini sana
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuvurugika kwa hedhi
-Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Homa, uchovu na kizunguzungu

MADHARA YA P.I.D
-Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara baada ya tendo la ndoa. au kipindi cha upevushaji mayai hali hii hutokana na majeraha yaliyopi katika mirija ya uzazi
-Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija za uzazi ambayo hipelekea mirija kuziba
-Kubeba mimba nje ya kizazi husababishwa yai kushindwa kufika kwenywe mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi
-Ugumba kwa mwanamke
-kupata kansa ya shingo ya uzazi

JINSI YA KUEPUKANA NA P.I.D
Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bore kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo;-
-Epuka kufanya ngono zembe
-Usifanye mapenzi baada ya kujifungua au mimba kutoka
-Weka tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara
-Kuwa msafi na nguo zako za ndani na kula lishe bora
-Epuka kushare nguo za ndani

UNAPOONA DALILI ZA UGONJWA HUU WAHI KUPATA MATIBABU. KWANI UGONJWA HUU NI HATARI NA HUWEZA KUKUSABABISHIA UGUMBA AU KANSA YA SHINGO YA KIZAZI

Ugonjwa wa P.ID unatibika vizuri kabisa Piga number
0718558582

05/03/2021

UVIMBE KWENYE KIZAZI.(FIBROIDS)
0718558582
Fibroids ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha unaoota na kukua kwenye uterus. Majina mengine ya uvimbe huu ni uterine fibroids, myomas, au fibromyomas. Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Fibroids ni uvimbe ambao mara nyingi (asilimia 99) hauna madhara kiafya na wala kuhusiana na ugonjwa wa kansa.

Inakadiriwa kuwa kati ya asilimia 20 hadi 50 ya wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 30 hadi 50, wana fibroids ingawa wengi wao hawahangaiki kuchukua vipimo vya fibroids. Uvimbe wa fibroids unakuwa na ukubwa tofauti tofauti, unaweza kuwa mdogo k**a haragwe au kufikia ukubwa wa tikiti maji.

Chanzo Cha Fibroids

Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri ingawa inaamika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya musuli wa uterus ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kukua kwa haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya estrogen.

Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids kwa sababu ya kuwa wameishi na homoni ya estrogen kwa muda mrefu zaidi. Wanawake wenye asili ya mchanganyiko wa wamarekani na waafrika (wamarekani weusi) nao wanaonekana kupatwa na fibroids zaidi ya wanawake wengine ingawa sababu bado haijajulikana.

Utafiti umeonyesha pia kuwa idadi ya wanawake wanaopatwa na fibroids katika kundi la wanawake ambao wamezaa watoto angalau wawili wakiwa hai huwa ni nusu ukilinganisha na wale ambao hawajazaa hata mara moja. Hapa haieleweki k**a kuzaa kulizuia wanawake hawa wasipate fibroids au fibroids ndizo zilizozuia wanawake wa kundi la pili wasizae. Utafiti kuhusu hilli bado unaendelea.

Dalili Za Fibroids

Akina mama wengine wenye uvimbe wa fibroids huwa hawaoni dalili zo zote zile (wengi hawajui k**a wana fibroids) au kuona dalili kidogo na kwa wengine dalili hizi hujitokeza sana na kuwasumbua hadi kufikia kutafuta tiba. Baadhi ya dalili za fibroids ni:

– Kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku au kutokwa na damu kwa muda mrefu

– Kutokawa na damu kusiko kwa kawaida katikati ya siku za mwezi

– Mauvimu ya nyonga (uvimbe kugandamiza kwenye viungo vya nyonga)

– Kupata haja ndogo mara kwa mara

– Maumivu ya mgongo

– Maumivu wakati wa tendo la ndoa

– Upungufu wa damu kwa sababu ya kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku

– Maumivu ya kichwa

– Maumivu kwenye miguu

– Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo (Fibroids kubwa)

– Uzazi wa shida

– Mimba za shida

– Kutopata mimba

– Kutoka kwa mimba mara kwa mara

Aina Ya Fibroids

Kuna aina nne za Fibroids

Intramural: Fibroids aina hii hukua kwenye kuta za uterus. Hii ndiyo aina ya fibroids inayowapata wanawake wengi.

Subserosal fibroids: Fibroids aina hii hukua nje ya kuta za uterus na huweza kuwa na shina. Subserosal fibroids huweza kukua na kuwa kubwa sana.

Submucosal fibroids: Fibrioids aina hii huota na kukua kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za uterus.

Cervical fibroids: Fibroids aina hii hujenga kwenye shingo ya tumbo la uzazi (Cervix).

Tiba Ya Fibroids Kwa njia Asili PASIPO kua na Upasuaji...
TUNAZO TIBA ASILI AMBAZO HAZINA CHEMICAL HUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI KWA ASILIMIA KUBWA..


tumeona fibroids ni nini, chanzo cha fibroids, dalili zake, aina za fibroids na tiba ya kuondoa fibroids pasipo Upasuaji.

mawasiliano:

whatsapp 0718558582

04/03/2021

Tibu fangasi na U.t.I sugu

04/03/2021

Tatizo la tumbo kujaa gesi linaweza kuwa sababu ya magonjwa mengi mwilini...
0718558582

Tatizo la tumbo kujaa gesi linaweza kuwa sababu ya magonjwa mengi mwilini
Hali ya chakula kuto kumeng’enywa vizuri sio ugonjwa bali dalili zinazoambatana na hali hii k**a tumbo kujaa gesi,kuuma mara tu unapoanza kula chakula.Ingawa tatizo hili lina onekana la kawaida sana lakini linasumbua watu wengi.Hali ya kushindwa kumeng’enya chakula inaweza kuwa dalili ya ugonjwa mwingine.
Dalili za tatizo la mmeng’enyo wa chakula mwilini
1.tumbo kujaa gesi unapokula chakula na baada ya kula kwa muda mrefu
2.kuhisi maumivu ya tumbo la juu
3.kuhisi kiungulia juu ya tumbo katikati ya kifua
4.tumbo kuunguruma kuhisi maumivu chini kidogo ya kitovu
5.kuhisi kichefuchefu na kutapika
Je nini husababisha chakula kuto kumeng’enywa vizuri tumboni
1.Kula vyakula ambavyo vina mafuta mengi
2.kula vyakula ambavyo vimekobolewa k**a unga wa sembe,maandazi vyakula vinavyo kosa fibre
3.Vinywaji vyenye caffeine nyingi k**a kahawa,pombe etc
4.Mazoea ya kula kupindukia au kula haraka haraka bila kutafuna vizuri
Wakati mwingine hali ya kuto kumeng’enywa kwa chakula husababishwa na magonjwa k**a
1.vidonda vya tumbo
2.uvimbe tumboni(gastritis)
3.mawe ya figo
4.kuvimba kwa kongosho
5.satani ya utumbo
6.utumbo kuziba
7.kupungua kwa mzunguko wa damu kwenye utumbo mwembamba (intestinal ischemia)
8.Kukosa choo na bawasiri
Nini madhara ya chakula kuto kusagwa vizuri tumboni
K**a tatizo litakuwa kwa muda mrefu huja na madhara yake(complications)
1.mzunguko wa damu kuharibika au kuwa mdogo
2.mgongo au kiuno kuuma
3.miguu au mikono kufa ganzi
4.kuchoka haraka mara kwa mara
5.kukosa hamu ya kula
6.macho kushindwa kuona vizuri
7.mapigo ya moyo kwenda haraka
8.kichwa kuuma
Kati ya hayo nini ni tatizo lako kubwa?zungumza nasi tukushauri piga ..






#0718558582

03/03/2021

UNACHUKULIA POA PID!(plevic inflammatory disease) yaani maambukizi katika via vya uzazi, JE WAJUA INAWEZA KUSABABISHA UGUMBA.?* *Unapofanya vipimo na kuanza matibabu mapema, PID haiwezi kusababisha madhara yoyote mwilini mwako* . *Hata hivyo, ikiwa k**a utazembea na kuliacha tatizo hili likakaa kwa muda mrefu, PID inaweza kusababisha* *madhara yafuatayo;* ⏩ ```Maumivu ya nyonga ama tumbo ya mara kwa mara, hasa wakati wa tendo la ndoa ama kipindi cha upevushaji mayai, kutokana na majeraha yanayokuwa katika mirija ya uzazi. Kusababisha majeraha ndani na nje ya mirija ya uzazi ambayo hupelekea``` mirija kuziba. ⏩Kubeba mimba nje ya kizazi. Yai lililorutubishwa hushindwa kufika kwenye mji wa uzazi kupitia mirija ya uzazi. Hali hii inaweza kumfanya mwanamke kuvuja damu nyingi sana. ⏩Ugumba kwa mwanamke: PID inapokuwa sugu humfanya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Je , Wawezaje Kuiondoa kabisa PID? Piga ..0718558582

.I.D
.T.I

02/03/2021

HORMONE IMBALANCE
0718558582

Imekua ni tatizo kubwa kwa wanawake
Ikitokea hormone imeongezeka au imepungua ufanisi wake huathiriwa na yaweza kuathiri hormone zingine pia,kwa hiyo inapozungumziwa hormone imbalance inategemea ni hormone gani ambayo imeathiriwa.
Katika makala hii nitazungumiza hormone ya,oestogen

Zipo sababu mbali mbali ambazo zaweza kusababisha hormone kutobalnce au kupishana..
1.msongo wa mawazo (Stress)
2.mfumo wa ulaji
3.matumizi mbalimbali ya njia za uzazi wa mpango

ZIFUATAZO NI DALILI ZA KUA NA HORMONE IMBALANCE
1.Kutokwa kwa mimba
2.Kuongezeka uzito ghafla
3.Wasiwasi
4.Kukosa usingizi
5.Maumivu au uvimbe kwenye maziwa
6.Kupata kizunguzungu mara kwa mara
7.Ugumba

UPUNGUFU WA HORMONE YA OESTROGEN
Aina hii ya upungufu wa hormone ipo hasa hasa kwa wanawake wanaopitia ukomo wa hedhi kutokana na umri(menopause) na ikumbukwe kua wananwake wembamba hukumbwa sana na upungufu wa hormone hii ya oestrogen
dalili za upungufu wa hormone ya Oestrogen ni ...
1.Ukavu ukeni
2.maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa
3.Homa za vipindi
4.Kuvuja jasho usiku
5.Kujiskia mzito kufanya kazi
6.Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

ONGEZEKO LA HORMONE YA OESTOGEN
hali hii hutokea kwa wanawake wanene sana na waliotumia vidonge au sindazo au vipandikizi za uzazi wa mpango
Na dalili za ongezeko la hormone ya Oestrogen ni k**a zifuatazo
1.Tumbo kujaa gesi
2.Mabadiliko ya hisia mara kwa mara
3.Wasi wasi au msongo wa mawazo
4.Kukosa usingizi
5.Vipele vyekundu usoni
6.Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi.
7.Muamivu ya kichwa mara kwa mara
We have the best package kwa watu wenye shida hii sio tu inasaidia kurudisha siku zako kuwa kwenye mzunguko sawa
Piga 0718558582

02/03/2021

MADHARA YA NJIA ZA KISASA ZA UZAZI WA MPANGO.
0718558582
✍🏻Masuala ya uzazi na malezi kwa wanawake ni jambo lililo wazi kabisa lakini kutokana na maadili baadhi wamekuwa na woga wa kujadili wazi wazi. Hata hivyo baadhi ya wanawake hawa hupenda kuzungumzia haya madhara hasa wanapo kutana ili kubadilisha mawazo na hata kujifunza zaidi.

✍🏻Tuangalie MADHARA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO kutokana na njia husika.

MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA

👉🏻Usumbufu hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizungu zungu
👉🏻Kichefu chefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA

👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefu chefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

MADHARA YA KITANZI

👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.

MADHARA YA KIJITI

👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉🏻Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa

✍🏻TUMIA njia ASILI ya uzazi wa mpango.

✍🏻Kwa nini tunahangaika namna hiyo????🤔🤷🏼‍♂

CHUKUA TAHADHARI EWE MWANAMKE UNAATHIRIKA BILA KUJUA

✔Madawa haya yanasababisha ugumba na KANSA.........🤔🤷🏼‍♂

✔Ongea na mwenza wako ili mbadilishe maisha mnayoishi.

Piga 0718558582 KWA ushauri

01/03/2021

VISABABISHI VYA MAAMBUKIZI YA FANGASI NA UTI SUGU KWA WANAWAKE

1:TENDO LA NDOA
-Mwanaume anaweza kumuambukiza mwanamke na hii inatikea sana
2:VYOO VYA KU SHARE(PUBLIC TOILETS)
3:MAVAZI
-Jeans za kubana uke unahitaji hewa kupita nguo za kubana zinasababisha hewa kutopita vizuri hivyo huongeza speed ya bacteria wabaya kuzaliana
4:NGUO ZA NDANI
nguo ya ndani ya k**e isiposafishwa vizuri huwa imebeba miligram 0.1 za kinyesi inashauriwa kutorudia nguo ya ndani kabisaaaa
6:HEDHI
K**a unavyojua hedhi ni base na uke ni acid hivyo hedhi inaondoa hali ya uacid ya uke hivyo husababisha bacteria walinzi wapungue
7:ANTIBIOTIC
-Hii ni chanzo kikubwa zaidi na huua bacteria walinzi
8:MENOPAUSE
-Wanawake waliokata hedhi hupata sana tatizo hili sababu homoni zao zume stop huathiri mazingira ya uke
K**A UNA TATIZO HILI NA FANGASI NA U.T.I SUGU PIGA NAMBA 0718558582 KWA KUPATA TIBA KWA NJIA SALAMA PIA LIKE SHARE NA COMMENT NIONE MAWAZO YAKO

01/03/2021

UGONJWA WA U.T.I SUGU UNATIBIKA,ACHA KUHANGAIKA,
0718558581

UTI (Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.
UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada
Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu
#0673616221

KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA WAKUBWA?

Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje

1.Urethra(mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana hivyo kuruhusu bakteria kufika kwa haraka kwenye kibofu

2.Pia mrija huo unafungukia sehemu ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni puru
Kwa wanaume ni vigumu sana ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI

‪ #‎Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo
‪ #‎Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo
‪ #‎Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra
‪ #‎Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk

KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)

Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo

1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena

2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria

DALILI ZA UTI

1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kibofu au mrija wa mkojo
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu nk
5.Kwa mtu aliyeathiriwa figo anaweza kuwa na maumivu mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
6.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo

JINSI YA KUTIBU UTI SUGU
Ninayo Tiba
ni tiba maalum kwa ajili ya kutibu UTI sugu zilizoshindikana kwa dawa za hospitalini pamoja maaambukizi mengine k**a fangasi katika via vya uzazi

Kwa uhitaji na maelezo zaidi 0718558582

27/02/2021

KWA WANAWAKE WENYE UTI SUGU 0718558582

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam