jimy heath

jimy heath

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from jimy heath, Health/Beauty, Dar es Salaam.

07/11/2024

MUHIMU KUCHUKUA HATUA LEO, LINDA AFYA YAKO; JUA DALILI, KINGA NA MATIBABU YA HOMA YA INI ( HEPATITIS) .

Homa ya Ini (HEPATITIS) Ni ugonjwa unaoathiri ini na nihatari sana iwapo hautatibiwa kwa wakati.

Homa ya Ini inasababishwa na maambukizi ya virusi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na aina za virusi vya Hepatitis "B, C".

Homa ya ini inaweza pia kusababishwa na matumizi ya pombe kupita kiasi, madawa au Uwepo wa sumu nyingine mwilini na kuathiri ini.

Je, unajua kuwa homa ya ini ni moja ya magonjwa yanayoathiri ini na inaweza kuwa hatari ikiwa haitatibiwa mapema? . Takwimu zinaonesha Mamilioni ya watu wamesha athirika Duniani kote kwa mujibu wa Shirika la AFYA Duniani (WHO). Hivo uchunguzi wa mapema unahtajika.

_Baadhi ya Dalili za Homa ya Ini:_

➡️Uchovu usio wa kawaida

➡️Ngozi na macho kuwa ya njano (Jaundice)

➡️Maumivu ya tumbo upande wa juu kulia, kichefuchefu na Kutapika

➡️Homa ya mara kwa mara
➡️Saratani ya INI
➡️Kukojoa mkojo mwesu au wa rangi ya Coca cola
➡️INI kufeli kufanya kazi ( Liver Failure)

Habari njema ni kwamba! Homa ya ini inaweza kuzuilika na kutibika na ukapona kabisa:

Ps: Fanya uchunguzi wa mara kwa mara, na zingatia usafi wa mikono ili kujikinga.
Epuka migusano isiyo ya lazima, Epuka Unywaji Pombe kupindukia na Zingatia Ushauria wa Kitaalamu.

_Wito wa Kuchukua Hatua_ :
Tembelea kituo cha afya kilicho karibu nawe kwa uchunguzi na chanjo au Fika katika Kituo Chetu;

Tupo KIMARA STOP OVER = DAR ES SALAAM TANZANIA au Bonyeza Batan ya WhatsApp hapo chini ili Kuwasiliana Nasi kwani utapata ELIMU na USHAURI BUREEE.

Pata Matibabu ya Kudumu. Afya yako ndio kipaumbele chatu– chukua hatua sasa!

📞📞+255710 573 385

04/11/2024

CHUKUA HATUA LEO, LINDA AFYA YAKO; PATA CHANJO NA UTIBU HOMA YA INI.

Je, unajua kuwa homa ya ini ni moja ya magonjwa yanayoathiri ini na inaweza kuwa hatari ikiwa haitatibiwa mapema

_Baadhi ya Dalili za Homa ya Ini:_

🕤Uchovu usio wa kawaida

🕤Ngozi na macho kuwa ya njano (jaundice)

🕤Maumivu ya tumbo na kichefuchefu na Kutapika

🕥Homa ya mara kwa mara
🕦Saratani ya INI
🕦Kukojoa mkojo mwesu au wa rangi ya Coca cola

Habari njema ni kwamba! Homa ya ini inaweza kuzuilika na kutibika na ukapona :

Pata / fanya uchunguzi wa mara kwa mara, na zingatia usafi wa mikono ili kujikinga.
Epuka migusano isiyona umuhim

Wito wa Kuchukua Hatua: Tembelea kituo cha afya kilicho karibu nawe kwa uchunguzi na chanjo au Fika katika Kituo Chetu; Tupo KIMARA STOP OVER DAR ES SALAAM TANZANIA au Bonyeza Batan ya WhatsApp hapo chini ili Kuwasiliana Nasi kwani USHAURI BUREEE na Pia Matibabu ya Kudumu. Afya yako ni kipaumbele chako– chukua hatua sasa!

03/11/2024

*TAARIFA NJEMA KUHUSU HOMA YA INI ( HEPATITIS ) KWA WATU WOTE*

Hii ni habari muhimu sana kuhusu tatizo la homa ya ini [ HEPATITIS B au C ]

*Homa ya Ini – Shuhuda Halisi na njia ya sahihi ya KUTOKOMEZA HOMA YA INI na madhara ya tatizo la homa ya INI moja kwa moja**

Tunapenda kuwajulisha kuhusu ongezeko la visa vya homa ya ini katika jamii na Duniani kote na hata kuwepo kwa Idadi kubwa ya Wagonjwa wa HOMA YA INI.
Homa ya ini ni ugonjwa unaweza kupata mtu na pia hata kwa Kuambukizwa na una madhara makubwa sana k**a vile:-

📌Maumivu ya tumbo juu upande wa INI

📌Tumbo kuvimba, Uso na miguu kuvimba.

📌Figo kuferi na kujaa maji

📌Saratani ya ini [hepatoma]

📌 INI kushindwa kufanya kazi [ Liver failure ]

📌Kukosa hamu ya kula, Kuwa Dhaifu, Kichefuchefu na Kutapika pia.

📌Manjano ya macho na ngozi (Jaundice)

📌mgonjwa kupoteza maisha🙈

**kuhusu hali ya Ugonjwa:**

Virus vya homa ya ini [ HEPATITIS ] vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virus vya HIV [UKIMWI]

👉kwa hiyo...!! mwenye virusi vya homa ya ini [HEPATITIS ] hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema kuliko mwenye HIV [UKIMWI] au Magonjwa Mengine

**Shuhuda :**

**FRANK**, aligundulika na homa ya ini miezi tisa iliyopita. Akiwa na dalili za uchovu na maumivu makali ya tumbo, alitafuta matibabu haraka.

Baada ya kupatiwa tiba na kuzingatia maelekezo ya vyakula na Lishe sasa hivi amepima yuko negative [AMEPONA ]

*TUKO HAPA KWA LENGO LA KUHAKIKISHA NA WEWE TUNAKUPA SULUHISHO LA HARAKA LA UHAKIKA NA UTAPATA USHAURI BUREEE.*

Fika OFISINI, Tupo Kimara Stop Over Dar es Salaam Tanzania au
👉 bonyeza botton ya whatsup hapa chini, Kwa Ushauri na Matibabu Bora na wewe utapona haraka!!

📞📞+255710 573 385

03/11/2024

*TAARIFA NJEMA KUHUSU HOMA YA INI KWA WATU WOTE*

hii ni habari muhimu sana kuhusu tatizo la homa ya ini [ hepatisis B au C ]

*Homa ya Ini – Shuhuda Halisi na njia ya kutokomeza madhara ya tatizo la homa ya INI moja kwa moja**

Tunapenda kuwajulisha kuhusu ongezeko la visa vya homa ya ini katika jamii na duniani kote.
Homa ya ini ni ugonjwa unaoambukiza na una madhara makubwa k**a vile:-

📌Maumivu ya tumbo juu upande wa INI

📌Tumbo kuvimba, Uso na miguu kuvimba.

📌Figo kuferi na kujaa maji

📌Saratani ya ini [hepatoma]

📌 INI kushindwa kufanya kazi [liver failure]

📌Kukosa hamu ya kula.

📌Manjano ya macho na ngozi (Jaundice)

📌mgonjwa kupoteza maisha🙈

**kuhusu hali ya Ugonjwa:**

Virus vya homa ya ini [hepatisis] vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virus vya HIV [UKIMWI]

👉kwa hiyo...!! mwenye virusi vya homa ya ini [hepatisis] hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema kuliko mwenye HIV [UKIMWI]

**Shuhuda ya mwezi huu:**

**FRANK**, aligundulika na homa ya ini miezi tisa iliyopita. Akiwa na dalili za uchovu na maumivu makali ya tumbo, alitafuta matibabu haraka.

Baada ya kupatiwa tiba na kuzingatia maelekezo ya vyakula, sasa hivi amepima yuko negative [amepona]

*TUKO HAPA KWA LENGO LA KUHAKIKISHA NA WEWE TUNAKUPA SULUHISHO LA HARAKA LA UHAKIKA NA UTAPATA USHAURI BUREEE.*

Fika OFISINI, Tupo Kimara Stop Over Dar es Salaam Tanzania au
👉 bonyeza botton ya whatsup hapa chini, Kwa Ushauri na Matibabu Bora na wewe utapona haraka!!

📞📞+255710 573 385

29/10/2024

TAHADHARI: HOMA YA INI ( HEPATITIS ) NI HATARI INA~U~A! CHUKUA HATUA ZA HARAKA SASA..!!!!

Homa ya INI ni ugonjwa hatari unaoathiri INI , na kusababisha madhara makubwa, k**a SARATANI YA INI, KOVU KWENYE INI na INI kushindwa kufanya kazi, ( liver Failure) Homa ya ini aina B & C ( HBV / HCV) ndizo hatari zaidi kwa sababu inaweza kusababisha maambukizi ya kudumu,( CHRONIC HEPATITIS B)

Miongoni mwa Dalili:

Tambua kwamba...:Dalili za homa ya ini zinaweza zisijitokeze MAPEMA ila wakati huo INI likiendelea kushambuliwa, lakini baadhi ya Dalili ni pamoja na:

1️⃣Uchovu usio wa kawaida

2️⃣Maumivu ya Tumbo juu (upande wa ini)

3️⃣Macho au ngozi kuwa ya njano

4️⃣Kichefuchefu au kutapika

5️⃣Kupungua kwa hamu ya kula
6️⃣ Homa na Maumivu ya viungo
7️⃣ Mkojo mweusi au rangi ya Coca-Cola na Kinyesi chepesi.

NAMNA YA KUAMBUKIZA

Homa ya ini huambukizwa kupitia:

🟢Mama kwa mtoto wakati wa kujifungua au kunyonyesha

🟢Kugusana na damu au majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa

🟢Kujamiiana bila kinga na mtu mwenye maambukizi

🟢Kutumia vifaa vya kutoboa ngozi k**a sindano au nyembe ambazo hazijapimwa
🟢 Kuzidi kwa Sumu Mwili na hata Kuwa na Mafuta mengi kwenye ini (Liver Fatty)
🟢Kuongezewa Damu yenye Virusi, Nk.

_Jinsi ya kuji Kinga:_

➡️Pata chanjo ya homa ya INI (hasa aina B & C ).

➡️ Epuka Unywaji wa Pombe.

➡️ Epuka kutumia vifaa vya kutoboa ngozi visivyo salama.

➡️ Epuka sana Ngono zembe.

➡️ Kuwa mwangalifu na huduma za afya zinazohusisha damu au bidhaa zake, Nk.

_Hatua za Haraka:_

Fanya uchunguzi wa afya yako mara kwa mara Ikiwa umeambukizwa, fuata ushauri wa Kitaalam

_Ps_ : Homa ya INI ( HEPATITIS B & C) ni tishio kubwa kwa afya yako ukilinganisha na magonjwa Mengine, lakini inaweza kuzuilika, kutibiwa mapema na ukapona.

Tuchukue hatua kwa pamoja ili kuzuia kuenea kwake.

Kwa maelezo zaidi; Ushauri, Matibabu, Lishe na Chakula tembelea kituo chetu ( Ofisini) TUPO KIMARA STOP OVER DAR ES SALAAM TANZANIA au wasiliana nasi..

Piga Simu au WhatsApp
📞📞+255710 573 385

_HOMA YA INI INATIBIKA._

02/07/2024

*SULUHISHO BORA LA HOMA YA INI (HEPATITIS B)

Rejesha Afya yako sasa...

HOMA YA INI ( HEPATITIS B) INATIBIKA:!!!!

*HEPATITIS :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirusi wa Hepatitis B (HBV) Tafiti zinaonesha watu zaidi ya Bilioni mbili Sawa na 33% wameambukizwa Virusi vya Homa ya Ini Duniani kote. Na kusababisha vifo takribani laki Sita kila mwaka.Hii Ni hatari Sana.

Virusi hivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya UKIMWI.

NOTE. Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivi ni hatari kuliko virus vya Ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 na Pia hata kwenye Damu iliyo Ganda na bado vikaambukiza HOMA YA INI .

Hivo tunaweza Sema Virusi vya HOMA YA INI ni hatari zaidi ya VVU.

Mtu mwenye homa ya INI ana wastani mdogo Sana wa kuishi kuliko mwenye UKIMWI.

BAADHI YA DALILI ZA HOMA YA INI (HEPATITIS B)

♦ Uchovu wa mwili mara kwa mara

♦ Kichefuchefu na Kutapika

♦ Mwili kuwa dhaifu Sana.

♦ Homa kali na Kupungua Uzito.

♦Mwili Kuwashwa Sana ( Hii ni dalili ya kuwa na Saratani ya INI )

♦ Kupoteza hamu ya kula.

♦ Kupata Choo Cheusi .

♦ Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.

♦ Macho na ngozi kuwa njano(Jaundice)

♦ Mkojo mweusi au kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya INI hukaa muda mlefu pasipo kuona dalili zozote za homa ya ini, kwa kipindi hiki INI likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na ini kushindwa kabisa kufanya Kazi.
Hii hatua huitwa “CHRONIC HEPATITIS B ”

Ps.Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 9 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 hadi 18 humaliza virus wote. [Kupona Kabisa bila tatizo kujirudia ]

BAADHI YA MADHARA YA HOMA YA INI ( HEPATITIS B )

➡ INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).

➡ Mwili Kuwashwa Sana & INI Kuvimba

➡ Saratani ya INI (Liver Cancer) "HEPATOCELLULAR CARCINOMA"

➡ Figo kuferi na kujaa maji.

➡ Maumivu ya tumbo yasiyoisha upande wa juu wa tumbo (INI).

➡ Tumbo Kuvimba na Kujaa Maji.
➡ Miguu Kuvimba na Vifundo vya Miguu.

➡ Njaa ya mara kwa mara, Homa ya Manjano na Kutapika Damu

➡ Manjano ya Ngozi na Macho yasiyo isha (Jaundice)

➡ Mgonjwa Kupoteza maisha (KIFO)

👏 Ndugu Yetu Yawezekana umesumbuka Sana, Sasa..
Hii ni Habari njema kwako na kwa Ndugu yako kwani Suluhisho linapatikana Chukua hatua Sasa,Ufurahie Afya yako.

HUDUMAZETU BORA ZA MATIBABU HUAMBATANA NA USHAURI BURE WA LISHE NA CHAKULA

Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp / Piga SIMU Kwa maelezo na huduma ya haraka zaidi.

📞📞+255710 573 385

FIKA OFISINI KWETU, TUPO KIMARA STOP OVER MATAA DAR ES SALAAM TANZANIA.

13/06/2024

*PATA MATIBABU BORA NA SULUHISHO LA UHAKIKA, KUTOKOMEZA KABISA HOMA YA INI ( HEPATITIS B ) NDANI YA WIKI 12 TU:*

Rejesha Tumaini La Afya yako sasa...

*HOMA YA INI ( HEPATITIS B ) INATIBIKA..!!:*

*HEPATITIS B* :- Ni aina ya homa ya INI inayosababishwa na kirusi wa Hepatitis B (HBV) Tafiti zinaonesha watu zaidi ya Bilioni mbili Sawa na 33% wameambukizwa Virusi vya Homa ya Ini Duniani kote. Na kusababisha vifo takribani laki Sita kila mwaka.Hii Ni hatari Sana.

Tufahamu kuwa kila mtu yuko hatarini kupata maambukizi ya HOMA YA INI, Kwa Wagonjwa wa Figo na wale wanaofanyiwa Dialysis wako hatarini zaidi.

Virusi vya Homa Ya Ini vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya UKIMWI.

ZIFUATAZO NI BAADHI YA NJIA ZA KUSAMBAA KWA HOMA YA INI:( HEPATITIS B)

1️⃣ Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na hii ina 90% ya maambukizi kwa mtoto.

2️⃣ Kujamiiana na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI

3️⃣ Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, Miswaki.Vijiko,Nk.

4️⃣ Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis B

5️⃣ Kunyonyana Ndimi (Denda) ’ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI

6️⃣ Kuchangia Nguo mbalimbali k**a Taulo na mtu mwenye ugonjwa wa homa ya INI.

7️⃣ Kukumbatiana na mtu mwenye HOMA YA INI wakati akiwa anavuja jasho.

NOTE. Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivi ni hatari kuliko virus vya UKIMWI kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 na Pia hata kwenye Damu iliyo Ganda na bado vikaambukiza HOMA YA INI .

Hivo tunaweza Sema Virusi vya HOMA YA INI ni hatari zaidi ya VVU.

Mtu mwenye homa ya INI ana wastani mdogo Sana wa kuishi kuliko mwenye UKIMWI.

Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI hufariki dunia haraka sana kuliko mwenye VVU.

BAADHI YA DALILI ZA HOMA YA INI (HEPATITIS B)

♦ Uchovu wa mwili mara kwa mara

♦ Kichefuchefu na Kutapika

♦ Mwili kuwa dhaifu Sana.

♦ Homa kali na Kupungua Uzito.

♦Mwili Kuwashwa Sana ( NA Hii ni dalili ya kuwa na Saratani ya INI )

♦ Kupoteza hamu ya kula.

♦ Kupata Choo Cheusi .

♦ Maumivu makali ya tumbo upande wa juu wa INI.

♦ Macho na ngozi kuwa Njano(Jaundice)

♦ Mkojo mweusi au kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.

Note: Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya INI hukaa muda mlefu pasipo kuona dalili zozote za homa ya ini, kwa kipindi hicho INI likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini ( SARATANI ) na ini kushindwa kabisa kufanya Kazi.
Hii hatua huitwa “CHRONIC HEPATITIS B ”

Na Dalili huja kuonekana wazi wazi kipindi kirefu baada ya Maambukizi.

Ps.Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 9 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .

Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 hadi 16 humaliza virus wote. [Kupona Kabisa bila tatizo kujirudia ]

BAADHI YA MADHARA YA HOMA YA INI ( HEPATITIS B )

➡ INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).

➡ Mwili Kuwashwa Sana & INI Kuvimba

➡ Saratani ya INI (Liver Cancer / (HEPATOCELLULAR CARCINOMA ).

➡ Figo kuferi na kujaa maji.

➡ Maumivu ya tumbo yasiyoisha upande wa juu wa tumbo (INI).

➡ Tumbo Kuvimba na Kujaa Maji.
➡ Miguu Kuvimba na Vifundo vya Miguu.

➡ Njaa ya mara kwa mara, Homa ya Manjano na Kutapika Damu

➡ Manjano ya Ngozi na Macho yasiyo isha (Jaundice)

➡ Mgonjwa Kupoteza maisha (KIFO)

👏 Ndugu Yetu Yawezekana umesumbuka Sana na tatizo hilo na hata kukata tamaa Kwa kukosa majibu sahihi ya tatizo la Afya yako.
Hii ni Habari njema sana kwako na kwa Ndugu yako kwani Suluhisho limepatikana tena lakudumu, Chukua hatua Sasa,Ufurahie Afya yako.

HUDUMA HII BORA YA MATIBABU ITAAMBATANA NA USHAURI WA BURE WA LISHE NA CHAKULA

Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp / Piga SIMU Kwa maelezo zaidi.

📞📞+255710 573 385

FIKA OFISINI KWETU, TUPO DAR ES SALAAM MBEZI STAND NDOGO MKABALA NA STAND KUU YA MABAS YA MAGUFULI: NYOTE MNAKARIBISHWA.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam