Linda Afya
Habari, naitwa Shamila. Nawasaidia wanawake wenye changamoto ya uzazi e. g U. T. I, P. I. D, uvimbe, hormone imbalance
09/12/2022
Mpende mwanao kwa kumpatia kinywaji chenye ladha ya chokoleti kuweza kuimarisha na kuboresha afya ya mwanao.. Weka oda yako leo kupitia +255653510017
26/07/2022
Mwanaume tunza afya yako ya uzazi kwa kujipatia kirutubisho lishe hiki leo
09/01/2022
UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA MATIBABU YAKE
*Nini maana ya shinikizo la damu*?
👉 Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu.
*Shinikizo la damu husababishwa na nini?*
✍️Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu
- Uvutaji sigara
- Unene na uzito kupita kiasi
- Unywaji wa pombe
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin
*Uanishaji wa shinikizo la damu
- Presha ya kawaida
04/01/2022
ULISHA WAHI KUPATA CHANGAMOTO /UDHAIFU/TATIZO WAKATI WA TENDO LA NDOA�
� k**a .....
�kukosa hamu ya tendo la ndoa,
�kupata stress ovyo,
�kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa
�Namengineyo k**a +Uume kusinyaa na kuwa mdogo mno ukiwa ndani ya mwanamke ,+Kuvuja mbegu (s***m leakage)
K**A UNAWAHI KUMALIZA AU HUWEZI KURUDIA WAKATI WA TENDO LA NDOA WASILIANA NASI UPATE SULUHISHO LEO..
TUMA SMS What'sApp KAKA RIJALI /PIGA...0788479782
VYANZO NA VIHATARISHI VYA KUPATA UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE);
Vimelea aina ya NEISSERIA GONORHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndio chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa PID ingawaje kuna aina kadhaa za vimelea vinahusishwa.
DALILI/VIASHIRIA VYA UGONJWA WA PID
1.Kutokwa na uchafu k**a (Utoko) au maziwa mtindi tena wenye harufu kali.
2.Mwanamke kupata maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu.
3.Kupata maumivu wakati wa kukojoa.
4.Kupata homa na kuhisi kichefuchefu.
5.Kupata maumivu ya mgongo na kutapika.
6.Kutokwa na hedhi bila mpangilio.
7.kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
8.Mimba kuharibika mara a mara ifikapo miezi 2 mpka 3.
K**a dalili hizi unazo usisite kututafuta hata kwa ushauri na kupata tiba wasiliana nasi kwa call/watsapp 0788479782
Linda Afya Habari, naitwa Shamila. Nawasaidia wanawake wenye changamoto ya uzazi e. g U. T. I, P. I. D, uvimbe, hormone imbalance
07/12/2021
*KINYWAJI TIBA CHA ALKALINE CHOCOLATE NA CHOLEDUZ HUTIBU TATIZO LA MTOTO KUKOJOA KITANDANI*
➡️Je! Unajua mama Kuwa mama Mjamzito anapotumia Complete na Choleduz Omega-3 Supreme kipindi cha Ujauzito hujifungua mtoto aliyekamilika na asiyekuwa na tabia za kukojoa kitandani?
➡️ Choleduz Omega-3 Supreme na Alkaline Chocolate zina DHA (Decosa Hexanoic Acid) ambayo Huongeza uwezo wa kumbukumbu na Kuimarisha ufanyaji Kazi wa Tezi na fahamu zinazotoa taarifa kwa Mtoto pale kibofu kinapokuwa na uchafu (Mkojo)
➡️Inamsaidia mtoto kupata usingizi mnono. Inachochea utolewaji wa Homon ya Relaxation. Ni nzuri pia kwa mama mjamzito na mtu mwenye Msongo wa Mawazo.
✅KUKOJOA KITANDANI husababishwa na kulegea kwa mirija ya Sphincter Muscles kwa upungufu wa baadhi ya madini
➡️ Choleduz & Mychoco husaidia mirija hii kukaa sawa na kuzuia
➡️Mychoco humsaidia mirija hii kukaa sawa na kuzuia kujikojolea/Kukojoa KITANDANI. Tumewasaidia watu wa viungo na Kukojoa KITANDANI na Mychoco
➡️Huimarisha milango ya fahamu (Mawasiliano) inayopeleka taarifa kwenye Ubongo na ubongo kuruhusu Mkojo kwà Mpangilio. (Matatizo haya huwapata akina mama pia (Fistula))
KUKOJOA KITANDANI KUNATIBIKA KABISA
“Kukojoa kitandani ni tatizo la kiakili, kawaida tatizo huanza kujitokeza wakati wa ukuaji wa mtoto, lakini kwa kuwa wengi hawajui, huchukulia k**a ni hali ya kawaida na kwamba litaisha kadiri anavyoendelea kukua,”
✍🏻Matatizo ya akili mengine hurithiwa kwa sababu yapo kwenye vinasaba. Pia mtoto hupata tatizo iwapo mama akikaa na uchungu muda mrefu wakati wa kujifungua, hali hiyo husababisha athari kwenye ubongo wa mtoto, kwani hukosa oksijeni ya kutosha.
✍🏻Yapo pia baadhi ya magonjwa ambayo mama akiugua katika kipindi cha ujauzito huweza kumsababishia mtoto athari katika ubongo wake, ndiyo maana wataalamu wa afya husisitiza mama afike kliniki kipindi chote cha ujauzito.
Matumizi😋😋 (Dosage Foam/Time Interval):
➡️Maji KIKOMBE 250mg pakiti/sachet 1. (Uji/maziwa/maji ya uvuguvugu) itafanya Kazi vizuri. Au LAMBA.
Choleduz Omega-3 Supreme kidonge 1 kwa siku.
*KUIPATA* *TUNATUMA MIKOANI NA NCHI JIRANI*
Tutafute kwa kupiga/WhatsApp 0788479782
Siku 90 Zilizoniponyesha Ungonjwa wa Moyo na Shinikizo la Juu la Damu
Ugonjwa wa Moyo (Cardiovascular Disease) na Shinikizo la Juu/Chini la Damu (BP/Hypotension/Hypertension) ni Magonjwa yanayosababisha madhara makubwa ikiwa ni gharama kubwa za Matibabu, magonjwa Sugu na vifo. Ni Magonjwa ambayo husababishwa na mitindo mibaya ya maisha (ulaji na Kutofanya mazoezi).
Kwa Miaka 4, tumekutana na watu takribani 57 wengi wakiwa watu wa maofisini, wakiwa na Magonjwa ya moyo na Shinikizo la Juu la Damu na kuwasaidia ndani ya siku 90 na Kupona kabisa. Fuatilia mpaka Mwisho au piga/WhatsApp 0788479782
Wametumia tiba zetu Zenye faida zifuatazo;
➡️Kutoa mafuta mabaya/lehemu mwilini takamwili (Bad Cholesterols) na Kusafisha mishipa ya damu
➡️Kuimarisha Afya ya artery za moyo na uimara wa mishipa na Kuongeza ufanisi wa kupampu na kusambaza damu, kusambaza oxygen.
➡️Kutibu Magonjwa yote ya moyo na Kuimarisha ufanisi wa Kazi za moyo.
➡️Kuimarisha mzunguko wa damu na kubalance kiwango cha Sukari kwenye Damu
➡️Kutibu na kuzuia kupasuka, kuharibika na kuathirika kwa mishipa ya damu (Coronary artery disease)
➡️Hutibu na kuzuia Mapigo ya moyo kwenda tofauti/hovyo (Heart Arrhythmias)
➡️Kinga na Tiba ya Moyo kushindwa kufanya kazi (Heart Failure) na Shinikizo la Juu la Damu (B.P)
➡️Tiba ya Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa (Congenital Heart Disease)
➡️Hutibu ugonjwa wa valvu na misuli ya moyo (Heart Valve Disease & Cardiomyopathy (Heart Muscle Disease))
➡️Huzuia na kutibu Moyo kutanukaUzazi
➡️Huzuia na Kutibu Mshtuko/Shambulio la moyo (Heart Attack).
➡️Tiba na Kinga ya Chembe ya Moyo na Kiharusi (Stoke)
JE! UNATAMANI KUONDOKANA NA MAGONJWA HAYA? Ni rahisi.
