AFYA NA muonekano
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA NA muonekano, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.
11/01/2022
FAHAMU TATIZO LA KUKOSA KWA CHOO(CONSTIPATION)
Ukosefu wa choo ni tatizo kubwa sana LinaLowapata baadhi ya watu kutokana na sababu za aina mbaLimbaLi,tatizo hiLi utokea paLe mtu anapokuLa maLatatu na kukaa siku moja,mbiLi,na hadi ya tatu biLa ya kupata choo,watu wengi sana wamekuwa wakidhaLau na kuona kwamba ni kawaida kukaa siku tatu, hadi nne biLa ya kupata choo, Lakini hawajui madhaLa yatakayowapata kutokana na tatizo hiLi ni makubwa mno kiafya.
Je, ni sababu zipi zinazo perekea mtu kukosa choo?
Lakini pia, zipo sababu nyingi sana zinazo perekea mtu kukosa choo kwa wakati.
Baadhi ya sababu hizo ni
(1)Mtukupenda sana kuLa vyakuLa viLivyo koborewa mfano,ugaLi wa sembe,na vyakuLa vyangano viLivyo koborewa.
(2)Ukosefu wa kuLa vyakuLa vya mbogamboga za majani,vyakuLa hivi vinafaiba za kutosha zinazosaidia kuLainisha choo,hasa ndani ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakuLa.
(3)Ukosefu wa kuLa matunda yenye faiba mfano ndizi mbivu,maembe ya kuiva na machungwa,matunda haya yana faiba za kutosha ndani yake, ivyo husaidia choo kuwa kiLaini na chenye nyuzinyuzi.
(4)Unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara.
(5)Kutokunywa maji ya kutosha.
(6)Kuugua kisukari na ugonjwa wa misuLi.
(7)Kutofanya mazoezi.
Lakini pia, zipo daLiLi zinazo jitokeza kwa mtu mwenye tatizo La kukosa kwa choo.
Baadhi ya daLiLi hizo ni.
(1)Mtukupata choo kigumu sana k**a cha mbuzimbuzi.
(2)Mtukutumia nguvu nyingi sana wakati anapojisaidia haja kubwa,nahiihutokana na choo kuwa kigumu sana k**a cha mbuzimbuzi,ivyoumfanya mtu kujikamua sana wakati anapojisaidia hajakubwa.
(3)Tumbo kujaa gesi.
(4)Mtukutokwa na damu wakati anapojisaidia haja kubwa,wakati Mwingine choo uchanganyikana na damu.
(5)Mtukuhisi choo badokipo wakati anapojisaidia haja kubwa yake.
MadhaLa ya tatizo hiLi La mtu kukosa choo.
Lakini pia yapo madhaLa makubwa sana yanayotokana na tatizo hiLi La mtu kukosa choo kwa wakati.
Baadhi ya madhaLa hayo ni.
(1)Mtukuchanika katika sehemu ya haja kubwa.
(2)Mtukupata tatizo La bawasiLi.
(3)Mtukutokwa na nyama k**a utumbo hivi,katika sehemu ya haja kubwa yake.
(4)Tatizo hiLi uperekea sehemu ya hajakubwa ya mtu kuziba.
(5)Mtukuugua saratani ya utumbo mpana.
(6)Figo zinaweza zisifanye kazi vizuri.
(7)Mtuanaweza akapata magonjwa ya moyo.
(8)Mtuanaweza akapata ugonjwa wa inni.
Lakini pia, zipo njia za kujirinda na tatizo hiLi La kukosa kwa choo(constipation)
Zipo njia mbiLi za kuhakikisha unajirinda na tatizo hiLi La kukosa kwa choo, njia ya kwanza kabisa ni kubadiLisha mfumo mzima wa maisha yaani Life style kwa mfano.
(1)Kufanya mazoezi ya maLakwamaLa.
(2)Kunywa maji ya kutosha angaLau Lita (2)
(3)Epuka kuLa vyakuLa viLivyo koborewa.
(4)Epuka kuLa vyakuLa vya ngano
(5)KuLa matunda yenye faiba kwa wingi.
(6)Epuka unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara.
hiyoapo ni njia ya kwanza, na njia ya piLi ni njia ya kutumia suruhisho LiLiLoandaLiwa, ambaLo Limewasaidia watu wengi sana na, ukitumia utapata matokeo ya haraka sana.
Suruhisho hiLo ni kutumia virutubisho ambavyo ni vya AsiLi viLivyo changanywa kwa matunda,mbogamboga za majani na mmea wa AroveLa.
Faida za virutubisho hivi vya AroveLa gerry.
(1)AroveLa gerry inasaidia kuondoa taka mwiLi na uchafu uLiogandamana ndani ya tumbo mpana.
(2)AroveLa gerry inasaidia kuongeza kinga ya mwiLi ina vitamins c,kwa wingi
(3)AroveLa gerry inasaidia kukupa nguvu yaani energy iLi usichokechoke ovyo.
(4)AroveLa gerry inasaidia kupunguza acidty mwiLini.
(5)AroveLa gerry inasaidia kukupa virutubisho muhimu ndani ya mwiLi.
(6)AroveLa gerry inasaidia kuondoa gesi ndani ya tumbo.
(7)AroveLa gerry inasaidia kukupa choo kwa wakati kiLasiku tena kikiwa kiraini.
(8)AroveLa gerry inasaidia kutibu matatizo ya tumbo kuuma na kuunguruma.
(9)AroveLa gerry inasaidia kuondoa uvimbe(fibroid)vimbe za kwenye kizazi.
(10)AroveLa gerry inasaidia kuondoa fangas sugu.
(11)AroveLa gerry ina saidia katika ufLonzwaji wa chakuLa ndani ya mwiLi na kuufanya mwiLi uwe na virutubisho kamiLi.
(12)AroveLa gerry ina saidia sana kwenye upande wa ngozi na kuifanya ngozi yako iwe softi mudawote na yenye kung'ara.
Lakini pia, kwa ushauLi na kuweza kupata hudumahii, wasiLiana na me kwa namba
+255769464307 what's up na kawaida.
06/01/2022
UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
Ukosefu wa nguvu za kiume nini?
Ukosefu wa nguvu za kiume ni kitendo cha mwanaume kushindwa kusimamisha uume wake wakati wa kujiandaa katika kushiriki tendo La ndoa na mpenzi wake,kitendo hicho humfanya mwanaume ashindwe kujiamini kabisa na kumuathiri kisaikorojia.
Lakini pia, kuna aina nne za Ukosefu wa nguvu za kiume kwa mwanaume.
(1)Aina ya kwanza ni waLe wanaume ambao uume hushindwa kusimama.
(2)Aina ya PiLi kunawaLe wanaume ambao, uume usimama Lakini hutokwa na manii kabLa ya kuanza tendo La ndoa.
(3)Aina ya tatu kuna waLe wanaume wanaoanza tendo La ndoa harafu uishiakati.
(4)Aina ya nne, kunawaLe wanaume ambao, hufanya tendo La ndoa Lakini mbegu zao hazitoki.
Lakini pia, tatizo hiLi haLichagui umri,kwasababu wako vijana wenye umri kuanzia miaka 18 hadi 25 hupata tatizo hiLi pamoja na watu wazima.
Lakini pia, zipo sababu nyingi sana zinazo perekea ukosefu wa nguvu za kiume kwa mwanaume, baadhi ya sababu hizo ni.
(1)Tatizo La kisukari.
(2)Utumiaji wa madawa ya hospital kwa mudamrefu, hasa madawa ya shinikizo La damu.
(3)Matatizo ya kisaikorojia, hii pia inaperekea ukosefu mkubwa sana wa nguvu za kiume.
(4)Kuugua magonjwa sugu kwa mudamrefu, hiipia inaperekea ukosefu wa nguvu za kiume.
(5)Kuwa na unene mkubwa sana wa mwiLi yaani(over weight)hiipia inaperekea Ukosefu mkubwa sana wa nguvu za kiume.
(6)Mwanaume kupiga punyeto, hii pia inaperekea Ukosefu mkubwa sana wa nguvu za kiume.
(7)Mwanaume kukabiLiwa na msongo mkubwa sana wa mawazo, hii pia inaperekea Ukosefu mkubwa sana wa nguvu za kiume.
(8)Mwanaume kutofanya mazoezi ya maLakwamaLa,hiipia huperekea Ukosefu wa nguvu za kiume.
(9)Ukosefu wa Lishe.
(10)KutoLaLa masaa 8
(11)Mwanaume kutumia madawa ya kujiboost ya kuongeza nguvu za kiume k**a Viagra,avegas,n.k.hiipia inaperekea Ukosefu wa nguvu za kiume za asiLi,kwasababu dawa hizo zimetengenenzwa kwa wanaougua magonjwa sugu ya mudamrefu
(12)Migogoro ya kwenye ndoa Kati ya mume namke pia huperekea Ukosefu wa nguvu za kiume.
Je, ni daLiLi zipi zinazo jitokeza kwa mwanaume mwenye Ukosefu wa nguvu za kiume.
(1)Mwanaume kukosa kujiamini kabisa.
(2)Mwanaume kuwa na msongo mkubwa wa mawazo.
(3)Mwanaume kuwa mwenye wasiwasi mudawote.
(4)Mwanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo La ndoa.
(5)Mwanaume kuwaogopa wanawake.
kimsingi, hizoapo ndizo daLiLi zinazo jitokeza kwa mwanaume mwenye Ukosefu wa nguvu za kiume, kwakweLi hii ni Changamoto kubwa sana kwa wanaume.
Sasa ni jinsigani ya kurudisha nguvu za kiume ziLizopotea.
Zipo njia mbiLi za kurudisha nguvu za kiume ziLizopotea.
Njia ya kwanza ni mwanaume kubadiLisha mfumo wake mzima wa maisha yaani Life Style, kwamfano.
(1)Kufanya mazoezi ya maLakwamaLa.
(2)Mwanaume aepuke unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara.
(3)Mwanaume aache kufanya mchezo mchafu wa kupiga punyeto.
(4)Mwanaume azingatie kuLa vyakuLa vyenye virutubisho sahihi kiLasiku.
(5)Mwanaume azingatie uLaji wa matunda,mbogamboga za kijani na kunywa maji ya kutosha.
(6)Mwanaume azingatie kuLaLa masaa,8 kiLasiku.
(7)Mwanaume aepukane na msongo mkubwa wa mawazo,mfano asome vitabu vya dini iLi kupunguza msongo wa mawazo.
Lakini pia, ipo njia ya piLi ya kurudisha nguvu za kiume ziLizopotea.
Njia hii ni kutumia suruhisho LiLiLoandaLiwa ambaLo nivirutubisho ambavyo vinasaidia sana kurudisha nguvu za kiume ziLizopotea,virutubisho hivi ni MALTIMALCA, ambavyo ni vya asiLi vinavyotokana na matunda mimea ya AroveLa na vitamins za aina mbaLimbaLi
Faida za virutubisho hivi.
(1)MaLtimaLca inasaidia kuimarisha na kuikaza misuLi ya uume uLioLegea kutokana na kupiga punyeto(kujichua)
(2)MaLtimaLca inasaidia kutanua mishipa ya damu ya uume uLioziba kutokana na mafuta mabaya yaLiyopo ndani ya mwiLi(choLestoL)
(3)MaLtimaLca inasaidia kukunjua mishipa iLiyokunjamana ya uume uLioLegea.
(4)MaLtimaLca inasaidia kukupa nguvu za kiume za kurudia tendo La ndoa kwa maLayapiLi, na hata ya tatu k**a ukitaka,kwasababu itakufanya uweimara mudawote.
(5)MaLtimaLca inasaidia kukupa hamu ya kushiriki tendo La ndoa stamina ya kurudia tendo La ndoa biLa ya kuchoka.
(6)MaLtimaLca inasaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume na zenye ubora.
(7)MaLtimaLca inamsaidia mwanaume kutofika kiLeLeni kwa haraka.
(8)MaLtimaLca inasaidia kuuzuia kuvimba kwa Tezi dume.
(9)MaLtimaLca inasaidia tatizo La kuwahi kufika kiLeLeni kwa haraka kwa mwanaume wenye Changamoto iyo.
Lakini pia, kwa wanawake MaLtimaLca inasaidia sana kwenye.
(1)Kurutubisha mayai na kumfanya mwanamke aondokane na Changamoto ya kupata ujauzito.
(2)MaLtimaLca husaidia kubaLance mzunguko na maumivu makarisana wakati wa hedhi.
(3)MaLtimaLca husaidia kubaLance hormoni kwa wenye tatizo La hormoni inbaLance.
(4)MaLtimaLca husaidia kuongea hamu ya kushiriki tendo La ndoa kwa wanawake.
(5)MaLtimaLca husaidia kupunguza hari ya kuwa na msongo mkubwa wa mawazo
Lakini pia,Bidhaa hii imethibitishwa na mashirika makubwa ya Afya na chakuLa Duniani.
Kwa ushauLi na kuweza kupata hudumahii wasiLiana na me, kwa namba +255769464307 na what's up kawaida
05/01/2022
Ndugu zangu biLashaka, ninaamini mkosaLama, na, mmeingia ndani ya mwaka huu mpya, mkiwa saLama iLa waLe ambao hawakufika ndani ya mwakahuu basi, namuomba Mwenyezi Mungu awapokee vyema.
Lakini pia, Leo nitaeLezea mada inayohusu mchezo mchafu wa kujichua au (kupiga punyeto.)
Je, nini maana ya kupiga punyeto?
Kupiga punyeto ni kitendo cha mwanaume au Mwanamke kujichua katika sehemu zake za siri kwa kujiridhisha yeye mwenyewe mpaka kufika kiLeLeni.
Kitendo hiki cha kupiga punyeto ni kitendo kibaya sana kwa sababu kinamuudhi sana, Mwenyezi Mungu na kuondoa baraka zake.
Lakini pia, wanaume ndio wanao ongoza kwa kufanya kitendo hiki kichafu, cha kupiga punyeto,wanaume ndio watuumiwa namba moja kwenye kitendo kihi cha kupiga punyeto,ijapokuwa baadhi ya wanawake hufanya kitendo hicho kichafu cha kupiga punyeto.
Lakini pia kitendo hiki cha kupiga punyeto, humwathiLi mtu kisaikorojia na kuaLibu nguvu zake za uzazi kabisa.
Yafuatayo ni baadhi ya madhaLa ya nayo sababishwa na kupiga punyeto.
(1)Kitendo hiki ni kitendo kibaya sana kwa sababu kina Muudhi sana Mwenyezi Mungu na kuondoa baraka zake.
(2)Kitendo hiki ni chanzo kikubwa sana cha kupoteza kumbukumbu.
(3)Kitendo hiki ni kitendo kibaya sana kwa sababu kinaharibu nguvu za kiume kabisa.
(4)Kitendo hiki ni kitendo kibaya sana kwa sababu ndio chanzo cha uume kuwa mdogo na uLiosinyaa.
(5)Kitendo hiki cha mwanaume kupiga punyeto, nikitendo kinacho sababisha mwiLi kuchoka na viungo vya mwiLi kuchoka.
(6)Kitendo hiki ni kitendo kibaya sana kwa sababu kina sababisha mtu kuzubaa kwa akiri, na kukosea kosea wakati anapofanya kazizake.
(7)Kitendo hiki humfanya mwanaume awahi kufika kiLeLeni na kushindwa kurudia tendo La ndoa kwa maLa ya piLi.
(8)Kitendo hiki ni kitendo kibaya sana kwa sababu kina muathiri Mwanaume kisaikorojia na kuona wanawake hawana faida kwake.
(9)Kitendo hiki cha kupiga punyeto ni kitendo kibaya sana kwa sababu kinaperekea mwanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo La ndoa na mpenzi wake.
(10)Mwanaume yoyote anaefanya mchezo huo mchafu wa kupiga punyeto hana uwezo wa kumfikisha mkewe kiLeLeni.
(11)Kitendo hicho cha mwanaume kupiga punyeto nikitendo kibaya sana, kwa sababu kina sababisha mwanaume kushindwa kumbebesha mimba Mwanamke.
(12)Kitendo hicho husababisha umaskini,kwasababu uperekea mtu kupoteza nguvu za kufanya kazi,mtuyoyote aLiye zoea kitendo cha kupiga punyeto anakuwa apendi kufanya kazi,kwaiyo huperekea umaskini mkubwa.
(13)Kitendo hicho humfanya mwanaume ashindwe kujiamini na kuwaogopa wanawake.
(14)Kitendo hicho humfanya mwanaume ashindwe kuoa.
(15)Kitendo hicho ni chanzo kimojawapo cha kuvunjika kwa ndoa nyingi,kwasababu mwanaume yoyote aLiye zoea tabia ya kupiga punyeto hushindwa kabisa kushiriki tendo La ndoa na mkewe.
(16)kitendo hiki cha kupiga punyeto ni kitendo kibaya sana, kwa sababu husababisha misuLi ya uume kuLegea na kuondoa madini ya zinki kwa kiasikikubwa sana ndani ya mwiLi.
(17)Kitendo hiki cha kupiga punyeto ni kitendo kibaya sana kwa sababu kina sababisha mwanaume kukosa nguvu kwenye magoti.
(18)Mtu yoyote anaefanya mchezo huo mchafu akijurikana ni aibu kubwa sana katika famiLia na jamii kiujumLa.
Lakini pia zipo njia za kujirinda na kuepukana na mchezo huo mchafu wa kupiga punyeto, iLa mimi nitaeLezea njia chache to, za kuepukana na kitendo hicho cha kupiga punyeto.
(1)Epuka kuangaLia picha za ngono.
(2)Epuka kuangaLia video za ngono.
(3)Soma vitabu vya dini,kwasababu vitasaidia kukupa maarifa mazuri zaidi.
(4)Muombe Mwenyezi Mungu iLi utube makosa yako,kwasababu ya kupiga punyeto.
(5)Tafuta mpenzi.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
27/12/2021
VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)
Vidonda vya tumbo nini?
Vidonda vya tumbo ni vidonda vinavyotokea sehemu ya ukuta wa tumbo na sehemu ya utumbo mwembamba,Lakini pia tatizo hiLi La vidonda vya tumbo usababishwa na bacteria wabaya,pamoja na vyanzo mbaLimbaLi,Lakini pia, nitaeLezea baadhi ya vitu vinavyo sababisha vidonda vya tumbo.
(1)ULaji wa vyakuLa vinavyo zarisha asidi kwa wingi.
(2)Unywaji wa pombe na vinywaji vikari kwa wingi.
(3)Mtu kuwa na mawazo mengi.
(4)Mtu kutumia dawa za kutuLiza maumivu kwa mudamrefu.
(5)Mtu kuumwa kwa njaa kwa mudamrefu.
Lakini pia, zipo daLiLi zinazo jitokeza kwa mtumwenye vidonda vya tumbo.
Baadhi ya daLiLi hizo ni.
(1)Maumivu ya tumbo, mtu uhisi maumivu makarisana juu ya tumbo,tumbo kuwaka moto Lakini, pia maumivu haya hutokea endapo mtu ataumwa kwa njaa ya mudamrefu.
(2)Kiunguria,kiunguria ni iLe hari ya kuhisi maumivu yanayoambatana na kuungua eneo La kifua kwa ndani,maLa nyingi mtu hupata harihii baada ya kuLa chakuLa frani, eidha chakuLa chenye asidi,gesi,au chakuLa chenye viungo vingi.
(3)Tumbo kujaa gesi.
(4)Kukosa hamu ya kuLa, na hii usababishwa na kujaa kwa gesi ndani ya tumbo.
(5)Kuhisi kichefuchefu.
Lakini pia, kuna baadhi ya vyakuLa vinasaidia kupunguza hari ya maumivu ndani ya tumbo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo.
Baadhi ya vyakuLa hivyo ni.
(1)uyoga.
(2)Maziwa ya mtindi.
(3)Matunda yenye rangirangi.
(4)Asari.
(5)Kitunguu saumu.
(6)Ndizi mbivu.
Lakini pia, kunabaadhi ya vyakuLa avistahiLi kabisa kuviLa mtu mwenye vidonda vya tumbo.
Baadhi ya vyakuLa hivyo ni.
(1)Mtu mwenye vidonda vya tumbo anatakiwa kuepuka kuLa vyakuLa vyenye viungo vingi na kiungo vikari k**a piLipiLi, na endapo akaviLa vyakuLa vya aina hii basi hari yake itazidikuwambaya zaidi.
(2)Mtu mwenyewe vidonda vya tumbo anatakiwa kuepuka kuLa matunda yenye asidi nyingi k**a machungwa,maLimao,ndimu,na mananas ipia, matunda haya yana asidi inayosababisha mtu mwenye vidonda vya tumbo kuwa na harimbaya pindi anapokuLa.
Lakini pia, kwa upande wa vinywaji ambavyo sio vizuri kwa matumizi kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo ni
(1)Kahawa
(2)Energy drink, vinywaji k**a kahawa sio vizuri kwa kutumia mtu mwenye vidonda vya tumbo kwasababu vinaCaffer vinywajihivi humsababishia mtu mwenye vidonda vya tumbo kuumwa na tumbo na kupata maumivu ya tumbo.
Lakini pia, kwa upande wa vyakuLa.
Kuna baadhi ya vyakuLa si vizuri kuviLa mtu mwenye vidonda vya tumbo anatakiwa kuepuka kuLa vyakuLa k**a vyakuLa hivyo ni pamoja na.
(1)Maharage.
(2)VyakuLa vyenye mafutamengi na vyakuLa vinavyo sababisha gesi k**a maharage,ILa kunabaadhi ya watu wanapokuLa aina frani ya chakuLa huwa haviwaLeteishida yoyote na wengine wanapo kuLa aina iyoiyo huwa wanapata shida,kwaiyo Mimi Ningependa kushauLi kwamba, chakuLa kinacho kuLeteashida usiLe.
Kimsingi tujiLinde sana kwa kufuata kanuni za, Afya kwasababu magonjwa yasiyo ambukiza ndiyo yanayo ongoza kwa kuwa watu Duniani.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
23/12/2021
UGONJWA WA PRESSURE,shinikizo La juu Ladamu.
Ugonjwa wa pressure, ni ugonjwa hatari sana kwasababu unauwezo wa kumuuamtu ghafLa.
Pressure kiLamtu anayo tatizo hutokea paLe mtu anapokuwa pressure yake Iko juu, k**a pressure yako Iko juu na unauwezo wa kufanya kazi na kutembea basi iyo ni normal kwako,Lakini pia hakuna daLiLi zinazo jitokeza kwa mtumwenye pressure ya juu, isipokuwa kunamabadiLiko, mtu mwenye pressure ya juu anaweza akayaona.
Baadhi ya mabadiLiko hayo ni.
(1)Mtu kupumua kwa tabu sana.
(2)Mapigo ya moyo kuenda mbio sana.
(3)Ukiona unafanya kazi kidogo harafu unatokwa na jasho jingi iyopia ni tatizo.
(4)Ukiona unafanya kazi kidogo harafu unachoka kwa haraka iyopia ni tatizo.
(5)Miguu kuvimba iyopia ni tatizo.
Lakini, pia zipo sababu zinazo perekea ugonjwa hatari wa pressure ya juu , iLa Leo nitaeLezea sababu hizo za msingi zinazo perekea ugonjwa wa pressure ya juu (pressure ya kupanda)
(1)Sababu ya kwanza inayoperekea mtu kupata ugonjwa wa pressure ya juu, ni kuzidi kwa mafuta mabaya ndani ya mwiLi (cholesterol)
(2)Sababu ya piLi inayo perekea mtu kupata ugonjwa wa pressure ya juu, ni umri mkubwa.
(3)Sababu ya tatu inayo perekea mtu kupata ugonjwa wa pressure ya juu, ni utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakuLa.
(4)Sababu ya nne inayo perekea mtu kupata pressure ya juu, ni kutofanya mazoezi.
(5)Sababu ya tano inayo perekea mtu kupata pressure ya juu, ni kuwa na uzito mkubwa uLiokithiri (over weight)
(6)Sababu ya sita inayoperekea mtu kupata pressure ya juu ni ugonjwa wa
kisukari.
(7)Sababu ya saba inayo perekea mtu kupata pressure ya juu ni mtu kuwa na wasiwasi,maLakwamaLa.
(8)Sababu ya nane inayo perekea mtu kupata pressure ya juu ni taarifa za kumshtua mtu (mshtuko)
Lakini pia ugonjwa huo unaweza kuathiri baadhi ya viungo vya mwiLi,viungo hivyo ni pamoja na
(1)Macho kushindwa kuona vizuri na
(2)Mtu kupata stock.
je? tunawezaje kujiLinda na ugonjwa hatari wa pressure ya juu (pressure ya kupanda)
Lakini pia zipo njia za kujirinda na pressure ya juu.
(1)Njia ya kwanza ya kujiLinda na ugonjwa hatari wa pressure ya juu ni kufanya mazoezi ya MaLakwamaLa, iLi damu itembee vizuri ndani ya mwiLi,unapo fanya mazoezi damu yako inakuwa inachemka ndani ya mwiLi damu yako inapochemka itasaidia kuyeyusha mafuta mabaya yaLiyokuwa yameganda ndani ya mishipa ya damu (cholesterol)kwaiyo kufanya mazoezi ni muhimu sana kwa Afya yako.
(2)Njia ya piLi ya kujiLinda na ugonjwa hatari wa pressure ya juu, ni kuepuka kuLa vyakuLa vyenye mafutamafuta.
(3)Njia ya tatu ya kujiLinda na ugonjwa hatari wa pressure ni kupunguza kuLa vyakuLa vyenye chumvi nyingi.
(4)Njia ya nne ya kujiLinda na ugonjwa hatari wa pressure ya juu, ni kupunguza unene, punguza uzito.
(5)Njia ya tano ya kujiLinda na ugonjwa hatari wa pressure ya juu ni kuLa vyakuLa vyenye virutubisho.
Lakini pia, hizoapo ndizo njia sahihi za kujirinda, na ugonjwa hatari wa pressure ya juu,tuwe makini kwa kufuata kanuni za Afya kwasababu, takwimu zinaonyesha kwamba, Duniani kote magonjwa yasiyo ambukiza ndiyo yanayo ongoza kwa kuuwa watu kiLasiku, magonjwa hayo usababishwa na mfumo m baya wa maisha yaani Life style.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
13/12/2021
BAWASILI.
BawasiLi nini?
BawasiLi ni mkusanyiko wa mishipa ya damu na misuLi midogo inayopatikana kwenye njia ya haja kubwa ambayo kazi yake ni kuthibiti kinyesi.
Aina za bawasiLi.
Kuna aina mbiLi za bawasiLi aina ya kwanza ni bawasiLi ya ndani, na aina ya piLi ni bawasiLi ya nje,ambayo misuLi ya damu kuvimba pamoja na mishipa ya damu kuvimba na kusababisha uvimbe katika sehemu ya haja kubwa.
Lakini pia zipo sababu zinazo perekea tatizo hiLi La bawasiLi, baadhi ya sababu hizo ni.
(1)Ukosefu wa faiba ndani ya mwiLi.
(2)Shinikizo fumbati kuongeza ndani ya tumbo na hii hutokana na kuLikamua sana tumbo wakati wa kujisaidia haja kubwa.
(3)Umrimkubwa.
(4)Kufanya mapenzi kinyume na maumbiLe.
(5)Unene mkubwa (over weight)
(6)Kujisaidia choo kigumu sana
DaLiLi za tatizo La bawasiLi.
(1)Kujisaidia choo chenye mchanganyiko wa damu.
(2)Kupata maumivu makarisana wakati wa kujisaidia haja kubwa.
(3)Kupungukiwa na damu.
Jinsi ya kujirinda na tatizo hiLi La BawasiLi.
(1)KuLa vyakuLa vyenye virutubisho kiLasiku.
(2)KuLamatunda yenye faiba na mbogamboga za kijani kiLasiku.
(3)Fanya mazoezi ya maLakwamaLa.
(4)Kunywa maji ya kutosha.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
06/12/2021
UGONJWA WA KISUKARI.
KISUKARI nini?
Kisukari sio ugonjwa k**a watu wanavyofikiri bari nitatizo.
Kwanini tunasema kisukari sio ugonjwa?
Tunasema kisukari sio ugonjwa kwasababu iLi mtu awezekupata ugonjwa niLazima kuwe na maambukidhi ya bacteria,kiruc,pLasmodia,n.k,ndani ya mwiLi,bacteria hao ndio wanaoshambuLia baadhi ya sehemu za mwiLi na kusababisha ugonjwa,Lakini pia kwamtu mwenye kisukari anakuwa hashambuLiwi na bacteria yoyote ndani ya mwiLiwake, isipokuwa kunatatizo katika hormoni ya kongosho.
Tatizo hiLi La kisukari hutokea paLe hormoni ya kongosho inapokuwa haizarishi insurini.
KISUKARI sio ugonjwa baLi ni tatizo kwasababu kiLa binadamu anasukari mwiLini mwake,ata mtoto aLiye zaLiwa Leo anasukari mwiLini mwake, tatizo hutokea paLe sukari inapozidi kiwango ndani ya mwiLi,kumbuka sukari inahitajika ndani ya mwiLi isizidi sana na waLa isishukesana, sukari inahitajika iwe kwenye kiwango cha kawaida ambacho ni normal kwenye damu,kwavijana ikiwa na sukari kuanzia 3.5kabLa hujaLakitu na5.5 baada ya kuLaiyo ni normal maanayake ni kiwango cha kawaida kinachohitajika kwenye damu,kwaupande
Wawazee kabLa hajaLakitu akiwa na5,iyo ni normal na akishakuLa ikawani 6mpaka7.iko normal sasaikizidi zaidi ya hapo uwo ni ugonjwa.
Kwaiyo kisukari sio ugonjwa baLi ni tatizo La kisukari,tatizo hiLi hutokea paLe hormoni ya kongosho inaposhindwa kuzaLisha insurini ndani ya mwiLi wa binadamu.
Insurini ni hormoni ambayo inasaidia kuthibiti sukari na kuishusha inayoingia ndani ya mwiLi kwa njia ya vyakuLa na vinywaji,kwaiyo sukari ikipanda sana insurini itaishusha na k**a sukari itazidisana basi insurini inasaidia kuishusha iLi ibaki kuwa kwenye kiwango cha kawaida ambacho ni normal kwenye damu, kwaiyo ogani hii ya kongosho inazaLisha hormoni mbiLi ambazo ni Insurini na cLukojeni,
KAZI YA INSURINI.
Hormoni hii ya insurini inasaidia kuishusha sukari k**aitakuwa imepanda sana au imezidisana ndani ya mwiLi kwaiyo k**a sukari itakuwa imepandasana basi insurini itaishusha, na k**a sukari itakuwa imezidi sana basi insurini itaishusha, iLi ibaki kuwa kwenye kiwango cha kawaida ambacho ni normal kwenye damu.
CLUKOJENI.
Nihormoni inayosaidia kupandisha sukari k**a itakuwa imeshuka sana ndani ya mwiLi na kuhifadhi kuwa ya akiba,kwaiyo k**a sukari itazidisana insurini itaishusha iLi ibaki kuwa normal ndani ya mwiLi na k**a sukari inashuka sana cLukojeni, itaitumia sukari yake ya ziada iLi kuipandisha ibaki kuwa normal ndani ya damu, kwasababu sio kiLamaLa utakuLa vyakuLa vyenye sukari,wakati Mwingine hatuLi vyakuLa vyenye sukari kwaiyo usipo kuLavyakuLa vyasukari basi CLukojeni hutoa sukari yake ya ziada iLi kuipandisha na kutumika kwenye mwiLi.
Kimsingi sukari inatakiwa kuwa normal kwenye damu.
AINA ZA KISUKARI
(1)Kuna aina mbiLi za kisukari, aina ya kwanza ni iLe inayowapata watoto wadogo hadi wenye umLi wa katikati ambao utumia sindano ya Insurini,kwasababu kongosho haizarishi kabisa insurini kwaiyo wagonjwa huchomwa sindano ya insurini iLi kongosho izaLishe hormoni ya insurini.
(2)Aina ya piLi ya kisukari ni iLe inayo wapata watu wazima hii inakuwa kongosho inazaLisha insurini kwa kiasi kidogosana, kwaiyo mgonjwa anatakiwa kubadiLisha mfumo wake wa maisha yaani Life style.
je ni sababu zipi zinazo perekea mtu kupata tatizo La kisukari?
Zipo sababu za aina mbaLimbaLi za mtu kupata tatizo La kisukari,baadhi yasababu hizo ni
(1)Kutofanya mazoezi
(2)KutoLaLa masaa8
(3)ULajim bovu wa vyakuLa
(4)Unywaji wa pombe na vinywaji viLivyoongenzwa sukari.
(5)KuLasana vyakuLa vya wanga hii pia inaperekea mtukupata tatizo La kisukari.
DaLiLi za mtu mwenye kisukari.
(1)Kukojoa maLakwamaLa, hasa wakati wausiku.
(2)Kupungua uzito kwa kasi.
(3)Kupata vidonda visivyo pona
(4)MwiLi kuishiwa na nguvu.
Lakini pia mtu mwenye kisukari anakuwa na changamoto za aina mbaLimbaLi za kiafya baadhi ya changamoto hizo ni.
(1)Kwaupande wawanaume anakuwa hananguvu za kiume.
(2)Majeraha yasiyopona.
(3)Tatizo La kisukari uperekea mtu kupoteza baadhi ya sehemu zake za viungo.
(4)Tatizo hiLi La kisukari uperekea mtu kuwa kipofu n.k.
Jinsi ya kujirinda na tatizo La kisukari
(1)Kufanya mazoezi ya maLakwamaLa.
(2)Zingatia uLaji sahihi wa vyakuLa vyenye virutubisho sahihi kiLasiku na mbogamboga.
(3)Zingatia kuLaLa masaa8 kiLasiku.
(4)Epuka kunywa vinywaji viLivyo ongenzwa sukari.
(5)Zingatia kuLa matunda na mbogamboga kiLasiku.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
30/11/2021
Leo TuangaLie Aina za damu blood group) na uLaji wa vyakuLa vyake.
Kimsingi si, vyakuLa vyote vinatufaa sisisote kwasababu ya aina mbaLimbaLi za makundi ya damu,kuna aina nne za makundi ya damu ambayo ni blood group.
(A)
(B)
(AB)
(O)
Makundi hayo ya damu ndiyo yanayounda tabia za watu nakiLa kundi La damu Linatabia za tofauti tofauti na kundi Lingine La damu, Lakini pia kiLa kundi La damu LinavyakuLa vyake,nandomana kunabaadhi ya watu pindi wanapokuLa chakuLa furani eitha kwa mazoea au kwa kutojuwa huwakinawadhuLu kwa kupata Areji ndani ya mwiLi.
Nikianza na blood group (A)
Kimsingi watu wenye blood group (A) wanatakiwa kuLa vyakuLa vyenye mbogamboga za kijani, kwa wingi na vya kuLa vya protini, group hiLi La damu kitabia ni wavivu sana, nahii nikwasababu ya upungufu wa protini ndani ya mwiLi.
group (A) wanapenda kukaa pekeyao pekeyao,group A, hawapendi keLeLe,niwahoga kuuLiza kitu,wanapenda kufuata sheria group A, niwatu wataratibu sana Lakini pia group A, hawawezi kufanya kazi ngumu
Kwaupande wa vyakuLa wanapenda matunda k**a nanasi,embe, zabibu na machungwa.
Matunda k**a papai,ndizi,parachichi,hawapendi matunda hayo.
Lakini pia vyakuLa vinavyowadhuLu ni pamoja na vyakuLa vyenye ngano na ikitokea wakara vyakuLa vyenye ngano kwa mdamLefu basi kuna magonjwa yatamnyemerea mtu uyo, baadhi ya magonjwa hayo ni pamoja na pressure,kukosa choo,na cancar.
Kimsingi ni vema ukaLa vyakuLa vinavyo endana na kundi Lako La damu.
Tukija kwenye Blood group (B)
Blood group (B) maana yake wako balance,kitabia ni watu wanaopenda kufanya kazi,niwatu wanaopenda majivuno kwakiLa jambo anaLoLifanya basi niLazima ajisifie,grop hiLi La damu wanapenda kuzungumza sana na kuchekesha watu.
Lakini pia group (B)wanatakiwa kuLa vyakuLa vyaprotini na mbogamboga za kijani,iLa kunabaadhi ya vyakuLa vinawadhuLu pindi wanapo kuLa vyakuLa hivyo ni pamoja na nyama ya kuku,korosho,nyanya,na karanga,nak**a ikitokea mtu wa group (B) akaLa vyakuLa hivi kwa mdamLefu basi vinaenda kuchochea kwenye mfumo wake wa Fahamu na kumsababishia ugonjwa wa Akiri uzeeni mwake.
Tukija kwenye bLoo group (AB) group hiLi ndiLo LinaLo ongoza kwa kuwa nakinga imara ndani ya mwiLi.
Kitabia wao niwatu wawatu wanapenda kujichanga na watu wengine.
Lakini pia wanatakiwa kuLa vyakuLa vya mbogamboga kwa wingi.
(AB) wanauwezo wa kutoa damu katika makundi yote ya damu isipokuwa waohawawezi kupokea damu kwenye kundi LoLote Ladamu Labda Liwe ni AB, to.
Tukija kwenye kundi La mwisho La damu ambaLo ni Blood group (O)
Makundi yote ya damu yametokana na kundi hiLi Ladamu.
Kitabia group (O) niwatu wawatu niwachapa kazi,grop (O) niwatu wanaopenda kujiamini sana,hawaogopi chochote,iLa hawapendi uongo, wanahasira sana,wanapenda kufanya kazi hata zanguvu iLa hawapendi kusimamiwa pindi wanapo fanya kazi,wanapenda haki.
Lakini pia kunabaadhi ya vyakuLa vina wadhuru pindi wanapo kuLa, vyakuLa hivyo ni pamoja na,ugari wa mahindi mkate,keki,chapati,na vyakuLa vinavyotokana na ngano,vyakuLa hivi pindi anapokuLa kwa mudamrefu,vinamsababishia tatizo La kukosa choo na k**a atapata choo basi choo chake kitakuwa ni kigumu sana,
Nakunabaadhi ya magonjwa yatamnyemerea blood group (O) baadhi ya magonjwa hayo ni ugonjwa wa kisukari,maumivu ndani ya kiuno uzito mkubwa uLiokithiri na cancar.
Lakini pia kunabaadhi ya vyakuLa wanavipenda sana kuviLa vyakuLa hivyo nik**a viLe,nyama nyekundu,samaki,mayai,maharage na vyakuLa vyote vyenye virutubisho vya protini,kwaupande wa matunda wanapenda ndizi mbivu,maembe ya kuiva, wanapenda papai na tikiti maji.
Kimsingi hizoapo ndizo aina nne za makundi ya damu Tukifuata kanuni za uLaji kutokana na makundi yetu ya damu Tutaweza kujiepusha na maambukizi ya magonjwa ya aina mbaLimbaLi ndani ya mwiLi.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
26/11/2021
AFYA YA WANAUME.
Fahamu kuhusu upungufu wa nguvu za kiume na njia sahihi za kurudisha nguvu za kiume ndani ya mwiLi wa Mwanaume.
Upungufu wa nguvu za kiume nini?
Upungufu wa nguvu za kiume ni kitendo cha mwanaume kushindwa kusimamisha uume wake (dhakaLi)kikamirifu k**a mwanaume rijaLi, kitendo icho cha Mwanaume kushindwa kusimamisha uume wake uumfanya ashindwe kushiriki tendo La ndoa,nakukosa kujiamini kabisa.
Upungufu wa nguvu za kiume uumfanya Mwanaume awaogope wanawake na kuathirika kisaikorojia.
Mwanaume yoyote mwenye tatizo hiLi anakuwa ana waogopa sana wana wake Nakuwa na wasiwasi mudawote.
Je, ni sababu zipi zinazoperekea tatizo La upungufu wa nguvu za kiume?
Zipo sababu nyingi sana zinazo perekea tatizo hiLi La upungufu wa nguvu za kiume,Lakini Mimi nitazitaja sababu chache to.
(1)Sababu ya kwanza inayo perekea upungufu wa nguvu za kiume ni mwanaume kuwa na mahusiano mabaya ndani ya ndoayake,hiipia ni chanzo kikubwa cha mwanaume kushindwa kushiriki tendo La ndoa, kunabaadhi ya watu kiLasiku wanagombana katika ndoazao, kwaiyo kitendo icho cha migogoro ndani ya ndoa uumfanya mwanaume ashindwe kushiriki tendo La ndoa na kuperekea tatizo La upungufu wa nguvu za kiume.
(2)Sababu ya piLi inayo perekea tatizo La upungufu wa nguvu za kiume ni mwanaume kuwa na msongo wa mawazo,hii pia nisababu kubwa sana kwamaana iLi uweze kushiriki tendo La ndoa kikamirifu inakupasa akiriyako ituLie na kufikiria tendo hiLo to, nasi kufikiria jambo Lingine,mtu yoyote anapokuwa kwenye maandaLizi ya kuanza tendo La ndoa Akiri yake,na mawazo yake vinatakiwa kufikiria jambo hiLo to, nasi kufikiria mambo mengine.
(3)Sababu ya tatu inayo perekea upungufu wa nguvu za kiume ni Ukosefu wa Lishe kamiLi.
(4)Sababu ya nne inayo perekea upungufu wa nguvu za kiume ni mwanaume kutofanya mazoezi.
Sababu ya tano, inayo perekea upungufu wa nguvu za kiume ni Mwanaume kujichua katika sehemu zake za siri, za uzazi yaani kufanya punyeto. kitendo hiki ni kitendo kibaya sana kwa sababu kina haribu na kuregeza misuLi ya uume, na kuufanya uume kuwa mdogo na kuregea, ivyo Mwanaume yoyote anaye fanya mchezo wa kufanya punyeto, hana nguvu za kiume na uume wake ata ukisimama unakuwa umeregea na kukosa nguvu kabisa.
(6)Sababu ya sita inayoperekea upungufu wa nguvu za kiume ni Mwanaume kuwa na unene mkubwa na kitambi.
(7)Sababu ya saba inayo perekea upungufu wa nguvu za kiume ni k**a Mwanaume aLifanyiwa upasuaji wa tezi dume,hii pia inaperekea upungufu mkubwa wa nguvu za kiume.
Kimsingi hizoapo ndizo sababu zinazoperekea upungufu wa nguvu za kiume.
Lakini pia ni daLiLi zipi zinazo jitokeza kuonyesha kwamba Mwanaume huyu ana Upungufu wa nguvu za kiume.
Zipo daLiLi za aina mbaLimbaLi zinazo jitokeza kuonyesha kwamba Mwanaume uyu anaupungufu wa nguvu za kiume iLa Leo nitazitaja daLiLi chache.
(1)DaLiLi ya kwanza inayo jitokeza kwa Mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume ni Mwanaume kukosa hamu ya kushiriki tendo La ndoa.
(2)DaLiLi ya piLi inayo jitokeza kwa Mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume ni Mwanaume kukosa kujiamini kabisa.
(3)DaLiLi ya tatu inayo jitokeza kwa Mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume ni Mwanaume kuwa muhoga na kuwaogopa wanawake.
(4)DaLiLi ya nne inayo jitokeza kwa Mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume ni Mwanaume kuwa na wasiwasi muda wote.
(5)DaLiLi ya tano inayo jitokeza kwa Mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume ni mwanaume kuwa na msongo wa mawazo.
Kimsingi hizoapo ndizo daLiLi zinazo jitokeza kwa mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume.
Lakini pia, zipo njia za kuhakikisha kwamba nguvu zako za kiume zinarudi tena baadhi ya njia hizo ni.
(1)Mwanaume afanye mazoezi ya maLakwamaLa.
(2)Mwanaume azingatie uLaji sahihi wa vyakuLa vyenye virutubisho sahihi kiLasiku.
(3)Mwanaume aache kufanya punyeto na Afanye mazoezi ya maLakwamaLa
(4)Mwanaume aepukane na msongo wa mawazo.
(5)Mwanaume aboreshe mahusiano yake nasi kugombana na mpenzi wake kiLasiku.
(6)Mwanaume apunguze uzito au aondoe kitambi kwasababu uzito mkubwa sio mzuri kiafya.
Kimsingi tukifuata ushauLi huu, tutaweza kupunguza uwezekano wa kupata Matatizo k**a ayo.
AFYA NA muonekano Beauty, cosmetic & personal care
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam