Faith Online Shop

Faith Online Shop

Share

Established in 2016, is the leading provider of electronic accessories, and much more.

Our team is passionate about delivering top-quality, functional products at competitive prices, ensuring complete customer satisfaction with a strong commit excellence.

08/09/2026

SILICONE SCAR SHEETS – 1.5M & 3M

Jali mwonekano wa ngozi yako kwa kutumia Premium Medical-Grade Silicone Scar Sheets, zinazosaidia kutunza na kuboresha mwonekano wa makovu mbalimbali, ikiwemo makovu ya upasuaji, C-Section, burns, hypertrophic scars na Keloid

✅ FAIDA

• Husaidia kuboresha mwonekano wa makovu
• Husaidia kufanya kovu lionekane laini na tambarare zaidi
• Inafaa kwa makovu ya upasuaji na C-Section
• Inaweza kutumika kwenye burn scars na hypertrophic scars
• Medical-Grade Silicone
• Inaweza kukatwa kulingana na ukubwa wa kovu
• Inafaa kwa matumizi ya muda mrefu

💰 BEI

🔹 1.5M — TSH 35,000
🔹 3M — TSH 45,000

📞 WASILIANA NASI: +255 653 670 590

🚚 Tunatuma Dar es Salaam na Mikoani

🏪 BOLT FAITH ONLINE SHOP

📍 Mnazi Mmoja, Dar es Salaam

Chagua size inayokufaa na anza kuitunza ngozi yako leo!

08/09/2026

NAD+ BIOTIN ADVANCED ANTI-AGING GUMMIES

🌟 Jali afya yako na mwonekano wako kwa lishe bora ya kila siku!

NAD+ Biotin Advanced Anti-Aging Gummies ni dietary supplement yenye mchanganyiko wa virutubisho mbalimbali, ikiwemo NAD+, Biotin, Vitamin K2 & D3, Zinc, Collagen Peptides, Resveratrol, Keratin na Berberine. Ina ladha ya Blueberry na inakuja na 60 Gummies.

✅ FAIDA ZA BIDHAA

• Ina Biotin inayosaidia ku-support afya ya nywele, ngozi na kucha
• Ina Collagen Peptides kwa support ya afya ya ngozi
• Ina Vitamin D3, K2 na Zinc kwa support ya mahitaji ya mwili
• Ina Resveratrol na NAD+ k**a sehemu ya antioxidant & wellness support
• Ina Keratin kwa support ya nywele na kucha
• Ladha ya Blueberry, rahisi kutumia k**a gummy

🍇 KWA NINI GUMMIES?

Ni rahisi kutumia na zinaweza kuwa sehemu ya daily wellness routine yako bila usumbufu wa kumeza tablets.

📦 60 Gummies
🫐 Blueberry Flavor
💜 Advanced Anti-Aging Gummies
🌿 Dietary Supplement

Bei TZS 65,000

📞 WASILIANA NASI: +255 653 670 590

🚚 Tunatuma Dar es Salaam na Mikoani

🏪 BOLT FAITH ONLINE SHOP
📍 Mnazi Mmoja, Dar es Salaam

08/09/2026

3 IN 1 OTG CARD READER USB TYPE-C – TF/SD CARD READER ADAPTER

📱💻 RAHISISHA UHAMISHAJI WA MAFAYI KATI YA VIFAA VYAKO!

3-in-1 OTG Card Reader ni adapter yenye USB Type-C inayokuwezesha kusoma na kuhamisha mafaili kutoka SD Card, TF/Micro SD Card na USB devices kwenda kwenye simu, tablet au laptop yenye USB-C.

✅ FAIDA ZA BIDHAA

• Ina SD Card + TF/Micro SD Card + USB port
• Husaidia kuhamisha picha, video, music na documents
• Inafaa kwa simu na tablet zenye USB Type-C
• Inaweza kutumika kwenye laptop zenye USB-C
• Rahisi kutumia — Plug & Play
• Design ndogo na nyepesi, rahisi kubeba popote
• Inafaa kwa photographers, content creators, wanafunzi na matumizi ya ofisini

🔌 JINSI YA KUTUMIA

Chomeka adapter kwenye USB Type-C ya simu, tablet au laptop yako, kisha weka SD Card, Micro SD/TF Card au USB flash kwenye sehemu husika na ufikie mafaili yako.

(Flash na card reader ni sample tu)

💰 BEI: TSH 35,000 TU

📞 WASILIANA NASI: +255 653 670 590

🚚 Tunatuma Dar es Salaam na Mikoani

🏪 BOLT FAITH ONLINE SHOP

📍 Mnazi Mmoja, Dar es Salaam

🔥 Kifaa kimoja, connections 3 — rahisisha kazi zako za kila siku!

08/09/2026

BREATHING TRAINER LUNG EXERCISE DEVICE 🌬️

Fanya breathing exercises kwa urahisi ukiwa nyumbani, gym au wakati wa mazoezi. Kifaa hiki hutoa resistance wakati wa kuvuta na kutoa pumzi, kusaidia kufanya mazoezi ya misuli inayohusika katika upumuaji.

✅ FAIDA

• Husaidia kufanya breathing exercises
• Husaidia ku-train misuli inayohusika katika upumuaji
• Husaidia kuboresha control ya pumzi wakati wa mazoezi
• Rahisi kutumia na kubeba
• Inafaa kwa fitness na mazoezi ya kila siku

🫁 JINSI YA KUTUMIA

Weka mouthpiece vizuri mdomoni, kisha vuta na kutoa pumzi kupitia kifaa kwa utaratibu. Anza kwa muda mfupi na ongeza taratibu kadri unavyozoea.

💰 BEI: TSH 35,000 TU

📞 WASILIANA NASI: +255 653 670 590

🚚 Tunatuma Dar es Salaam na Mikoani

🏪 BOLT FAITH ONLINE SHOP
📍 Mnazi Mmoja, Dar es Salaam

Anza breathing workout yako leo! 🌬️💪

08/09/2026

GLUCOSAMINE CHONDROITIN TURMERIC & MSM – 90 CAPSULES

🌿 SUPPORT YA AFYA YA VIUNGO KILA SIKU!

Glucosamine Chondroitin Turmeric & MSM ni kirutubisho cha lishe kilichotengenezwa kusaidia afya ya viungo, cartilage, flexibility na mobility ya mwili.

✅ Husaidia ku-support afya ya viungo
✅ Husaidia kudumisha unyumbufu wa viungo
✅ Husaidia joint mobility na movement
✅ Ina Glucosamine + Chondroitin + Turmeric + MSM
✅ 90 Capsules – 30 Day Supply

💰 BEI: TSH 65,000 TU

🚚 Tunafanya delivery Dar es Salaam na kutuma Mikoani

📞 Wasiliana nasi kuagiza sasa 0769 979 767

FAITH ONLINE SHOP
📍 Mnazi Mmoja, Dar es Salaam

28/08/2026

GPS GF-07 MINI TRACKER

Kifaa kidogo cha GPS Tracker kwa ufuatiliaji wa eneo kwa urahisi.

Faida:

📍 Husaidia kufuatilia location
🔋 Portable na rahisi kubeba
📱 Hutumika kupitia simu
🚗 Inafaa kwa gari na matumizi mengine yanayoruhusiwa
🔌 Rahisi kuchaji

💰 BEI: TSH 70,000/=

📍 Mnazi Mmoja, Opposite NBC Bank DSM
🚚 Delivery DSM & Tunatuma Mikoani
📞 +255 653 670 590

📩 Agiza sasa!

28/08/2026

❤️ HIS QUEEN & HER KING COUPLE BRACELETS

💑 Seti ya Bracelets 2 za Wapenzi

Onyesha upendo wako kwa zawadi yenye ujumbe maalum wa “His Queen & Her King” 👑❤️

Sifa:

Seti ya bracelets 2
Design nzuri ya couple
Zinafaa kwa zawadi ya mpenzi
Imara na zenye kuvutia
Zinafaa kwa matumizi ya kila siku

🎁 Zawadi nzuri kwa mpenzi wako!

💰 BEI: TSH 35,000/=

📍 Mnazi Mmoja, Opposite NBC Bank DSM
🚚 Delivery DSM & Tunatuma Mikoani

📞 +255 653 670 590

📩 Agiza sasa!

28/08/2026

PROFESSIONAL CONDENSER MICROPHONE KIT – LGT 240

Unatafuta microphone ya Podcast, YouTube, TikTok, Livestream au kurekodi sauti? 🎧🔥 Hii ni seti kamili kwa content creators na matumizi ya studio.

✨ VILIVYO NDANI YA SETI:
🎤 Condenser Microphone LGT 240
🎚️ Audio Mixer yenye controls mbalimbali
🦾 Adjustable Boom Arm Stand
🛡️ Shock Mount
🎙️ Pop Filter
🔌 Cables za kuunganisha
🎧 Monitor/Headphone connection
🔊 Echo & volume controls
🎵 Sound effects mbalimbali

💯 INAFAA KWA:
✅ Podcast
✅ YouTube & TikTok
✅ Facebook & Instagram Live
✅ Singing & Music Recording
✅ Voice-over
✅ Gaming & Streaming
✅ Online Teaching
✅ Home Studio

🔥 BEI: TSH 170,000/=

📍 Tunapatikana: Mnazi Mmoja, Opposite NBC Bank, Dar es Salaam
🚚 Tunafanya Delivery DSM & Tunatuma Mikoani
📞 Wasiliana nasi: +255 653 670 590

📩 Agiza yako leo na anza kutengeneza content yenye sauti bora!

28/08/2026

ZHAOONE BLACK HAIR SHAMPOO – 500ML

Unataka nywele zako ziwe na mwonekano mweusi, nadhifu na wenye kuvutia? ✨
Jaribu ZHAOONE Black Hair Shampoo, shampoo yenye formula ya mimea inayosaidia kusafisha nywele na kuzipa mwonekano mzuri.

🌿 FAIDA ZA BIDHAA

Husaidia kusafisha nywele na ngozi ya kichwa.
Husaidia nywele kuonekana nyeusi zaidi.
Husaidia nywele kuonekana zenye afya na kuvutia.
Ina formula yenye viambato vya mimea.
Rahisi kutumia wakati wa kuosha nywele.
Inafaa kwa wanaume na wanawake.

💰 BEI: TSH 55,000/=

📦 Kiasi: 500ML

📍 Tunapatikana: Mnazi Mmoja, Opposite NBC Bank, Dar es Salaam
🚚 Tunafanya Delivery DSM & Tunatuma Mikoani
📞 Wasiliana nasi: +255 653 670 590

📩 Agiza sasa na upate bidhaa yako kwa urahisi!

13/08/2026

ANDROID ENDOSCOPE CAMERA – INSPECTION CAMERA

Unahitaji kuangalia sehemu ambazo ni ndogo, giza au hazifikiki kwa urahisi? Android Endoscope Camera inakusaidia kuona maeneo yaliyofichika kupitia simu yako ya Android.

FEATURES

• Flexible cable kwa kufikia maeneo magumu
• LED lights kwa kusaidia kuona kwenye maeneo yenye mwanga mdogo
• Inafaa kwa ukaguzi wa mabomba na drains
• Inafaa kwa kukagua sehemu mbalimbali za magari na injini
• Inafaa kwa mafundi, technicians na matumizi ya nyumbani
• Inaweza kupiga picha na kurekodi video kulingana na model/app
• Hutumia simu ya Android k**a screen ya kuangalia picha

INATUMIKA KWA

• Kukagua mabomba na drains
• Kukagua injini na sehemu zilizofichika kwenye magari
• Kuangalia nyaya na maeneo madogo
• Home maintenance na DIY
• Kazi za mafundi na technicians

BEI: TSH 95,000/=

Tunapatikana Mnazi Mmoja, opposite NBC Bank

Delivery na utumaji kwenda mikoa mbalimbali unapatikana.

MAWASILIANO: 0651 032 971

Wasiliana nasi leo kuagiza yako.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Corner Uhuru/Bibi Titi Moh’d Road, Opposite NBC Bank Mnazi Mmoja Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:30 - 19:00
Tuesday 09:30 - 19:00
Wednesday 09:30 - 19:00
Thursday 09:30 - 19:00
Friday 09:30 - 19:00
Saturday 10:00 - 19:00