Tiba hizi hutumika kwa siku 90, kwa uangalizi na ufuatiliaji wa washauria wetu.
Pata ushauri, Anza tiba Sasa. Piga/WhatsApp 0788479782
Linda Afya Habari, naitwa Shamila. Nawasaidia wanawake wenye changamoto ya uzazi e. g U. T. I, P. I. D, uvimbe, hormone imbalance
20/11/2021
Mwanaume; aibu za kwahi kufika kileleni zinaepukika. Anza Tiba Leo.
Cheza Dakika 90 Wakati wa Tendo La Ndoa
ITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mkojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
USIHANGAIKE TENA MWANAUME, WASILIANA NASI. PIGA/WHATSAPP 0788479782
FAHAMU SIRI YA KUIMARISHA DHAKARI YAKO NA LIVEN ALKALINE COFFEE/ MASCULINE WASH WEWE MWANAUME SHUJAA
Faida Zake;
➡️Huweka maeneo ya siri salama na safi
➡️Hukinga maradhi ya maeneo ya siri
➡️Uchafu na harufu mbaya sehemu za siri
➡️Huzuia na kuondoa muwashona Vinyama kwenye uume
➡️Huondoa bacterial wabaya na fangasi ndani ya siku 6
➡️Huupatia uume kiwango cha asidi kinachotakiwa kiafya
➡️Huimarisha mishipa ya uume uliolegea na kuurudisha k**a awali
➡️Hutibu na kukinga dhidi ya maradhi ya mkojo yaani UTI hata iwe sugu
➡️Hukinga dhidi ya tatizo la tezi dume
➡️Huweka mazingira mazuri kwa bacteria rafiki kuzaliana.
➡️Hukausha vidonda au upele sehemu za siri.
➡️Kukuachia harufu ya kuburudisha na hisia ya upya, bila kuwasha au usumbufu wowote.
➡️Inaboresha uimara wa asili wa ngozi ya dhakari yako.
➡️Inaboresha unyoofu wa ngozi ya dhakari yako.
➡️Hupunguza mikunjo, inaburudisha,
➡️Antibacterial (mba, fangasi, mapunye, chunusi, vipele baada ya kunyoa ndevu/nywele za sehemu za siri)
➡️Kupambana na kuzeeka kwa mishipa na ngozi ya dhakari.
✍🏻K**a wewe ni mwanaume hususan uliye na changamoto ya dhakari legevu, kibamia, na isioweza kusimama imara
Au Piga 0788479782 kupata Tiba hizi
Linda Afya Habari, naitwa Shamila. Nawasaidia wanawake wenye changamoto ya uzazi e. g U. T. I, P. I. D, uvimbe, hormone imbalance
08/11/2021
Kwa sasa tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa imekuwa changamoto kubwa inayowakumba wanawake wengi sana kwa wanaume na hii yote inasababishwa na mfumo mbovu wa maisha (poor lifestyle)
Kwa mwanamke tatizo hili linasababishwa na matumizi ya njia za uzazi wa mpango wa kisasa, msongo wa mawazo, lishe mbovu, mvurugiko wa homoni nk
Lakin kwa upande wa wanaume hali hii inatokana na upungufu wa nguvu za kiume, kujichua kwa mda mrefu na kuangalia picha za ngono kwa mda mrefu, lakin pia ukosefu wa madini muhimu na lishe muhimu mwilini
Linda Afya tumekuandalia program lishe iliyo katika mfumo wa kinywaji cha liven Alkaline, kinywaji ambacho kitakusaidia wew katika kurekebisha mfumo wako uzazi kwa kuweka sawa homoni za mwanamke, kuongeza uzalishwaji wa mbegu za kiume na zenye rutuba na kukutibia changamoto yako kabisa
Wasiliana nasi 0788479782 kuweza kuipata popote ulipo Tanzania
01/11/2021
Tokomeza miwasho ukeni, kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni, UTI na PID sugu pamoja na kurekebisha mfumo wa uzazi kwa mwanamke
Wasiliana na linda Afya 0788479782 kwa ushauri na tiba
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
KIJITONYAMA
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |