IJUE AFYA YAKO NA SCOLASTIKA
KARIBU KATIKA PAGE HII YA AFYA TUNATOA USHAURI NA TIBA JUU YA CHANGAMOTO ZA MIFUPA NA MAUNGIO PAMOJA NA MAGONJWA MENGINE YANAYO IKABILI JAMII.
NJOO UPATE USHAURI KWA UBORA WA AFYA YAKO.
TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO
0715084077
?
Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia vya asili vilivyotengenezwa kiasili 100%
hivi vina sifa zifuatazo:-
-Haina kemikali
-Vimetengenezwa kwa mimea asili na viumbe vya baharini
-Vinaondoa matatizo yote ya mifupa
-Hufanya kazi kwa muda mfupi
virutubisho hivi hufanya kazi maalumu katika mwili wa mwanadamu k**a zifuatazo -Inaondoa ya mgongo hasa kwa wanaokaa kitako muda mrefu ofisini, na
-Inaongeza ute na ukuaji wa wa nyama telezi
-Inaongeza mwilini na kufanya mifupa na meno viwe imara na kufanya meno yadumu muda mrefu
-Inaondoa mwilini
-Inaondoa hamu ya kula kwa watoto na watu wazima waliowavivu kula
-Inasaidia kuongeza nguvu ya mifupa kuunga haraka kwa mtu aliepata au
Inapatika kwa bei nafuu
inafanya kazi haraka tofauti na utegemeavyo
kwa ushauri na mawasiliano 0715084077
Je mwanamke unachangamoto zifuatazo?
👉Unatokwa na uchafu?
👉Unafangus sugu?
👉Unapata miwasho sehem za siri?
👉Unatokwa na harufu mbaya ?
👉Hauna ute wa kutosha na unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?
👉Unapata maumivu makali wakati wa hedhi?
👉Mzunguko wako wa hedhi haueleweki na unatokwa na dam nyingi?
💥SULUHISHO LIPO WASILIANA NASI SASA UWEZE KUSAIDIWA
🛑Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujuliakana k**a haemorrhoids au piles.
Bawasiri inaweza kupelekea upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upasuaji ama kwa matumizi ya dawa mbadala kwa kipindi kirefu wiki 4 hata 6 au hata zaidi kutegemea ilikuwa imejijenga kiasi gani.
Bawasiri husababishwa na nini ?
Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kupelekea wewe kupatwa na ugonjwa huu:
👉Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
👉Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
👉Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
👉Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
👉Kuharisha sana kwa muda mrefu
👉Kutumia vyoo vya kukaa
👉Kunyanyua vyuma vizito
👉Mfadhaiko/stress
👉Uzito na unene kupita kiasi nk.
Dalili za bawasiri
Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote
23/05/2022
Je mwanamke unachangamoto zifuatazo?
👉Unatokwa na uchafu?
👉Unafangus sugu?
👉Unapata miwasho sehem za siri?
👉Unatokwa na harufu mbaya ?
👉Hauna ute wa kutosha na unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa?
👉Unapata maumivu makali wakati wa hedhi?
👉Mzunguko wako wa hedhi haueleweki na unatokwa na dam nyingi?
💥SULUHISHO LIPO WASILIANA NASI SASA UWEZE KUSAIDIWA
0715084077
🛑 Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza k**a uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujuliakana k**a haemorrhoids au piles.
🛑Bawasiri inaweza kupelekea upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upasuaji ama kwa matumizi ya dawa mbadala kwa kipindi kirefu wiki 4 hata 6 au hata zaidi kutegemea ilikuwa imejijenga kiasi gani.
🛑Bawasiri husababishwa na nini ?
Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kupelekea wewe kupatwa na ugonjwa huu:
👉Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
👉Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
👉Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
👉Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
👉Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
👉Kuharisha sana kwa muda mrefu
👉Kutumia vyoo vya kukaa
👉Kunyanyua vyuma vizito
👉Mfadhaiko/stress
👉Uzito na unene kupita kiasi nk.
Dalili za bawasiri
Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote
22/05/2022
*DALILI ZA UGONJWA WA MOYO*
1. Maumivu ya kifua hasa yanayotembea mpaka kwenye mabega, shingo au taya
2. Moyo kwenda mbio isivyo kawaida
3. Uchovu uliopitiliza, mwili kuwa dhaifu na kuchoka haraka hata kwenye shughuri ndogo
4. Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
5. Tumbo kujaa, kichefuchefu na kutapika
6. Kushindwa kulala vizuri hasa kushtuka usingizini kuhisi k**a unakabwa na kukosa pumzi
Endapo ukiwa na dalili hizo wasiliana nas kwa matibabu 0715084077
22/05/2022
*MAMBO AU VIHATARISHI VINAVYOONGEZA UWEZEKANO WA MTU KUPATA UGONJWA WA MOYO*
1. Ugonjwa wa shinikizo kubwa la damu (presha)
2. Ugonjwa wa kisukari
3. Matumizi ya sigara (uvutaji wa sigara, tumbaku na ugoro)
4. Lishe mbaya , ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, sukari nyingi, chumvi nyingi , Cholesterol (lehemu) nyingi na kutotumia mboga mboga na matunda
5. Unywaji pombe
6. Uzito au unene uliopitiliza
7. Kutokufanya mazoezi
9. Umri mkubwa
*MAGONJWA YA MOYO*
Nini maana ya magonjwa ya moyo?
Ni kundi la magonjwa linalohusisha magonjwa yanayoathiri moyo na mishipa yake ya damu. Hujumuisha magonjwa yafuatayo:👇
1. Magonjwa yanayoathiri mishipa ya damu ya moyo.
2.magonjwa yanayoathiri misuli ya moyo
3. Magonjwa ya valve za moyo
4. Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa
*UKUBWA WA TATIZO LA MAGONJWA YA MOYO*
1 . Ni muuaji namba moja
Magonjwa ya moyo na mfumo WA damu ndo chanzo namba moja cha vifo duniani
2. Zaidi ya theluthi ya vifo vyote vinavyotokana na ugonjwa wa moyo hutokea ndani ya nchi zenye uchumi wa chini na uchumi wa kati .
TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO
0715084077
?
Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia vya asili vilivyotengenezwa kiasili 100%
hivi vina sifa zifuatazo:-
-Haina kemikali
-Vimetengenezwa kwa mimea asili na viumbe vya baharini
-Vinaondoa matatizo yote ya mifupa
-Hufanya kazi kwa muda mfupi
virutubisho hivi hufanya kazi maalumu katika mwili wa mwanadamu k**a zifuatazo -Inaondoa ya mgongo hasa kwa wanaokaa kitako muda mrefu ofisini, na
-Inaongeza ute na ukuaji wa wa nyama telezi
-Inaongeza mwilini na kufanya mifupa na meno viwe imara na kufanya meno yadumu muda mrefu
-Inaondoa mwilini
-Inaondoa hamu ya kula kwa watoto na watu wazima waliowavivu kula
-Inasaidia kuongeza nguvu ya mifupa kuunga haraka kwa mtu aliepata au
Inapatika kwa bei nafuu
inafanya kazi haraka tofauti na utegemeavyo
kwa ushauri na mawasiliano 0715084077
TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO
0715084077
?
Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia vya asili vilivyotengenezwa kiasili 100%
hivi vina sifa zifuatazo:-
-Haina kemikali
-Vimetengenezwa kwa mimea asili na viumbe vya baharini
-Vinaondoa matatizo yote ya mifupa
-Hufanya kazi kwa muda mfupi
virutubisho hivi hufanya kazi maalumu katika mwili wa mwanadamu k**a zifuatazo -Inaondoa ya mgongo hasa kwa wanaokaa kitako muda mrefu ofisini, na
-Inaongeza ute na ukuaji wa wa nyama telezi
-Inaongeza mwilini na kufanya mifupa na meno viwe imara na kufanya meno yadumu muda mrefu
-Inaondoa mwilini
-Inaondoa hamu ya kula kwa watoto na watu wazima waliowavivu kula
-Inasaidia kuongeza nguvu ya mifupa kuunga haraka kwa mtu aliepata au
Inapatika kwa bei nafuu
inafanya kazi haraka tofauti na utegemeavyo
kwa ushauri na mawasiliano 0715084077
TATIZO LA MIFUPA, MISULI NA MGONGO
0715084077
?
Ondoa shida ya mifupa na viungo kwa kutumia vya asili vilivyotengenezwa kiasili 100%
hivi vina sifa zifuatazo:-
-Haina kemikali
-Vimetengenezwa kwa mimea asili na viumbe vya baharini
-Vinaondoa matatizo yote ya mifupa
-Hufanya kazi kwa muda mfupi
virutubisho hivi hufanya kazi maalumu katika mwili wa mwanadamu k**a zifuatazo -Inaondoa ya mgongo hasa kwa wanaokaa kitako muda mrefu ofisini, na
-Inaongeza ute na ukuaji wa wa nyama telezi
-Inaongeza mwilini na kufanya mifupa na meno viwe imara na kufanya meno yadumu muda mrefu
-Inaondoa mwilini
-Inaondoa hamu ya kula kwa watoto na watu wazima waliowavivu kula
-Inasaidia kuongeza nguvu ya mifupa kuunga haraka kwa mtu aliepata au
Inapatika kwa bei nafuu
inafanya kazi haraka tofauti na utegemeavyo
kwa ushauri na mawasiliano 0715084077
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala Boma
Dar Es Salaam