TIBA Asilia YA Mifupa

TIBA Asilia YA Mifupa

Share

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS

Photos from TIBA Asilia YA Mifupa's post 12/12/2022

Je ,Unasumbuliwa na P.I.D sugu?
U.T.I na Fungus Sugu?
Chango la Uzazi,Uchafu wenye harufu mbaya?
Kukosa hedhi?
Na mpangilio mbovu WA Hormoni?
Nicheck kwa 0659420058 upate suluhisho la kudumu

03/11/2022

Ina viambata ambavyo vinarudisha heshima ya ndoa,

Haiboost k**a vi**ra na vumbi la congo ila inastabilize nguvu za kiume,
Inaondoa maumivu ya mgongo na kiuno,
maumivu ya kichwa, kuondoa stress na uchovu

Piga,text au Whatsapp 0659420058 kujipatia kinywaji hiki murua na kilichotengenezwa na viambata asilia.

03/11/2022

Maumivu ya viungo huwafanya wengi kukosa raha, kutojiamini na hata kushindwa kufurahia maisha yao kwani hujiona dhaifu kila wakati.

Changamoto hizi zikiachwa huweza kuchangia uibukaji wa matatizo mengine k**a vile ulemavu wa viungo, pingili za mgongo kusagika,, magoti nyonga nk

Si wewe tu, wengi wamepitia changamoto hizi lakini mwisho wa siku walifurahia maisha kwa kuziondoa

Piga simu moja kwa moja utafahamishwa zaidi kuhusu namna ya asili kabisa ya kukabiliana na changamoto hizi kwa njia ya rahisi bila upasuaji.

0659420058

Photos from TIBA Asilia YA Mifupa's post 24/10/2022

*UTAMBUE UGONJWA WA BARIDI YABISI (ARTHRITIS)*

Baridi yabisi ni moja ya magonjwa kwenye kundi la (autoimmune diseases) magonjwa yanayotokana na kinga ya mwili kushambulia tishu za mwili na kupekelea tishu hizi kututumka na kuvimba. Tatizo hili huathiri maeneo ya maungo na kuletekeza maumivu makali yasiyokwisha, kuvimba kwa joint na kusababisha ugumu kukunja viungo. Tatizo linaweza kuwa kubwa pale mpambano kwenye joint (inflammation) unapokuwa mkubwa na baadae maumivu hupungua.

Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ni muhimu kurekebisha lishe na mtindo wa maisha k**a ambavyo nitaelekeza hapa chini ili kupunguza makali ya ugonjwa. Ugonjwa wa baridi yabisi k**a usipochukuliwa hatua za haraka kuudhibiti unaweza kusababisha matatizo makubwa k**a kuharibika kwa maungio, neva na athari kwenye mishipa ya damu.

Baridi yabisi husababishwa na muunganiko wa sababu ikiwemo lishe, vinasaba, mtindo wa maisha, vichocheo pamoja na kinga ya mwili.Tafiti zinasema kwamba kwa mgonjwa anayeanza tiba mapema hupata nafuu zaidi na kuepuka madhara ya baridi yabisi. Pamoja na dawa za hospitali wataalamu wa tiba asili tunashauri mgonjwa azingatie zaidi lishe na mazoezi ili kupunguza maumivu.

*Dalili za Mgonjwa Mwenye Baridi Yabisi*

Dalili za Baridi yabisi hutokana na kupotea kwa utando mweupe uliopo mwishoni mwa mfupa (cartilage) ambao hupunguza msuguano kati ya mfupa na mafua, kuvimba kwa tishu zinazozunguka jointi na kukaza kwa joint. Kwa mgonjwa mwenye baridi yabisi ute uliopo kati ya mfupa na mfupa hupungua na kufanya mifupa kusagana. Dalili kuu za mgonjwa mwenye baridi yabisi ni ;-

*🔘Maumivu ya joint*
-Kuvimba kwa tishu zinazozunguka maungio ya mifupa husababisha maumivu makali kwa mgonjwa. Jointi zinazoathirika zaidi ni kwenye mikono, enka, vidole vya miguuni na kwenye magoti.

🔘Ngozi ya joints kuwa nyekundu, laini na inayochoma k**a vile imeungua moto.

🔘Maumivu na kushindwa kusonga mbele baada ya kuamka asubuhi, hali hii huchukua dakika 30 na baaade mgonjwa anaweza kuendelea kutembea.

🔘Mwili kufa ganzi na maumivu ya misuli
Kupata ugumu kwenye kutembea, kushika kitu, kufanya mazoezi na kupanda ngazi.

🔘Kwa baadhi ya wagonjwa hupoteza hamu ya kula na kupata homa za muda mfupi.

*Madhara gani ya Muda Mrefu Anaweza Kupata Mtu Mwenye Baridi Yabisi.*

Kwa baadhi ya wagonjwa wenye baridi yabisi hupata madhara ya kiafya ya muda mrefu mwilini. Tafiti zimebaini matatizo haya huzaliwa na uwepo wa arthritis.

✅Kuongezeka kwa hatari ya kupata magonjwa ya moyo na kiharusi.

✅Maumivu ya kifua, pumzi kukata na kushindwa kupumua kutokana na athari kwenye mapafu.

✅Maumivu ya kichwa yasiyoisha.

✅Matatizo ya figo na kujikusanya kwa maji mwilini.

✅Maumivu na kudhoofika kwa mifupa
Kuishiwa damu na kupata ganzi.

✅Kuota vinyama vidogo vidogo kuzunguka eneo la maungio ambavyo huongeza ukali wa maumivu.
Tuwasiliane kwa ushauri na tiba namba 0659420058

Photos from TIBA Asilia YA Mifupa's post 24/10/2022

UGONJWA WA GAUT NI NINI?

Gauti (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida cha tindikali ya Urea (uric acid) katika damu.

Ongezeko la uric acid husababisha madhara katika jointi (joint) (joint ni sehemu ya mwili inapokutana/ inapoungana mifupa miwili). Gauti inaweza kutokea ghafla (acute gout) au ikawa sugu (chronic gout). Gauti inayotokea ghafla huwa na maumivu makali na mara nyingi huathiri jointi moja tu wakati gauti sugu inaweza kuathiri jointi zaidi ya moja na huambatana na hali ya kujirudia ya maumivu na uvimbe kwenye jointi.

Visababishi vya Gaut

Gauti husababishwa na kuwepo kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida cha uric acid katika damu. Hali hutokea iwapo mwili wa mgonjwa unatengeneza uric acid nyingi kuliko kawaida au unashindwa kutoa uric acid mwilini k**a inavyotakiwa.

Ongezeko hili husababisha mrundikano wa uric acid katika maji maji yanayozunguka jointi yanayoitwa synovial fluid na hatimaye kutengeneza vijiwe vidogo vidogo vya tindikali ya urea yaani uric acid crystals ambavyo husababisha jointi kuvimba na hatimaye kuathirika.

Vihatarishi (risk factors)

Ingawa chanzo hakieleweki vema, ugonjwa wa gauti hutokea kuwapata baadhi ya watu walio katika familia moja. Wanaume huathiriwa zaidi kuliko wanawake ingawa wanawake waliokoma kupata hedhi huathiriwa zaidi kuliko wale wanaoendelea kupata hedhi.

1. Unywaji wa pombe na uvutaji wa sugars.
Unywaji pombe na sigara unachangia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa ugonjwa huu.
2. Matumizi makubwa ya baadhi ya madawa k**a vile dawa za kutoa maji mwilini ambazo kwa ujumla husababisha ongezeko la kiwango cha uric acid katika damu.
3. Magonjwa k**a kisukari, magonjwa ya figo, unene uliopitiliza, ugonjwa wa sickle cell anemia au aina nyingine za upungufu wa damu, pamoja na saratani ya damu (leukemia)

Dalili

Dalili za gauti kwa kawaida uhusisha jointi moja au joint chache. Jointi zinazoathiriwa zaidi ni pamoja na kidole kikubwa ha mguuni, magoti, au kiwiko cha mguu.
Wagonjwa huwa na maumivu yanayoanza kwa ghafla hususani nyakati za usiku. Mara nyingi mgonjwa hudai anasikia maumivu makali k**a kitu kinachokata, kupwita au mifupa inayosagana.
Jointi hubadilika na kuwa na joto, kuvimba na kuwa na nyekundu (hujionesha zaidi kwa watu wenye ngozi nyeupe). Kwa kawaida mgonjwa hulalamika maumivu makali ikiwa ataguswa kwenye jointi yenye matatizo.
Shambulio linaweza kudumu kwa siku kadhaa kabla mgonjwa hajapata nafuu, lakini pia laweza kujirudia mara kwa mara.
Pia mgonjwa anaweza kujihisi homa.
Baadhi ya wagonjwa hupata gauti sugu ambayo huwaletea madhara sugu katika jointi (chronic arthritis) hali ambayo husababisha mgonjwa kujihisi maumivu na muda mwingi kushindwa vizuri kutumia jointi zake. Wagonjwa wenye gauti kwa muda mrefu huwa pia na vinundu chini ya ngozi inayozunguka jointi zilizoathirika. Vinundu hivi kwa kitaalamu huitwa trophy na ni ishara ya muhimu kwa madaktari.

Vipimo

1. Vipimo vya damu

Kiwango cha uric acid katika damu. Hata hivyo, si kila aliye na kiwango kikubwa cha uric acid katika damu huwa na gauti.
Kiwango cha uric acid katika mkojo
Uchunguzi wa maji maji yanayozunguka jointi (synovial fluid) kuchunguza vijiwe katika jointi
2. X- ray ya jointi iliyoathirika
3. Synovial biopsy chunguzi wa utando unaozunguka jointi

Matibabu

Matibabu ya gauti hujumuisha matumizi ya dawa mbali mbali za maumivu, virutubisho lishe pamoja na mabadiliko katika mfumo wa maisha ya mgonjwa.
Lishe na mabadiliko katika mfumo wa maisha husaidia pia kuthibiti na kumuepusha mgonjwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya gauti. Njia hizi ni pamoja na:

Kuacha kunywa pombe
Kupunguza ulaji wa vyakula vyenye viasili vya purine (aina ya protini) k**a vile nyama ya mbuzi, samaki jamii ya sardines na herring, nyama ya maini au figo, mkate mtamu, maharage yaliyokaushwa, njegere, baadhi ya aina za uyoga, spinachi, n.k.
Thibiti pia ulaji wa nyama kwa kila mlo unaokula
Jiepushe na matumizi ya vyakula vya mafuta k**a vile ice creams, mayonise au vyakula vya kuokwa
Kula kiasi kikubwa cha wanga
Iwapo utaamua kupunguza uzito, hakikisha unapunguza kidogo kidogo kwa sababu upunguzaji wa kasi unaweza kusababisha vijiwe vya uric kujitengeneza katika figo
Matarajio

Madhara ya gauti

Gauti inaweza kusababisha matatizo sugu kwenye jointi (chronic gouty arthritis)
Vijiwe katika figo
Mrundikano wa uric acid unaoweza kusababisha ugonjwa sugu wa figo

Ili kupunguza kiwango cha uric acid katika damu,na kuondoa maumivu katika Viungo kwa njia ya ASILI pasipokuongeza sumu mwilini wasiliana nasi 0659420058

18/10/2022

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?
MSHAURI: +255659420058
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.

18/10/2022

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?

MSHAURI: +255659420058
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti

Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.

Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.

SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)

1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.

MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;

1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.

Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,+255659420058

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwananyamara
Dar Es Salaam