MARUU Health/Products

MARUU Health/Products

Share

Karibu inbox.tukuhudumie.Asant�

Photos from MARUU Health/Products 's post 21/11/2023

*SABABU KUU ZA MAUMIVU YA MIFUPA, MGONGO, KIUNO, MAGOTI, SHINGO, MIGUU KUVIMBA NA KUWAKA MOTO.*

Sababu zipo nyingi lakini hizi ni sababu kuu 👇👇;
*1.Kuwa na infection (mashambulizi ya bakteria na virusi) kwa mfano virusi vya influenza, hepatitis.*

*2. Kuwa na uzito mkubwa kwa sababu ya mafuta mengi mwilini.* Watu wenye uzito mkubwa husababisha kuwa na uvimbe kwenye viungio kitaalamu hutambulika k**a inflamation.

*3.Mfumo wa kinga mwilini (autoimmune diseases) kushambulia maeneo ya viungo na kupelekea inflamation ama kuuwa seli.*
*4.Kukusanyika kwa asidi ya uric kwenye viungo (uric acid) mara nyingi hii huathiri miguu na utahisi k**a miguu inawaka moto.* Kutokunywa maji kwa wingi kunaweza kuwa moja ya sababu ya hambo hili.
*5. Watu wengine walio hatarini ni wenye kunywa pombe, wenye maradhi ya Figo, wenye shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda), marahi ya ini kisukari na shida kwenye tezi ya thyroid.*
6. Ongezeko kubwa la uric acid Mwilini.

*7. Kulainika na kuvunjika kwa mfupa laini (cartilage) kwenye magoti.*

8. Upungufu wa *kilainisho cha maungio (synovial fluid)* maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo.

9. Ugonjwa huu husababishwa na kuharibika kwa gwegwedu. *Kuvimba kwa viungo kunaweza kusababishwa na mfumo wa kinga kushambulia tishu za mwili kimakosa na kuziharibu hasa uti wa mgongo.*
10. Kuwa na majeraha
*11.Kufanya kazi ngumu kwa muda mrefu.*
*12. Kukosa muda WA mazoezi ama kukaa Sana Kwa muda mrefu (siku nyingi).*
13. Kuwa na saratani
*14. Kumung’unyika na kuvunjika kwa mifupa kutokana na ugonjwa unaojulikana k**a osteoporosis.*
15. Udhaifu wa mifupa na matege kwa sababu ya ukosefu wa madini muhimu kwenye mifupa. *Madini k**a vile Zinc, Calcium, Manganese, Magnesium, Phosphorus na Iodine.*

*Kuhusu tiba 👇👇👇;*
0657912043

24/06/2023

*UGONJWA WA U.T.I (URINARY TRACT INFECTION) – CHANZO, DALILI & TIBA YA KUTOKOMEZA NA KINGA*

*U.T.I* ni maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi ambao husababishwa na wadudu wanaoathiri sana kibofu na urethra. Jina U.T.I ni kifupi cha URINARY TRACT INFECTION (Neno la kingereza) watu wengi huzoea kuita hivyo wakijua ni jina la kiswahili, imeshazoeleka hivyo. Jinsia ya k**e wana hatari kubwa kuliko jinsia ya kiume. Maambukizi yakwenye kibofu huleta maumivu makali, madhara makubwa hutokea maambukizi yakifika mpaka kwenye figo. U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.
*U.T.I huweza kuleta madhara makubwa sana isipotibika na huweza kuathiri mfumo wa uzazi, kibofu, na sehemu mbalimbali.* Tunashauri mtu mwenye U.T.I inatakiwa atumie tiba asiiache ikawa sugu.

*MGAWANYO WA U.T.I;*
Kuna mgawanyo wa *aina mbili za U.T.I;*

*1.Maambukizi ya Upande wa juu* – Hii hujumuisha Figo na Ureta

*2.Maambukizi ya Upande wa chini* – Hii hujumuisha Kibofu na Urethra

*CHANZO CHA MAAMBUKIZI YA U.T.I;*
U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.
Vitu vifuatavyo vinaweza kukuingiza kwenye hatari ya kupata U.T.I;

1.Kinga ya mwili kuto kuwa imara

2.Kutumia Vifaa au Dawa za kuzuia mimba

3.Kwa wa k**e; Kupungua kwa homoni ya ostrogeni

4. Mtu mwenye kisukari

5. Kutumia choo kichafu haswa vyoo vya kutumia idadi kubwa ya watu.

6.Kuwa na tatizo la mmeng’enyo na tatizo la choo

7. Kukaa kwa mda mrefu bila kutembeatembea.

*DALILI ZA MTU MWENYE U.T.I;*

Dalili za mtu mwenye tatizo la U.T.I hutokea tofauti kulingana na umri, jinsia na sehemu iliyoathiriwa. Hizo dalili ni k**a;

1. Kujihisi mchovu na kutokujisikia vizuri
2. Kukojoa kwa shida na kujilazimisha
3. Maumivu wakati wa kukojoa
4. Kukojoa kiasi kidogo na mara kwa mara

5. Mkojo kutoa harufu kali
6. Mkojo kuwa na rangi tofauti zisizo za kawaida kwa mfano wekundu kiasi
7. Kichefuchefu au kutapika
8. Maumivu ya tumbo, au pande za mwili karibu na tumbo mpaka sehemu za misuli.
9. Joto laweza kuongezeka

*TIBA YA UGONJWA WA U.T.I.*

U.T.I hutibika kwa kuwaondoa bakteria na fangasi sehemu zilizoathirika kwa kutumia na sio kituliza tu. Watu wengi Leo WAMEKUWA wakihudhuria kila mara lakin hakuna matokeo ya kuridhisha.

Mtu mwenye U.T.I hupata shida sana na mpaka humpelekea kutokuwa na raha. Mtu mwenye U.T.I asipoitibu husababisha vimelea kuzaliana na kuwa vingi hii huitwa U.T.I sugu yuko hatarini kuwa na tatizo kubwa na pia hukaribisha magonjwa mengi k**a P.I.D.

Tuna dawa ya kutibu na kutokomeza kabsa tatizo la U.T.I sugu ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa na kuweka kinga. Tiba hii huondoa tatizo na halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza ugonjwa tu. ukianza kutumia baada ya siku 2 huonesha mabadiliko makubwa sana. Fika ofisini kwetu maana kila mkoa tuna ofisi zetu au
*Wasiliana nasi kupitia 0657912043

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mliman City
Dar Es Salaam